SAA YA DUA #2 Sikiliza kisomo hiki utaona maajabu katoka mwili wako

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 203

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 Рік тому +2

    Mashallah shukrani shekh

  • @BiumbeBiumbealiy-fe1zt
    @BiumbeBiumbealiy-fe1zt Рік тому +1

    Mungu.akujaze.kila.lakher.duniani.na.akhera

  • @Dalfahkhamisi
    @Dalfahkhamisi 9 місяців тому +1

    Mashalwaah ubarikiwe

  • @alimaalall7736
    @alimaalall7736 Рік тому +1

    Masaha Allah

  • @mohamed.dady.2892
    @mohamed.dady.2892 2 роки тому +1

    Mashaallah mungu akubark

  • @عائشهحسين-م1ح
    @عائشهحسين-م1ح Рік тому +1

    Mashaallah mashaallah allah atakulipa

  • @patricksindakila1909
    @patricksindakila1909 Рік тому +1

    nashukuru Sana mwalimu

  • @latifasuleiman7527
    @latifasuleiman7527 2 роки тому +1

    Mashaallah mwenyez mungu akubarik akupe Kila lenye kheri

  • @SaumJuma-ng4vj
    @SaumJuma-ng4vj 10 місяців тому +1

    Mashaallah Alhamdulillah

  • @AliMohamed-ng5ps
    @AliMohamed-ng5ps 10 місяців тому +1

    Mashaallah fua nzr sn

  • @saidakomba
    @saidakomba Рік тому +1

    Dr. Usiache kutuombea tunajisikia vizuri sana

  • @RaymondMwikugu
    @RaymondMwikugu 6 місяців тому +1

    Mashaalla

  • @RaymondMwikugu
    @RaymondMwikugu 6 місяців тому +1

    Mashaallh

  • @GoogleMakkah
    @GoogleMakkah 10 місяців тому +1

    Yarab nijalie wepesi kupitia kisomo ichi Yarab alamini

  • @bintshariffmuhammad620
    @bintshariffmuhammad620 Рік тому +2

    Yaa Allah jaalie dua` iwe qabul mimi niko na yaqin yata tatuka matatizo yangu siku mbili hizi Allah akujazi kheir dr Hud Hud

  • @bingasamali8054
    @bingasamali8054 2 роки тому +1

    mungu akupe nguvu utusaidie mimi inanisaendia sana

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому +1

    SHUKRANI Shekh naendelea kuona ufunguzi Alhamdulillah

  • @maryamasasin8190
    @maryamasasin8190 2 роки тому +1

    Jazakalahu heyri mola skuzidishiye na atupe wepesi inshaalu shukran

  • @halimaraju6960
    @halimaraju6960 Рік тому +1

    Shuklan sana kaka Allah atakulipa kwadua dhinatusaidia sana tulokuwa mbali na nyumbani tena nakuombea Allah akuweke kaka mim nikiludi salam kwa uwezo wa Allah nitakuja uko mlandizi kwan ndo kwetu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому +1

    Asalaam aleykhum alhamdulillah kuna mambo yanayoanza k ufunguka taratibu Alhamdulilah

  • @rehema5110
    @rehema5110 2 роки тому +1

    mashallah kwauwezo wa mungu nitapona inshallah

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому +1

    SHUKRANI sana Shekh naona nuru kiasi alhamdulillah

  • @mamaafrika1481
    @mamaafrika1481 2 роки тому +1

    Nimependa sana mungu akufanyie wepesi Insshallah

  • @faizaabdulrasul1962
    @faizaabdulrasul1962 3 місяці тому

    Jazakhalakheir nitakupigia kesho niko belguim inshallah kesho nitakupigia namuhimusana

  • @halimanj8544
    @halimanj8544 2 роки тому +1

    Asante sana Kwa kisomo nikiwa Saudi Leo nilikua hali mbali lkn kupitia kisomo hiki inshallah Allah amenisaidia

  • @MaryamAsasin-oc5cu
    @MaryamAsasin-oc5cu 2 місяці тому

    Alhamdulilah mola akujaze laheri mola atupe wepesi kwakila mtihani inaa lahaa maanaa

  • @sergiothurston3550
    @sergiothurston3550 2 роки тому +1

    Ishaaala shehe asante sana kwa dua kwakweli kama mm niko kwenye majaribu sana shehe niko sauziafirika kunamitihani mngisana ndugu yangu sasa ninapo sikiliza hizi dua huwa zina nitia nguvu sana enderea kutusaidia mungu atatufanyia wepesi ishaalaa

  • @aishahbinti1597
    @aishahbinti1597 Рік тому +1

    Waaleikum salam warahmatullahi wabarakaatu,shukran sana ustadh kwa dua Allah akulipe kila la kheri🤲🤲

  • @bintomarmwacheti6085
    @bintomarmwacheti6085 Рік тому +1

    Masha Allah mungu akubariki Sana kwa Kaz yako nilikua nikiota ndoto zaajabu lkn tangu nifatilie visomo. Vyako sioti Tena alihamdulilahi

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому +1

    Shukrani sana Dr.Allah akulipe mema InshaAllah

  • @welcomeorange7357
    @welcomeorange7357 2 роки тому +1

    Tabarak Rahman mungu akulinde

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому +1

    SHUKRANI sana Shekh tunaendelea kusikiliza wallah kuna mabadiliko kiasi alhamdulillah

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому +1

    Shekh shukrani sana naendelea kusikiliza wallahi taratibu naona mambo yanaelekea InshaAllah

  • @ZulphaMohamed-fl2si
    @ZulphaMohamed-fl2si Місяць тому

    As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh,,,Sheikh DR HUD,,,nimefurahiya kuskuza kisomo,,,naiskiza nikiwa Kenya,,,Allah atufanyie wepesi katika maasala ambazo zinatusumbuwa maishani,,, shukraan sana,,

  • @biommy6700
    @biommy6700 3 роки тому +9

    Hongera yako Dr. hud hud Kwa kutujali na kujitolea kutuombea dua, upande wangu binafsi ni km zawadi unanipa, nakuombea Allah akupe nguvu zaidi na Afya njema uzidi kutupa daawa maanaa ni wingi Wana matatizo haya

  • @najmaally7556
    @najmaally7556 2 роки тому +1

    Asalam alaikum wallah matunllah wabarakatuh ustadhi shukrani sana Allah akulipe Kila lenye kheri unatusaidia sana tupo wakati mgumu ila kupitia dua zako tunapata mwangaza Nina tatizo la kukosa usingizi na mengine kibao ila baada yakusikiliza hii dua gafra mwili wangu ulikua ukisisimka sana na gafra nikaanza kuchoka kuhisi usingizi hatimae nikalala usingizi mzuri na wenye utulivu na kujisikia wepesi katika mwili wangu shukrani sana

  • @saifSaif-yj9uu
    @saifSaif-yj9uu 2 роки тому +2

    Asaram Araikum warahmatu Allah wabarakatu mashallah shukran sana sheikh mungu azidi kukupa Afy njema mpendwa iri uzidi kutusaidia zaidi akika dua na unavosoma vinavutia sana wallahi Ameen 😍😍😍😍

  • @شاني-ص6ظ
    @شاني-ص6ظ Рік тому

    Amiin ya rabii, 🤲🤲🤲,mashallah ustadhi ,jazaka allahu fiikun,amiin,Allah atufanyie wepesi Kwa Kila jambo,🤲🤲🤲

  • @tumaramadhani8347
    @tumaramadhani8347 3 роки тому +3

    Allah atuondeshee mitihan na maradhi tuliyo nayo Amiin Amiin YARAB ALLAMIIN

  • @RaniRani-r8x
    @RaniRani-r8x Рік тому

    Inshallah Allah atupe wepesi kwenye uzito

  • @maminusura901
    @maminusura901 2 роки тому +1

    Mungu akupe Barak

  • @welcomeorange7357
    @welcomeorange7357 2 роки тому +1

    Mashaallah tabarak Rahman yaarab taqabal minna waminkum

  • @khadijamohamed2766
    @khadijamohamed2766 3 роки тому +6

    ALLAH Atuondoshe mitihani INSHA ALLAH

  • @amonaamona3816
    @amonaamona3816 Рік тому

    Mashaallah nashukru Kwa kisomo na dua mungu awazidishie ilimu na umri mrefu amiin

  • @mudzojuba3628
    @mudzojuba3628 2 роки тому +2

    Aslm alkm ustadh, mashaAllah, mwenyezi Mungu atufanyie wepesii insha'Allah,

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 10 місяців тому

    Nzuri sana Namwomba Allah Nipone na mauchawi wananitupia

  • @DahlaniSaid
    @DahlaniSaid Місяць тому

    Asalam alekum shekhi HUD HUD mwenyyye khri na kherat mungu akuzidishie nguvu zaidi. Ameen

  • @riccotravelntours3817
    @riccotravelntours3817 3 місяці тому

    Maaa shaaa Allah Allah akuweke sheikh wetu

  • @twemuhamad554
    @twemuhamad554 Рік тому

    Barakallahu fiika ya docter kisomo chenye manufa kwa umma ALLAH akuzishie ilmu

  • @FatmaBakar-hl4ib
    @FatmaBakar-hl4ib 3 місяці тому

    Allahummamiin

  • @mariamabdallah115
    @mariamabdallah115 Рік тому

    Ma shaa Allah Allah tabaraka Allah atufanyie wepesi

  • @fatmaathmani9406
    @fatmaathmani9406 8 місяців тому

    Asalam aleykum kweli Alhamdulilah tunamshukuru mungu kwa wema wenu Allah atawalipa zinatusaidia sana hizi dua

  • @fatmaahmad4179
    @fatmaahmad4179 2 роки тому +1

    Mashaallah Allah hafidh

  • @arafam234
    @arafam234 2 роки тому +2

    Mashaallah mashaallah mashaallah

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому

    SHUKRANI sana Shekh naendelea vizuri kiasi naamini nitafunguka kabisa InshaAllah

  • @jitihadaonlinetv739
    @jitihadaonlinetv739  3 роки тому +7

    Mashàa allah karibuni

    • @zayyatiyussuf9566
      @zayyatiyussuf9566 3 роки тому +2

      Sheikh kama sijui kuisoma nifanyaje?

    • @halimaali5151
      @halimaali5151 2 роки тому +1

      Mungu atuondoshe matatizo tuliy nayo inshaallah

  • @Mwanasha-vf6rn
    @Mwanasha-vf6rn 5 місяців тому

    Asalam alykum ishaalah shukran jazilah na Allah atulinde na akuepushie kila shari amiin ishaalah

  • @kingilazaro344
    @kingilazaro344 3 роки тому +6

    Mash Allah,jazakalla kheir sheikh,wallahi hzi dua na visomo vinafanya kazi kubwa sana mash Allah,mimi huwa nawafatila sana na Alhamdulilah nliona nguvu ya dua na visomo hivi Alhamdulilah.

  • @hadija4867
    @hadija4867 Рік тому

    Naomba dua ya kuniponesha macho,kuuma,miba,kuwasha na kuwakamoto

  • @Letsia-n1l
    @Letsia-n1l Рік тому

    Mashallah Allah akuzidshie kheri

  • @fatmaomar7140
    @fatmaomar7140 3 роки тому +3

    Manshallah ustadh hakika ninamtian hivo nazifatilia duaa mungu aweze kinifanyia wepesi katika mtian huu

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому +1

    SHUKRANI sana Shekh Allah akulipe mema InshaAlĺah

  • @kasimmohamed8225
    @kasimmohamed8225 3 роки тому +4

    Mashallah Allah awafanyie wepesi zaidi na kuondosha matatizo yenu

  • @hadijambwambo74
    @hadijambwambo74 2 роки тому

    Aminaa rabbialamina

  • @salmamohammedyahaya6098
    @salmamohammedyahaya6098 2 роки тому

    Mashaallah mungu akufanyie wepesi inshaallah

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому +1

    SHUKRANI sana Shekh wangu mambo yanafunguka Inshaallah nina imani yatakaansawa

  • @mwarimuhamed5665
    @mwarimuhamed5665 3 роки тому +2

    Assalamu Alakum mashallah Allah akujaze heri insha'Allah Nasi kwaniaba ya kisomo hiki iwe niheri Allah athakabalie tupate unafuu kwamithihani tulonayo in sha Allah

  • @eeee1448
    @eeee1448 2 роки тому +2

    Mashallah

  • @BiumbeBiumbealiy-fe1zt
    @BiumbeBiumbealiy-fe1zt Рік тому

    Shukuran.jazaka.llah

  • @ASHURAASHURA-jx2if
    @ASHURAASHURA-jx2if 9 місяців тому

    Maashallah nitakuja huko kibaha

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому

    SHUKRANI sana Shk Allah akulknile.mema InshaAlĺah

  • @suwedidj2521
    @suwedidj2521 2 роки тому +2

    Shekh Mimi nimependa dua zako, mimi ningeomba kila unapo soma Dua nami niweze kushiriki, kiukweli Mimi ninaota ndoto za ajabu , ambazo zinanikosesha amani kabia ninaweza vitu vibaya muda mwing, nimejawa na hofu Sana, kiukweli nimeshindwa kuondokewa hofu hiyo, nahitaji msaada wako wa dua , naamini mungu muweza wa yote yupo na atanisaidia.

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 3 роки тому +6

    Asaalam alykum waramatulah wabarakatul . Masha Allah tabaraka Allah. shukran jazaakaAllah kheir sheikh wetu kwa Elimu hii na Dua .

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому

    SHUKRANI sana Shekh Allah akulipe mema Inshaallah

  • @halimaoman3735
    @halimaoman3735 3 роки тому +3

    Maasha allah jazzakallah kheyraa shekhe hudhud

  • @neymarpouzen7032
    @neymarpouzen7032 Рік тому

    Mashallah sheikh wangu zidisha dua

  • @salimmahfudh4534
    @salimmahfudh4534 2 роки тому +1

    Aaleikum Sheikh Hud Hud inshallah Dua ya mafundu kuyafungua ya riziki na ubaya kufanyiwa naomba Dua hiyo.shukran

  • @lexygeisar8303
    @lexygeisar8303 Рік тому

    Asalam aleykum. Ndio nime anza kusikiliza dua. Ntakuja Na mregesho insha Allah. Shukran sana kwa Wema wako Na muda wako

  • @rukiaramadhan2117
    @rukiaramadhan2117 3 місяці тому

    Ya Allah kupitia kisomo hiki naomba niondoshe matatizo niliyokuwanayo

  • @ruaidanjau4000
    @ruaidanjau4000 3 роки тому +4

    Mashallah Allah akuzidishie

  • @hadija4867
    @hadija4867 Рік тому

    Asalam aleykum shekh naomba dua ya kuniponesha macho ,kuuma,kuwasha,kuwakamoto miba kugeuka red naomba ,na imani kwa uwezo wa. Allah nitafanikiwa Amiin

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому

    Marshaallah Dr. Allah akulipe.mema

  • @saidakomba
    @saidakomba Рік тому

    Nasikia moyo unaenda mbio Sana Dr.

  • @edwinsanga6661
    @edwinsanga6661 2 роки тому

    Dr hud hud mama anasumbuliwa na mapepo naomba umsomee dua ya uponyaji. Orofina mahenge

  • @khadijamussa7727
    @khadijamussa7727 2 роки тому

    Asante sana shehe mungu akuzidishie elim zaidi yahapo na nanamuomba mungu anijalie nipate mme kupitia Dua hii

  • @musnamihayo-ok1sm
    @musnamihayo-ok1sm Рік тому

    Mashaallah

  • @SaidiYassini-yn6uo
    @SaidiYassini-yn6uo 4 місяці тому

    shehe nashukulu sana dua imeni saidi sana

  • @musnamihayo-ok1sm
    @musnamihayo-ok1sm Рік тому

    Inshaallah

  • @saidakomba
    @saidakomba Рік тому

    MAA SHAA ALLAH. Dua nzuri hadi nasinzia na mwili wote nyongonyongo

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 2 роки тому +1

    Asalam alykum warahamatullah wabarakatu tunakupenda kwa ajili ya Allah

  • @fatumamulela8504
    @fatumamulela8504 2 роки тому

    Mashaallah Dr HUD HUD inshallah mungu atakabali dua inshallah tupate ufumbuzi

  • @MaryamAsasin-oc5cu
    @MaryamAsasin-oc5cu 3 місяці тому

    Shukran jazakalahu masha lahaa tabaraka laahu

  • @latifasuleiman7527
    @latifasuleiman7527 2 роки тому

    Shukran Dr HUD HUD

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому

    Marshaalah

  • @azapole9867
    @azapole9867 2 роки тому

    Jazaka

  • @mariamabdallah115
    @mariamabdallah115 3 роки тому +1

    In shaa Allah Biidhinillah

    • @zainabboss5619
      @zainabboss5619 2 роки тому +1

      Hizi dua nikisikilizs raha animator sikia Mungu ndio anajuwa

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому

    SHUKRANI sana Shekh naona kuna uelekeo mzuri kiasi naendelea kuwa na subra naamin Allah atanifungulia InshaAlĺah

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 2 роки тому

    Shekh nashukuru sana naona mambo yangu yanaendelea kufunguka naamini nitakaa sawa InshaAlĺahnitaniona Mlandizi soon.
    SHUKRANI

  • @SaidiYassini-yn6uo
    @SaidiYassini-yn6uo 5 місяців тому

    shehee na sumbuliwa na ngazi

  • @rehema5110
    @rehema5110 Рік тому

    mashallah