КОМЕНТАРІ •

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 14 днів тому +3

    Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh!
    Hakika sheikh umesema kweli
    Naomba kutoa ushahidi juu ya hili jina TUKUFU LA YAAA LATWIIIF
    mimi nilifululiza kwa muda wa siku 7
    Nililisoma mara elfu 16
    Naamka usiku saa 9 na kuswali haja kisha kuanza kulitaja mara 16elf
    Wallahi shida yangu siku ya 8 ilitatuka
    Allah kareem

  • @mkmwayama4534
    @mkmwayama4534 Рік тому +5

    MashAllah. Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu shehe

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 Рік тому +3

    Allah akujalie umri uzidi kutupatia faida kwa mambo mengi kupitia kitabu kitakatifu cha Allah innshAllah.

  • @husseinremtulla8561
    @husseinremtulla8561 Рік тому +3

    Mubarak 🙏 shukar 🙏 allahuma Salli Allah Muhammadin wa aale Muhammad till the Day of judgement 🙏

  • @saidishekalaghe3496
    @saidishekalaghe3496 Рік тому +2

    Shukran Sana Sheikh kwa
    Uffafanuzi huo . Allah akupe kila lakheri.

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 2 місяці тому

    Jazaak Allahul kheir! Waalaikum salaam wa Rahmatullahi wabarakatuh

  • @mwamvitahamada-kq3jl
    @mwamvitahamada-kq3jl Рік тому +2

    Sheikh ..hv tunafanya moja Kwa moja au unaxoma chache alaf nyingine.. unaweza kumalizia baadaey

  • @sharifashabani8973
    @sharifashabani8973 Рік тому +2

    Mashaallah shekh wetu allah akufanyie wepesi ktk kutufikishia mazuri

  • @ammakhan2239
    @ammakhan2239 Рік тому +2

    Asante Sana shekhe kwahiyo hiyo idadi ulisema inatakiwa ifanyike kwenye kikao kimoja au laa...

  • @Kingnelbo
    @Kingnelbo Рік тому +2

    Shukran sana shekhe mwenyezi mungu aendelee kukulinda ameen inshaallah

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 роки тому +2

    Shukran
    Shukran

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 2 роки тому +2

    بارك الله فيك

  • @paidenasra4548
    @paidenasra4548 2 роки тому +3

    Masha'Allah

  • @issanduwayo8090
    @issanduwayo8090 Рік тому +3

    Alhamdulillah

  • @songorosalama9503
    @songorosalama9503 Рік тому +2

    Allah akulip kheri shekh

  • @ndayizeyenusla5935
    @ndayizeyenusla5935 Рік тому +2

    Shukran

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Рік тому +2

    Maashaallah

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 2 місяці тому

    Waalaikumu salam wa rahmatullahi wa barakatu

  • @zaitunjuma870
    @zaitunjuma870 10 місяців тому +1

    innshallah

  • @barkyabdallahsuleiman7069
    @barkyabdallahsuleiman7069 2 роки тому +3

    Mashaallah

  • @mariamuimamu4203
    @mariamuimamu4203 Рік тому +2

    Maaashalaahhh

  • @babumsiha1573
    @babumsiha1573 2 роки тому +3

    Mashallah

  • @anifa-ho4ww
    @anifa-ho4ww Рік тому +2

    MashaAllah

  • @hakizimanatatuhakizimana6186
    @hakizimanatatuhakizimana6186 2 місяці тому

    Maashallah tabarakallah

  • @chrafaqatali8801
    @chrafaqatali8801 Рік тому +2

    Mungu akubariki .Niko na swali sheik hii elfu 16,641naweza isoma kwa vibande ama pale nikikaa siwezi ondoka mpaka nimalize .naomba unibu inshaallaah

  • @user-nm1ev5jv3t
    @user-nm1ev5jv3t 4 місяці тому

    Hamna waqti maalum sheikh

  • @jumannerulenga3618
    @jumannerulenga3618 Рік тому +2

    🙏🧎