MashAllah. Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu shehe
Allah akujalie umri uzidi kutupatia faida kwa mambo mengi kupitia kitabu kitakatifu cha Allah innshAllah.
Mubarak 🙏 shukar 🙏 allahuma Salli Allah Muhammadin wa aale Muhammad till the Day of judgement 🙏
Jazaak Allahul kheir! Waalaikum salaam wa Rahmatullahi wabarakatuh
Sheikh ..hv tunafanya moja Kwa moja au unaxoma chache alaf nyingine.. unaweza kumalizia baadaey
Asante Sana shekhe kwahiyo hiyo idadi ulisema inatakiwa ifanyike kwenye kikao kimoja au laa...
Shukran
Shukran
بارك الله فيك
Masha'Allah
Alhamdulillah
Allah akulip kheri shekh
Shukran
Maashaallah
Waalaikumu salam wa rahmatullahi wa barakatu
innshallah
Mashaallah
Maaashalaahhh
Mashallah
MashaAllah
Maashallah tabarakallah
Mungu akubariki .Niko na swali sheik hii elfu 16,641naweza isoma kwa vibande ama pale nikikaa siwezi ondoka mpaka nimalize .naomba unibu inshaallaah
Hamna waqti maalum sheikh
🙏🧎
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh!
Hakika sheikh umesema kweli
Naomba kutoa ushahidi juu ya hili jina TUKUFU LA YAAA LATWIIIF
mimi nilifululiza kwa muda wa siku 7
Nililisoma mara elfu 16
Naamka usiku saa 9 na kuswali haja kisha kuanza kulitaja mara 16elf
Wallahi shida yangu siku ya 8 ilitatuka
Allah kareem