Assalam Alaykum Cheh yangu . Insha Allah Mola akubariki Kwa neema nzur duniani na akhera. Cheh Naomba kujua sura yangu. Jina langu ni naitwa , Juma , lá mama ni Ancha .
Samahani sheh elim unao ila ulipitiwa mutu akiingia kwenye kosa gutokana ulichomufanyia ilibidi umuombe lazi yalio gutokea yeye hakulijua ila kutokana makubaliano yenu nayeye alikua sahihi na wasomi muwe makini gutofautisha elimu na imani
UKISOMA BISMILLAH MARA 125 KILA SIKU NYUMBA HIYO HAINGII MWIZI MCHAWI WALA JINI, UKISOMA AYAT QURSIY NYUMBA HIYO HAINGII MWIZI MCHAWI WALA JINI PIA, UKISOMA SURAT YASIN KWA NIA NA KTK KILA MUBIN UKASOMA AYAT QURSIY AU JINA YA HAFIDHU NA UKAMSWALIA MTUME KISHA TIA NIA , HIZI NJIA TATU TOFAUTI
Siwezi itikia Amina kwa hiyo Duaa unayo ombea uyo munynge muisila kwa sababu una jigamba juu yake na tena swadaka yako kwake umemupa ingelikuwa vizuri ikiwa kati yako na Mola wenu na yeye apana kutangazia mutandaoni 💔💔💔💔💔 sio nyinyi mana tufunza eti mkono wa kulia ukitowa swadaka wa shoto usijue ?
Allah akulipe pepo ya juu na kheir nying unazozihitajia hapa dunian kwa elimu hii ya jina hil kwakwel nmeandika ili nusisahaaubjiz idad shukran sn
Allah akupe unacoki itaji katika duniya iyi kwasomorako
Mi sion namba shekh
Jazakallah Allah akizidishie ilmu
Assalam alaykum warahmatullah, shukran kwa elimu hii Jazakah Allah khair Sheikh
Asante Sana Sheik Allah akubarik kwakazi unayo ifanya
Shukrani ya maghalimu kwakutupa elimu ya mwenyezi mungu ili tuweze kuelewa nini mwenyezimungu alicho tuamrisha na ambayo tumekatazwa
Mwenyezi mungu akujaliye kilalakheri na baraka
Ni bora umtumie hicho kitabu maana yeye ana shida yote ni kwa sababu anapitia shida katika maisha msaidie kwanza sheikh. Huo ni ushauri wangu tu .
Mashaallah ALLA ni mjuzi zaidi hukuwa nania mbaya shekh ALLAH amekupa kher
Masha Allah jazakallah kheri ALLAAH akulipe
Shukran saaana, Allah akulip kheyr
Asalam alaykum mimi nitatuma nazo niko burundi nataka nipate gisi nitatuma inshaallah
As-salam Alaykum warahmatullah wabarakatul... sheikh kadir maisha yanavoenda ndio kwanza waty wanazid kufanyiana husda.... lnna lillah wainna illaihi rajiun 😭
Asalam alaik um warahmatullah sha
A.alykum
Dua nzuri
SHEKHE pole Kwa Mikasa Iliyokupata Mitihani ya Dunia.
ASALAM ALAIKUM SHEC WETU TUNA SHUKURU KWAKAZI UNAZOFANYA ALA NDIYE ATAKULIPA ISHAALA
Shukrani jazilla cheikh wetu
Aslm alykm. Je ulituma hicho kitabu au kumrejeshea pesa zake?
Assalam Alaykum Cheh yangu . Insha Allah Mola akubariki Kwa neema nzur duniani na akhera.
Cheh Naomba kujua sura yangu. Jina langu ni naitwa , Juma , lá mama ni Ancha .
Naomba kujua sura yangu,jina langu kudra mama yangu safina naomba pia umtazamie mtoto wa dada yangu anaitwa zuhura janath.
shukrani
Polesana.sanna.ustadh.kwa.yanayokukuta.kupambania.din
Shukran kwa darsa hiyi
Asalaam mwaliku Asante kwa mafunzu yako
😂😂pole sana shelk wetu nimitiani tu yadunia
😂😂😂😂😂😂WALLAH NIMECHEKA
Sheikh umenichekesha sana aty anamalizia na mwizi😅 mrudishie pesa zake
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah
Namba zako tuwekee
Maashaallah
Shukran jazillah
Samahani sheh elim unao ila ulipitiwa mutu akiingia kwenye kosa gutokana ulichomufanyia ilibidi umuombe lazi yalio gutokea yeye hakulijua ila kutokana makubaliano yenu nayeye alikua sahihi na wasomi muwe makini gutofautisha elimu na imani
Amina ya rabb
Jafari mama yangu ni mwadawa
Kiubinadamu kila mtu angeumia...not good at all ! Mtu akituma pesa anategemea kupata alichokikusudia...
Tupatie namba yako ya simu
Shukrani
Niabiye kupata hicho kitabu kwadola za U S NINGAPI
Na je kinga ya mwizi kukuibia au kukuvunjia nyumba
UKISOMA BISMILLAH MARA 125 KILA SIKU NYUMBA HIYO HAINGII MWIZI MCHAWI WALA JINI,
UKISOMA AYAT QURSIY NYUMBA HIYO HAINGII MWIZI MCHAWI WALA JINI PIA,
UKISOMA SURAT YASIN KWA NIA NA KTK KILA MUBIN UKASOMA AYAT QURSIY AU JINA YA HAFIDHU NA UKAMSWALIA MTUME KISHA TIA NIA ,
HIZI NJIA TATU TOFAUTI
😅😂🤣😄😁
🎉🎉🎉❤❤
Siwezi itikia Amina kwa hiyo Duaa unayo ombea uyo munynge muisila kwa sababu una jigamba juu yake na tena swadaka yako kwake umemupa ingelikuwa vizuri ikiwa kati yako na Mola wenu na yeye apana kutangazia mutandaoni 💔💔💔💔💔 sio nyinyi mana tufunza eti mkono wa kulia ukitowa swadaka wa shoto usijue ?
Unakiju alichokitoa
KWANI KATOA SH NGAPI ILI TUJUE UNAKIJUA ALICHOKITOA
Je hicho kitabu cha maalimu naweza kukipata?
Shukran jazilla
Bora ungemtumia tu pale pale alipokuambia hujamtumia kitabu chake
Kila aliekaribu na allah mitihani nikawaida
Tuwe makini andika jina la Allah kwa herufi kubwa "Allah"
Shukran
Alide mama Bize
Sheikh a/alekum hicho kitabu kimeandikwa kwa kiswahili
Apana lazma umuelewe maana nyinyi ma sheik wa Tanzania mna Tumia zuulma Sana katika mitandao umepokea Pesa ya watu lakini amufanye Kazi
DHULUMA WA KWANZA NI WEWE KWA SABABU UNAWAONGOPEA WATU HATA WASIO DHULUMU
Mnosa Asha
Tu ipataje namba yako
±255713521944
Maneno mengi ya nn ungempa haki yake kwa wakati wewe ndiye mkosefu
WEWE UNAJIELEWA KWWLI ANAKWAMBIA ALIGHAFILIKA NA MTANDAO ULIFELI MARA KADHAA YAANI KUSIKILIZA KOTE LKN UMETOKA PATUPU SHULENI ULIKUWA UNAELEWA KWELI?
Hakuna jina la Allah linauzwa
KOTE HUKO NI KUTOKUJIELEWA NA MARADHI YA UBAHILI INGEKUWA HIVYO MISAHAFU YA QURAAN INGEKUWA INADONDOKA KUTOKA MBINGUNI KWA AKILI HIZO ZA UBAHILI
Wacheni kututapeli Kwa Sababu wengi wetu hatujui kusoma Qur'an
Hakuna anayekutapeli. Kajifunze kabla ya mauti yakukute
HIVI NINYI WATU WENGINE MNAJIELEWA KWELI
Alide mama Bize