Bado trilion moja ndogo sana kwa mwezi, naamini ukipata ushauri sahii utaweza kusanya mpaka trilion 10 kila mwezi tena kutokea channel moja tu ya e-transaction ulimwngu sasa ni wa kidigitali na hatuwezi kimbia hilo...unaitaji ushauri sana kuhusiana na e-transactions ili tukusanye kodi maradufu.
@@noelkaaya4559 kama unafaham vizur kuhusu hilo, tafuta namna bora yakufikisha ushauri wako, ili ufanye kazi na tupate matokeo yaliyo bora, ili tufike mbali zaid, binafs nakupongeza kwa aidia yako nzuri.
tanzania ipo juu sna ongera rais wetu mungu akubariki
mungu akupokee katika maisha Yako ya peponi
Mungu ibariki Tanzania....Viongozi na watu wake.!
mungu wabariki viongozi wetu wa Tanzania na ulinde amani yetu
Mung atawasaisia nyote viongoz ,tanzania ni nchi yenye amani ya kutosha
walahi wasanii wataisoma namba kwa serikari hii. Ikulu sio ya kisport sport
Samwel Nyangala safiii
Bado trilion moja ndogo sana kwa mwezi, naamini ukipata ushauri sahii utaweza kusanya mpaka trilion 10 kila mwezi tena kutokea channel moja tu ya e-transaction ulimwngu sasa ni wa kidigitali na hatuwezi kimbia hilo...unaitaji ushauri sana kuhusiana na e-transactions ili tukusanye kodi maradufu.
@@noelkaaya4559 kama unafaham vizur kuhusu hilo, tafuta namna bora yakufikisha ushauri wako, ili ufanye kazi na tupate matokeo yaliyo bora, ili tufike mbali zaid, binafs nakupongeza kwa aidia yako nzuri.
Uzalendo kwanza