MAKONDA AINGILIA KATI, DADA ATAPELIWA GARI ZAKE 4 ZA MILL ZAIDI YA 500 ARUSHA "NILIKUWA MZURI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 293

  • @mcback4384
    @mcback4384 4 місяці тому +73

    Halafu kuna wapumbavu wanangoja makonda aanguke, kwa harakati hizi Mungu anampigania na yupo upande wake sababu hizi ni sadaka na kazi za Mungu

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 4 місяці тому +7

      RIP JPM

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 4 місяці тому +4

      Kuna jama anaitwa Ngurumo Yani huyo jama anamchukia Makonda hadi roho inauma kwa kweli.
      Hakuna binaadam aliye kamilika ila aise Makonda anafanya kanzi Ya wito wa Mungu.
      Tunakuomba mama Samia usikubali watu wakushauri vibaya ju Ya huyu kijana.

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 4 місяці тому +1

      ​@@sonnyr1899tayari wanamshauri ndyo maana kamshusha uwezo wake si wa kua mkuu wa mkoa.

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 4 місяці тому +36

    Nimejifunza kitu hapa tunapofanikiwa tukumbuke kutoa sadaka kuwa na mungu karibu Asante Kwa video hii

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 місяці тому +38

    Jamani binti anaonekana anamtumainia sana Mungu, na Mungu hajawahi kumuacha mtu.
    Tuendelee kumtumainia Mungu😢

  • @user-fz2qn5to1v
    @user-fz2qn5to1v 4 місяці тому +29

    Makonda makonda makonda nimeita mara 3 Mungu Akubariki Mungu Aibariki kazi ya mikono yako Mungu Aibariki Tanzania

    • @hassanihamisi6239
      @hassanihamisi6239 3 місяці тому

      Ww furaiya tu iko siku utajuwa wanawake niyoka kama ww nimwanaume ira kama mwanamke sawa

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 4 місяці тому +37

    Makonda kama kunamahali uliteleza mungu akusamehe kaka manawewe ni binadam nimekwelewa

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 4 місяці тому +35

    Ipo thawabu yako toka kwa Mungu mh Makonda,kuvivaa viatu vya mtu ni kazi ngumu sana,but wewe umekuwa ukivivaa viatu vya wanyonge,Mungu akutunze na kukujalia hekima kama ya mfalme Suleiman

  • @mitaocamilliusthegreatest9068
    @mitaocamilliusthegreatest9068 4 місяці тому +5

    Mh.Makonda TUNAKUOMBEA Mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu zaidi na zaidi uzidi kuwa Bora zaidi usiku na mchana!

  • @danielmadale7710
    @danielmadale7710 4 місяці тому +14

    Nyie hamuoni, Aliko makonda ndiko nchi na mitandao ilikohamia. Kwani mkiiga mtakufa.Waziri mwingine anaepiga kazi ni waziri wa ardhi. Halafu ana weledi saaaana katika kazi hiyo.Big up Waziri Slaa

    • @user-vr1hx4my6f
      @user-vr1hx4my6f 4 місяці тому +1

      yani kaka yangu makondo utunzwe na mungu sina luga ya kusema

    • @user-vr1hx4my6f
      @user-vr1hx4my6f 4 місяці тому +2

      uwiii makando tunzwa na mungu

    • @egonemmanuelkudaba4945
      @egonemmanuelkudaba4945 4 місяці тому +1

      Kiukwel makonda na wazir silaaaa Mungu awatunze na wawe mfano wa kuigwa na viongoz wengine na wa Tanzania wote kwa ujumla tuwe wazalendo

    • @egonemmanuelkudaba4945
      @egonemmanuelkudaba4945 4 місяці тому +1

      Kiukwel makonda na wazir silaaaa Mungu awatunze na wawe mfano wa kuigwa na viongoz wengine na wa Tanzania wote kwa ujumla tuwe wazalendo

    • @miriamdavis3893
      @miriamdavis3893 3 місяці тому

      Waige wakati wanajali matumbo yao

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 4 місяці тому +9

    Dah jmn mbona binadamu tumekuwa wa hovyo sana, BigUp MH Paul Makonda

  • @meddyally4416
    @meddyally4416 4 місяці тому +16

    Uyu dada ana maono na akiri ya maisha uyu ndo mwanamke sasa, uyo mbwa atadirisika

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 4 місяці тому +8

    Mungu amesikia kilio chako mama na kamtuma Makonda aje akusaidie, Mungu ni Mwema na haki Yako itapatikana Amen 🙏

  • @wiliminawiliams9384
    @wiliminawiliams9384 4 місяці тому +12

    Pole sana Dada,Mwenyezi Mungu akusimamie uweze kupata haki yako.

  • @azizimyavilwa8199
    @azizimyavilwa8199 4 місяці тому +9

    She's still pretty though ❤

  • @JoshuaMusukwa-kq4ll
    @JoshuaMusukwa-kq4ll 4 місяці тому +8

    Makonda chapa kazi bila kuogopa mwanadamu mwogope Mungu aliye juuuuuuu sanaaa 2030 we ni Risi Makonda oyeeee

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 4 місяці тому +22

    Alhamdulillah. Mungu akueke ndugu Makonda. InshaAllah

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t 4 місяці тому +19

    Mungu umlinde Makonda 🙏🙏🙏

  • @user-kk3fp2yq2d
    @user-kk3fp2yq2d 4 місяці тому +6

    Mungu akuongoze MUHESHIMIWA Mkonda Nakufuwatiria sana kipenzi kutoka Rwanda Kigali

  • @kessykessy563
    @kessykessy563 4 місяці тому +8

    Ww ni nan makonda niliekuwa nakuchukia na leo nataka uwe RAISI WANGU..... 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 4 місяці тому +6

    Bora nitafute peke yangu, hivi vya kushare mwisho wake nikujiua sitaki mimi. Pole dea yatapita

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 місяці тому +24

    Mama Mungu akutetee sana,"Mungu humtuma mtu" na mtu huyo ni mtumwa wa Mungu na serikali Makonda. Mungu amtunze kwa ajili ya wengi zaidi.

  • @stellarogath1876
    @stellarogath1876 4 місяці тому +2

    Pole sana dada, pamoja na hayo yote bado lipo tumaini, na Mungu huwa ana watu wake,

  • @danielchamoto9376
    @danielchamoto9376 4 місяці тому +3

    Mungu aendelee kumpigania makonda. Anafanya kazi nzuri

  • @meddyally4416
    @meddyally4416 4 місяці тому +19

    Kwa makonda ilo limeisha, huko arusha kumecha

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 4 місяці тому +11

    Asante Mheshimiwa Makonda kazi kwenda lala nao mbele wanaofanya dhuluma

  • @Samwelmagita-jb1so
    @Samwelmagita-jb1so 4 місяці тому +1

    Mkuu Mungu akubariki sanaaa azidi kukuweka uzidi kuwasaidia watu wapate haki yake Nakuombea uwe Raisi wetu Inshallah 🙏

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 4 місяці тому +12

    Sawa makonda ana mapungufu yake ila mema anayo fanyia wanaichi atujali sisi tunamuona nabii wawananchi

  • @azariamarembo3653
    @azariamarembo3653 3 місяці тому +1

    Huyu ndie alitakiwa kuwa mke anajui kuponda mme anasifia mazuri ya nyuma . Safi sana

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp 4 місяці тому +7

    Kuna cha kujifunza apa mukiwa na mahusiano musitangulize mali zenu wanawake umpe mtu mwili wako mapenzi yako umjali kisha akudhulumu juu kisa umependa aaiiih wacha nibaki single ♥️ ❤️ 👌 ✨️ 💖 😍 ♥️

  • @PacohMedia
    @PacohMedia 4 місяці тому +6

    SABINA USIFE MOYO HADI HATIMA YAKO ITAKAPO TIMIA

  • @hazard7157
    @hazard7157 4 місяці тому +2

    Mama nmekukubali xana umekumbuka mema ya mme wako wengi wakishagombna kuna wanawake wanasahau ule upendo uliokuwepo mwanzo kabla ya penzi kuanguka hongera xana mama Mungu atakusaidia mtarudiana nakuendeleza penzi

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 4 місяці тому +8

    nauona uongozi wa magufuli kulejea hapa tz ndani ya myaka ijayo mungu akubaliki nakuona mbali sana

  • @user-td4kg7sw7l
    @user-td4kg7sw7l 3 місяці тому +1

    Jaman jaman tunamshukuru mungu kwakutuachia mtoto wa magufuli alimaarufu kama makonda mungu akubarik nauendelee kuwa naiman ya mungu

  • @ErastoOmari-ij1zs
    @ErastoOmari-ij1zs Місяць тому

    Pole Mama Yangu
    Mdogo
    M/Mungu Atajibu Maombi.

  • @yohanampangule8817
    @yohanampangule8817 3 місяці тому

    Makonda Mungu Akubariki.Dada Utakachopata hapa Kupitia Mkuu WA MKOA ,Ridhika na samehe Mungu ataendelea kuwa Upande wako.

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 4 місяці тому +2

    Makonda Mungu aubariki... sina cha kusema zaudi ila Mungu anajua fungu lako, kwa haya unayofanya kwenye maisha wa waliokata tamaa.

  • @user-vn5mv6gn2b
    @user-vn5mv6gn2b 4 місяці тому +2

    Mungu msaidie huyu dada apate haki yake.. mungu mtunze makonda

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 4 місяці тому +3

    Mungu ambariki muheshimiwa Makonda

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 4 місяці тому +8

    Pole Sana shooo usiwaamini Sana wanaume wamekua matapeli

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 4 місяці тому +3

      Hata wanawake hamuaminiki wengi ni matapeli na njaa tupu.

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 4 місяці тому +2

    Mungu akupe uponyaji wa moyo na akili Teacher Sabina ili cku moja urudi kazini maana wewe ni mwalimu mzuri sana""wanafunzi wako watakaokuja kuona hii comment watakubali.

  • @jackayub1494
    @jackayub1494 4 місяці тому +2

    Kama Kuna Mahalia Makonda ulimkosea Mungu akusamehe kupitia haya

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 4 місяці тому +2

    Viva Makonda❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥

  • @dottomarikatv780
    @dottomarikatv780 4 місяці тому +2

    Pole sana Dada, Mungu yupo

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 4 місяці тому +2

    Makonda uko kwenye vita vikali sana kakaangu,Yani nakuona kwa jicho la mbali sana ila watu kama nyie wachache sana wanawachukia na awataki kuwaona watu kama nyie.
    Tunakuombea Mungu sana ndugu yangu Mungu akuwekee ulinzi mkubwa kwenye maisha yako,mana sio raisi au sio binadamu yoyote anaeza kujitolea kuwatetea wanainchi kwa nia njema kama iyo.

  • @patrickfanuel
    @patrickfanuel 4 місяці тому +2

    Makonda mungu yupo pamoja nawe🎉🎉

  • @user-ly9us4db3m
    @user-ly9us4db3m 4 місяці тому +9

    Makonda aise unapaswa kuwa rais aise baba dur unapiga kazi baraaaaaaaa Mungu akutie nguvu pamoja na mama yetu samia fanyeni kazi Mungu yu pamoja nanyinyi

  • @madahaisack1268
    @madahaisack1268 4 місяці тому +3

    Kwa makonda hii kesi ndogo samaaa imeishaa munguu mwemaa

  • @ednasomi7422
    @ednasomi7422 4 місяці тому +10

    Pole sana ndugu yangu Mungu atajibu maombi yako

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 4 місяці тому +4

    Wakuu wa Mikoa mingine igeni kazi hii!!!!

  • @ruthmuja7792
    @ruthmuja7792 4 місяці тому +3

    Pole sana

  • @tijakimonga1889
    @tijakimonga1889 3 місяці тому

    Makonda Mungu akubariki sana❤❤

  • @joyceshayo7949
    @joyceshayo7949 3 місяці тому

    Huyu dada anaongozwa na hekima ya Mungu

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 місяці тому

    Makonda mungu akubariki zaidi na zaidi na akulinde na mahasid wa usiku na mchana

  • @kelvinkimario4408
    @kelvinkimario4408 4 місяці тому +2

    Ogopa sana mwanamke,

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n 4 місяці тому +2

    Makonda mwanzo nilikuaga simuelewi lkn huyu jamaa sasa hv namuelewa anamaamuzi magum sana ya papo kwa papo na mungu amsaidie ni watu wachache wanaweza kufanya hvi

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 4 місяці тому +2

    Hawa viumbe siyo yà kuaminiwa sana.

  • @elizabethmziray5811
    @elizabethmziray5811 3 місяці тому

    Tatizo la viongozi wengi hawataki kusema ukweli kama makonda mana wanaogopa kufa.mungu akubariki uishii miaka mingi kama mzee mwinyi.

  • @josephmwalwanje4430
    @josephmwalwanje4430 3 місяці тому +1

    Makonda mungu atakulinda kunasiku itakua

  • @Mzena4343
    @Mzena4343 4 місяці тому +3

    Dada ukifanikiwa mi nipo kwaajili yako nitakuoa ❤❤❤

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 4 місяці тому +1

    My rais sijui lini ila namkubali sana Makonda

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 4 місяці тому +2

    Duh kweli alikua mzuri asee

    • @zanzibamjimpya17
      @zanzibamjimpya17 4 місяці тому +2

      alikuwa mzuri kipindi yuko kwa mume wake hivyo wachaga na wapale wanawake wanatamaa sana na mali za waume zao had kuwatoa uhai huyo alijaribu akaishia hewani atuonyeshe kad za hizo gari na siyo picha ya gari

  • @erickimambo4544
    @erickimambo4544 4 місяці тому +2

    Makonda vita ulioanzisha nikubwa MUNGU akutangulie

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t 2 місяці тому

    Bariki wa makonda

  • @winfridambwambo9830
    @winfridambwambo9830 3 місяці тому

    Tunaemwamini yupo na atatenda Mungu wa mbinguni ni mkubwa kuliko tatizo ulilonalo dada yetu

  • @samirazuberi186
    @samirazuberi186 3 місяці тому

    Mungu amlinde huyu baba makonda ❤😢

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 4 місяці тому +2

    Tunatakiwa tumsikilize na mumeo ili tubalance story. Yawezekana wewe ndo ulikua chanzo. Wanaume tukisaritiwaga huwa tunakua confused kwa kila kitu.

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 4 місяці тому +4

    Wanaume tuna kazi sana kwa wake zetu,tunafungua biashara tunawaweka kwenye share holder tunanunua hizi kesi. Hizo gari hakuna inayofika milioni 90wala milioni 150 kwa sababu ni 124 na trailer zake ni mtumba kipindi hicho ziligharimu ml75 truck and trailer. Hizo bei anataja ni zaR440 na R450 aache uongo. Mara mpenzi x baba bora. Amwite mzazi mwenzake.

    • @theodorythobius3965
      @theodorythobius3965 4 місяці тому

      Kabisa, umeongea kitu kikubwa sana.

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 4 місяці тому

      Acheni utapeli na kulelewa huyo mwanamke siyo mpumbavu acha shobo

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 4 місяці тому

      Hizo reckless decision za kumiliki mali kwa umoja..Nazo ni kukosa akili

    • @habibakaponda
      @habibakaponda 4 місяці тому

      Hyo mwanamke namjua hakia kitu anatakakumilisi mume wake ili aolewena mwanaume mwingine

  • @section8ight174
    @section8ight174 4 місяці тому +1

    Never make decisions based on your emotions,Let the law takes its course, it’s her word against his at the moment. Let both have their day in court, all the best to all involved!

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 4 місяці тому +1

    Mama moyo wako na kauli zako zinawakilisha jinsi ulivyo mnyenyekevu....MUNGU ANAWEZA ATAFANYA NJIA PASIPO NA NJIA.

  • @PatrickMdachi-b4h
    @PatrickMdachi-b4h Місяць тому

    Daaa jaman dada asaidiwe ni

  • @eliambowe2576
    @eliambowe2576 4 місяці тому +1

    Asee kama unamali ya mtuu jiandae kumdhulumu mtu kunamwisho mbaya

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 4 місяці тому

    Neema ni mchawi sana alitumia uchawi kuvuruga maisha yenu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 4 місяці тому +1

    Hakika Mungu nimwema

  • @msafiripascal2757
    @msafiripascal2757 4 місяці тому

    Makonda mungu akibariki babayangu kunawanyonge wanao nyanyasika sana makonda umekuja kuwaokowa wanao onewa

  • @KassimuMbarack
    @KassimuMbarack 4 місяці тому +4

    Makonda ni mtenda haki tuondoe chuki binafsi nchi hii tuna wakombozi ila hatuwapi moyo

  • @racmyco6501
    @racmyco6501 3 місяці тому

    Hapo kuna maswali mengi ya kujiuliza, imekuwaje mpaka imefika hatua hiyo, inaonekana huyo mama alikuwa ndo kichwa cha familia yani anaongoza familia nzima ( Watoto na mume wake ). Ukimsikiliza kila kitu, kwanzia magari, nyumba, mita za umeme, mita za maji zinasoma jina la mama sasa kwa ninavyojua hakuna mwanaume anataka kuwa chini ya mwanamke hata kama wanapendana vipi, ila hapo ukiangalia mama ndo alikuwa mmiliki wa karibia vitu vyao vyote sasa ni mwanaume gani angevumilia hali hiyo? Atakaa na wewe tu ila siku akipata nafasi ya kufanya mapinduzi lazima afanye, hicho ndo kilichotokea hakuna cha Neema wala nini. Baba hakupewa nafasi yake kama kichwa kwenye familia.

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation 4 місяці тому +5

    Mungu akusaidie hyo dada apate haki yake

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 4 місяці тому +2

    Inasikitisha sana kweli eeh

  • @changanikinabo7835
    @changanikinabo7835 4 місяці тому +1

    Hapo ni upande mmoja bado kusikia na upande mwingine, dunia ina mengi

  • @JeremiahYohana-br2bd
    @JeremiahYohana-br2bd 4 місяці тому +1

    Nawashauri mkiingia kwenye mahusiano msiingie kichwa kichwa mtajutaaaaa.

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 4 місяці тому +1

    Sijui Jamaa Alifeli wapi....mbona Mwanake Anaonekana ni Bora Sana na Mwenye mawazo ya maendeleo...kinacho nishangaza majina yote kwenye Mali yanasoma ya mwanamke...Mungu Atuongoze katika familia zetu..ziwe na Amani na Utulivu.

    • @frankkessy1260
      @frankkessy1260 4 місяці тому

      uchawi michepuko inaloga kinoma mpaka unasahau ukoo ulotoka

  • @user-do4qs8vx2s
    @user-do4qs8vx2s 4 місяці тому

    Pole sana dada hapo umefika unasaidiwa ondoa hofu

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 3 місяці тому

    Pole sana dada

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti 4 місяці тому +1

    Kuna mambo yanaumiza sana. Pole sana dada Sabina. MUNGU AKUBARIKI SANA MAKONDA

  • @AmadeMbenze-nh9ly
    @AmadeMbenze-nh9ly 4 місяці тому

    Pole dada mungu yupo

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes8700 4 місяці тому

    Mungu msimamie huyu dada sakina apate haki yake

  • @DicksonAmbilikile
    @DicksonAmbilikile 3 місяці тому

    Mama haki ya mtu haipotei bali inacheleweshwa utapatapa tu

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 4 місяці тому

    Daaaaaa Mungu atusaidie wanaume

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 4 місяці тому

    Mungu akutunze makonda

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn7645 3 місяці тому

    Neema Mungu anakuona. Wapo Pastor Rose Wanawake tunauwana wenyewe

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j 4 місяці тому

    Pole sana jamaniii wanaume

  • @AliwajaMkumbo
    @AliwajaMkumbo 4 місяці тому

    Neema Mungu anakuona

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 4 місяці тому +3

    Wanawake wabaya sana unaenda kuingilia familia ya mtu na kuiharibu

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 4 місяці тому

      Na wanaume ni matapeli

    • @Badvoice707
      @Badvoice707 4 місяці тому

      @@nancyg8664 au ndo wewe nini?

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 4 місяці тому

      Ndio, asa kwann na wewe ulimtapeli mwenzako trucks zake

    • @Badvoice707
      @Badvoice707 4 місяці тому

      @@nancyg8664 wanawake wamefelisha wanaume wengi duniani kisa tamaa ivyo sikushangai upo sahihi

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626 4 місяці тому

    Pole sana Dada..

  • @jackayub1494
    @jackayub1494 4 місяці тому

    Hivi CCM c mumpe Makonda nafac agombee uraisi

  • @ElizabethJoseph-yy8li
    @ElizabethJoseph-yy8li 4 місяці тому

    Wewe neema mungu anakuona

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 3 місяці тому

    Safi makonda

  • @hassanihamisi6239
    @hassanihamisi6239 3 місяці тому

    Wanaume kuweni makini sana na wanawake mnapokuwa nao kimapenz msiwashilikishe kwenye mari zenu atari sana

  • @hawa6052
    @hawa6052 3 місяці тому

    Halo dada umenikosha kwenye mrembo nawewe utapata

  • @hawa6052
    @hawa6052 3 місяці тому

    Pole Dada

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 3 місяці тому

    Daah nashindwa hta niandike nn