Kuna jama anaitwa Ngurumo Yani huyo jama anamchukia Makonda hadi roho inauma kwa kweli. Hakuna binaadam aliye kamilika ila aise Makonda anafanya kanzi Ya wito wa Mungu. Tunakuomba mama Samia usikubali watu wakushauri vibaya ju Ya huyu kijana.
Ipo thawabu yako toka kwa Mungu mh Makonda,kuvivaa viatu vya mtu ni kazi ngumu sana,but wewe umekuwa ukivivaa viatu vya wanyonge,Mungu akutunze na kukujalia hekima kama ya mfalme Suleiman
Nyie hamuoni, Aliko makonda ndiko nchi na mitandao ilikohamia. Kwani mkiiga mtakufa.Waziri mwingine anaepiga kazi ni waziri wa ardhi. Halafu ana weledi saaaana katika kazi hiyo.Big up Waziri Slaa
Kuna cha kujifunza apa mukiwa na mahusiano musitangulize mali zenu wanawake umpe mtu mwili wako mapenzi yako umjali kisha akudhulumu juu kisa umependa aaiiih wacha nibaki single ♥️ ❤️ 👌 ✨️ 💖 😍 ♥️
Mama nmekukubali xana umekumbuka mema ya mme wako wengi wakishagombna kuna wanawake wanasahau ule upendo uliokuwepo mwanzo kabla ya penzi kuanguka hongera xana mama Mungu atakusaidia mtarudiana nakuendeleza penzi
Mungu akupe uponyaji wa moyo na akili Teacher Sabina ili cku moja urudi kazini maana wewe ni mwalimu mzuri sana""wanafunzi wako watakaokuja kuona hii comment watakubali.
Makonda uko kwenye vita vikali sana kakaangu,Yani nakuona kwa jicho la mbali sana ila watu kama nyie wachache sana wanawachukia na awataki kuwaona watu kama nyie. Tunakuombea Mungu sana ndugu yangu Mungu akuwekee ulinzi mkubwa kwenye maisha yako,mana sio raisi au sio binadamu yoyote anaeza kujitolea kuwatetea wanainchi kwa nia njema kama iyo.
Makonda aise unapaswa kuwa rais aise baba dur unapiga kazi baraaaaaaaa Mungu akutie nguvu pamoja na mama yetu samia fanyeni kazi Mungu yu pamoja nanyinyi
Makonda mwanzo nilikuaga simuelewi lkn huyu jamaa sasa hv namuelewa anamaamuzi magum sana ya papo kwa papo na mungu amsaidie ni watu wachache wanaweza kufanya hvi
alikuwa mzuri kipindi yuko kwa mume wake hivyo wachaga na wapale wanawake wanatamaa sana na mali za waume zao had kuwatoa uhai huyo alijaribu akaishia hewani atuonyeshe kad za hizo gari na siyo picha ya gari
Wanaume tuna kazi sana kwa wake zetu,tunafungua biashara tunawaweka kwenye share holder tunanunua hizi kesi. Hizo gari hakuna inayofika milioni 90wala milioni 150 kwa sababu ni 124 na trailer zake ni mtumba kipindi hicho ziligharimu ml75 truck and trailer. Hizo bei anataja ni zaR440 na R450 aache uongo. Mara mpenzi x baba bora. Amwite mzazi mwenzake.
Never make decisions based on your emotions,Let the law takes its course, it’s her word against his at the moment. Let both have their day in court, all the best to all involved!
Hapo kuna maswali mengi ya kujiuliza, imekuwaje mpaka imefika hatua hiyo, inaonekana huyo mama alikuwa ndo kichwa cha familia yani anaongoza familia nzima ( Watoto na mume wake ). Ukimsikiliza kila kitu, kwanzia magari, nyumba, mita za umeme, mita za maji zinasoma jina la mama sasa kwa ninavyojua hakuna mwanaume anataka kuwa chini ya mwanamke hata kama wanapendana vipi, ila hapo ukiangalia mama ndo alikuwa mmiliki wa karibia vitu vyao vyote sasa ni mwanaume gani angevumilia hali hiyo? Atakaa na wewe tu ila siku akipata nafasi ya kufanya mapinduzi lazima afanye, hicho ndo kilichotokea hakuna cha Neema wala nini. Baba hakupewa nafasi yake kama kichwa kwenye familia.
Sijui Jamaa Alifeli wapi....mbona Mwanake Anaonekana ni Bora Sana na Mwenye mawazo ya maendeleo...kinacho nishangaza majina yote kwenye Mali yanasoma ya mwanamke...Mungu Atuongoze katika familia zetu..ziwe na Amani na Utulivu.
Halafu kuna wapumbavu wanangoja makonda aanguke, kwa harakati hizi Mungu anampigania na yupo upande wake sababu hizi ni sadaka na kazi za Mungu
RIP JPM
Kuna jama anaitwa Ngurumo Yani huyo jama anamchukia Makonda hadi roho inauma kwa kweli.
Hakuna binaadam aliye kamilika ila aise Makonda anafanya kanzi Ya wito wa Mungu.
Tunakuomba mama Samia usikubali watu wakushauri vibaya ju Ya huyu kijana.
@@sonnyr1899tayari wanamshauri ndyo maana kamshusha uwezo wake si wa kua mkuu wa mkoa.
Nimejifunza kitu hapa tunapofanikiwa tukumbuke kutoa sadaka kuwa na mungu karibu Asante Kwa video hii
Jamani binti anaonekana anamtumainia sana Mungu, na Mungu hajawahi kumuacha mtu.
Tuendelee kumtumainia Mungu😢
Makonda makonda makonda nimeita mara 3 Mungu Akubariki Mungu Aibariki kazi ya mikono yako Mungu Aibariki Tanzania
Ww furaiya tu iko siku utajuwa wanawake niyoka kama ww nimwanaume ira kama mwanamke sawa
Makonda kama kunamahali uliteleza mungu akusamehe kaka manawewe ni binadam nimekwelewa
Ipo thawabu yako toka kwa Mungu mh Makonda,kuvivaa viatu vya mtu ni kazi ngumu sana,but wewe umekuwa ukivivaa viatu vya wanyonge,Mungu akutunze na kukujalia hekima kama ya mfalme Suleiman
Ananikumbusha hayati John pombe Magufuri
Mh.Makonda TUNAKUOMBEA Mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu zaidi na zaidi uzidi kuwa Bora zaidi usiku na mchana!
Nyie hamuoni, Aliko makonda ndiko nchi na mitandao ilikohamia. Kwani mkiiga mtakufa.Waziri mwingine anaepiga kazi ni waziri wa ardhi. Halafu ana weledi saaaana katika kazi hiyo.Big up Waziri Slaa
yani kaka yangu makondo utunzwe na mungu sina luga ya kusema
uwiii makando tunzwa na mungu
Kiukwel makonda na wazir silaaaa Mungu awatunze na wawe mfano wa kuigwa na viongoz wengine na wa Tanzania wote kwa ujumla tuwe wazalendo
Kiukwel makonda na wazir silaaaa Mungu awatunze na wawe mfano wa kuigwa na viongoz wengine na wa Tanzania wote kwa ujumla tuwe wazalendo
Waige wakati wanajali matumbo yao
Dah jmn mbona binadamu tumekuwa wa hovyo sana, BigUp MH Paul Makonda
Uyu dada ana maono na akiri ya maisha uyu ndo mwanamke sasa, uyo mbwa atadirisika
Mungu amesikia kilio chako mama na kamtuma Makonda aje akusaidie, Mungu ni Mwema na haki Yako itapatikana Amen 🙏
Pole sana Dada,Mwenyezi Mungu akusimamie uweze kupata haki yako.
She's still pretty though ❤
Makonda chapa kazi bila kuogopa mwanadamu mwogope Mungu aliye juuuuuuu sanaaa 2030 we ni Risi Makonda oyeeee
Alhamdulillah. Mungu akueke ndugu Makonda. InshaAllah
Mungu umlinde Makonda 🙏🙏🙏
Mungu akuongoze MUHESHIMIWA Mkonda Nakufuwatiria sana kipenzi kutoka Rwanda Kigali
Ww ni nan makonda niliekuwa nakuchukia na leo nataka uwe RAISI WANGU..... 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Bora nitafute peke yangu, hivi vya kushare mwisho wake nikujiua sitaki mimi. Pole dea yatapita
Mama Mungu akutetee sana,"Mungu humtuma mtu" na mtu huyo ni mtumwa wa Mungu na serikali Makonda. Mungu amtunze kwa ajili ya wengi zaidi.
Pole sana dada, pamoja na hayo yote bado lipo tumaini, na Mungu huwa ana watu wake,
Mungu aendelee kumpigania makonda. Anafanya kazi nzuri
Kwa makonda ilo limeisha, huko arusha kumecha
Asante Mheshimiwa Makonda kazi kwenda lala nao mbele wanaofanya dhuluma
Mkuu Mungu akubariki sanaaa azidi kukuweka uzidi kuwasaidia watu wapate haki yake Nakuombea uwe Raisi wetu Inshallah 🙏
Sawa makonda ana mapungufu yake ila mema anayo fanyia wanaichi atujali sisi tunamuona nabii wawananchi
Huyu ndie alitakiwa kuwa mke anajui kuponda mme anasifia mazuri ya nyuma . Safi sana
Kuna cha kujifunza apa mukiwa na mahusiano musitangulize mali zenu wanawake umpe mtu mwili wako mapenzi yako umjali kisha akudhulumu juu kisa umependa aaiiih wacha nibaki single ♥️ ❤️ 👌 ✨️ 💖 😍 ♥️
Duh.
SABINA USIFE MOYO HADI HATIMA YAKO ITAKAPO TIMIA
Mama nmekukubali xana umekumbuka mema ya mme wako wengi wakishagombna kuna wanawake wanasahau ule upendo uliokuwepo mwanzo kabla ya penzi kuanguka hongera xana mama Mungu atakusaidia mtarudiana nakuendeleza penzi
nauona uongozi wa magufuli kulejea hapa tz ndani ya myaka ijayo mungu akubaliki nakuona mbali sana
Kurejea sio kulejea,akubariki sio akubariki
Makonda Mungu akibariki mno
Jaman jaman tunamshukuru mungu kwakutuachia mtoto wa magufuli alimaarufu kama makonda mungu akubarik nauendelee kuwa naiman ya mungu
Pole Mama Yangu
Mdogo
M/Mungu Atajibu Maombi.
Makonda Mungu Akubariki.Dada Utakachopata hapa Kupitia Mkuu WA MKOA ,Ridhika na samehe Mungu ataendelea kuwa Upande wako.
Makonda Mungu aubariki... sina cha kusema zaudi ila Mungu anajua fungu lako, kwa haya unayofanya kwenye maisha wa waliokata tamaa.
Mungu msaidie huyu dada apate haki yake.. mungu mtunze makonda
Mungu ambariki muheshimiwa Makonda
Pole Sana shooo usiwaamini Sana wanaume wamekua matapeli
Hata wanawake hamuaminiki wengi ni matapeli na njaa tupu.
Mungu akupe uponyaji wa moyo na akili Teacher Sabina ili cku moja urudi kazini maana wewe ni mwalimu mzuri sana""wanafunzi wako watakaokuja kuona hii comment watakubali.
Kama Kuna Mahalia Makonda ulimkosea Mungu akusamehe kupitia haya
Viva Makonda❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
Pole sana Dada, Mungu yupo
Makonda uko kwenye vita vikali sana kakaangu,Yani nakuona kwa jicho la mbali sana ila watu kama nyie wachache sana wanawachukia na awataki kuwaona watu kama nyie.
Tunakuombea Mungu sana ndugu yangu Mungu akuwekee ulinzi mkubwa kwenye maisha yako,mana sio raisi au sio binadamu yoyote anaeza kujitolea kuwatetea wanainchi kwa nia njema kama iyo.
Makonda mungu yupo pamoja nawe🎉🎉
Makonda aise unapaswa kuwa rais aise baba dur unapiga kazi baraaaaaaaa Mungu akutie nguvu pamoja na mama yetu samia fanyeni kazi Mungu yu pamoja nanyinyi
Kabisaa
Hafai
@@abdulrahmanmohammed4449 kwanini unasema hafai toa sababu
Wewe ndo hufai@@abdulrahmanmohammed4449
Kwa makonda hii kesi ndogo samaaa imeishaa munguu mwemaa
Pole sana ndugu yangu Mungu atajibu maombi yako
Wakuu wa Mikoa mingine igeni kazi hii!!!!
Pole sana
Makonda Mungu akubariki sana❤❤
Huyu dada anaongozwa na hekima ya Mungu
Makonda mungu akubariki zaidi na zaidi na akulinde na mahasid wa usiku na mchana
Ogopa sana mwanamke,
😅😅😅
Makonda mwanzo nilikuaga simuelewi lkn huyu jamaa sasa hv namuelewa anamaamuzi magum sana ya papo kwa papo na mungu amsaidie ni watu wachache wanaweza kufanya hvi
Hawa viumbe siyo yà kuaminiwa sana.
Tatizo la viongozi wengi hawataki kusema ukweli kama makonda mana wanaogopa kufa.mungu akubariki uishii miaka mingi kama mzee mwinyi.
Makonda mungu atakulinda kunasiku itakua
Dada ukifanikiwa mi nipo kwaajili yako nitakuoa ❤❤❤
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Unataka kitonga au
Hahaha kwahiyo hamniamini
😅😅😅😅kama nakuona unavyosubiria mke
My rais sijui lini ila namkubali sana Makonda
Duh kweli alikua mzuri asee
alikuwa mzuri kipindi yuko kwa mume wake hivyo wachaga na wapale wanawake wanatamaa sana na mali za waume zao had kuwatoa uhai huyo alijaribu akaishia hewani atuonyeshe kad za hizo gari na siyo picha ya gari
Makonda vita ulioanzisha nikubwa MUNGU akutangulie
Bariki wa makonda
Tunaemwamini yupo na atatenda Mungu wa mbinguni ni mkubwa kuliko tatizo ulilonalo dada yetu
Mungu amlinde huyu baba makonda ❤😢
Tunatakiwa tumsikilize na mumeo ili tubalance story. Yawezekana wewe ndo ulikua chanzo. Wanaume tukisaritiwaga huwa tunakua confused kwa kila kitu.
Wanaume tuna kazi sana kwa wake zetu,tunafungua biashara tunawaweka kwenye share holder tunanunua hizi kesi. Hizo gari hakuna inayofika milioni 90wala milioni 150 kwa sababu ni 124 na trailer zake ni mtumba kipindi hicho ziligharimu ml75 truck and trailer. Hizo bei anataja ni zaR440 na R450 aache uongo. Mara mpenzi x baba bora. Amwite mzazi mwenzake.
Kabisa, umeongea kitu kikubwa sana.
Acheni utapeli na kulelewa huyo mwanamke siyo mpumbavu acha shobo
Hizo reckless decision za kumiliki mali kwa umoja..Nazo ni kukosa akili
Hyo mwanamke namjua hakia kitu anatakakumilisi mume wake ili aolewena mwanaume mwingine
Never make decisions based on your emotions,Let the law takes its course, it’s her word against his at the moment. Let both have their day in court, all the best to all involved!
Amen
Mama moyo wako na kauli zako zinawakilisha jinsi ulivyo mnyenyekevu....MUNGU ANAWEZA ATAFANYA NJIA PASIPO NA NJIA.
Daaa jaman dada asaidiwe ni
Asee kama unamali ya mtuu jiandae kumdhulumu mtu kunamwisho mbaya
Neema ni mchawi sana alitumia uchawi kuvuruga maisha yenu
Hakika Mungu nimwema
Makonda mungu akibariki babayangu kunawanyonge wanao nyanyasika sana makonda umekuja kuwaokowa wanao onewa
Makonda ni mtenda haki tuondoe chuki binafsi nchi hii tuna wakombozi ila hatuwapi moyo
Hapo kuna maswali mengi ya kujiuliza, imekuwaje mpaka imefika hatua hiyo, inaonekana huyo mama alikuwa ndo kichwa cha familia yani anaongoza familia nzima ( Watoto na mume wake ). Ukimsikiliza kila kitu, kwanzia magari, nyumba, mita za umeme, mita za maji zinasoma jina la mama sasa kwa ninavyojua hakuna mwanaume anataka kuwa chini ya mwanamke hata kama wanapendana vipi, ila hapo ukiangalia mama ndo alikuwa mmiliki wa karibia vitu vyao vyote sasa ni mwanaume gani angevumilia hali hiyo? Atakaa na wewe tu ila siku akipata nafasi ya kufanya mapinduzi lazima afanye, hicho ndo kilichotokea hakuna cha Neema wala nini. Baba hakupewa nafasi yake kama kichwa kwenye familia.
Mungu akusaidie hyo dada apate haki yake
Inasikitisha sana kweli eeh
Hapo ni upande mmoja bado kusikia na upande mwingine, dunia ina mengi
Nawashauri mkiingia kwenye mahusiano msiingie kichwa kichwa mtajutaaaaa.
Sijui Jamaa Alifeli wapi....mbona Mwanake Anaonekana ni Bora Sana na Mwenye mawazo ya maendeleo...kinacho nishangaza majina yote kwenye Mali yanasoma ya mwanamke...Mungu Atuongoze katika familia zetu..ziwe na Amani na Utulivu.
uchawi michepuko inaloga kinoma mpaka unasahau ukoo ulotoka
Pole sana dada hapo umefika unasaidiwa ondoa hofu
Pole sana dada
Kuna mambo yanaumiza sana. Pole sana dada Sabina. MUNGU AKUBARIKI SANA MAKONDA
Pole dada mungu yupo
Mungu msimamie huyu dada sakina apate haki yake
Mama haki ya mtu haipotei bali inacheleweshwa utapatapa tu
Daaaaaa Mungu atusaidie wanaume
Mungu akutunze makonda
Neema Mungu anakuona. Wapo Pastor Rose Wanawake tunauwana wenyewe
Pole sana jamaniii wanaume
Neema Mungu anakuona
Wanawake wabaya sana unaenda kuingilia familia ya mtu na kuiharibu
Na wanaume ni matapeli
@@nancyg8664 au ndo wewe nini?
Ndio, asa kwann na wewe ulimtapeli mwenzako trucks zake
@@nancyg8664 wanawake wamefelisha wanaume wengi duniani kisa tamaa ivyo sikushangai upo sahihi
Pole sana Dada..
Hivi CCM c mumpe Makonda nafac agombee uraisi
Wewe neema mungu anakuona
Safi makonda
Wanaume kuweni makini sana na wanawake mnapokuwa nao kimapenz msiwashilikishe kwenye mari zenu atari sana
Halo dada umenikosha kwenye mrembo nawewe utapata
Pole Dada
Daah nashindwa hta niandike nn