PASTOR EZEKIEL AFIKA OFISINI KWA MAKONDA ATOA MILIONI 50 KWA AJILI YA KUSAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 тра 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    UA-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

КОМЕНТАРІ • 68

  • @NancyInzelo
    @NancyInzelo 18 днів тому

    Mungu aku bariki pastor Ezekiel

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es 23 дні тому +3

    Amen...Mungu ibariki sana Tanzania...awabariki watumishi wake.

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 22 дні тому +1

    MUNGU ambariki Sana pastor Ezekiel

  • @VailethMlay
    @VailethMlay 23 дні тому +3

    Namshukuru Mungu kwa kumleta mchungaji wetu Tanzania napokea kufunguliwa

  • @ashantimoleta7798
    @ashantimoleta7798 22 дні тому +1

    Amen Amen Amen Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU Mtume Ezekiel 🙏🙏🙏

  • @catherinemaganga4273
    @catherinemaganga4273 22 дні тому +1

    Ahsante sana pastor Ezekiel na karibu Tz

  • @margaretgilbertdantes1167
    @margaretgilbertdantes1167 22 дні тому

    MUNGU wa mbinguni azidi kukubariki wewe na kila
    Unacho miliki umekuwa mfano wa mchungaji Mwema as God love the cheerful give be bless my pastor

  • @subirasimbeye5389
    @subirasimbeye5389 23 дні тому +2

    Mungu akubariki Sana pastor Ezekiel

  • @gladysnabwana6690
    @gladysnabwana6690 23 дні тому +2

    GOD BLESS YOU PST EZEKIEL FOR UR KINDNESS 💓 ❤

  • @joyceshiyo7257
    @joyceshiyo7257 22 дні тому +2

    Mungu atembee nawe baba mchungaji Ezekiel unamjua mungu WA kweli

  • @user-wq9pm9dm3d
    @user-wq9pm9dm3d 21 день тому

    Karibu askofu Ezekiel ndani ya Tanzania nami najifungamanisha na ujio huu!❤

  • @mwajumamussa8848
    @mwajumamussa8848 22 дні тому +1

    Tunakataa roho yoyote ya kumdhoofisha RC wetu Makonda kwa namna yoyote ile ktk Jina la YESU KRISTO. Na viongozi woote wadogo kwa wakubwa ktk Taifa letu Tanzania Ameen.

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami5096 22 дні тому +4

    Kwani Kule Kenya wahitaji hamna? Tumuukize Mungu Kwanza kuhusu misaada hii ,

    • @massawemrlowprice3949
      @massawemrlowprice3949 22 дні тому

      Huwezi jibiwa

    • @ameedamilja7992
      @ameedamilja7992 21 день тому

      Ndio cha kushangaza. Huko KEnya kuna hali mbaya kuliko Tanzania ila anakuja kusaidia Tanzania. huyu lazima kuna kitu anatafuta Arusha, soon utasikia Oastor amepewa Ardhi Arusha ya kujenga Kanisa lake.

  • @relaykimario4118
    @relaykimario4118 23 дні тому

    Paster Ezekiel barikiwa sana Kwa kutoa msaada Kwa watanzania waliokumbwa na mafuriko, ulipotoa Mwenyezi Mungu apazidishe. Karibuni sana kueneza neno la Mungu watu watoke kifungoni wamjue Mungu wa kweli na uzima.

  • @PoulKabanda-jb6qz
    @PoulKabanda-jb6qz 19 днів тому

    Please pastar pray for me in my life. Please pastor help me

  • @KlodwickNchimbi-jz7vq
    @KlodwickNchimbi-jz7vq 22 дні тому +1

    Ubarikiwe

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 22 дні тому +2

    RAS ZE JEMBE...Huyu baba anaonekana ana Hekima sana🎉🎉🎉

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 23 дні тому +6

    Ushuhuda wa huyu Baba Kenya unaogopesha kwetu Huku sijui itakuwaje MUNGU anaona.

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 22 дні тому

      ni kweli kabisa

    • @jacklinejohn5727
      @jacklinejohn5727 22 дні тому

      Kuhusu nini

    • @mwajumamussa8848
      @mwajumamussa8848 22 дні тому +1

      Tunakataa roho yoyote ya kumdhoofisha RC wetu Makonda kwa namna yoyote ile ktk Jina la YESU KRISTO. Na viongozi woote wadogo kwa wakubwa tkt Taifa letu Tanzanian Ameen.

    • @jide830
      @jide830 22 дні тому

      Yaani😢. Mungu atusaidie!

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 22 дні тому

    Kama mtumishi wa Mungu anatetumika katika kweli ameamua mpaka kutoa sadaka unapaswa kusimama katika haki kama unaigiza Mungu atatoa kama unavyisitahili!

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 22 дні тому +1

    Waooo Ezekiel tunakupenda

  • @joycekashalaba3575
    @joycekashalaba3575 23 дні тому

    God bless you pastor Ezekiel and proceed to increase you and your generation

  • @StelaJohn-nj5yf
    @StelaJohn-nj5yf 23 дні тому

    Ubarikiwe sana Nabii wa Mungu🙏

  • @ruthdavie1175
    @ruthdavie1175 22 дні тому

    Mungu wa Mbinguni akubariki Mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 22 дні тому

    Asante sana Pastor Ezekiel.

  • @ainessfoya4463
    @ainessfoya4463 22 дні тому

    Yaaaani ni baraka tupu..makonda mbarikiwa..hongera kwa ugeni huo..ni wakati wake..God's Time is the best time

  • @elishiliamathayo8796
    @elishiliamathayo8796 22 дні тому

    Mungu azidi kukuinua mtumishi wake

  • @OlivreKimario
    @OlivreKimario 22 дні тому

    Barikiwa sana kuhani wa Bwana

  • @PriscaSikalumbi
    @PriscaSikalumbi 22 дні тому

    MUNGU akubariki mnooo pastor

  • @emmahbooooo
    @emmahbooooo 23 дні тому

    Mungu wa mbinguni akubariki sana pst Ezekiel

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 22 дні тому

    Mungu bariki Kenya. Mie nasemaga Kenya ni watu wema mnooo...yaani Mungu anapopitia nchi mbalibali Tunakuomba eh Mungu Mwenyezi Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo Ikumbuke Kenya Baba. wana mioyo yakipeke. mbona huyu baba asingeenda kwao kutoa lakni akaja kwetu. mmmh mie sinaga uwezo wakusema juu ya nchi hiii kwa kweli..

  • @memoryngambi7570
    @memoryngambi7570 23 дні тому

    Be blessed pastor Ezekiel

  • @ElibarikiLevava
    @ElibarikiLevava 22 дні тому +1

    Makonda be careful

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 22 дні тому +1

    Halafu Watanzania wenyewe wamekauka na pesa wanayo.

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 22 дні тому

    Safi sana

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 23 дні тому

    Amen

  • @aishakamuli2541
    @aishakamuli2541 21 день тому

    Makonda na kufunika na damu yesu

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 23 дні тому

    Haleluyaaaaa

  • @andrewkamese8492
    @andrewkamese8492 19 днів тому

    This is real evanggelist,not stingy.

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 23 дні тому +1

    Mwamposa na wengine mmesikia mwezen anatoa kusaidia watu sio wakina kakobe na viongozi wengine mnachukua tu mmtoe pia na nyinyi na misikit pia hitoe

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 21 день тому

    Anaacha kusaidia Wahanga wa Mafuriko Nchini kwake Kenya anakuja kusaidia wahanga wa Tanzania. I hope hakuna kitu anatafuta Arusha. Halahala Makonda na Ardhi ya Arusha sio ya kugawa kwa Wageni.

  • @user-sw8fo7wz8i
    @user-sw8fo7wz8i 22 дні тому

    Good

  • @aishakamuli2541
    @aishakamuli2541 21 день тому

    Watanzania funguweni macho hasa viongozi msipokee kila misaada zingine nizakuaga miza watu

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 20 днів тому

    Huyu mtumishi ndiye. Nilikuwanikickia habar zake hakika dunia imeisha .Tukimbilie WAPI Eee MUNGU upate kutoepushia na upotoshwaji.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 23 дні тому +1

    Katibu tawala anayo akili kubwa

  • @user-gy9tt8of4l
    @user-gy9tt8of4l 21 день тому

    Kumaninazenu wote munao sapoti shetani kuwapa pesa igekuwa mungu anabariki mtu kwa maombi yenu yakijinga hayo agembariki lakini kumbukeni mungu adaganywi huyo mtu wenu ni wamotoni2 etiii abarikiwe kwkutaka nyinyi tu hahah toeni ujiga wenu hapo sisi tuna macho matatu atudaganywi

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 23 дні тому

    Kwann alitolewa huyuuu?????

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 23 дні тому

    katibu unahekima ya haali yajuu utafika mbali

  • @aishakamuli2541
    @aishakamuli2541 21 день тому

    Mako

  • @evansokemwa6587
    @evansokemwa6587 22 дні тому

    Uyu pastor ezekiel ni mchacha sana kuna kile anatafuta tanzania kama kiwacha cha kujenga kanisa huo ndio ukweli.

  • @mako331
    @mako331 22 дні тому +4

    Hata atoe ngapi swali ni kwamba mbona kanisani kwake watu wanalipia maombi eti kwa kununua nyota?? Tanzania tuwe makini sana na huyu mtu

    • @sabinahobe3478
      @sabinahobe3478 22 дні тому

      Kumbe!! Mm nilikua sijui

    • @EvaMguss
      @EvaMguss 22 дні тому

      Uongo acha kuongelea mtu usiyemjua nani ananunua nyota nimefka mavuweni kwa pasta na Mimi ni mtz na hakuna kitu kama hicho na nilipeleka mgonjwa na alipona na hakuna uongo mtupu hakuna anahetozwa pesa hata Moja usiamini jambo bila kumfatilia mtu hata kwa utube nakataa sio kweli na hata Kenya anatoa misaada sana kwasababu waumini kanisani ni WA mataifa mbalimbali kwaiyo sadaka ni nyingi kanisa ni ekari 6 kwaiyo lazima atoe msaada kwa watu nashauri kabla hujamshutumu mtu mfatilie kwanza usisikie tu fanya utafiti mwenyewe pasta ni tajiri kwaiyo hiyo kwake ni pesa ya kawaida tu barikiwa 🙏

    • @user-jk5wf1js9p
      @user-jk5wf1js9p 21 день тому

      Sio kweli... Fuatilieni vizuri acheni kuhukumu..

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w 22 дні тому

    Nabii mtukufu kwa bwana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mnambwembwe

    • @BenardZephaniah
      @BenardZephaniah 22 дні тому

      Umesikia vibaya na umeondoa maana ya jina lake wewe ndio una mbwembwe, anaitwa Utukufu kwa Bwana sio mtukufu kwa Bwana, hivi hujawahi kusikia watu wanaitwa Godlove? N.k ? Au kwa kuwa ni jina la kiswahili, elimu inatusumbua

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 23 дні тому +2

    Eti pastor anahubiri Mungu amemuheshimu???

    • @user-lv8bt1ov6k
      @user-lv8bt1ov6k 23 дні тому +1

      Soma maandiko 💉 Mungu anakuheshimu ukifanya kazi yake

    • @OlivreKimario
      @OlivreKimario 22 дні тому

      ​@@user-lv8bt1ov6kkabisa

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md 23 дні тому

    Mbona umetowa pesa kidogo sana wakati ww nitajiri 😊😊😊???

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 22 дні тому

    Zita liwa zote hizo pesa