HUYU NDIO RC BORA TANZANIA KAMA UNABISHA MSIKILEZE HAPO MADINI YAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 30

  • @mtegamelkior5193
    @mtegamelkior5193 Місяць тому +4

    Mimi namkubali kwa 100% ana vission kubwa ya maendeleo.

  • @rizikisalum8185
    @rizikisalum8185 Місяць тому +1

    Safi sana mkuu mbegu ndio kila zetu Dua

  • @chachacharles7763
    @chachacharles7763 Місяць тому +2

    Asante Kwa kugusa importation. Yaani ni kwamba NCHI ambayo Ina importation kubwa kuliko exportation , uchumi NCHI hiyo kibiashara unaitwa " UNFAVORABLE BALANCE OF TRADE" .
    MADHARA ya unfavorable balance of trade ni mfumuko wa bei, kuua viwanda mama, kuua na kufifisha ukuaji wa maarifa ya technology

  • @johnkmjema9727
    @johnkmjema9727 Місяць тому

    Wewe nikiongoz bora❤

  • @goodlucknnko5493
    @goodlucknnko5493 29 днів тому

    Mtaka we ni kiongozi haswa bro! Binafsi wewe ni role modal wangu

  • @mawazochaula3642
    @mawazochaula3642 29 днів тому

    Ningekua Rais Huyu Mkuu wa Mkoa Njombe ningemtengenezea Wizara ya Fulsa Tanzania

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Місяць тому

    Huyu Jamaa ni kichwa

  • @WilliamHaule-z6g
    @WilliamHaule-z6g Місяць тому +1

    Hotuba ni nzuri sana.Tunamshukuru sana mkuu wa mkoa wa Njombe.

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Місяць тому

    Hayo ni zamani wakati huo kanisa lilifanya linavyotaka...sio sasa ..

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 Місяць тому

    Huyu kiongozi yupo vzr kichwa kinachaji sana, hongera

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa Місяць тому

      Watu wa mara siku zote ni vichwa tangu Kwa Baba wa Taifa

  • @Silimbi555
    @Silimbi555 Місяць тому

    🎉 nakubaliana nawe, hata mikoa yote aliyopita inaonyesha

  • @geofreykato3976
    @geofreykato3976 Місяць тому

    Mbona inajulikana kuwa Anthony, Chalamila. Mkuu wa Tabora na Makonda ndio the best

  • @PakatJames
    @PakatJames 29 днів тому

    Kwa hili la uigizaji wa mbegu kutoka nje Waziri Kilimo afukuzwe kazi. Mbegu hizi kutoka nje Zina ufisadi wa hali ya juu kwenye DNA zake.

  • @Unclerammaschannel
    @Unclerammaschannel Місяць тому

    Halafu eti mna taka ku mlinga nisha na makonda makonda kapita kwingi

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 16 днів тому

      Huyu ndiye alikuwa Mkuu bora TZ wakati wa Utawala wa Magu. Kuna watu wanapenda media sana, lakini, sio kwamba ndio uwezo mkubwa

  • @Unclerammaschannel
    @Unclerammaschannel Місяць тому

    Mbona hajulikani ubora wake ni nini kutangza dini?

  • @GeorgesKimonge
    @GeorgesKimonge Місяць тому

    Mtaka hapigi kelele na kutangaza kwenye milima kila anachofanya na kuna wakuu wa mikoa wanaofanya vizuri lakini hawatangazi kwenye radio tv nk. Tuwe waangalifu kabla ya kusifia au kulaumu.

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik Місяць тому

    Yuko vizuri kama wengine

  • @mpelasokampelasoka490
    @mpelasokampelasoka490 Місяць тому

    Anastahili kupewa maua yake . Ni kiongozi mwadilifu na pia anajitambua .

  • @willymgaya7618
    @willymgaya7618 Місяць тому

    UKO VIZURI SANA MKUU WA MKOA.

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Місяць тому

    Ni mtu wa storry tu huyu nchi hii mkuu wa mkoa ni MAKONDA hawa wengine wote akiwemo mtaka niwapiga storry tu

  • @michaelhaule2864
    @michaelhaule2864 Місяць тому

    Ni shida kulinganisha vyeo vya dini na serikali

  • @Patrick-w1j
    @Patrick-w1j Місяць тому

    Huyu chandimu hamfikii hata robo Makondo

  • @rashidlwimbo7864
    @rashidlwimbo7864 Місяць тому

    Maneno mazuri sana onyesha vitendo,na mwenye kufuata na afuate na mitaji iwepo

  • @ngembamakuru3810
    @ngembamakuru3810 Місяць тому

    Chukua fomu ya kugombea urais 2025.

  • @SelijusiMalambo-z4k
    @SelijusiMalambo-z4k Місяць тому

    Makonda to wengine hawajuwi wafanye nini

  • @OnniSigalla
    @OnniSigalla Місяць тому

    Kwa kweli, anajua wajibu wake. Ananikumbusha Ma RC wa miaka ya 70, viongozi wa watu

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja Місяць тому

    Makonda namuona kama mgonjwa(kichaa) mwenye ngekewa.Huwezi kuambiwa tuletee wakuu wa mikoa na makonda akawemo labda kwenye matamasha ya landrovers na nyama choma na pormosheni za kuvuta bangi

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa Місяць тому +1

      Weee Makonda anakubarika Kila eneo na CCM wakitaka kushinda kirahisi nafasi ya Urais wamsimamishe Mh Majaliwa au Makonda hapo ushindi mapema sana