Mashallah Hongera timu nzima ya maximum Tv na kila aliyetoa sadaka yake. Mama Happy Inshallah M.Mungu akupe uzima unyanyuke furaha yako irudi tena hakika hii ni zaidi ya upendo 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🙌
Safi pongezi kwenu wadau kwa harakati zenu ila ushauli wangu siku nyingine mkishamaliza kujenga msingi tu mjaze kabisa kifusi kwenye fondeshen ili kuepuka gharama kubwa ya kuingiza kifusi ndani adi kijae watu watataka pesa nyingi hapo
Dhahir unatupa moto pale unapokusanaya pesa kidogo lakini unatowa kitu Cha uhakika Kuna vituo vinachukuwa pesa nyingi na watu wanaishia kuombewa Kodi za nyumba koala wakati Sasa hapo sijui pamekaaje Mungu akupe khery na akuondoshee maradhi na akuondoshee Hasad za kilimwengu na akupe Pepo kesho kiyama kwa sababu unagiswa sana na watu fukara .
Inaumiza mno ukiambiwa tunaempigania amefarik subhannallah Allah amreem na kaka zahir na rimu yako mungu awatunzeni sana hakika mumepigana sana kuhakikisha mama Happy anakuwa sawa lkn kwa amri ya Allah bc imeshindikana tumuombeeni apumzike kwa amani
We huseni nkana unasema mafundi wako vizur wakati magepumakubwa wamelazisha kutokuweka vipande tofari iko mbalimbali hv hapo ukuta kukata kret nigusa tu subili utaiona
Alipangalo Mola binaadam hawezi kulipangua. Maskini Mama Happy hakuandikiwa kuishi kwenye nyumba hii. Mola amlaze pema kwenye nyumba yake ya milele. R.I.P. mama Happy.
Duuh! Vifaa vya ujenzi vina panda bei siku hadi siku, kipindi naendesha ujenzi wangu nondo 1ilikua elfu 18 sasaivi elfu 25nondo 1 huko tunako elekea tutajenga kweli?.
chat.whatsapp.com/FCA6SAgkoMrEGkjCjJupI8 JIUNGE KWENYE GROUP LETU
Hongera Sana💥🙏🏾
Safi sana, mafundi woow nimewakubali kitu kimenyooka hadi raha, Mungu awape zaidi waliochanga na Zahir ubarikiwe kwa yote🙏🏽
Maaashallah mwenyezi mungu awalipe sana kwakazi unayo ifanya
Namuombea mungu mama happy apone afaidi hiyo nyumba nizuri sana
In Sha Allah apone yarab afurahie nyumba yake
Amiin ALLAH atampa shifaa InshaAllah. Afurahie nyumba yake
In sha Allah
Wahoo jamani mama Happy pona dada uenjoy nyumba yako.
Masha Allah nyumba nzuri sana kazi nzuri brother zahir hongera zako na waliochangia mungu awazidishie zaid na zaid
Mashallah Hongera timu nzima ya maximum Tv na kila aliyetoa sadaka yake. Mama Happy Inshallah M.Mungu akupe uzima unyanyuke furaha yako irudi tena hakika hii ni zaidi ya upendo 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🙌
Kaka zahir unatakiwa upewe tuzo jmn
@@wemasamir7362 kweli kabisaa aisee
Mashaallam haraka sana dah inamaana ukiwa na pesa yakutusha wiki mbili tu nyumba imeisha duh wako sawa mafundi
Kabisaa
.usilete husda
Yaani hata kumtaja mungu mnshindwa??sema masha Allah...mereyam homes
@@mereyamhomesmariamhomes3464 ...
@@shifaaal-baity4503 bibie kwani huoni ni chongo ww?
Mashaallah hongera sana kaka kwa usimamazi mzuri
Mashaallah kweli mafund wapo vizur yani ukuta upo km umepingwa plasta hongera sn kaka zahir kwajitihada zako mashaallah
Maa shaa Allah nyumba sana nzr.,hlf madirisha makubwa hata sio lazima chumba kiwe na madirisha wawili dirisha moja linatosha.
Kaka zahir namuomba Allah akulipe kila lakheri Na atujaaliye mwisho mwema sote in sha Allah
Amiina ya rammbi
mashaAllah mashaAllah mungu awabariki nyote mliochangia
Mashaallah mashaallah kaka zahr hongera sanaa allah akuhifadh
Amiin yarabal alamin
Alhamudulillah jmn Kazi nzuri sana Mwenyezi Mungu akujalie umri kk zahir uzidi kusaidiya wanyonge.
Safi pongezi kwenu wadau kwa harakati zenu ila ushauli wangu siku nyingine mkishamaliza kujenga msingi tu mjaze kabisa kifusi kwenye fondeshen ili kuepuka gharama kubwa ya kuingiza kifusi ndani adi kijae watu watataka pesa nyingi hapo
Woow hongera sana ila hapo kwa jiko wangefanya choo jamni kuna usiku kupika wapike hata kwa kolido kutokea kwa nyuma
Hakupoi huku jmn 🗣🗣 njoeni wana maximum
Mashallah mjengo umenyooka hd raha zahir mungu akuweke mdg wangu inshallah na ma happy mungu amfanyie wepes aje aone nyumba yake inshallah 😢
Mashaaallah Mafundi wazuri wa kujenga Pia Allah Amzidishie Zahir Azidi kusaidia Jamii
Hongera kazi nzuri
Mashalaah ongera maxmama tv
Dhahir unatupa moto pale unapokusanaya pesa kidogo lakini unatowa kitu Cha uhakika Kuna vituo vinachukuwa pesa nyingi na watu wanaishia kuombewa Kodi za nyumba koala wakati Sasa hapo sijui pamekaaje Mungu akupe khery na akuondoshee maradhi na akuondoshee Hasad za kilimwengu na akupe Pepo kesho kiyama kwa sababu unagiswa sana na watu fukara .
Jaman kaka zahir...kazi unayofanya ni kubwa sana...Najiuluza tuu...nan anakulipa wewe kwa kaz hyo kubwa unayofanya jmn.Mungu akulinde daima 🙏
Mashaa Allah, ipo poa kiyama,
Mashaalwah. Alwah akupeni nguvu wadogo zangu.kaka dhahir natamani ungalikuwa mkwe wangu jamani.au hutaki wazanzibari,Alwah akuhifadhi mtoro wa mwenyewe hongereni nyote na kina fabi
Inaumiza mno ukiambiwa tunaempigania amefarik subhannallah Allah amreem na kaka zahir na rimu yako mungu awatunzeni sana hakika mumepigana sana kuhakikisha mama Happy anakuwa sawa lkn kwa amri ya Allah bc imeshindikana tumuombeeni apumzike kwa amani
Pole kwa kuwa na afya zaifu unapumua kwa nguvu sana sijui unamatatizo gan tufanye mazoezi ndugu ondoa manyama uzembe
Dah nimependa kk zahr. M. Mungu hakuweke hakupe afya njema uzidi kuwapambania watu wenye matatizo 🙏🙏❤️❤️
Nyumba imefka kwenye kingereza Sasa kwenye kiswahil tumetoka
Masha allah
Mashaallah fundi yupo smart sn hd nimependa💓💓
Mashaallah Allah awalipe mliofanikisha
Inshallah nawewe uje kufanikisha
Ma shaa Allah 🙏🙏
Mashaalah mm pesa sina nimefika kozi 5 tu nipo oman pemba kujenga ni hali ngum sana
Mashaallah Tabarraka Allah
Mungu akuweke zaahir
We huseni nkana unasema mafundi wako vizur wakati magepumakubwa wamelazisha kutokuweka vipande tofari iko mbalimbali hv hapo ukuta kukata kret nigusa tu subili utaiona
Mashaallah mungu habariki
Mashallah kaka zahiri fabiy nakikundi chenu kuizima munqu atawalipa ujira wenu ama kweli munqu hatupimja wake
Mashallah Mashallah mjengo Uko poa asikwambie mtu
Maashallah maashallah maashallah 🙏🙏🙏
Mashaa Allah
Mashaallah
Alipangalo Mola binaadam hawezi kulipangua. Maskini Mama Happy hakuandikiwa kuishi kwenye nyumba hii. Mola amlaze pema kwenye nyumba yake ya milele. R.I.P. mama Happy.
Mashaallh ongera Sana kaka zahri
Kaka zahir unaenda mbio maskini lakini uwambiye usafi bora coz hiyo nyumba mashaallah nzuri
Fundi Mashallah. Hongera kwa kanzi nzuri
Mashallah Mashallah Mashallah Mungu akuhifadhi Baba angu Dhahir
Mungu ni mwema amguse uyu mama apate kupona
Mamahappy mungu akujaalie uionenyumbayako naupatenguvu uinukekwafurahaa
Hapa ndio utaona jamaa zake mama happy wajitokeza
Kak zahir unahma sana pole punguza mwili
Mashallah mafundi wazurii nyumba imenyooka hongera zahiri na timu yako ya maximum
Mashaallah, mungu awabariki inshaallah, Amin. Mungu akulinde Zahir.
MashaAllah hongera mama happy
Mashallah 🌹
Mashaalah
Maasha,Allah
Allah barik
Mashallah kazi iendelee
Masha Allah
mashaallah nzuri
Wau 🥰
Mashallllah
Maashallah
Eeh mola muinue mama happy kama ilivyoinuka hii nyumba
Duuh! Vifaa vya ujenzi vina panda bei siku hadi siku, kipindi naendesha ujenzi wangu nondo 1ilikua elfu 18 sasaivi elfu 25nondo 1 huko tunako elekea tutajenga kweli?.
Mashallah
Kaka zahir na Fabian wanajituma lkn wallah.Mungu awasmamia kila hatua
Masha Allah 🙏🙏
Maashallah tabarakallah
mashallah
Maa shaa Allah, 🤲🤲
Hongera kwa fundi
Mashaallah jmn
MashaAllah
maa shaa Allah
Hongera sana
Mashaallah karibu inaisha wiki 2 tu 🤔😍😍
Awesome
Mashaallah ila kuna shughul ya kujaza kifusi
Kaka kwani hakuna mbao za kukodisha samahani
Mashallah washafika top ruff
Masha Allah mola atakulipa kaka Zahir
Mashallah❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Hongera fundi unajuwa sana zahiri weka number ya fundi tafadhari
Masha’Allah but hiyo choo c iko karibu sana au iko sawa?hiyo nyumba iko sawa,i wish mama Heppy to recover faster so that afurahie nyumba yake
Hongera kaka
Kaka zahir nimeipenda iyoo ramani
Naomba hio ramani kaka zahir
Namba ya fundi Kaka zahiri
Zaher makaratasi ya nyumba yako wapi mbona uonyeshi watu kwa nini watu wataka kuyaona
Wee Zahir wee utaenda peponi
Huyo mama anahitaji tiba zaidi ya yote hao binti zake hawajitambui
Mhh msafirisha Makubwa hy
Mtangazaji punguza mwili na uzito una hema sana
Tuko pamoja
Naitakaa jamani
Mungu amponye mama happy aje afaidi jengo lake
Ameen
Nyumba gani iyo haina hata chuma kimoja bado wasema itakaa miyaka Mia wachekesha Sana
Nunua upeleke
Zahir umesema mambo ya jenga na zahir. namba ipi naweza kuwasiliana na wewe please mie na shida halafu nipo nje.