GPS: Makubaliano ya kusitisha vita GAZA yaingia dosari, TRUMP ataka WApalestina wapelekwe JORDAN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 175

  • @AmirIddi-y6e
    @AmirIddi-y6e 9 днів тому +8

    Nikickia jina la dj sma kwenye kipindi hiki moio wangu hupoa
    Hongereni nyote mnafanya kazi njema

  • @ramiamisanya9873
    @ramiamisanya9873 9 днів тому +6

    Ahsanteni sana wana SNS

  • @SeifJuma-cp3lb
    @SeifJuma-cp3lb 8 днів тому +3

    Amin usiamini wakrito mungu wao nishetani kuuwa kwadhuma wanazani ibada

    • @OnesmoEphrata
      @OnesmoEphrata 8 днів тому

      Acha wenge na panic pia Unaifaham mtoa ROHO ni nani???

    • @burukinyebo6294
      @burukinyebo6294 8 днів тому +2

      Ukristo ni njia ya kumuona Shetani,...ndio maana kiongozi wenu mnaemuita Baba Mtakatifu amewaruhusu mueze kuoana wanaume kwa wanaume na wanawake kwa wanawake,...

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 7 днів тому

      Usidhihaki wala kutukana imani ya mtu huo ndo msingi wa kiislam

    • @HajiMkomwa
      @HajiMkomwa 6 днів тому

      ​@@salhawaziri1668anaongeza ukweli japo unaumia uvumilivu lzma

  • @Sarah-e1o9k
    @Sarah-e1o9k 8 днів тому +6

    Vita ilikuwa kali na hawakuondoka awaondoe wayahudi wa mchongo kwanza warudi Europe kwabwapinga christo #wapalestine hawatoki yni hawatoki❤ long live Palestine 🇵🇸

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 8 днів тому

      Wayahudi wakweli wapo wapi?

    • @dubzman5874
      @dubzman5874 8 днів тому +3

      @@joycedimoso8648 wayahudi wa kweli wapo na wala hawawaungi mkono hawa Zionist magaidi wauwaji wa watoto na kinamama

  • @NeemaGumbo-k5n
    @NeemaGumbo-k5n 9 днів тому +15

    Au hamasi ni mizimu mana wametokezea kama nyuki😂😂😂😂😂

    • @asmaalghafri449
      @asmaalghafri449 8 днів тому +2

      Wanalindwa na mwenyezi mungu miaka 60 wamewatesa wameshindwa hiyo nchi yao halali inadumu mbinu nyingi wametumia wameshindwa wajiulize wamepata nini zaidi ya kuwauwa wapalastine na kuharibu mali zao na walizoiba zitawatokea puani hasara walizopata wanalia

    • @Sarah-e1o9k
      @Sarah-e1o9k 8 днів тому +4

      Bado ujasema mkristo mwenzangu pumba wewe unadhani myahudi wa Europe 😂 ndio mtu bora kwako kaa ukijuwa ni waoinga christo yni wanamtusi na makanisa wameyavunja wacha hamasa wambane adi tone la mwisho la damu lkn Wapate amani wachristo wapalestine na muslmu Palestine 🇵🇸 hyu yahud wa mchongo arudi alikotoka

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 8 днів тому

      Unafahamu pale mashariki ya kati zaman ilikuwa inaitwa nchi ya kaanani? Na katika vitabu vitakatifu Mungu alimwambia Musa awatoe watu Gani Misri kuwapeleka katika nchi ya ahadi ya Kaanani?

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 8 днів тому

      ​@@joycedimoso8648hivi unajua wakanaani ni sisi weusi? Kanaani ni mjukuu wa nuhu mtoto wa hamu kwahiyo hiyo nchi KIASILI ni yetu weusi

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 8 днів тому

      Ama kweli inashangaza

  • @kalekela-j1e
    @kalekela-j1e 8 днів тому +1

    Wamsome Mtume Muhammad (saww). Waache kuwapaka Waislamu matope. Uislamu si ugaidi hata kidogo.

  • @zuwenarajab695
    @zuwenarajab695 9 днів тому +12

    Viva Palestina 🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸♥️🇵🇸♥️
    From river to the sea In shaa Allah Palestina will be free!

  • @AbuuLoti
    @AbuuLoti 8 днів тому +1

    Israel anabebwa namareka wingereza jerumn ufaransa italy kwanin waarabu wasiwaunge wagaza❤🎉

  • @MwanaHussein-s2n
    @MwanaHussein-s2n 9 днів тому +8

    Abuu ubaida 🥷 msemaji wa Al qasam ❤

    • @MikelSitoe
      @MikelSitoe 9 днів тому +4

      Mauwa kwake Abu obayda❤❤❤

    • @SalumuMisigaro
      @SalumuMisigaro 9 днів тому

      ​@@MikelSitoe
      Mauwa hayatoshi, amekaa kwenye mioyo yetu🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹

    • @KhalidiBoaz
      @KhalidiBoaz 9 днів тому +2

      Hakuna kitu hapo, wapalestine wanatakiwa wawapishe waisrael nchi yao,Inshallah, Inshallah Inshallah,Amen

    • @mohamedaley5632
      @mohamedaley5632 9 днів тому +3

      ​@@KhalidiBoazww kafiri uliovaa vazi la jina la kiislam... kaa pending wanaume wasapot majemedar

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 8 днів тому

      Nimsaada gan ulioutoa kwenda kwa watu wa Gaza tuone kweli unasapot majemedari au nikelele za mtandaon tu

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 6 днів тому +1

    Kwa nn wafukuzwe kurudi ktk ardhi yao zionist wamewavunjia nyumba zao nia kuiba ardhi mbwa hawa mashetani

  • @jasminmdimi6059
    @jasminmdimi6059 9 днів тому +6

    Awaache wajiamulie wenyewe na Gaza yao watoe misaada tu waache kiherehere kwao kuna teketea na moto nani kasimama akawapangia

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 6 днів тому +1

    Vita hv ni.milele mpaka zionist wa ulaya aondoke mana vizazi na vizazi ardhi sio yao zionist wa ulaya wezi wanaugwa na wazungu wenzao kuiba ardhi za watu

  • @BilalRamadhani-c7g
    @BilalRamadhani-c7g 7 днів тому

    Viva Palestina ❤️🙏🇵🇸

  • @Daudimakaza-s1v
    @Daudimakaza-s1v 9 днів тому +8

    Wakihama imekula kwao

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 9 днів тому +1

    Duuu mungu iinihatar

  • @OmariWaziri-h4t
    @OmariWaziri-h4t 9 днів тому +6

    Waizilaer wakorofi navitaimewashinda

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 9 днів тому

      Andika vizr na wew bac ata kiswahili tu una kosea😅

    • @paschalmartin9598
      @paschalmartin9598 9 днів тому

      vita vimewashindaje wakati Gaza imegeuzwa majivu

    • @benardmakori4012
      @benardmakori4012 9 днів тому

      😂​@@hanifa9153

    • @zainabzanzibar1518
      @zainabzanzibar1518 9 днів тому +2

      ​@@paschalmartin9598vita ni mipango sio kuuwa watu ndio kushinda vita sasa kwani Israel wamewamaliza Hammas kama walivyosem?na Hammas walisema wameshinda yaani mateka wanaendea kurudi ila Israel amefeli kote mateka anarufusha na Gaza kaondoa majeshi

    • @DAVIDKISWAGA
      @DAVIDKISWAGA 9 днів тому

      ​@@zainabzanzibar1518mbona mipango wanayo na ndiyo maana unasikia wana mpango wa kugawa maeneo ya gaza kwa campy za kuchimba mafuta nk

  • @MikelSitoe
    @MikelSitoe 9 днів тому +2

    Magereza yao wamejenga kwa ajili ya wapalestina, kwa nini Hao Wana chukuwa Raia wote wakaweka Magerezani mwao, Sasa watu wao Wana fungwa wapi?

    • @MwanaHussein-s2n
      @MwanaHussein-s2n 9 днів тому +1

      @@MikelSitoe mtu 1 anahukumiwa miaka 2000 wengine 5000 uliwahi kuskia wapi..

  • @BenoBeno-c4l
    @BenoBeno-c4l 8 днів тому +1

    Inakuwaj unamtoa mt kwenye ardhi yake umhamishe sehemu isyokuwa yake naona huyu mzee mwenyezimungu atamshushia laana yeye na wa israel...

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 9 днів тому +3

    Pamoja sns🎉

  • @LoneWolf-ng8yg
    @LoneWolf-ng8yg 9 днів тому +7

    Ukitoa IRAN 🇮🇷 mataifa yote ya kiarabu yaliyo baki hayana maono ya kuona mbali yanaakili 2 ya kuuza mafuta na kujenga majengo😂

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 9 днів тому +2

      Wanaitwa wanafikii😅😅

    • @omondiowino7875
      @omondiowino7875 9 днів тому

      Hakuna anayetaka vita ...Bora Amani

    • @MikelSitoe
      @MikelSitoe 9 днів тому

      Marikani na mashoga zao😂😂😂

    • @BramwelLaiza16
      @BramwelLaiza16 8 днів тому

      Sahii sahii sahiii kabisa ❤

    • @Mina.15
      @Mina.15 8 днів тому

      @@MikelSitoesio huku tuu dunia nzima

  • @IsakaMgeje
    @IsakaMgeje 8 днів тому +2

    Kubomoa miundombinu na majengo na kuuwa watu wengi huu sio ushindi wa vita . Ni uharibifu na ukatiri . Tuongee ukweli Israel imeshindwa vita Gaza . Sababu Lengo lao alijatimia. Hao Mossad ni wajanja kuua viongozi popote walipo lakin wameshindwa kujua mateka walipo . Hamas ni zaidi ya Mossad. Mkitaka kuelewa uhalisia Ondoa mhemko.

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 8 днів тому

      Vp lengo lengo la hamas kuifuta Israel kwenye uso wa Dunia je limetimia? Pia vita bado haijaisha nawala haiishi mpaka mwisho wa Dunia watatuliza cku miezi au miaka kadhaa basi lakin kuimaliza hawawez coz ni unabii unatimia pale Gaza ambao utatupeleka kwenye siku za mwisho

  • @NeemaGumbo-k5n
    @NeemaGumbo-k5n 9 днів тому +1

    GPS habari ya mjini oyawee kumenoga njoeeeniiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @YamuremyeYarodi
    @YamuremyeYarodi 8 днів тому +1

    Okey naona Smaa ameshaongelea kila kitu nimetaka changia

  • @SeifJuma-cp3lb
    @SeifJuma-cp3lb 8 днів тому

    37:34 37:41 37:45

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 9 днів тому +3

    Hammas walikuwa mashimoni wakati raia wakiuawa

    • @yassinhamza1969
      @yassinhamza1969 8 днів тому

      Kujificha ni mbinu za kivita pia,Kwan ww mfano ukiwa mbugani utatembea matiti mbele bila tahadhari

  • @johnmwakajila9569
    @johnmwakajila9569 8 днів тому

    Thank you wana SNS Henry, Massoud, Dj Smaa mzee wa kujoin dots.. namba next time tuizungumzie afrika yetu vita ya Congo na M23

  • @mozamoza3960
    @mozamoza3960 9 днів тому +4

    Trump Ana mbinu chafu kweli kweli

    • @MwanaHussein-s2n
      @MwanaHussein-s2n 9 днів тому

      Hatofanikiwa coz pale Kuna watu wamekita mizizi kwenye ardhi Yao

  • @Sarah-e1o9k
    @Sarah-e1o9k 8 днів тому

    Trumpo ameshajibiwa na hamasa 😂😂😂😂 mko nyuma sana nendeni GK news wamesema hawatoki watajenga wakiwa hapi❤❤❤❤❤

  • @ZainaBu-zs6wc
    @ZainaBu-zs6wc 8 днів тому

    Abuu obaida ndio jina lake

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf 9 днів тому +1

    Duhh Trump...

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k 3 дні тому

    Hamass ni jeshii ya Allah atakaye kua anaota kua watamaliza hamasss wambieni wakalaletena 😂😂😂 Israel inapigana n wasichokijua,Pongezizenu wapalestain 🇵🇸 we nikiboko w mashoga❤❤❤❤

  • @abuugubi9312
    @abuugubi9312 9 днів тому +1

    Tuko pamoja

  • @shammhagama2527
    @shammhagama2527 8 днів тому

    Lakini Gaza imechakaa duuh

  • @AmmielNzala-fu4xu
    @AmmielNzala-fu4xu 9 днів тому +3

    Hakuna raisi atakayepita malekani na akawa kinyume na Israel hayupo kabisa haitatokea, hamjui nini kipo nyuma ya hawa watu mnaongea tu

    • @MwanaHussein-s2n
      @MwanaHussein-s2n 9 днів тому +1

      @@AmmielNzala-fu4xu miaka 76 wanajaribu kupoteza Palestine lkn hawawezi na hawatoweza na wa naelekea watapotea wao

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 9 днів тому

    Watafanya wanavyofanya haya ni maisha macahache alafu duni tena ya muda mfupi sana kama wao wanavyofanya kuwafanyia wapalestina bx ipo siku kama Mungu alivyoahidi watakuwa wanajificha Hadi kwenye mawe ila jiwe linamfichua pia

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 8 днів тому

      Kama umesikiliza vizuri wapalestina ndio wamekiuka makubaliano Tena bdo mnalaumu nini? Hamas nia Yao kuwatoa Israel hapo na nikitu ambacho hakiwezekan wao ndio wanasababisha raia kufa nakupata tabu ila hamlioni Hilo nahiyo ndio shida yenu penye ukweli semen kweli tuachen ushabiki

    • @burukinyebo6294
      @burukinyebo6294 8 днів тому

      My sister kwanza unatakiwa ujue hayo matatizo yalianza lini..usione km hilo tatizo limeanza Oct 7....baada waisrael kutoka ulaya kukaribishwa ndani ya palestina mwaka 1948...mwaka 1952 walianzisha vita baada ya kutamani kujitanua zaidi ktk ardhi ya watu waliowakaribisha,..kwa hiyo haya yanaoendelea sasa hivi ni muendelezo wa Israel juu ya kunyakua ardhi ya Wapalestina

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 9 днів тому +1

    Abu Obaida

  • @MwanaHussein-s2n
    @MwanaHussein-s2n 9 днів тому +2

    Hawawajui wa Palestine kamwe hatoiyacha ardhi Yao.. Hizo ajenda zao zoteee zitafeli kama zingine zilivyofeli na hivi Sasa wa Palestine wanarudi kwenye magofu ya nyumba zao na hiyo ndio tofauti Kati ya wenye ardhi na walowezi.... Hawakuweza kuwatoa kwa mabom ndo trump aje kuwatoa leo hii ndoto za mchana

    • @KhalidiBoaz
      @KhalidiBoaz 9 днів тому +1

      Wapalestine wengi,ŵapo nje ya nchi yao,ni millions 6 tu,ndio wapo Gaza na westbank

    • @MwanaHussein-s2n
      @MwanaHussein-s2n 8 днів тому

      @KhalidiBoaz na cku taifa LA Palestine likitambiwa wanarudi wotee na hicho kitu Netanyahu hataki Ata kukickia

  • @MauriceNyello
    @MauriceNyello 9 днів тому +1

    Pheledaphia korido hawajatoka mpaka siku 50 mzee,rekebisha hapo

    • @MwanaHussein-s2n
      @MwanaHussein-s2n 9 днів тому

      @@MauriceNyello wametoka baadhi kupisha misaada kuingia na waliobaki pia ni kwa masharti ya makubaliano na mwisho wa cku watatoka Hawana namna

  • @Karimchembela
    @Karimchembela 9 днів тому +1

    Nguvu mnayo mpa mmarekan hana Israel ndio anaetowa muongozo wa Kila jambo

  • @madindangonde4044
    @madindangonde4044 8 днів тому

    Kwa kawaida wanaitwa prisoners of war (POW) ambao ni wafungwa wa kivita, lakini kiswahili chake ni mateka wa kivita maana yake ni hii
    Nchi iliyowateka inawaita wafungwa wa kivita(POW)
    na Nchi wanakotoka wanaitwa mateka wa kivita (Hostages)

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 8 днів тому

      Wafungwa wa kivita huwa ni wanajeshi TU sio Raia ambao sio wapiganaji

  • @ErickWankuru
    @ErickWankuru 9 днів тому +2

    Kati ya Israel na hamasi na kapata hasara

    • @tinakaitsa7334
      @tinakaitsa7334 8 днів тому

      Hamasi

    • @Mina.15
      @Mina.15 8 днів тому

      Innocent people

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 8 днів тому

      Israel imepata hasara kubwa ya wanajeshi

    • @AbuuLoti
      @AbuuLoti 8 днів тому

      Hamas hawana chakupoza walishapoteza ndg zaowengi toka mwaka 49 angalia mateka wanna sawa nawagaza 200israel wanajiona niwatu wathaman sana dunian hapa

  • @flm1530
    @flm1530 9 днів тому +1

    Hamas wansishi iran

  • @AbuuLoti
    @AbuuLoti 8 днів тому

    Hamas bado niwengi mno israel wenyew walikua wanaua raia wanawake nawatoto nakubomoa majumba israel hawez vita yaardhin

  • @hassanmkufya2867
    @hassanmkufya2867 9 днів тому +2

    Nimeisubili sana gps

    • @saidmwasemu-do5tp
      @saidmwasemu-do5tp 9 днів тому

      Ishafika

    • @MikelSitoe
      @MikelSitoe 9 днів тому

      Lengo La mwizi ni kuiba

    • @MikelSitoe
      @MikelSitoe 9 днів тому

      Trump Sasa ndie anashikilia Chombo, yani safari hii Trump kakosa.

  • @HAMISICHURI
    @HAMISICHURI 8 днів тому

    Iv wanajkuta akina nan hawa makafkr wa kimagharibi

  • @natual7572
    @natual7572 9 днів тому +3

    Tramp ashafel hawez faulu kwa njia yake hiyo Gaza bado ni ya wapaleatina

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu3663 8 днів тому

    Washakunaliana bana,sshv wapalestina washaanza kurudi

  • @MishaHass
    @MishaHass 2 дні тому

    Ilo Bilic Trumpet Liache ROHO mbaya kwa hao watu lina Nchi yake mbona linapenda kuchafua amani ya wa2 wengne hayo Mashetan ya kimarekani mbna jaman wa2 hawana Raha 😮Na akawapeleke wa2 wake walokosa makaaz huko Los Angeles lkn mambo ya Palestine hayamuhusu uyo GAIDI MLANYAMA LLOOOH 🤮

  • @AbdullahHilal-b4t
    @AbdullahHilal-b4t 9 днів тому

    Wapalestina GAZA ni Sehemu ya nchi yao Si zani kama wataondoka

  • @Ryannkae
    @Ryannkae 9 днів тому +1

    Tupetee abari nasikiya Rwanda imevamia

  • @FaustineRichard-kk5xt
    @FaustineRichard-kk5xt 8 днів тому +1

    Israeli lazima irudishe maeneo yote ya kwenye Biblia, na huo ni unabii.

    • @yassinhamza1969
      @yassinhamza1969 8 днів тому +1

      Dunia haiongozwi na biblia mnaotengenezea filam bali inaongozwa na sheria za umoja wa mataifa

    • @FaustineRichard-kk5xt
      @FaustineRichard-kk5xt 8 днів тому

      @@yassinhamza1969 nikweli kabisa dunia inaongozwa na sheria za umoja was mataifa, lakini Israeli inafuata utaratibu wa biblia ambao ni utaratibu wa Mungu, maana wanajua kwamba hilo lilikuwa ni taifa lao.
      Israeli haonei mbona hsjaenda Iran wala India, n.k, hapo ndipo ufungue macho yako ujue kwamba anahaki ya kufanya hivyo.

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 8 днів тому

      Biblia ipi? Hii iliyochakachuliwa Kwa zaidi ya mara elfu 1?🤷🏻 Leta biblia yenyewe original yenye vitabu 88 tuone kama kuna unabii wa Israel eti itarejesha maeneo

    • @FaustineRichard-kk5xt
      @FaustineRichard-kk5xt 8 днів тому

      @@paschalcharles3617 unaweza ukanitajia vitabu vyote kwenye biblia ambayo unaisema ni original.

    • @AbuuLoti
      @AbuuLoti 8 днів тому

      Israel imeshindwa vita italudishaj maeneo yakwenye bbilia?labda uende wew nafamilia yako

  • @BenoBeno-c4l
    @BenoBeno-c4l 8 днів тому

    Huyu mzee na wayahudi wake wana laana

  • @HarounAnnabhany
    @HarounAnnabhany 9 днів тому

    Ni east Jerusalem na sio west Masubi

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 9 днів тому

    Haya mmbo huskii wachina wakifanya upuuuzi kama walionao wazungu

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 8 днів тому

      Wachina utawasikia wakati waMungu ukifika saizi bado madam wapo kwenye bricks we omba uhai tu niswala la muda tu

  • @HamzaMbasha-xs2ky
    @HamzaMbasha-xs2ky 9 днів тому

    Kuna watu wanaishi kwa shidah sana..
    Unatembea ujui mdaa gani bomu linalipuka..

  • @YamuremyeYarodi
    @YamuremyeYarodi 8 днів тому

    GPS tuko pamoja nawatia moyo kwakutuelimisha.ninacho ona mimi kwa upande wangu trump anaongea sana hasa kwakujiamini sana namajivuno kama amemuzidi ila mwishowe naona atatulia dunia imebadirika sana acha tusubiri mda utaongea kama jinsi sma anavyosemaga

  • @ringicnation3722
    @ringicnation3722 9 днів тому

    GPS +254

  • @Uesilamsiodiniyakweli
    @Uesilamsiodiniyakweli 8 днів тому

    Masubi umeshaanza kua chawa wa kipara smah

  • @issaabdallah7660
    @issaabdallah7660 9 днів тому

    Wapalestina hawako radhi kuondoka katika ardhi yao wako radhi muwafanye chochote mnachoweza ila sio kuacha ardhi yao

  • @abdullmo8736
    @abdullmo8736 8 днів тому

    Hawatondoka ..Palestina washamjibu Trump

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 9 днів тому

    Hamas wana akili Sana siku zote hawajaona mateka pamoja na mitambo yote ushushu wao wako vizuri wangekuwa na vifaa vya kisasa wangelia Hawa jamaa

  • @SalumuMisigaro
    @SalumuMisigaro 9 днів тому

    Unyama wanaofanya wazayuni na dunia nzima inashuhudia. Je kungekuwa hakuna mitandao ya kijamii? Yaaani sasa hivi humdanganyi mtu kila kitu kipo wazi.

  • @KhalidiBoaz
    @KhalidiBoaz 8 днів тому

    God bless Israel 🇮🇱 Israel 🇮🇱 Israel 🇮🇱 Israel 🇮🇱

  • @popiya2368
    @popiya2368 8 днів тому

    Trump anatamaa sasa wakifa hizo mali wataenda nazo kaburini

  • @BramwelLaiza16
    @BramwelLaiza16 8 днів тому

    Hapa ndio nimekuja kujua Yahya Sinwari ndio kiongozi pekee jasiri maana alipikana live

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns 9 днів тому +2

    Wapalestina wanakimbembe maana wao ndo wahanga mambo yakiharibika

    • @NikrahAyubu
      @NikrahAyubu 9 днів тому +1

      Wana kimbembe gan na we

    • @yassinhamza1969
      @yassinhamza1969 8 днів тому

      Ww umezaliwa nchi yako iliopata uhuru,lakin uhuru hutafutwa hivyo

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 9 днів тому

    Palestina wataiponza amerika

  • @zuwenarajab695
    @zuwenarajab695 9 днів тому

    Awahamishe kwanza wakazi wote wa LA kwa sababu mji umeharibika vibaya sana na awapeleke au awahamishie chi nyingine.
    Yani Palestina itajengwa na wapalestina wenyewe.

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns 9 днів тому

    Sasa bapo utawasifia Hamas ama? Maana wapelestina wengi wanakufa kwa niaba yao alafu wao wanajificha then kimbembe kinabaki kwa raia

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 9 днів тому

      Kwaiyo we unatakaje🤨🤨!??? Akili chafu hii😮

    • @MohdJuma-w6l
      @MohdJuma-w6l 9 днів тому

      Kashavuta bango uyu hajielew

    • @yassinhamza1969
      @yassinhamza1969 8 днів тому

      Walokole akili mnakuwaga hamna kabisa

  • @amirjuma9395
    @amirjuma9395 9 днів тому

    Walichosema hamasi nikwamba uyo mwingi anamirikiwa na kundi la fatah waiyo watamkabidhi

  • @msellemnassir1831
    @msellemnassir1831 9 днів тому

    Abu ubeydah msemaji wa hamas

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 9 днів тому

    Alafu hvi kwanini Hawa wazungu hawapendi watu waishi kwa uhuru bila machafuko wala mapigano

  • @saidmwasemu-do5tp
    @saidmwasemu-do5tp 9 днів тому

    Yaleo fupi kwel

  • @AloycceSospeter
    @AloycceSospeter 9 днів тому

    Huyu trump nitamfira mjue .. Huyu mzee auawe ...hafai

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua 9 днів тому +1

    Hamas na Israel nikitu kimoja malengo yao yametia kwa hio Hamas ilikua kisingizio tu

  • @MikelSitoe
    @MikelSitoe 9 днів тому

    Bado halija tokea taifa Lakupania hawa mashoga siku watakae panikiwa watakimbia wote Wata toka sehemu zote

  • @Khatib-iv9pb
    @Khatib-iv9pb 9 днів тому

    Hamas wanaume 2024 Israeli na Marekani mashoga tu😂😂😂

  • @omondiowino7875
    @omondiowino7875 9 днів тому

    Wapalestina wanalalamika nini...si waambie Hamas iwasaidie

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 9 днів тому +1

      Jaluo mpaka atapokubali kutahiriwa ndo atakua na akili

    • @omondiowino7875
      @omondiowino7875 9 днів тому

      @FahadAbubakari-y3f njoo nikuonyeshe kitu🤣🤣

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 9 днів тому

      @omondiowino7875 umonyenshe Nani foreskin yako huyo bwana enu raila odinga katahiriwa akiwa na miaka 60

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 9 днів тому +1

      @omondiowino78 m75 omondi "aliezaliwa asubuhi" owino aliezungukwa na kitovu shingoni na Jina lingine Nani ondieki eti Fisi, jaluo watu wakujikosha sana eti mnasema nyie ndo wahayudi halisi jaluoooo

    • @asmaalghafri449
      @asmaalghafri449 8 днів тому +1

      Wanalalamika nini ? Walikuomba msaada kwako? Mashujaa na wakilia wanamlilia mwenyezi mungu hawakulilieni nyie maadui mtahangaika saana