Wasema kweli Shekh. Isipokua hapo kutaja kabila la warabu umekosea. Hamna andiko dini ni ya warabu Wala kusema ni jukumu la warabu. Naona hapo utaleta FITNA
Yohana. 14:. 6. Nanukuu maneno ya yayesu. Mimi ndimi njia ya uzima na kweli mtu hawezi kwenda kwa bb Ila kwa njia ya Mimi maneno haya ameyasema yesu usikubali kudanganywa mwamini yeu use salama
Hauna jipya tupe andiko la kuwa Mtume muhamandi amechanguliwa na Mungu kuwa Mtume ili na mm niwe mwisilamu lakini ujue maana ya kuchanguliwa sio kuwapumbaza hao wasio soma maandiko zaid ya kupenda habari za Mungu na huku hawajuwi kitu zaid ya ubishi wa Yesu et sio Mungu
Yesu sio mungu ww yesu ni nabi tu ulisikia lini yesu awe mungu wakati yesu yuwaingia choni kama ww kama huna ilimu jaribu kua na akili ya kuzaliwa yesu ni nabii tu kama Ibrahim ni kama musa A S
ilikujua kuwa Yesu ni Mungu Soma Ufunuo wa Yohana 22.13-16.ili ujue kuwa ni nani mwenye uwezo wa kuwatuma malaika tofauti na Mungu pia ni nani mwenye uwezo wa kuwa alfa na omega km sio Mungu yaani Yesu kristo pekee yake.
Asilimia 90 ya makundi ya kigaidi duniani ni wisilamu ndio maana dini yenu haina kichawa wala miguu et Muhammad ni Mtume amakweli Hosea 4.6.linawahusu ndg zng wapendwa ktk Yesu kristo .
@@saidpoto821 wallah bro umeomba jambo zuri sna Allah akujalie kila LA kher njia kma hizo cc twaztaman nchi pekeake dunian ambayo haina msalaba, kisha mwaipopo anaongea ujinga??
M/Mungu akuongoze akili za kuambiwa changanya na zakwako navyokuona ww humzidi muongeaji elim ya dini yako ya kumshirikisha M/Mungu. yusu ni nabii na c mtoto wa Mungu
Dini ni jukumu la kila aliechukua shahada. Usitaje kua ni jukumu la warabu. Himiza watu wamtambue Mungu kwanza Shekh. Tawheed. Ndio hapo watatoa sadaka kwa urahisi. Imani kwanza. Na iman ipatikane lazma watoke Tableegh. Je Shekh mwaipopo umewahi kutoka siku ARUBAINI ajili ya kusahihisha nafsi yako?? Tafadhali toka 40 days Tabligh
@@AliAli-kh7km isiyokua imani yako usiihukumu mana huna mamlaka hayo ispokua Mungu pekee. Kumbuka tu kabla ya kuja uislam 570 AD KRISTO alishakua na waumini duniani kote. Nakwataarifa yako neno mkristo linabeba maana ya mtu anayemwamini Kristo yaani huyo aliyepakwa mafuta yaani YESU. kwalugha nyepesi mfuasi wa YESU. BWANA YESU alipokuja duniani kama mwadamu kwanjia ya muujiza wala hakuja kuanzisha dini, aliwakuta wanadamu na dini zao na miungu Yao chungu nzima, yeye aliwafundisha wanadamu wa wakati huo nasisi tuliopo sasa habari za wokovu na uzima wa milele. Anatufundisha hata sasa Yale yampasayo mwanadamu kuishi maisha gani ili aweze kuyashinda makwazo ya shetani ili mwishoni afike kwenye uzima wa milele. Akatuambia na silaha sahihi pekee tunazopaswa kuzitumia katika kupambana na mwovu shetani na kumshinda. Kwahiyo YESU nimasihi aliyekuja kwaajili ya wanadamu wote wa dini zoote nawe wajua ya kuwa alipaa kwenda mbinguni na atarudi Tena Kwa utukufu kuja kuwahukumu wanadamu wooote. Je Si Jambo jema kumheshimu yeye atakayeuhukumu ulimwengu wote? Je ikiwa Mungu ndiye atatoa hukumu na wakati huo huo wote tunakiri ya kwamba YESU au Isa bin Mariam atarudi Tena kuja kuhukumu bado tu hatuwezi kutambua maana ya fumbo hilo? Alikua yeye mwenyewe Mungu katika Sura ya mwanadamu kama ilivyokuwa imempendeza nahao wamwaminio na kumfuata ndiyo amewapa neema ya kufanyika Wana. Wewe usemaye Kristo siyo dini angalia kama tafsiri yako inalingana na ufafanuzi huu. Pale zamani hadithi zinasema mtume Muhamadi aliwaambia maswahaba wake kwamba Hao Manaswala au watu wa kitabu Si makafiri kwakuwa wanamwabudu MUNGU wa kweli, nahao manaswara ndiyo waliomfuata YESU KRISTO. Je wewe ndugu wawezaje leo kugeuza yaliyonenwa na mtume wenu? Jaribu kutafakari upyaa.
WAISLAM AMKENI ACHENI KUPUMBAZWA NA MASHEKH WA SIMBA HAO NA YANGA.! WAAMBIENI WAISLAMU WATAKE QUR AN YAO.! HAO NDIO WAISLAM WAKWELI NA HAO NDIO WAUMINI AL SHABAB.!
Wewe muongo muoneni kwanza anavyopepesa macho wewe ukiristo uwezi ulikuwa mchawi na moto wa YESU kiristo ulikuwa unakuunguza ukaona bora uamie uko kwenye majini ndiko kunako kufaa. YESU ni kiboko ya wachawi pambana na hali yakoooooooo.
Mbona husemi ulikuwa wazunguka Somalia ukifanya nini kwa sababu Somalia hakufanwi mihathara ,ulikuwa ukitumia lugha gani huko, Kwani lugha inayotumiwa Somalia ni kisomali,
MWAIPOPO KWANZA SIKWITI SHEKH WEWE NI MSHIRIKINA NA MTUMWA WA MAKAFIRI.! HUNA LOLOTE BWANA. WAKUFURISHE KWANZA HAO VIONGOZI WAKO. NYINYI NDIO MUNOIHARIBU DAWA. NANYINYI NDIO MUNASABABISHA MAKAFIRI WAWE NAMAZINGIRA MAZURI YA KUWATAWALA WAISLAM..!
Afadhal akarudi kwa yesu kwa kitendo alivmchokifnya nmejua nimpuuz huyu Shekh , Allah akupeleke nchi takatifu kisha ww ukimbie unakimbia pepo ambapo sie wenzie tunaitaman nafac kma hizo
Huyu Shekh n kma analipwa na serikal sai ww uende sehem takayifu namna ile ambayo n nchi pekee dunia ambayo haina msalaba kisha yy anaongea ujinga ujinga tu
Waislamu hawalipi watu kwa kuingia uislamu,dini si biashara kama makanisa,uko na options ya kuingia ama kuikataa sababu hii dini si mtu yeyote,ni ya Mwenyzi mungu,
Shetani ni baba wa uongo bila shaka wewe ni uzao wa nyoka kichwa chako kimejaa mashetani ya kila sampuli huwezi kumjuwa MUNGU wala mwana wa MUNGU, hujitambuwi kama wewe nimateka wa shetani
Hawaa waadhirii wetu hatuonii umuhimu wao adi waondoke dunian,Shekh mwaipopo Allah akulipe pepo yake.
Amiina
🙏Nakuomba bonyeza hapa kwanza ..👇
ua-cam.com/video/yOQyBINWjRs/v-deo.html
Allahuma amini
Mash Allah sheigh nimekuelewa sana...Allah akujaalie umri mrefu Insha allah
ua-cam.com/video/rYgJ7IL9sPQ/v-deo.html
Masha Allah Allah akulipe duniani na akheira sheikh mwaipopo
Saudaa unao WhatsApp?
Allah awalipe kheri na awakinge na kila Shari inshaallah
MashaAllah Allah akuhifadhi
Mashallah Jazakallahu khery Allah Akuzidishi Sheikh
Kaji zuri cheikh wangu
Mashallah Allah barik sheikh mwaipopo hadithi mzuri sana
Masha Allah sheikh jazakumallah kheri
SWALALAHU ALEYHI WA SALAMA ♥️♥️♥️Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH. ALLAH AKUPE MWISHO MWEMA
Mashalla sheh tunakupata viziri sana
Ama kwa hakika shekh mwenyezi akupe maisha marefu ya juhudi katika dini
Amin
Mashaa allah jazakum kheri akhy
Jazaka Allah khaira shekh mwaipopo
Mashallah
Allah aendelee kukuongoza katka mambo ya kheri
Huyu ni mnafiki nina meseji zake za matusi anawtukana watu kwenye whatsup
Tabarakallah
Masha Allah
Jazaka Allahu Akbar
Allah Atufanyie kher
Kazi xafi umenenena vyema be blessed
Allah akulipe kher
Allaah akulipe ujira mwema shehk mwaipopo
Sheikhe mungu atakulipa inshaallah
Mola akuhifadhi
Maashaallah, Nawazoom tu comments zenu wakristo mnavomchukia Sheikhe wetu amesoma Biblia pia Qur'an tukufu na amejua ukweli ulipo sijui ninyi mnaembeza hyo mwamba ambaye amesoma hadi marekani biblia zenu mnamzidi kipi?
Kabisa
Mungu atakilipa shekh mwaisa
MashaAllah 🌹
masha Allah barak Allah
Alhamdulillah
Pole snaaaa
لا إلٰه إلا الله محمد رسول الله
Pole Sana shehe umepotea
Wengi walisema hvo hta usema nni baado tuneandelea kukuelezea Uislamu ndugu yangu karibu Uislamu
Shekh mwaipopo yupo sawa
Yesu yeye ndiyo Kristo.
Mana ya kristo nini hujuwi hatamana ya kristo unafata kumbo tu
Mbona umekatisha stori nzuri
Amekatiza story kwa kuwa amegundua Kuna watu wanaoju uongo na ukweli na yeye ni muongo
Lailahailalaha Muhammad rasulilaha
❤
Nasaha mashehe zetu na waislamu kwa jumla, tafadhalini musiweke smartphones kwa kifua, zina madhara sana.
Shukraan saana Akhy
Wasema kweli Shekh. Isipokua hapo kutaja kabila la warabu umekosea. Hamna andiko dini ni ya warabu Wala kusema ni jukumu la warabu. Naona hapo utaleta FITNA
mungu akusamehe hujuh ulisemalo
Husiojitambua ni ww hujielewi wala huna elim ya hiyo dini yako kumzidi huyu mzungumzaji
Yohana. 14:. 6. Nanukuu maneno ya yayesu. Mimi ndimi njia ya uzima na kweli mtu hawezi kwenda kwa bb Ila kwa njia ya Mimi maneno haya ameyasema yesu usikubali kudanganywa mwamini yeu use salama
Hauna jipya tupe andiko la kuwa Mtume muhamandi amechanguliwa na Mungu kuwa Mtume ili na mm niwe mwisilamu lakini ujue maana ya kuchanguliwa sio kuwapumbaza hao wasio soma maandiko zaid ya kupenda habari za Mungu na huku hawajuwi kitu zaid ya ubishi wa Yesu et sio Mungu
Maskini tafuta bibilia ya ukweli yesu utamsikia Alistair bada yake yy yesu anae kuja ni mtume mohammad ngojea siku ya kiyama ndio utajua
Uko Serious au wabwabwaja
Yesu sio mungu ww yesu ni nabi tu ulisikia lini yesu awe mungu wakati yesu yuwaingia choni kama ww kama huna ilimu jaribu kua na akili ya kuzaliwa yesu ni nabii tu kama Ibrahim ni kama musa A S
ilikujua kuwa Yesu ni Mungu Soma Ufunuo wa Yohana 22.13-16.ili ujue kuwa ni nani mwenye uwezo wa kuwatuma malaika tofauti na Mungu pia ni nani mwenye uwezo wa kuwa alfa na omega km sio Mungu yaani Yesu kristo pekee yake.
Asilimia 90 ya makundi ya kigaidi duniani ni wisilamu ndio maana dini yenu haina kichawa wala miguu et Muhammad ni Mtume amakweli Hosea 4.6.linawahusu ndg zng wapendwa ktk Yesu kristo .
We mnafiki tuna meseji zako za matusi kuwatukana watu kule whatup
mawaidha mazuri
Manafiki ya njaa hayo
Kitabu cha watu ulichoiba uwaambie hao wenye kutekwa na ujinga wako wa uwongo
Mwiziiiiiiiiiii jmn
Su hanallah
Allah aliwapeleka darul Islam mkakimbia , Allah ndo ajua hekma yake
Umesema kweli kabisaa
Natamani nami Allah anipeleke niwe miongoni mwao
@@saidpoto821 wallah bro umeomba jambo zuri sna Allah akujalie kila LA kher njia kma hizo cc twaztaman nchi pekeake dunian ambayo haina msalaba, kisha mwaipopo anaongea ujinga??
@@hassanwanje7373 lkn hajaponda kasema Hali Halisi ndio maana kasema Kiongozi/Amiyr yule alikuwaa muadilifu
Jaman hivi huyu sheikh yupo sijamuona kipindi
Hatamkachukia ukweri ndouwo badilikeni makafiri nyinyi
MUNGU akusamehe bure.Maana hujui maandiko wala uweza Wa Mungu, ila Unayo nafasi ya kumpokea Yesu.
M/Mungu akuongoze akili za kuambiwa changanya na zakwako navyokuona ww humzidi muongeaji elim ya dini yako ya kumshirikisha M/Mungu. yusu ni nabii na c mtoto wa Mungu
Dini ni jukumu la kila aliechukua shahada. Usitaje kua ni jukumu la warabu. Himiza watu wamtambue Mungu kwanza Shekh. Tawheed. Ndio hapo watatoa sadaka kwa urahisi. Imani kwanza. Na iman ipatikane lazma watoke Tableegh. Je Shekh mwaipopo umewahi kutoka siku ARUBAINI ajili ya kusahihisha nafsi yako?? Tafadhali toka 40 days Tabligh
anazingua ye ahubir watu wamjue mungu xio kukosoa alivyoweka mungu
Unazingua wewe .usife mkiristo wewe ukiristo si dini sahihi
@@AliAli-kh7km isiyokua imani yako usiihukumu mana huna mamlaka hayo ispokua Mungu pekee. Kumbuka tu kabla ya kuja uislam 570 AD KRISTO alishakua na waumini duniani kote. Nakwataarifa yako neno mkristo linabeba maana ya mtu anayemwamini Kristo yaani huyo aliyepakwa mafuta yaani YESU. kwalugha nyepesi mfuasi wa YESU. BWANA YESU alipokuja duniani kama mwadamu kwanjia ya muujiza wala hakuja kuanzisha dini, aliwakuta wanadamu na dini zao na miungu Yao chungu nzima, yeye aliwafundisha wanadamu wa wakati huo nasisi tuliopo sasa habari za wokovu na uzima wa milele. Anatufundisha hata sasa Yale yampasayo mwanadamu kuishi maisha gani ili aweze kuyashinda makwazo ya shetani ili mwishoni afike kwenye uzima wa milele. Akatuambia na silaha sahihi pekee tunazopaswa kuzitumia katika kupambana na mwovu shetani na kumshinda. Kwahiyo YESU nimasihi aliyekuja kwaajili ya wanadamu wote wa dini zoote nawe wajua ya kuwa alipaa kwenda mbinguni na atarudi Tena Kwa utukufu kuja kuwahukumu wanadamu wooote. Je Si Jambo jema kumheshimu yeye atakayeuhukumu ulimwengu wote? Je ikiwa Mungu ndiye atatoa hukumu na wakati huo huo wote tunakiri ya kwamba YESU au Isa bin Mariam atarudi Tena kuja kuhukumu bado tu hatuwezi kutambua maana ya fumbo hilo? Alikua yeye mwenyewe Mungu katika Sura ya mwanadamu kama ilivyokuwa imempendeza nahao wamwaminio na kumfuata ndiyo amewapa neema ya kufanyika Wana. Wewe usemaye Kristo siyo dini angalia kama tafsiri yako inalingana na ufafanuzi huu. Pale zamani hadithi zinasema mtume Muhamadi aliwaambia maswahaba wake kwamba Hao Manaswala au watu wa kitabu Si makafiri kwakuwa wanamwabudu MUNGU wa kweli, nahao manaswara ndiyo waliomfuata YESU KRISTO. Je wewe ndugu wawezaje leo kugeuza yaliyonenwa na mtume wenu? Jaribu kutafakari upyaa.
Video ya pili tunaonmba tafadhali
Usijali video ya pili utapata tu kwani jamaa bado anatunga maneno atakayotumia kuwaeleza ili msielewe urongo na ukweli alionao
@@bonifaceirungu5594 leta ushahidi ya kwamba anaongea uwongo.kafiri mkubwa weye!
@@jamilaomari2444 kafiri ni wewe usiyetafakari maneno ya uongo, kwanini haujiulizi mbona hakumaliza story
@@bonifaceirungu5594 kati yangu na wewe anayemuita yesu mwana wa mungu au yesu Mungu nani? Kafiri weye,,nenda ukasome toka hapa!
Part 2 yake twaomba
2iru4irik3eoeldik5utkrfkrk
Sio wasomali wote wanabeba bunduki. Sijui ni wapi ulipita.
Hivi mapadri na maaskofu huwa wanaijua Qurani vzr sn ila tu
Kweli huyu amebahatika
Wewe ni mjanja kweli anaekusikiliza kama Hana maarifa hawez kukuelewa.
Lakn twaelewa tz dini IPO lkn hamna harakat kabisa
Uongo hii sio Dini ya kweli Dini ya kweli ni Kristo tu
WAISLAM AMKENI ACHENI KUPUMBAZWA NA MASHEKH WA SIMBA HAO NA YANGA.! WAAMBIENI WAISLAMU WATAKE QUR AN YAO.! HAO NDIO WAISLAM WAKWELI NA HAO NDIO WAUMINI AL SHABAB.!
Kesho kwamungu motoni
Jitibu ugonjwa wa ngiri busha kwa mti huu bofya apa 👉
Wewe muongo muoneni kwanza anavyopepesa macho wewe ukiristo uwezi ulikuwa mchawi na moto wa YESU kiristo ulikuwa unakuunguza ukaona bora uamie uko kwenye majini ndiko kunako kufaa. YESU ni kiboko ya wachawi pambana na hali yakoooooooo.
Mwiziiiiiiiiii hahaaaaaaaaaaa
Mbona husemi ulikuwa wazunguka Somalia ukifanya nini kwa sababu Somalia hakufanwi mihathara ,ulikuwa ukitumia lugha gani huko, Kwani lugha inayotumiwa Somalia ni kisomali,
Kiarabu hata mzungu kama ni muisilamu anajuwa kwa sababu kuruani imeandikwa kwa kiarabu
kiswahili lugha pana wew...wa wapi wewe
Ulishafika somalia ukaambiwa hawasikii kiswahili?
Kiswahili pia wanazungumza
Somalia ni kisomali tu hamna kiswahili,
Na huyu sheeikh aache kupaka matope nchi nzima Somalia,
Maana sio somalia yote iko vita na mabundiki
MWAIPOPO KWANZA SIKWITI SHEKH WEWE NI MSHIRIKINA NA MTUMWA WA MAKAFIRI.! HUNA LOLOTE BWANA. WAKUFURISHE KWANZA HAO VIONGOZI WAKO. NYINYI NDIO MUNOIHARIBU DAWA. NANYINYI NDIO MUNASABABISHA MAKAFIRI WAWE NAMAZINGIRA MAZURI YA KUWATAWALA WAISLAM..!
Taratibu mama
Muogo
Muongo nani sasa
@@kassimhaidary5827 about somalia
Stori mnazikatisha
Yaani uache dhahabu uchague jiwe. Rudi kwa Yesu.
Afadhal akarudi kwa yesu kwa kitendo alivmchokifnya nmejua nimpuuz huyu Shekh , Allah akupeleke nchi takatifu kisha ww ukimbie unakimbia pepo ambapo sie wenzie tunaitaman nafac kma hizo
Macho yako yana ung'eng'ezi ataukiekewa denda na mate huwezi kutofautisha
Sasa yesu kaingiya muskitini wewe unaongiya wapi
Sasa urudi darasani
Huyu Shekh n kma analipwa na serikal sai ww uende sehem takayifu namna ile ambayo n nchi pekee dunia ambayo haina msalaba kisha yy anaongea ujinga ujinga tu
Waislamu hawalipi watu kwa kuingia uislamu,dini si biashara kama makanisa,uko na options ya kuingia ama kuikataa sababu hii dini si mtu yeyote,ni ya Mwenyzi mungu,
Kulikoni? Naona uekatisha
Nasheed za Ibrahim Khan mwezi mwema Ramadhani
Mpumbavu HUYU
Wee Shekh ungeangaliwa kuac utasemaje wamechanganyikiwa? Unakaakili kwel ww,ulikua unataka wabebe vijiko?
Hajui kua hata mtume na maswahaba walikua wakibeba silaha sema zme tofautiana zama hizi. zama zetu ni bunduk zao ilikua panga
Umepotea wewe hujitambui
Tumia aya za Qur,an kwa kiarabu. Au husomi Dini.
Kwani hapa ni urabuni
Kuna makafir wengine wanawatumia ninyi kupotosha umma hivo hatukushangai alafu kuwa makin
Km aya kasoma kwa kiswahili we chukua quran usome kiarabu hamna tatizo
Mpuuzi ww khalfan, unaongea ushuzi tu
Em kuwa muelewa nikukumbushe tena kuwa makin ,hii din sio ya ukoo wenu ongea vit vyenye kuleta tija kwenye uwisilam ,.kuwa makin
Shetani ni baba wa uongo bila shaka wewe ni uzao wa nyoka kichwa chako kimejaa mashetani ya kila sampuli huwezi kumjuwa MUNGU wala mwana wa MUNGU, hujitambuwi kama wewe nimateka wa shetani
Hajawah kuw mkristo kabisa huwez kuw mkristo alafu utoke kwa Yesu uende kwa Muhammad dini inayokubali majini ni ndugu zao
Mashallah
Masha Allah
Hivi mapadri na maaskofu huwa wanaijua Qurani vzr sn ila tu
MashaAllah
Manshallah
MashaAllah
MashaAllah
MashaAllah
Masha Allah
Masha Allah
Masha Allah
Masha Allah