MAAJABU YA SHEKH MWAIPOPO ASIMULIA YALIO MKUTA SOMALIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 166

  • @flavianmarandu5710
    @flavianmarandu5710 3 роки тому +20

    Hawaa waadhirii wetu hatuonii umuhimu wao adi waondoke dunian,Shekh mwaipopo Allah akulipe pepo yake.

  • @kassimibrahim4776
    @kassimibrahim4776 3 роки тому +4

    Mash Allah sheigh nimekuelewa sana...Allah akujaalie umri mrefu Insha allah

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 роки тому +6

    Masha Allah Allah akulipe duniani na akheira sheikh mwaipopo

  • @guhgghhg8592
    @guhgghhg8592 3 роки тому +2

    Allah awalipe kheri na awakinge na kila Shari inshaallah

  • @rashidijuma3530
    @rashidijuma3530 3 роки тому +3

    MashaAllah Allah akuhifadhi

  • @twalaataib9297
    @twalaataib9297 3 роки тому +2

    Mashallah Jazakallahu khery Allah Akuzidishi Sheikh

  • @JeromeAbu
    @JeromeAbu Рік тому

    Kaji zuri cheikh wangu

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 роки тому +3

    Mashallah Allah barik sheikh mwaipopo hadithi mzuri sana

  • @alijunior0486
    @alijunior0486 3 роки тому +1

    Masha Allah sheikh jazakumallah kheri

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna1405 3 роки тому +2

    SWALALAHU ALEYHI WA SALAMA ♥️♥️♥️Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH. ALLAH AKUPE MWISHO MWEMA

  • @shabanimungazija7272
    @shabanimungazija7272 2 роки тому

    Mashalla sheh tunakupata viziri sana

  • @abduherimusasa3056
    @abduherimusasa3056 3 роки тому +1

    Ama kwa hakika shekh mwenyezi akupe maisha marefu ya juhudi katika dini

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 3 роки тому +3

    Mashaa allah jazakum kheri akhy

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 3 роки тому +2

    Jazaka Allah khaira shekh mwaipopo

  • @ashamkoleke6035
    @ashamkoleke6035 2 роки тому

    Mashallah

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 роки тому +3

    Allah aendelee kukuongoza katka mambo ya kheri

    • @festokiraryo.6107
      @festokiraryo.6107 3 роки тому

      Huyu ni mnafiki nina meseji zake za matusi anawtukana watu kwenye whatsup

  • @mickdadybakari6052
    @mickdadybakari6052 2 роки тому

    Tabarakallah

  • @hajinkulunge8493
    @hajinkulunge8493 Рік тому

    Masha Allah

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir4452 3 роки тому +2

    Jazaka Allahu Akbar

  • @mwanaishamohamed9632
    @mwanaishamohamed9632 3 роки тому +1

    Allah Atufanyie kher

  • @enuelabunimkali9529
    @enuelabunimkali9529 3 роки тому +1

    Kazi xafi umenenena vyema be blessed

  • @selemanikisewa5861
    @selemanikisewa5861 3 роки тому

    Allah akulipe kher

  • @allyjuma6132
    @allyjuma6132 3 роки тому

    Allaah akulipe ujira mwema shehk mwaipopo

  • @masoudabasi8732
    @masoudabasi8732 3 роки тому +1

    Sheikhe mungu atakulipa inshaallah

  • @OmarMuhammad-h7l
    @OmarMuhammad-h7l Рік тому

    Mola akuhifadhi

  • @rahimwaziri1087
    @rahimwaziri1087 3 роки тому +3

    Maashaallah, Nawazoom tu comments zenu wakristo mnavomchukia Sheikhe wetu amesoma Biblia pia Qur'an tukufu na amejua ukweli ulipo sijui ninyi mnaembeza hyo mwamba ambaye amesoma hadi marekani biblia zenu mnamzidi kipi?

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 3 роки тому

    Mungu atakilipa shekh mwaisa

  • @swalehsaidabdalla3037
    @swalehsaidabdalla3037 3 роки тому +2

    MashaAllah 🌹

  • @zuwenaalr1081
    @zuwenaalr1081 3 роки тому

    masha Allah barak Allah

  • @adibbachtiar2980
    @adibbachtiar2980 3 роки тому

    Alhamdulillah

  • @dicksnlema2685
    @dicksnlema2685 3 роки тому

    Pole snaaaa

  • @husseinkhalfan9467
    @husseinkhalfan9467 3 роки тому +3

    لا إلٰه إلا الله محمد رسول الله

  • @gastokonzo9798
    @gastokonzo9798 3 роки тому

    Pole Sana shehe umepotea

    • @aliabdiabdi4067
      @aliabdiabdi4067 3 роки тому

      Wengi walisema hvo hta usema nni baado tuneandelea kukuelezea Uislamu ndugu yangu karibu Uislamu

  • @jamardinmkwaya1262
    @jamardinmkwaya1262 3 роки тому

    Shekh mwaipopo yupo sawa

  • @josephkivuyo5712
    @josephkivuyo5712 3 роки тому

    Yesu yeye ndiyo Kristo.

    • @hamzafishten4276
      @hamzafishten4276 3 роки тому

      Mana ya kristo nini hujuwi hatamana ya kristo unafata kumbo tu

  • @malongoisack5811
    @malongoisack5811 3 роки тому +1

    Mbona umekatisha stori nzuri

    • @bonifaceirungu5594
      @bonifaceirungu5594 3 роки тому

      Amekatiza story kwa kuwa amegundua Kuna watu wanaoju uongo na ukweli na yeye ni muongo

  • @sakiambaruku3440
    @sakiambaruku3440 3 роки тому

    Lailahailalaha Muhammad rasulilaha

  • @neemahamza1116
    @neemahamza1116 Рік тому

  • @suhel5209
    @suhel5209 3 роки тому +2

    Nasaha mashehe zetu na waislamu kwa jumla, tafadhalini musiweke smartphones kwa kifua, zina madhara sana.

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 3 роки тому

    Wasema kweli Shekh. Isipokua hapo kutaja kabila la warabu umekosea. Hamna andiko dini ni ya warabu Wala kusema ni jukumu la warabu. Naona hapo utaleta FITNA

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 3 роки тому

    mungu akusamehe hujuh ulisemalo

    • @kudrawanguvu5923
      @kudrawanguvu5923 3 роки тому +1

      Husiojitambua ni ww hujielewi wala huna elim ya hiyo dini yako kumzidi huyu mzungumzaji

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph1422 3 роки тому

    Yohana. 14:. 6. Nanukuu maneno ya yayesu. Mimi ndimi njia ya uzima na kweli mtu hawezi kwenda kwa bb Ila kwa njia ya Mimi maneno haya ameyasema yesu usikubali kudanganywa mwamini yeu use salama

  • @barnabasmajige8473
    @barnabasmajige8473 3 роки тому +2

    Hauna jipya tupe andiko la kuwa Mtume muhamandi amechanguliwa na Mungu kuwa Mtume ili na mm niwe mwisilamu lakini ujue maana ya kuchanguliwa sio kuwapumbaza hao wasio soma maandiko zaid ya kupenda habari za Mungu na huku hawajuwi kitu zaid ya ubishi wa Yesu et sio Mungu

    • @abdulhaleemsalim1059
      @abdulhaleemsalim1059 3 роки тому

      Maskini tafuta bibilia ya ukweli yesu utamsikia Alistair bada yake yy yesu anae kuja ni mtume mohammad ngojea siku ya kiyama ndio utajua

    • @tibakisunnahnaasili6250
      @tibakisunnahnaasili6250 3 роки тому

      Uko Serious au wabwabwaja

    • @abdulhaleemsalim1059
      @abdulhaleemsalim1059 3 роки тому

      Yesu sio mungu ww yesu ni nabi tu ulisikia lini yesu awe mungu wakati yesu yuwaingia choni kama ww kama huna ilimu jaribu kua na akili ya kuzaliwa yesu ni nabii tu kama Ibrahim ni kama musa A S

    • @barnabasmajige8473
      @barnabasmajige8473 3 роки тому

      ilikujua kuwa Yesu ni Mungu Soma Ufunuo wa Yohana 22.13-16.ili ujue kuwa ni nani mwenye uwezo wa kuwatuma malaika tofauti na Mungu pia ni nani mwenye uwezo wa kuwa alfa na omega km sio Mungu yaani Yesu kristo pekee yake.

    • @barnabasmajige8473
      @barnabasmajige8473 3 роки тому

      Asilimia 90 ya makundi ya kigaidi duniani ni wisilamu ndio maana dini yenu haina kichawa wala miguu et Muhammad ni Mtume amakweli Hosea 4.6.linawahusu ndg zng wapendwa ktk Yesu kristo .

  • @festokiraryo.6107
    @festokiraryo.6107 3 роки тому

    We mnafiki tuna meseji zako za matusi kuwatukana watu kule whatup

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Рік тому

    mawaidha mazuri

  • @angelomalimi8341
    @angelomalimi8341 Рік тому

    Manafiki ya njaa hayo

  • @issackashery6422
    @issackashery6422 3 роки тому

    Kitabu cha watu ulichoiba uwaambie hao wenye kutekwa na ujinga wako wa uwongo
    Mwiziiiiiiiiiii jmn

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 роки тому

    Su hanallah

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 3 роки тому +2

    Allah aliwapeleka darul Islam mkakimbia , Allah ndo ajua hekma yake

    • @abubakarabdilah9044
      @abubakarabdilah9044 3 роки тому

      Umesema kweli kabisaa

    • @saidpoto821
      @saidpoto821 3 роки тому +1

      Natamani nami Allah anipeleke niwe miongoni mwao

    • @hassanwanje7373
      @hassanwanje7373 3 роки тому +1

      @@saidpoto821 wallah bro umeomba jambo zuri sna Allah akujalie kila LA kher njia kma hizo cc twaztaman nchi pekeake dunian ambayo haina msalaba, kisha mwaipopo anaongea ujinga??

    • @tibakisunnahnaasili6250
      @tibakisunnahnaasili6250 3 роки тому +1

      @@hassanwanje7373 lkn hajaponda kasema Hali Halisi ndio maana kasema Kiongozi/Amiyr yule alikuwaa muadilifu

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 роки тому +1

    Jaman hivi huyu sheikh yupo sijamuona kipindi

  • @mariamumohamedi1486
    @mariamumohamedi1486 3 роки тому +1

    Hatamkachukia ukweri ndouwo badilikeni makafiri nyinyi

  • @costantinestephen2594
    @costantinestephen2594 3 роки тому

    MUNGU akusamehe bure.Maana hujui maandiko wala uweza Wa Mungu, ila Unayo nafasi ya kumpokea Yesu.

    • @kudrawanguvu5923
      @kudrawanguvu5923 3 роки тому +1

      M/Mungu akuongoze akili za kuambiwa changanya na zakwako navyokuona ww humzidi muongeaji elim ya dini yako ya kumshirikisha M/Mungu. yusu ni nabii na c mtoto wa Mungu

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 3 роки тому

    Dini ni jukumu la kila aliechukua shahada. Usitaje kua ni jukumu la warabu. Himiza watu wamtambue Mungu kwanza Shekh. Tawheed. Ndio hapo watatoa sadaka kwa urahisi. Imani kwanza. Na iman ipatikane lazma watoke Tableegh. Je Shekh mwaipopo umewahi kutoka siku ARUBAINI ajili ya kusahihisha nafsi yako?? Tafadhali toka 40 days Tabligh

  • @alfredmbati8508
    @alfredmbati8508 3 роки тому

    anazingua ye ahubir watu wamjue mungu xio kukosoa alivyoweka mungu

    • @AliAli-kh7km
      @AliAli-kh7km 3 роки тому +2

      Unazingua wewe .usife mkiristo wewe ukiristo si dini sahihi

    • @Robust78
      @Robust78 3 роки тому

      @@AliAli-kh7km isiyokua imani yako usiihukumu mana huna mamlaka hayo ispokua Mungu pekee. Kumbuka tu kabla ya kuja uislam 570 AD KRISTO alishakua na waumini duniani kote. Nakwataarifa yako neno mkristo linabeba maana ya mtu anayemwamini Kristo yaani huyo aliyepakwa mafuta yaani YESU. kwalugha nyepesi mfuasi wa YESU. BWANA YESU alipokuja duniani kama mwadamu kwanjia ya muujiza wala hakuja kuanzisha dini, aliwakuta wanadamu na dini zao na miungu Yao chungu nzima, yeye aliwafundisha wanadamu wa wakati huo nasisi tuliopo sasa habari za wokovu na uzima wa milele. Anatufundisha hata sasa Yale yampasayo mwanadamu kuishi maisha gani ili aweze kuyashinda makwazo ya shetani ili mwishoni afike kwenye uzima wa milele. Akatuambia na silaha sahihi pekee tunazopaswa kuzitumia katika kupambana na mwovu shetani na kumshinda. Kwahiyo YESU nimasihi aliyekuja kwaajili ya wanadamu wote wa dini zoote nawe wajua ya kuwa alipaa kwenda mbinguni na atarudi Tena Kwa utukufu kuja kuwahukumu wanadamu wooote. Je Si Jambo jema kumheshimu yeye atakayeuhukumu ulimwengu wote? Je ikiwa Mungu ndiye atatoa hukumu na wakati huo huo wote tunakiri ya kwamba YESU au Isa bin Mariam atarudi Tena kuja kuhukumu bado tu hatuwezi kutambua maana ya fumbo hilo? Alikua yeye mwenyewe Mungu katika Sura ya mwanadamu kama ilivyokuwa imempendeza nahao wamwaminio na kumfuata ndiyo amewapa neema ya kufanyika Wana. Wewe usemaye Kristo siyo dini angalia kama tafsiri yako inalingana na ufafanuzi huu. Pale zamani hadithi zinasema mtume Muhamadi aliwaambia maswahaba wake kwamba Hao Manaswala au watu wa kitabu Si makafiri kwakuwa wanamwabudu MUNGU wa kweli, nahao manaswara ndiyo waliomfuata YESU KRISTO. Je wewe ndugu wawezaje leo kugeuza yaliyonenwa na mtume wenu? Jaribu kutafakari upyaa.

  • @anwarabdi4955
    @anwarabdi4955 3 роки тому +2

    Video ya pili tunaonmba tafadhali

    • @bonifaceirungu5594
      @bonifaceirungu5594 3 роки тому

      Usijali video ya pili utapata tu kwani jamaa bado anatunga maneno atakayotumia kuwaeleza ili msielewe urongo na ukweli alionao

    • @jamilaomari2444
      @jamilaomari2444 3 роки тому +1

      @@bonifaceirungu5594 leta ushahidi ya kwamba anaongea uwongo.kafiri mkubwa weye!

    • @bonifaceirungu5594
      @bonifaceirungu5594 3 роки тому

      @@jamilaomari2444 kafiri ni wewe usiyetafakari maneno ya uongo, kwanini haujiulizi mbona hakumaliza story

    • @jamilaomari2444
      @jamilaomari2444 3 роки тому

      @@bonifaceirungu5594 kati yangu na wewe anayemuita yesu mwana wa mungu au yesu Mungu nani? Kafiri weye,,nenda ukasome toka hapa!

  • @alliyoigaly3646
    @alliyoigaly3646 3 роки тому +2

    Part 2 yake twaomba

  • @wm9669
    @wm9669 3 роки тому

    Sio wasomali wote wanabeba bunduki. Sijui ni wapi ulipita.

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir4452 3 роки тому

    Hivi mapadri na maaskofu huwa wanaijua Qurani vzr sn ila tu

  • @aliibren9524
    @aliibren9524 3 роки тому

    Kweli huyu amebahatika

  • @daudigabriel73
    @daudigabriel73 3 роки тому

    Wewe ni mjanja kweli anaekusikiliza kama Hana maarifa hawez kukuelewa.

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 3 роки тому

    Lakn twaelewa tz dini IPO lkn hamna harakat kabisa

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 3 роки тому

    Uongo hii sio Dini ya kweli Dini ya kweli ni Kristo tu

  • @hadijanassor7003
    @hadijanassor7003 3 роки тому

    WAISLAM AMKENI ACHENI KUPUMBAZWA NA MASHEKH WA SIMBA HAO NA YANGA.! WAAMBIENI WAISLAMU WATAKE QUR AN YAO.! HAO NDIO WAISLAM WAKWELI NA HAO NDIO WAUMINI AL SHABAB.!

  • @mariamumohamedi1486
    @mariamumohamedi1486 3 роки тому

    Kesho kwamungu motoni

  • @doctorpheisaltv6266
    @doctorpheisaltv6266 3 роки тому

    Jitibu ugonjwa wa ngiri busha kwa mti huu bofya apa 👉

  • @NEEMASWEDI
    @NEEMASWEDI 24 дні тому

    Wewe muongo muoneni kwanza anavyopepesa macho wewe ukiristo uwezi ulikuwa mchawi na moto wa YESU kiristo ulikuwa unakuunguza ukaona bora uamie uko kwenye majini ndiko kunako kufaa. YESU ni kiboko ya wachawi pambana na hali yakoooooooo.

  • @issackashery6422
    @issackashery6422 3 роки тому

    Mwiziiiiiiiiii hahaaaaaaaaaaa

  • @bonifaceirungu5594
    @bonifaceirungu5594 3 роки тому

    Mbona husemi ulikuwa wazunguka Somalia ukifanya nini kwa sababu Somalia hakufanwi mihathara ,ulikuwa ukitumia lugha gani huko, Kwani lugha inayotumiwa Somalia ni kisomali,

    • @aishajuma7739
      @aishajuma7739 3 роки тому +1

      Kiarabu hata mzungu kama ni muisilamu anajuwa kwa sababu kuruani imeandikwa kwa kiarabu

    • @khalidkhamis8626
      @khalidkhamis8626 3 роки тому

      kiswahili lugha pana wew...wa wapi wewe

    • @J4UPro
      @J4UPro 3 роки тому

      Ulishafika somalia ukaambiwa hawasikii kiswahili?

    • @mwakakhamis9823
      @mwakakhamis9823 3 роки тому

      Kiswahili pia wanazungumza

    • @abdirashidabass2928
      @abdirashidabass2928 3 роки тому

      Somalia ni kisomali tu hamna kiswahili,
      Na huyu sheeikh aache kupaka matope nchi nzima Somalia,
      Maana sio somalia yote iko vita na mabundiki

  • @hadijanassor7003
    @hadijanassor7003 3 роки тому

    MWAIPOPO KWANZA SIKWITI SHEKH WEWE NI MSHIRIKINA NA MTUMWA WA MAKAFIRI.! HUNA LOLOTE BWANA. WAKUFURISHE KWANZA HAO VIONGOZI WAKO. NYINYI NDIO MUNOIHARIBU DAWA. NANYINYI NDIO MUNASABABISHA MAKAFIRI WAWE NAMAZINGIRA MAZURI YA KUWATAWALA WAISLAM..!

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat 3 роки тому

    Muogo

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 3 роки тому

    Stori mnazikatisha

  • @makariospeter9447
    @makariospeter9447 3 роки тому

    Yaani uache dhahabu uchague jiwe. Rudi kwa Yesu.

    • @hassanwanje7373
      @hassanwanje7373 3 роки тому

      Afadhal akarudi kwa yesu kwa kitendo alivmchokifnya nmejua nimpuuz huyu Shekh , Allah akupeleke nchi takatifu kisha ww ukimbie unakimbia pepo ambapo sie wenzie tunaitaman nafac kma hizo

    • @mwakakhamis9823
      @mwakakhamis9823 3 роки тому

      Macho yako yana ung'eng'ezi ataukiekewa denda na mate huwezi kutofautisha

    • @hamzafishten4276
      @hamzafishten4276 3 роки тому

      Sasa yesu kaingiya muskitini wewe unaongiya wapi

    • @asaduzamanalmaxmud7671
      @asaduzamanalmaxmud7671 3 роки тому

      Sasa urudi darasani

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 3 роки тому +1

    Huyu Shekh n kma analipwa na serikal sai ww uende sehem takayifu namna ile ambayo n nchi pekee dunia ambayo haina msalaba kisha yy anaongea ujinga ujinga tu

    • @aliibren9524
      @aliibren9524 3 роки тому

      Waislamu hawalipi watu kwa kuingia uislamu,dini si biashara kama makanisa,uko na options ya kuingia ama kuikataa sababu hii dini si mtu yeyote,ni ya Mwenyzi mungu,

  • @salamakhamis8092
    @salamakhamis8092 3 роки тому

    Kulikoni? Naona uekatisha

  • @sarinkestephen5455
    @sarinkestephen5455 8 місяців тому

    Mpumbavu HUYU

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 3 роки тому

    Wee Shekh ungeangaliwa kuac utasemaje wamechanganyikiwa? Unakaakili kwel ww,ulikua unataka wabebe vijiko?

    • @abubakarabdilah9044
      @abubakarabdilah9044 3 роки тому

      Hajui kua hata mtume na maswahaba walikua wakibeba silaha sema zme tofautiana zama hizi. zama zetu ni bunduk zao ilikua panga

  • @oscarngowi4750
    @oscarngowi4750 3 роки тому

    Umepotea wewe hujitambui

  • @khalfanifarisy7398
    @khalfanifarisy7398 3 роки тому +1

    Tumia aya za Qur,an kwa kiarabu. Au husomi Dini.

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 3 роки тому +1

      Kwani hapa ni urabuni

    • @allyally7248
      @allyally7248 3 роки тому +1

      Kuna makafir wengine wanawatumia ninyi kupotosha umma hivo hatukushangai alafu kuwa makin

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 3 роки тому +2

      Km aya kasoma kwa kiswahili we chukua quran usome kiarabu hamna tatizo

    • @mramsayo1025
      @mramsayo1025 3 роки тому +2

      Mpuuzi ww khalfan, unaongea ushuzi tu

    • @allyally7248
      @allyally7248 3 роки тому +2

      Em kuwa muelewa nikukumbushe tena kuwa makin ,hii din sio ya ukoo wenu ongea vit vyenye kuleta tija kwenye uwisilam ,.kuwa makin

  • @davidjanta2799
    @davidjanta2799 3 роки тому

    Shetani ni baba wa uongo bila shaka wewe ni uzao wa nyoka kichwa chako kimejaa mashetani ya kila sampuli huwezi kumjuwa MUNGU wala mwana wa MUNGU, hujitambuwi kama wewe nimateka wa shetani

  • @PrinceCharlz-pu9ps
    @PrinceCharlz-pu9ps 11 місяців тому

    Hajawah kuw mkristo kabisa huwez kuw mkristo alafu utoke kwa Yesu uende kwa Muhammad dini inayokubali majini ni ndugu zao

  • @balyyusuf7394
    @balyyusuf7394 3 роки тому +2

    Mashallah

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu9590 3 роки тому

    Masha Allah

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir4452 3 роки тому

    Hivi mapadri na maaskofu huwa wanaijua Qurani vzr sn ila tu

  • @zulekhasaid8495
    @zulekhasaid8495 3 роки тому +1

    MashaAllah

  • @amoschacha2885
    @amoschacha2885 3 роки тому

    Manshallah

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 3 роки тому

    MashaAllah

  • @abdillahhussein3020
    @abdillahhussein3020 3 роки тому +1

    MashaAllah

  • @suhel5209
    @suhel5209 3 роки тому

    MashaAllah

  • @ajumaakange1483
    @ajumaakange1483 3 роки тому

    Masha Allah

  • @adellsefu2485
    @adellsefu2485 3 роки тому

    Masha Allah

  • @ibrahwamiraj836
    @ibrahwamiraj836 3 роки тому

    Masha Allah

  • @alijuma7391
    @alijuma7391 3 роки тому

    Masha Allah