😀😀😀😀 nadhani hii ni moja ya kichekesho pendwa sana kuwahi kukicheza.Aijawahi kuboa kabisa.Ni zaidi ya mara kumi napenda kuiangalia.Daaah....unajua sana mzee baba.
Daaaah!! Aisee mbavu cna, yaan ktk crip za joti ambazo na Amizing this is wonderful... Nimeipenda bure, nimecheka mpaka bac... Nakumbuka cku moja maza alinifumania duka la jirani kwa mangi nanunua condom afu nimezishika alinikata jicho hilooo... Nikajiongeza fasta nikamwambia hz tunapeleka shuleni kwa'jili ya sexal intercourse experiment... Mzee nilikunjwa kofi hilooo sijawahi ona nchi hiii... 😂😂😂🤣🤣🤣
Aliye rudia kuangalia hii mara mbili mbili ... Gonga like hapa tujuane😂😂😂😂🔥
this the seventh time naiangalia hii scene aise Nishai anachekesha
Nimeangalia zaidi ya Mara kumi 🤣🤣🤣🤣
Mini apaaa
Nimechekaa apa ofs kila mtu macho kwanguu
Nmerudia saaana
Dah mupo fasta.. naombeni like zenu sijawahi pata hata like 1.
wewe ndo upo fasta sasa 😂😂😂😂
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
Alogundua jot kaiba aidiya gonga like tujuane
Hizo like zinakusaidia nn sa😃
Nacheka mpaka natetemeka kwa furaha
😂😂😂 dah nimeirejea baada ya mwaka na kicheko kiko pale pale. Hapa Joti umevuruga sana mbavu zetu. 🤝 cheers
Jamani mwenzenu natoka kenya wapi like zangu 😂😂😂
Hizi hapa
😂😂😂
Umeshukia wapi nikuletee like zako 🤣
😂😂😂😂😂😂
Noma sana "we kijana VP mbona hunielew naomb like kama zote twende saw"
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
Sopa leo unauza duka, tajiri wangu😄😄😄😄😄😄😄💞💞💞
ua-cam.com/video/7oHm-ZElJSE/v-deo.html
Namkubal sana sopa😂😂😂😂😂
2022 nani anaangalia na anacheka tena 😀😀😀
This is incredible audition in Tanzania 😂😂😂 congratulation mr joti, am your fan from Zambia 🌶
Nikapondo
Wapi like za sisi wakenya
🇰🇪
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
Tupo wengi
USIOMBE UKUTANE NA AINA HII YA MUUZA CHIPSI🔥🔥👇
ua-cam.com/video/0C5hnvb5np0/v-deo.html
KWA HISANI YA JOTI TV
Clip ya joti Kali kuliko zote...🤣🤣 Asiyecheka Hana bandama🙌🙌🤣
Joti wanivunja mbavu kwa kweli am your biggest fun all the way from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kama wewe ni fun wa joti nipe like hapa kabla kupita
Aisee, nmecheka balaaa. Joti ww ni mchekeshaji namba moja Tanzania
From Mozambique 🇲🇿. Naomba like Kama zote
Joti,,, mbavu zangu jamen 🇰🇪 😂😂😂😂😂😂😂😭❤️
Yani Joti kiboko Yao😆...
Na mm Leo ..nipeni like😆😆
Like za sister ziko wapi
Joti siku nyingi hujatoa kama hii 🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisa yaani yaleo kali
Sana😂
Nani atasafisha colgath sahiy mchana????😂😂😂😂😂😂😂
Haka ka clip ka leo katamu ila kanachomaaa!!!!Mtu unacheka huku moyoni unajisuta🙄🙄🙄
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
hhahaha mbavu zangu jamn uachagi mtu salam wew
Utakuja kutuvunja mbavu jaman 🔥🔥🔥🔥🔥
All in all unajua Kaka🙌🙌🙌😆😆😆
😂😂😂 Dah! Mbavu zangu mimi "nani anataka kubishana na Mungu, nani asafishe meno mchana huu" Jotiiii
lol these guys have done again!! i love you guys aus canada
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
The ending is epic 🤣🤣😂🤣😂😂🤣
Ambao Tunahitaji Colgate Tujuane kwa Likes hapa😂😂😂😂😂😂
😂
Nipo
Tangu nizaliwe sijawahi kucheka hivi
😂😂😂all the from kenya Joti..uko juu
Nani sasa anataka kusafisha meno mchana huu..😂
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
Haaaaaaaa
Duu apo mzee n kumrudia sir God maana🤣🤣🤣mission impossble
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
Yaan hapo tunasema siku ya kufa miti nyani Wote wanateleza
😂😂 from 🇰🇪, much love joti 👊
USIOMBE UKUTANE NA AINA HII YA MUUZA CHIPSI🔥🔥👇
ua-cam.com/video/0C5hnvb5np0/v-deo.html
KWA HISANI YA JOTI TV
Wapi likes zenu jameni to much love from 256🇺🇬🇺🇬
Jaman watu hamulali,dakika 0 tayari mm wapili, joti ww chizi hahaa...254flow staki likes zote kw joti
ua-cam.com/video/7oHm-ZElJSE/v-deo.html
Daaaah aisee wauza duka kama hawaa aisee wanahalibu kila kitu 😂😂😂😂😂
"Nipe ile yenye vipele vipele"😆😀😁😂 joti bhana
This guy is super talented hahahah
Mamaaa😂😂 yan clip inaonyesha now lakini niwa 15 kucomment😂😂
🤣🤣🤣🤣 watu awalali
Noma xana😂😂
Hahaha.
Kwa kweli hapa kuna fundisho kubwa sana.
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
Mungu wangu simamisha dunia nishuke😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
dah wallah joti u made my day,😂😂😂😂😂
Joti utauwa ww so pw
Daaaaah huyu jamaaaaa huyu noma saan dahh big up kwk
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
Bro you Got it
Talent can never be hidden
😀😀😀😀 nadhani hii ni moja ya kichekesho pendwa sana kuwahi kukicheza.Aijawahi kuboa kabisa.Ni zaidi ya mara kumi napenda kuiangalia.Daaah....unajua sana mzee baba.
Hahhahhah joti leo umetisha by the way nimependa san message iliyokatika clip hii tumtumikie MUNGU jmn tuachane na anasa
🇹🇿😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿joti we mkali sana mpaka anakera 😃🇹🇿😃😃😃😃😃😃🇹🇿😃😃🇹🇿.
yaani huyu jamaa ni shida yaani nimecheka kwa sauti mpk basii
"Afu mbona nimekuambia nataka colgate wew"😅😅😅 huyu ndugu fundi
Alie sikia saut ya bubu 😂
😂😂😂best comedian all time
😂😂😂😂😂 he is my superstar 🌟🌟🌟
Nimecheka hadi mbavu zina niuma jmn jot ninoma 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Stella
Hii clip ni Kali Kati ya zote za Lucas Mhuvile.(😂😂)
🤣🤣🤣 you make me laugh so much @Joti
From condom to Colgate 😂
Haya ndo mapepo 😁
Joti kawa bubu ghafla,,,,
Joti maninaaaaaaa....
Joti 🙌🙌🙌🙌🙌
2021 january...💖💖💖💖
"eeeeeeh eeeeeeeeeeeeeeeeeeehj"
Aaaah leo umezngua hii clip so poaa kabsaaaa
Huyo sista mwenyewe ana bonge la shepu hadi gauni limeshindwa kumstiri 😂.
Love from 🇷🇼
Ila mtumishi yuko vzr
Napenda kuirudia hii ... Joti ni balaaaa
Mimi ni wale ambao kwa mbaliii
Wapili ku-watch
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
Piga muuza duka na kondom dah! Joti noma
Like zenu apo
Kwakwli nimecheka hadi mbavu zimekosa nguvu aisee
Ni, John M'mbekalo kutoka nyumbani Uva-city aksante Mr jotv...
Jot ananifurahsha sana
All time fav💕😂
Nimekubali 🔥🔥🔥
Hii nimecheka sanaa
hahahaha😂😂😂😂😂😂😂# Nakupenda Joti na clue ako nzima
🤣🤣🤣 Jot mjinga sana yani kamfukuza mwenzake kisa kununua ndom mwisho sister kam"bamba 😄kanunua Colgate bila kupenda mpuuzi sana
Hahhahahaha 😅😅😂
eti kulikuwa na mkono wa mungu,,
@@lovemyselflovemyself954 just love me, not loving ur self😄😄
Nataka calget 😂😂😂like kama zote sijawah pata.
Brother nakubali Sana kz zako dah apa kwel ulitia fora
Joti namwelewaga sana uko vzr qaqa
Kila content iko na somo lake, joti you are genius👌
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
🚨
Kabisa jamaa namkubali sana
Yani support yangu kwako iko milele good job brother
🤣🤣🤣🤣🤣🤣. It's amazing. Much love from 🇳🇿
Daaahh joti bana
daah noma kwel brooo 😂😂 leo Qaly knyamaaaaa
Kama umeona Sister alivyojaza ...gonga like hapa ila msimpigie puchu
Baba uyo csta duh
Amejaa mavi kwel
Hakuna COMEDY bongo zaidii ya jot and mpokii hawa jamaa ni shida tz 🤣😂🤣😂🤣😂
Kumbe aliacha chenji kwa kusudi maana alijua atarudi kubadilisha,,,🤣😂😂🤣😂🤣🤣🤣😂🤣you made my day
"Hawa ndio mapepo sister.. "
Daaaah!! Aisee mbavu cna, yaan ktk crip za joti ambazo na Amizing this is wonderful...
Nimeipenda bure, nimecheka mpaka bac...
Nakumbuka cku moja maza alinifumania duka la jirani kwa mangi nanunua condom afu nimezishika alinikata jicho hilooo...
Nikajiongeza fasta nikamwambia hz tunapeleka shuleni kwa'jili ya sexal intercourse experiment...
Mzee nilikunjwa kofi hilooo sijawahi ona nchi hiii...
😂😂😂🤣🤣🤣
Hhhhhhh pole san
Xaxa alitka ukapige kavu kavu nn
Kweli
USIOMBE UKUTANE NA AINA HII YA MUUZA CHIPSI🔥🔥👇
ua-cam.com/video/0C5hnvb5np0/v-deo.html
KWA HISANI YA JOTI TV
Noma
Kumbe Bubu😀😁Joti Nomaa Sana
Nimekwambia nataka Colgate hiyo C imekuchanganya! 😂😂😂
Nan anaend kusafsha meno mchana et!..
😂😂😂 I can’t stop laughing
🤣🤣🤣
Wew joti Mungu anakuona mbavu zangu jameni
Nani anataka kusafisha meno mcha uuu
Na umembuka joti🙈🤣🤣🤣🤣😂👍👍👍🇹🇿
Joti na sista 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 doooh
Joti ur the best......say it again
safi sana mzee joti burudan zako atuchok
Joti nomaa sana😂😂😂 Hadi huku uturuki tunamkubali #Basita21 gonga like kama unamkubali zaidi yangu
Me napenda uekt mwanaume jot hakiamungu unapendeza uwanawake uwachie wanawake
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
🚨
Umeona ee!! uanamke ni usenge
Kweli kabisa
Jotii jamani, ulicho agiza aukitaki tena😂😂😂
Hii baba umeuaaaaaa. Unaweza joti
Hii creativity ya leo Kali sana
Atali na nusu 😂😂😂😂😂😂😂
Wangap wanasema muuza duka kazingua badala akaushe😂👍 gonga like twende sawa
Joti hayo matakataka unayovaa hatakufai yanachukiza... vaa nguo nzuri, comedy sio lazima uvae minguo Kama hiyo
Dah! Huyo DADA Kapendeza sana yani
Nimekwambia nataka Colgate!!!Hiyo C imekuchanganya😂😂
😅😅😅😅
Hahahaaa like nyingi saana
ua-cam.com/video/r6KWJHP1t3E/v-deo.html
🚨
😀😀😀😀😀😀😂😂😂😂😂😂 we joti fala Sana, sijawahi cheka km leo, we noma
Noma sana mwanangu