Concubine refers to a woman who lives with a man to whom she is not married. Although a concubine serves the functions of a legal wife, she does not enjoy any rights in a family or any spiritual comforts. ... A concubine is denied certain legal protections.
Ni KOSA, KOSA KUBWA kusema Sulemani alikuwa na "makahaba"! Walikuwa maauria (concubines) na sio harlots. Kahaba ni mwanamke anayelala na yeyote anayetokea, mara nyingi kwa ujira. Lakini suria ni mke asiye rasmi. Ndio maana hao 300 walijulikana. Haikuwa siri kwamba mwanaume wao alikuwa Suleimani.
Nafata simulizi ambazo zimesibitishwa na adisi za mutume muhamadi naadisi zake sahihi mangine yote uongo mutupu MUTUME MUHAMADI S.A.W ndio anajuwa kweli wote wa historia za manabi
Apo uongo tu wawaeungu ata bibilia sio kitabo ca mungu bali kunabahazi ya maneno yamungu ambayo hayajacafulia mengi watuwameandika watakavyo nasikweli subirini Allah atawahukumu stori za ongo wake kama mufalme hakuwaeulumu kunashida gani wewe muongo
Mungu awabariki sana kwawale wanao fanya kazi yake Mungu
Amina
Anaesema uoungo labda kuna suleimani wawili tofauti!!!!
Nimependa ulivyopangilia hadith na beat. 👏🏽👏🏽
saf
Amin
Amen
Concubine refers to a woman who lives with a man to whom she is not married. Although a concubine serves the functions of a legal wife, she does not enjoy any rights in a family or any spiritual comforts. ... A concubine is denied certain legal protections.
Watoto wa mfalme suleiman
Wangapi
Ni KOSA, KOSA KUBWA kusema Sulemani alikuwa na "makahaba"! Walikuwa maauria (concubines) na sio harlots. Kahaba ni mwanamke anayelala na yeyote anayetokea, mara nyingi kwa ujira. Lakini suria ni mke asiye rasmi. Ndio maana hao 300 walijulikana. Haikuwa siri kwamba mwanaume wao alikuwa Suleimani.
Unatafta masilahi hii kazi haikufai faida utapata
Maslahi yapi hayo..?
Mal uun mkubwa, Suleiman n mcha Mungu, c mzinifu
Biblia imemtaja kahaba kwa jina la kahaba, lakini hakuna sehemu wale masuria wametafsiriwa kama makahaba
Mmmh unamzungumzia suleimani yupiii???
Kama unamkusudia mfalme nabii Suleiman na kumsingizia uzinifu subiri hukumu yako
Amin unachoamini
Nafata simulizi ambazo zimesibitishwa na adisi za mutume muhamadi naadisi zake sahihi mangine yote uongo mutupu MUTUME MUHAMADI S.A.W ndio anajuwa kweli wote wa historia za manabi
Nilimaanisha "MASURIA"
Ndugu staili nyingine za kutafutia kiki msiwachafue manabii kwakuwaita wazinifu hiv ww mpagani nn shik adab unapo wataja mnabii
Acha uhuni
Hakuna nabii alie kua na kahaba wala hakuna nabii alie zini msidanganye watu
Kweli
Pole
Umesoma biblia lakini au mnajiongelea2
Wewe zungumzia vyongozu waupuzi walioko duniani hawa BT sio manabii unakosa adabu kwamungu kila nabii mungu ndio humfungisha ndoa
Apo uongo tu wawaeungu ata bibilia sio kitabo ca mungu bali kunabahazi ya maneno yamungu ambayo hayajacafulia mengi watuwameandika watakavyo nasikweli subirini Allah atawahukumu stori za ongo wake kama mufalme hakuwaeulumu kunashida gani wewe muongo
Mosque na makanisa ya zamani ni illuminate.
A devil worshiper like you thinks negative about the he almighty God.
@@hanifaali9526 so sorry to be one of them.
@@mtuwawatuhoyee6549 go to where you belong, and deceive those who will agree to fall in your stupid acts.
@@hanifaali9526 truth pain but be a man.
Tubu wewe kwaupuzi huu hakuna mtume wamungu aweza kuoa kahaba manabii wote niwasafi ,fata wachambuzi wamasomo yadini wakuelimishe lasivyo utajuta
Suleiman alizaliwa na nan?
Daud
Wakristo n waongo
Unakosea kila mmoja na imani yake na njia yake pia
Hayo umeyatoa wap kama s uongo
@@hamisjangala6759 Biblia takatifu
@@hamisjangala6759 yote yameandikwa kwenye Biblia
Don't judge the religion cause those you judge trust God
Sijawahi kulipenda Jina Daudi
Makahaba ndivy ilivyoandikwa kwenye biblia???
Bibilia inakasoro nyingi.
Kahaba, suria Kwa lugha tulioziea "hawala"
Hizi hadthi zako za biblia ni kutunga tuu uongo mtupu
Kuweni wa islamu
Huyu anaongea uongo
This nothing new it all written in the Bible
Someni bibilia Kama hamuamin basi
Acha uwongo unapotosha watu
Acha kuchafua biblia hakuna sehemu iliyoandikwa ni dhambi kuwa na mke zaidi ya mmoja
@@paschalkadama7327 Tafadhali kama hujui usiseme hamna soma biblia yako. Kumbukumbu la Torati 17:17 na 1 Timotheo 3:2
Unaongea Kama unagundii mdomoni
😂 wataka aongeeje
Lanatullah uongo mtupu . Suleman hakukufuru tena ni mcha Mungu .