Hakika wanajichumia laana ya bule bila kufahamu kuwa KILA KITU kina MWISHO, na DUNIANI TU WAPITAJI TU! MUNGU akupe UHAI MWINGI NA UPONYAJI BABA. UBARIKIWE SANA, AMEN🙏🙏🙏
Mbalikiwa mwakipesile wewe kweli umeitwa na MUNGU hata wanaokuchukia ukweli wanaijuwa kwamba ni mtume wa kweli wa MUNGU napenda kukufuatilia maana una moyo wa ujasri zaid ya simba
Me nmekaa jela kaka miez 6 kama unafanya majukumu unayopewa hakuna mwenye shda na wewe kaka, na unaweza ukae mpk unatoka hujawahi kuonja hata kirungu. Ila ukiwa jeuri ndo utapata tabu xn tena xn t na utanyooka. Askari jela me nawatetea ni watu wazuri xn tofaut na wengine, wachache ndo wabaya hii ipo t hata kanisani kuna wahuni pia ila kiukweli wengi wapo peace km huamin bx inatosha
Ulikuwa radhi kwa sababu uliiba au kuua kweli. Hivyo ulikuwa radhi na hayo kwa kuwa uliona ulihitaji adhabu kubwa zaidi. Ila waliosingiziwa au walioonewa hicho ni mateso.
@@harunamtiko117 fahamu hapa tumezungumzia watoto wa maskini tu ndio wanaoteswa. Kama wewe walikufanyisha kazi unazofanyishwa nyumbani na kukulaza unavyolala nyumbani ndio maana huwezi kuelewa hiki tunachosema hapa.
Magereza hawatesi watu broo, matatzo yaanzia uko nje uraiani mt anabambikizwa kesi na mahakamani nako anafungwa kwa vifungu vya sheria, akipelekwa magereza km n mfungwa lazma atafanya kazi ambazo hata ww nyumbn unazfanya kama vile kulima, kufyatua tofali, ujenzi, usafi wa mazingira nk, kwa upande wa mahabusu wao hawafanyi kabsa kazi wanakula na kulala wakisubr trh ya kwenda mahakamani. Shda inaanzia nje ya magereza broo.
Umewahi kukaa huko na ukaona wanafanya kazi kama nyumbani? Je uliona mahabusu wakila chakula kama nyumbani? Wakilala kama nyumbani? Siku zote mwenye shibe hamjali mwenye njaa
Wimbo una ujumbe mzito. Machozi yananilengalenga. Ubarikiwe sana Mtumishi kwa kusema ukweli.
Eee mungu msikie mtumishi wako mbarikiwa mpe miaka mingi
Kwelii kilakitukinamwishowake munguukutienguvu baba
Mungu we Mungu hasira yako tunaijua baba kabla ya kuhukumu hawa watesao wanyonge okoa roho zao walau wageuze kama Paulo kwa kuwabebesha mzigo wako
Hakika wanajichumia laana ya bule bila kufahamu kuwa KILA KITU kina MWISHO, na DUNIANI TU WAPITAJI TU! MUNGU akupe UHAI MWINGI NA UPONYAJI BABA. UBARIKIWE SANA, AMEN🙏🙏🙏
Watakutana na mungu sijui watajibu nini hukumu ipo duniani kabla hawajafa
Amina Kakika uwafikie ujumbe huu makari waliyo nayo
Hongera mchungaji kweli wanajichumiamlaanna
Tanzania viongozi lidini katika njia nzuri kueni na UTU na watu ubinadamu IMEPOTEA kanisa daa
Sema kweli hata siku ya hukumu ukiuliza ulitenda nn ue na lakusema uwezi unaona maovu yanatendwa na watawala unakaa tu haifai
Very good ❤❤
Hivi kwanin wafungwa wengi ni maskin?
Kweli wanajichumia laana ya bure.
Ameeni baba
Ujumbe mzito.mwenye.sikio.asikie.asiye.sikia.aenderee.kuchuma.raana.uzidi.kubarikiwa
Hakika Wanajichumia LAANA Buree. MUNGU Akushike na Akusimamie Sana baba.
Ameen ❤❤❤❤❤
Hakika mtumishi ujumbe umewafikia.Japo hawawezi kuelewi maana walishalewa madaraka Kwa muda mrefu.
Kakangu kyala akutule
Barikiwa MBARIKIWA MUNGU amukusudia kwa wakati Kama Huu kusema ukweli, na wanao onewa, hii ndo kazi ya watumishi wa kweli,,, Wengine wamenjamaza
MUNGU akupe akushindie majaribu unayo kumbana nayo
Mbalikiwa mwakipesile wewe kweli umeitwa na MUNGU hata wanaokuchukia ukweli wanaijuwa kwamba ni mtume wa kweli wa MUNGU napenda kukufuatilia maana una moyo wa ujasri zaid ya simba
Nakubaliana nawe mtumishi wa BWANA, tumwombee tu mtumishi wa Bwana Mch Mwakipesile
Nyimbo inagusa!!
Urisema nikotayari h
Me nmekaa jela kaka miez 6 kama unafanya majukumu unayopewa hakuna mwenye shda na wewe kaka, na unaweza ukae mpk unatoka hujawahi kuonja hata kirungu. Ila ukiwa jeuri ndo utapata tabu xn tena xn t na utanyooka. Askari jela me nawatetea ni watu wazuri xn tofaut na wengine, wachache ndo wabaya hii ipo t hata kanisani kuna wahuni pia ila kiukweli wengi wapo peace km huamin bx inatosha
Ulikuwa radhi kwa sababu uliiba au kuua kweli. Hivyo ulikuwa radhi na hayo kwa kuwa uliona ulihitaji adhabu kubwa zaidi. Ila waliosingiziwa au walioonewa hicho ni mateso.
😂😂😂 ckuiba nilidhamini mtu nikapata dharura ckufka mahakamani nikatoa taarifa ila haikukubalika, nikapgwa rumande
@@harunamtiko117 fahamu hapa tumezungumzia watoto wa maskini tu ndio wanaoteswa. Kama wewe walikufanyisha kazi unazofanyishwa nyumbani na kukulaza unavyolala nyumbani ndio maana huwezi kuelewa hiki tunachosema hapa.
Barikiwa sana mch, Mungu azidi kukupa afya njema, hekima na busara, tulitegemea kupata jumbe hizi na kweli watachuma laana sana sana 😮😢😢
Uriuria wembe mbona unaria hatukuelewi injiri yako haiw
Watoto wa Ibilisi kama wewe huwa hawajitambulishi kwa majina yao halisi, bali wanajulikana kwa "User.. @&... Ni Mungu akurehemu tu ewe user!
Hakika wanajichumia laana ya bure.
Wata PATA Lana ya bule
Mwikemo gwa bhikemo kyala abhatule
Magereza hawatesi watu broo, matatzo yaanzia uko nje uraiani mt anabambikizwa kesi na mahakamani nako anafungwa kwa vifungu vya sheria, akipelekwa magereza km n mfungwa lazma atafanya kazi ambazo hata ww nyumbn unazfanya kama vile kulima, kufyatua tofali, ujenzi, usafi wa mazingira nk, kwa upande wa mahabusu wao hawafanyi kabsa kazi wanakula na kulala wakisubr trh ya kwenda mahakamani. Shda inaanzia nje ya magereza broo.
Unaongea vitu usivyo vijua tafuta watu wakupe mkanda kamili kijana
Umewahi kukaa huko na ukaona wanafanya kazi kama nyumbani? Je uliona mahabusu wakila chakula kama nyumbani? Wakilala kama nyumbani? Siku zote mwenye shibe hamjali mwenye njaa
shalom barikiwe pastor
@@Mbarikiwa_Mwakipesile kweli kabisa
Ndugu umekomenti sawa na mtazamo wako, ila ukweli ungeujua kuhusu wanayoyapitia wafungwa.. Hakika usingesema hivo.