Mnafanya vizuri sana kutuletea elimu lakini huyu anae andaa hizi video ndio anaharibu yaani hicho kipeperushi cha usafiriwako kila dakika kina onekana mbele ya picha mpaka vitu vingine havionekani tafadhali sana jirekebisheni kwenye hili hii video imekua mbaya kwasababu ya hicho kitu kimoja tuu Au kama wanao andaa kipindi hawana weledi fukuzieni mbali yaani mpaka kipindi kina kosa ladha bhana
Fundi kwanini ukiwasha gari mafuta yanapugua kidogo?. Gari yangu ni silinda 6 ni ya petroli.kwanza sipandi gari bila kukagua nje, pili maji,oil ,tatu nikingia ndani ya gari Nasali ,nafunga mkanda ndipo niwashe gari. Asante kwa mafunzo.
Asante sana bro, nimeipenda iyo
Je Kuna uhusiano Kat gearbox kua mbovu na ulaji wa mafuta?
Ndio
Karibu Tena Kwa mafundisho
fundi jibu swali ndipo ueleze maelezo ni mengi kama mwanasiasa
Natamani mtangazaji achukue mud mfupi na injinia awe na mud mpana kufafanua mada
Kyando Naomba Namba zako
Maelezo mengi mkuuu
Mtangazaji ana kierehere kama yeye ndo fundi
🤣🤣🤣🤣🤣 kabisaaa anakiherehere sna🤣🤣
Mtangazaji muachie fundi mbona unaongea sana
Wote wababaishaji tu...jamaa haelezei chochote anaongelea vitu vingi mno na kujichanganya
Gar Ina mambo mengi ambayo usababisha kura mafuta kwaiyo inategemea ni kipi kibovu mafundi wAnaerewa ir
Huyu fundi anajua, natamani ningepata contact zake...
Mnafanya vizuri sana kutuletea elimu lakini huyu anae andaa hizi video ndio anaharibu yaani hicho kipeperushi cha usafiriwako kila dakika kina onekana mbele ya picha mpaka vitu vingine havionekani tafadhali sana jirekebisheni kwenye hili hii video imekua mbaya kwasababu ya hicho kitu kimoja tuu
Au kama wanao andaa kipindi hawana weledi fukuzieni mbali yaani mpaka kipindi kina kosa ladha bhana
Tunashukru Sana kwa Elimu Kama hizi maana tunakosea bila kujua
Plag zikiungua je, hazisababishi mafuta kutumika zaidi?!
Nimekusoma kwenye plug
Kuweka N ndio inaongoza, Darasa zuri naa liwe endelevu,Madereva wengi hawataki kusoma.
Fundi kwanini ukiwasha gari mafuta yanapugua kidogo?. Gari yangu ni silinda 6 ni ya petroli.kwanza sipandi gari bila kukagua nje, pili maji,oil ,tatu nikingia ndani ya gari Nasali ,nafunga mkanda ndipo niwashe gari. Asante kwa mafunzo.
Mtangazaji amuulize mtaaiam, maswali mafupi ya uchochezi/uchokonozi, kuchokonoa habari, maneno mengi ambayo ndio utaalam wenyewe amwachie mtaalam,