Mambo yanayoweza kusababisha gari kula mafuta mengi licha ya kuwa na cc ndogo

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 21

  • @NiyonkuruJackson-dq2mr
    @NiyonkuruJackson-dq2mr Рік тому

    Asante sana bro, nimeipenda iyo

  • @pascorseve2308
    @pascorseve2308 2 роки тому

    Je Kuna uhusiano Kat gearbox kua mbovu na ulaji wa mafuta?

  • @henryjulius213
    @henryjulius213 2 роки тому +4

    Karibu Tena Kwa mafundisho

  • @johnmwasakilali6984
    @johnmwasakilali6984 2 роки тому +2

    fundi jibu swali ndipo ueleze maelezo ni mengi kama mwanasiasa

  • @suleabdullah2247
    @suleabdullah2247 2 роки тому +1

    Natamani mtangazaji achukue mud mfupi na injinia awe na mud mpana kufafanua mada

  • @sandaymgunyi6268
    @sandaymgunyi6268 5 місяців тому

    Kyando Naomba Namba zako

  • @pwalter335tv5
    @pwalter335tv5 Рік тому

    Maelezo mengi mkuuu

  • @mkonyitv3391
    @mkonyitv3391 2 роки тому +1

    Mtangazaji ana kierehere kama yeye ndo fundi

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 9 місяців тому

    Mtangazaji muachie fundi mbona unaongea sana

  • @isaacs3904
    @isaacs3904 2 роки тому

    Wote wababaishaji tu...jamaa haelezei chochote anaongelea vitu vingi mno na kujichanganya

  • @hamadishaibu8490
    @hamadishaibu8490 2 роки тому

    Gar Ina mambo mengi ambayo usababisha kura mafuta kwaiyo inategemea ni kipi kibovu mafundi wAnaerewa ir

  • @lwxgle002
    @lwxgle002 2 роки тому

    Huyu fundi anajua, natamani ningepata contact zake...

  • @Eagle-One.1501
    @Eagle-One.1501 Рік тому

    Mnafanya vizuri sana kutuletea elimu lakini huyu anae andaa hizi video ndio anaharibu yaani hicho kipeperushi cha usafiriwako kila dakika kina onekana mbele ya picha mpaka vitu vingine havionekani tafadhali sana jirekebisheni kwenye hili hii video imekua mbaya kwasababu ya hicho kitu kimoja tuu
    Au kama wanao andaa kipindi hawana weledi fukuzieni mbali yaani mpaka kipindi kina kosa ladha bhana

  • @martinchatila320
    @martinchatila320 2 роки тому

    Tunashukru Sana kwa Elimu Kama hizi maana tunakosea bila kujua

  • @onesmomahenge9025
    @onesmomahenge9025 2 роки тому

    Plag zikiungua je, hazisababishi mafuta kutumika zaidi?!

    • @onesmomahenge9025
      @onesmomahenge9025 2 роки тому

      Nimekusoma kwenye plug

    • @iddyjuma2263
      @iddyjuma2263 2 роки тому

      Kuweka N ndio inaongoza, Darasa zuri naa liwe endelevu,Madereva wengi hawataki kusoma.

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 2 роки тому +1

    Fundi kwanini ukiwasha gari mafuta yanapugua kidogo?. Gari yangu ni silinda 6 ni ya petroli.kwanza sipandi gari bila kukagua nje, pili maji,oil ,tatu nikingia ndani ya gari Nasali ,nafunga mkanda ndipo niwashe gari. Asante kwa mafunzo.

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 2 роки тому

    Mtangazaji amuulize mtaaiam, maswali mafupi ya uchochezi/uchokonozi, kuchokonoa habari, maneno mengi ambayo ndio utaalam wenyewe amwachie mtaalam,