Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Zuberi hongera sana tunahitaji wachambuzi kama wewe 🌹🌹
Simama katika haki mamelod wenyew walionesha dhahili kumtaka kama Belous dady walipokea 4 bila hivo ni lazima walitaka kuibomoa Yanga
hhh😮hhh𝓵𝓳😮𝓷 😊𝓳 0:17 😮
Upo vizuri sana kwa uchambuzi wako
🙏🙏🙏🙏. Haswaaaa pokea 🎉🎉🎉🎉🎉
Aisee katika wachambuzi wa nchi ii wewe ni one nomber
Mchambuzi mzuri lakini anaangushwa na redio aliyopo...namkubali sana
Well done, Eng. Hersi! Engineering always depends on Facts and Figures. Do it right, and the first time - guess work - (TQM).
Mie nimeelewa kuwa Yanga SC wamekua hatari zaidi kulingana na maelezo ya huyu coach
Ila jamaa linajua kuchambua vikosi.
Uko vizuri kaka huna mbambamba
Sawa umeelekweka mkuu. Sisi kikubwa kabaki
Tanzania yupo fabrizio romano ni hans rafael
Na domick salamba yupo vzr sana
Safi sana umeongea shule sana
Mnaongea sasa kwa kuwa amesaini
GOLI 21 YA TIMU
Jamani tukiacha propaganda za ushabiki wa uyanga na usmba yanga wako sawa kabisa kuanzia usajiri mpaka wachezaji yanga nawapa ubingwa wa 2024-2025.
Ila m hambuzi uliwahukumu Yanga kuwa wamefukuzwa Avic town kwa vile wanadaiwa, sikuipenda ile clip yako, ulidanganya, Yanga wapo ssna Avictown, unaikumbuka ile clip yako?.
Alikuwa amelala fofo
Walikuwa wanasubiri za wadhamini ili walipe...baada ya kupokea mabilioni yao...mambo yameisha
@@josephlorri431 mangungu 🤣 amethibitisha ?? Au umejiropokea tuu ??
@@mwanangusana ukiona picha story unatengeneza mwenyewe
@@josephlorri431 🤣🤣🤣 apo sawa kk
Nimependa hii diwani
Zuberi hongera sana tunahitaji wachambuzi kama wewe 🌹🌹
Simama katika haki mamelod wenyew walionesha dhahili kumtaka kama Belous dady walipokea 4 bila hivo ni lazima walitaka kuibomoa Yanga
hhh😮hhh𝓵𝓳😮𝓷 😊𝓳 0:17 😮
Upo vizuri sana kwa uchambuzi wako
🙏🙏🙏🙏. Haswaaaa pokea 🎉🎉🎉🎉🎉
Aisee katika wachambuzi wa nchi ii wewe ni one nomber
Mchambuzi mzuri lakini anaangushwa na redio aliyopo...namkubali sana
Well done, Eng. Hersi! Engineering always depends on Facts and Figures. Do it right, and the first time - guess work - (TQM).
Mie nimeelewa kuwa Yanga SC wamekua hatari zaidi kulingana na maelezo ya huyu coach
Ila jamaa linajua kuchambua vikosi.
Uko vizuri kaka huna mbambamba
Sawa umeelekweka mkuu. Sisi kikubwa kabaki
Tanzania yupo fabrizio romano ni hans rafael
Na domick salamba yupo vzr sana
Safi sana umeongea shule sana
Mnaongea sasa kwa kuwa amesaini
GOLI 21 YA TIMU
Jamani tukiacha propaganda za ushabiki wa uyanga na usmba yanga wako sawa kabisa kuanzia usajiri mpaka wachezaji yanga nawapa ubingwa wa 2024-2025.
Ila m hambuzi uliwahukumu Yanga kuwa wamefukuzwa Avic town kwa vile wanadaiwa, sikuipenda ile clip yako, ulidanganya, Yanga wapo ssna Avictown, unaikumbuka ile clip yako?.
Alikuwa amelala fofo
Walikuwa wanasubiri za wadhamini ili walipe...baada ya kupokea mabilioni yao...mambo yameisha
@@josephlorri431 mangungu 🤣 amethibitisha ?? Au umejiropokea tuu ??
@@mwanangusana ukiona picha story unatengeneza mwenyewe
@@josephlorri431 🤣🤣🤣 apo sawa kk
Nimependa hii diwani
Mchambuzi mzuri lakini anaangushwa na redio aliyopo...namkubali sana