#Exclusive

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 26

  • @NicksonAlphacapitalGroup
    @NicksonAlphacapitalGroup 18 днів тому +1

    Zuberi hongera sana tunahitaji wachambuzi kama wewe 🌹🌹

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 19 днів тому +13

    Simama katika haki mamelod wenyew walionesha dhahili kumtaka kama Belous dady walipokea 4 bila hivo ni lazima walitaka kuibomoa Yanga

  • @hassaniabdi3991
    @hassaniabdi3991 19 днів тому +8

    Upo vizuri sana kwa uchambuzi wako

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 15 днів тому +1

    🙏🙏🙏🙏. Haswaaaa pokea 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 18 днів тому +4

    Aisee katika wachambuzi wa nchi ii wewe ni one nomber

  • @alexmosses3608
    @alexmosses3608 19 днів тому +7

    Mchambuzi mzuri lakini anaangushwa na redio aliyopo...namkubali sana

  • @brownmasai774
    @brownmasai774 19 днів тому +4

    Well done, Eng. Hersi! Engineering always depends on Facts and Figures. Do it right, and the first time - guess work - (TQM).

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 18 днів тому +5

    Mie nimeelewa kuwa Yanga SC wamekua hatari zaidi kulingana na maelezo ya huyu coach

  • @Tchidymbanga
    @Tchidymbanga 18 днів тому +4

    Ila jamaa linajua kuchambua vikosi.

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 18 днів тому

    Uko vizuri kaka huna mbambamba

  • @prince783
    @prince783 19 днів тому +5

    Sawa umeelekweka mkuu. Sisi kikubwa kabaki

  • @MasanjaMasanja-mz3ll
    @MasanjaMasanja-mz3ll 18 днів тому +4

    Tanzania yupo fabrizio romano ni hans rafael

  • @RojaGonga
    @RojaGonga 18 днів тому

    Safi sana umeongea shule sana

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 18 днів тому +3

    Mnaongea sasa kwa kuwa amesaini

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 18 днів тому +2

    GOLI 21 YA TIMU

  • @williamchamriho8786
    @williamchamriho8786 18 днів тому +2

    Jamani tukiacha propaganda za ushabiki wa uyanga na usmba yanga wako sawa kabisa kuanzia usajiri mpaka wachezaji yanga nawapa ubingwa wa 2024-2025.

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 18 днів тому +3

    Ila m hambuzi uliwahukumu Yanga kuwa wamefukuzwa Avic town kwa vile wanadaiwa, sikuipenda ile clip yako, ulidanganya, Yanga wapo ssna Avictown, unaikumbuka ile clip yako?.

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 18 днів тому +2

      Alikuwa amelala fofo

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 17 днів тому

      Walikuwa wanasubiri za wadhamini ili walipe...baada ya kupokea mabilioni yao...mambo yameisha

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 17 днів тому +1

      @@josephlorri431 mangungu 🤣 amethibitisha ?? Au umejiropokea tuu ??

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 17 днів тому

      @@mwanangusana ukiona picha story unatengeneza mwenyewe

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 17 днів тому

      @@josephlorri431 🤣🤣🤣 apo sawa kk

  • @halfankipande9903
    @halfankipande9903 18 днів тому +1

    Nimependa hii diwani

  • @alexmosses3608
    @alexmosses3608 19 днів тому +3

    Mchambuzi mzuri lakini anaangushwa na redio aliyopo...namkubali sana