KIJANA ADAIWA KUUAWA NA MGANGA PUGU, WANANCHI WAMUUA BABA WA MGANGA, POLISI WATULIZA WANANCHI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 189

  • @user-tb5bt8lq8j
    @user-tb5bt8lq8j 4 місяці тому +10

    Huu mwezi mbona umekuwa Wamoto sana matukio ya vifo yamekuwa mengi

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 4 місяці тому +9

    Hao mwisho wao sio mzuri wanajifanya waganga kumbe matapeli dua za wanaowatapeli zinaanza kufanya kazi😅😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😂😂😂😂

    • @zaitunisagwa2082
      @zaitunisagwa2082 4 місяці тому

      Hakika tena. Itakuwa Dua la kuku limempata mwewe😅😅.

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 4 місяці тому +7

    UGANGA upo Tena nikazi yaheshima, lkn Sasa UGANGA umevamiwa na matapeli, Hasan humo DAR nimtihani.

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 4 місяці тому +5

    Hakuna wa kuaminika kwenye hii dunia ya leo😢😢😢😢

  • @user-rf9vn7lz1n
    @user-rf9vn7lz1n 4 місяці тому +2

    Hiv mpk sasa bado watu mnaamin ugang jaman daah mpo dunia ipi

  • @Ma-star....Wakali
    @Ma-star....Wakali 3 місяці тому

    Ukweli utajulikana subirin washenz nyie michongo yote mnaijua na manyau wenu

  • @Dareaziz
    @Dareaziz 4 місяці тому

    Pole bro

  • @naomisintoyia-wo4ki
    @naomisintoyia-wo4ki 2 місяці тому

    Kwani waganga wanauwa😮😮

  • @gracemwingwa-jx7yy
    @gracemwingwa-jx7yy 4 місяці тому

    Kumbe huyu mganga ni mshenzi sana kuanzia leo hapati like zangu

  • @user-wu1bb4ky9s
    @user-wu1bb4ky9s 4 місяці тому +2

    Tatizo sisi wantanzania unapenda sana mambo ya ushirikina

  • @user-tb5bt8lq8j
    @user-tb5bt8lq8j 4 місяці тому +6

    Hapa ssa ndio amempa manyaunyau chakuongea😂😂😂😂

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 4 місяці тому +2

    Hilo john ni mwixi mla rushwa likamatwe.

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 4 місяці тому +3

    Jamaa hafungwi ana vibuyu vingi Sanaa na akarudi mtakoma apo mtaani jamaa ameshindikana Kwa uchawi😅😮😢

  • @user-ii1ro2vf9x
    @user-ii1ro2vf9x 4 місяці тому +11

    Ila nilikua naona kweny tv yake akipost mna comment nakumshukuru mmefanikiwa leo mmemgeuka n tapeli😂😂😂😂

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 4 місяці тому +1

      Na mm ndo nimebak mdomo wazi hapa 😮

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 4 місяці тому

      Binaadam kugeuka dakikatu

    • @MarryLeizer-di3ly
      @MarryLeizer-di3ly 4 місяці тому +1

      Kawapanga watu wakutoa shuuda tapel mkubwa siku yake imefika

    • @bahatirobert1009
      @bahatirobert1009 4 місяці тому

      😂😂😂😂😂

    • @aishahussein9348
      @aishahussein9348 4 місяці тому

      Iyo ni biashara,mimi unipage nitoe shuhuda,napewa hel naanzaje kukataa

  • @user-ji7ju8lp4p
    @user-ji7ju8lp4p 4 місяці тому +4

    Taz mshenzi sana na ni tapeli uganga wenyewe jau tu

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 4 місяці тому +4

    Hapo huyo mlinzi kwa haraka haraka ndo kaiba hilo dude kwa kuwa anadai pesa yake! Na hapo kutakuwa na uvamizi umetokea kwa huyo mganga ila kwenye kupambana huyo mlinzi kauawa na baba mtu kauawa! Ukiskliza vizuri kwa hao majirani zake wana chuki binafsi na wivu mkubwa sana! Huyo dogo ndo kavamiwa! Ila kwa kuwa polisi wanaweza kwenye kupeleleza tutajua tu!

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 4 місяці тому

      Chefuu

    • @user-mu7yn9gr1w
      @user-mu7yn9gr1w 4 місяці тому

      ​@@salmamlokela1987😂😂😂 eti chefuu

    • @gracemwingwa-jx7yy
      @gracemwingwa-jx7yy 4 місяці тому +1

      We nawe ninawasiwasi nawe itakuwa umeshiliki kununua hiyo mlinzi maana hapo Bila kuwaza sana moja kwa moja huyo huyo mganga wenyu ndo kamuuwa mlinzi wake

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 4 місяці тому

    Mungu atusaidie jamani,damu ya huyu askari itanena juu yao

  • @Official83640
    @Official83640 4 місяці тому +8

    Jaman huyu c ndy yule mganga alitangaza apelekewe Hawa akamtibie bure kabisa kumbe ana roho mbaya hivyo hd kuua watu Subhannallah 😢
    Na tunguli zimechomwa moto Laahaula Wala Quwata😢😢😢

  • @hassansaid3833
    @hassansaid3833 4 місяці тому +2

    Ila kweli mapaka paka ni noma yani umempiga shakizi la nguvu ukoo wa huyo Taz tapeli bado yeye lazima nae amalizwe 😂😂

    • @dvjkelly8449
      @dvjkelly8449 4 місяці тому +1

      shakizi ni nini?

    • @user-wu1bb4ky9s
      @user-wu1bb4ky9s 4 місяці тому

      Ni kitu cha kutupiwa mfano limbwata au kurushiwa jini la kujinyonga

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 4 місяці тому

    Pole sana kaka

  • @kardiborajabu6044
    @kardiborajabu6044 4 місяці тому +4

    nakingine ukiwa sikiliza wananchi wengi hapo pia wana onekana wana chukibinafsi na wivu na huyoo jamaa kwajinsi anavo ishi namajirani zake inaonekana hana ushirikiano mzuri ndio maana wana nchi wameongeza chuki pia

  • @PombeKali-cj1ex
    @PombeKali-cj1ex 4 місяці тому +3

    Yani huyojiniazi anasitahikiazabu kali mm namjuwavizuli jiniazi nimoja katiya waliofanya kazina yeye mm nifundi Magali nilio wahi kufanyanae kazi namjuwa kuwa nimtu mmoja muoga sanatuu IRA kwahiro anajutiaa sana maana bb ake yeye ndioo kirakitu kwake poresana jiniazi umenizulumu mpaka mm pombekali kunifayakuni 😮😮😮😮😮😮

  • @salimtz6
    @salimtz6 4 місяці тому +1

    Mbona huyu nyau kam ndo main 🎯 target inawezakanaje mtu mnalumbana kila siku half siku ya tukio unafika mwanzo 😅 Kwa waandishi? ila Tanzania bahna

  • @ZainabuBita
    @ZainabuBita 3 місяці тому

    Niwaogo bwana wanatak kuletea ujaja tu

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 4 місяці тому +1

    Chomeni na hilo Jengo

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 4 місяці тому +4

    Wivu tu tafuteni PESA acheni ubabaifu

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 4 місяці тому +1

      Mtu kauwawa na ni nyumbani kwa huyo Taz. Wewe unasema wanawivu!!!! We mpumbavu kabisa

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 4 місяці тому +1

      Angekuwa ameuwawa mwanao au ndugu yako ungesema wivu?Temea mate chini yasikufike

  • @legallytallm7702
    @legallytallm7702 4 місяці тому

    What country is this?!

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 4 місяці тому +2

    uyu taz mpumbavu sana yuajifanya anahasira ata maongezi yake simpenfi uyu mganga tapeli mungu ajalie spatikane auliwe pia

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 місяці тому +1

    Huyo n shetani lake limeelekeza achinjemtu ili uchawi ukoleee na mdogo wako nae kajiponza kafungiwa,badi ajirudisha ndoo kauliwa,hakili zero, alonae,

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 4 місяці тому

    Allah tupe Stara, Angalia kifo aluchokufa huyo mzee,Wewe Mganga kesho utajibu Mbele ya Allah,umesababisha kifo cha Baba yako pasipo hatia,

  • @KarimuYusuph
    @KarimuYusuph 4 місяці тому +1

    eti mfarume wa dawa manina zake uyo dogo anasema eti kun faya kun mungu leo kakuonesha kwamba yey ndomfalme wawa falume namungu endelea kuwanyosha

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 4 місяці тому +2

    Huyo baba mliomuua mtakamatwa nyie mkome! Tena hao vimbelembele wa kumjibu muhandishi wa habari!

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 4 місяці тому

    Huyo angechomewa nyumba mshenz huyo😢😢😢😢

  • @SimbaPuyatz
    @SimbaPuyatz 2 місяці тому

    Mmmmh

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL 4 місяці тому

    Mmmmmm hiii dunia inamambo mengi

  • @credosowo2822
    @credosowo2822 4 місяці тому

    Bomoeni hayo majengo

  • @gefreymtalo5613
    @gefreymtalo5613 4 місяці тому

    Huyo jamaa bado yupo uraiyani ? Mkuu wa police wa mkoa wa dar leta jibu

  • @kardiborajabu6044
    @kardiborajabu6044 4 місяці тому +1

    kwamatukio mawili yote yaliotokea ni ya kusikitisha sana ila kiukweli tuvi achie vyombo vya dolla vifanye uchunguzi wa vifo vyote viwili kifo cha mlinzi nakifo cha baba wa anaye hisiwa ndio kamuua mlinzi endapo uchunguzi utakamilika kwa wote walio husika kuji chukulia sheria mkononi nakuhusika na mauaji hayoo wachukuliwe hatua kari za kisheria

  • @officialsharifa
    @officialsharifa 4 місяці тому

    Aiseee !!!!?¿??

  • @omarcpt1178
    @omarcpt1178 4 місяці тому

    Chomeni na nyumba, choma kilakitu nayeye mkimkamata tia moto tu

  • @ashaomary5558
    @ashaomary5558 4 місяці тому

    Chomeni nyumba hiyo asirud

  • @salimanguzo5553
    @salimanguzo5553 4 місяці тому +1

    Chezanavyote siokaziyauganga wakujitangaza lzma upingwe tukio

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 4 місяці тому +1

    WANANCHI MMEFANYA VZR KUMUUUA HUYO BABA

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 4 місяці тому +6

    Ss kwnn mmemuuwa baba ake wkat yy ausiki wnanchi na jyie mkatwe mana mmeuwa vile vile na kwnn muibe fenucha za ndani nyie ni wezi

    • @shaibusalim5751
      @shaibusalim5751 4 місяці тому

      Sikilza vizur kakamtu anavyoongea huyo baba nae kausika

    • @fatumakidoa4006
      @fatumakidoa4006 4 місяці тому

      Afe huko pia nae damu Moja ya uuwaji

  • @mwanatumukombo4497
    @mwanatumukombo4497 4 місяці тому +1

    Ss niulize kwa nn mukamuua babake na aliye sababisha kifo cha mlinzi ni taz hamja fanya poa ata mbele ya Allah nyinyi munge dili na TAZ

    • @user-fz1ph3cn4s
      @user-fz1ph3cn4s 4 місяці тому

      Hawajafanya vizuri kabisa. Nashanfaa wengine wansona sawa tu. Na je sliyemuua huyo mlinzi ni nani?

    • @user-ls1ot6fs4v
      @user-ls1ot6fs4v 4 місяці тому

      Eti kwa nini wasimpeleke polisi

  • @mamaboizpure842
    @mamaboizpure842 4 місяці тому

    Si huyu jamaa anakua tiktok wah

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 4 місяці тому

    Huyu mganga aliye uwa kwakweli inasikitisha huyo mganga kwa maelezo hayo polisi walikuwa wanamlinda 😢 mimi nasema polisi igeni tabia ya polisi wa mkoa wa mbeya nasema haya kwakuwasifu wanafanya kazi kwa weredi ingekuwa ni mbeya yasinge fikia hapo mwalifu mbeya anazibitiwa mapemaa ili mwalifu asijeleta mazara hebu sikiliza maelezo hayo je polisi walipewa tarifa na wakaja awakuchukuwa tarifa yoyote mpaka imefikiwa hapo nani mzembe kama sio polisi Ingekuwa mbeya duu polisi mbeya na mkuu wa mkoa wake wako makini tunaa anani kwakweli uhalifu umepunguwa mbeya kwa msada wa polisi mbeya huyo mkamateni na anyongwee

  • @FatmaZena
    @FatmaZena 4 місяці тому

    Innalillah wainnaillah raj'uun

  • @kidykodyyusufukod-ud6vg
    @kidykodyyusufukod-ud6vg 4 місяці тому

    hili linaweza kua na taswira tofauti ata na tunavoliona

  • @ZainabuBita
    @ZainabuBita 3 місяці тому

    Siokweli waugovi namayauyau labud kawatma

  • @bensonwissa5777
    @bensonwissa5777 4 місяці тому

    Mwezi mmoja mbele Taz anarud hapo kaeni mbali nae hawezi kufungwa ni mchawi hafai

  • @user-zq6nc2nf1g
    @user-zq6nc2nf1g 4 місяці тому

    Imani zakipuzi tuu

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 4 місяці тому +2

    Yaani mtu ana mahabusu yake anafanya atakavyo. kisa pesa kisa mganga jamani tunaelekea wapi ? Hebu angalia mambo hayo sasa tanzania amani yetu inakuwaje hapo

  • @ElizabethRaju-sx2vu
    @ElizabethRaju-sx2vu 4 місяці тому

    Chuki tu

  • @dnyotausa6154
    @dnyotausa6154 4 місяці тому

    Roho mbaya zinawasumbua masikini

  • @scolasticastephano4366
    @scolasticastephano4366 4 місяці тому

    Tumutegemee Mungu binadamu siyo wema

  • @katotopesaofficial
    @katotopesaofficial 4 місяці тому +1

    8:42 Manyaunyau kapata pakujipigia promo😂😂

  • @EmanuelMnubi
    @EmanuelMnubi 4 місяці тому

    Atari sana

  • @kanukanute1514
    @kanukanute1514 4 місяці тому +2

    Ki2 kingn jeshi l police wanpo sikia taalifa km wanatkiw wawe kipaumbele kwend kumchkua mtuumiw il kuepush v2 km hv

  • @YassinyNganywama
    @YassinyNganywama 4 місяці тому

    DAAAAH

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 4 місяці тому +2

    Ila huyo tazi aliambiwa Na Shekh suleima Allah atamuumbua 😢subuhhallaah ona leo hii kadhalilika japo kakimbia

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 4 місяці тому

    Huyu mwenye kapelo ni manyaunyau yy mwenyewe mganga tapeli

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj 4 місяці тому

    Manyaunyau kwake nifuraha ya kunguru😅😅😅😅😂😂badala ya masikitiko😢😢😢

  • @hyy4114
    @hyy4114 4 місяці тому +1

    Subhanna Allah huyu mganga nilimuona Tik tok Ana majibu ya jeuri kwel

    • @jassminemubarak2828
      @jassminemubarak2828 4 місяці тому

      kwanz haja wahi kucheka mie namuelewa huyu mganga

    • @fadhilimsafiri216
      @fadhilimsafiri216 4 місяці тому

      Tapeli yule na katili sana

    • @hyy4114
      @hyy4114 4 місяці тому

      @@jassminemubarak2828 mm nilimuona tu Tik tok Ana majigambo Subhanna Allah

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 4 місяці тому

      ​@@fadhilimsafiri216kuna siku niliiona video kamkamata kijana anasema ni tapel anacopy dawa zake na tishert anapita bara baran akiuza dawa feki alikua anampiga sana nikajisemea huyu kijana sizan kama alitoka salama hapo ndani 😢

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV 4 місяці тому

    Huyu jamaaa mweny t shirt nyeupe mnafki

  • @elizajoseph7209
    @elizajoseph7209 4 місяці тому

    Macat cat jamaniiii

  • @wettykznznhuioploko1571
    @wettykznznhuioploko1571 4 місяці тому +1

    Yote mipango ya manyau nyau kamsukumia afanye ayo

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 4 місяці тому

    Mbona mna focus sana kwenye hayo matunguri 🥱

  • @candy9969
    @candy9969 4 місяці тому +2

    Uyu jamaa sio Ndio Anafany uganga wake tiktok

  • @user-zt1te9ir8t
    @user-zt1te9ir8t 4 місяці тому

    vita ni akiri vita ya uchumi ndo hii.

  • @rehmastyle4446
    @rehmastyle4446 4 місяці тому

    Aliye kuuwiya mdogo wako ni Manyaunyau

  • @credosowo2822
    @credosowo2822 4 місяці тому

    Não Police waliofika hapo mala ya kwanza wafungwe kifungo Cha milele

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 4 місяці тому +1

    Manyau nyau kaja kuakikisha km. Dawa zake zimefanya kz yn unekuja kbs unaht haibu

  • @Blandinakanini
    @Blandinakanini 4 місяці тому

    Sasa ata mukijoma si ataunda zingine
    Huyu mujawi

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji 4 місяці тому

    Anamdom Huy Taz khaaa sijawah kuona majivuno sasa

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 4 місяці тому

      Utajiri wenyew wa kutapeli watuuuuu

  • @merrymichael6126
    @merrymichael6126 4 місяці тому

    Manyaunyau noma xn anavutia kwkr

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 4 місяці тому

    tunaomba mkono wa shelia umfuatilie uyo tuz

  • @KAHINDITV
    @KAHINDITV 4 місяці тому

    Umpige mtu na kitu kizito had anyonyoke nywele😢😢😢😢Mungu tutetee

  • @user-zp4gf7te8o
    @user-zp4gf7te8o 4 місяці тому

    Maisha aya bwana

  • @AyubuMsindo
    @AyubuMsindo 4 місяці тому +1

    Manyaunyau anachuki naomba. Jeshilimkamate manyau nyau atowe ushahd

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 4 місяці тому

    Manyau kama manyau oyeèeeee

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 4 місяці тому +1

    astakagirullah yani domo akiongea ni kama ansuwezo wa kukufua wafu anajufanya yuajua kila kitu jeur na majigsmbo chomeni kila kitu na mkimpata muweni mana amemdhulumu uyu marehem sans

  • @OmanBuraimi-wl4tm
    @OmanBuraimi-wl4tm 4 місяці тому

    Wana vibali vyaoo wagangaa

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w 4 місяці тому

    Mnasubiri nini chomeni moto vibanda vyake hivyoo mtu mmoja anasumbua jamii sababu ya tunguli zake huyo ni taperi tu

  • @AbdonRenatus
    @AbdonRenatus 4 місяці тому

    Huyo mganga aukumiwe mara moja maana anajuwa kile alicho kifanya na uchunguz uwe wa mda mfupi sana ili haki itendeke

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 4 місяці тому

    mbona amekimbia fomo kubwa tu kuuwa mwenzio ajifanya mganga lakini uyu mshenzi sana auliwe pia slafu yuko live tik tok mbona kskimbia nyumbani

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 4 місяці тому

    Manyau nyau salute kuanzia leo nakupa salute 🕴

    • @WaridiTambi
      @WaridiTambi 4 місяці тому

      Wote ao wanajuana mm nilimuamin ila sijawai kumtafuta nilikuwa namfatilia kumbe ni zaid ya shetani anamana kabisa

    • @WaridiTambi
      @WaridiTambi 4 місяці тому

      Ukifikia kumuuwa mwezako ww sio mtu wakawaida

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 4 місяці тому

      @@WaridiTambi yn ht mm nilomuamin asilimia zote kumbe hafai kabisa 😥

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 4 місяці тому +1

      @@WaridiTambi kabisa kwanza huna roho km ya binadamu wenzio ni roho ya ukatili sana

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk 4 місяці тому +2

    Auliwe na yy kumalamamaake

  • @rosemneney3244
    @rosemneney3244 4 місяці тому

    Hiyo 5 yako sogeza pembeni

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 4 місяці тому

    Wananchi nawapendaga bure.

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 4 місяці тому +3

    Sasa kwanini wananchi wamuue huyo baba jamani 🥹🥹🥹

    • @rashidmsuya5721
      @rashidmsuya5721 4 місяці тому

      We unaona alikua anafanya vizuri kutishia watu

    • @Mrsmussa-wn6kv
      @Mrsmussa-wn6kv 4 місяці тому

      Sasa nawaowashajitia hatiani kwakuua huyomzee wangeachanserekali ifanye yake

    • @shaibusalim5751
      @shaibusalim5751 4 місяці тому

      Selikali gani

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 4 місяці тому

      ​@@Mrsmussa-wn6kvserikal ipi unaambiwa kuua ndo zake na akikamatwa lisaa tu kaachiwa na anajitapa kabisaa

    • @Mrsmussa-wn6kv
      @Mrsmussa-wn6kv 4 місяці тому

      @@salmamlokela1987 niyeye sio wao kilamtu na bahatiyake unambiwa usisafirie nyota ya mwezio sio km yy kafanya makosa naww ulipize makosa acha vyombo vinavyohusika vitashulikia

  • @muhammedomaryshembilu8539
    @muhammedomaryshembilu8539 4 місяці тому

    Manyaunyau ukafurahi kweli

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 місяці тому

    Manyaunyau ataingia live amedhapata content😂😂😂

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 4 місяці тому

    Matapeli dawa yao ndo hiyo,kwa nini umfanyishe kazi mtu alafu usimlipe hela yake,uyo tapeli msimuache ua kabisa na yeye amfate mwenzie

  • @RehemaSaid-rg5mr
    @RehemaSaid-rg5mr 4 місяці тому

    Mbona roo yake ngum

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 4 місяці тому

    Mnachelwesha chomeni hiyo nyumba na Kila kitu chake serikali haipo kwa masimulizi hayo atuna polisi tuna wafuga maovu rushwa imesababisha kifoo je mtatuambia Nini chomeni Kila kitu iwe fundisho

  • @user-zu9kw7vv8w
    @user-zu9kw7vv8w 4 місяці тому

    Anaesema wivu angechinjwa mwanao

  • @damasiibrahimu8892
    @damasiibrahimu8892 4 місяці тому

    Kumbe uganga ni tasnia

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 4 місяці тому

    uyu mwanaume taz dunia alichukua na kifua domo akidai akuna wa kumfanya lolote na nsisi binadam tunao.mwamini na kumpa mapesa ndio kaingia kiburi auliwe uyu akuna cha nini wala nini amemuonea mtoto wawatu vipi wamfungia mwenzio ndani mbwa uyu fomo

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 4 місяці тому

    wamesahau kuchoma nyumba moto