WALE WALALAO USIKU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 32

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 9 місяців тому

    Baba mungu azidi kurisha roho yako''''agupe myaka mingi ,,nagupenda saaaaaaaaana baba

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba 9 місяців тому

    Ni kweli Mimi nilishabadilisha masaa ykulala kuanzia saa sita mpaka saa Kumi kamili nakuwa naomba nasifu nasima Neno ,Ila nimemwomba Mungu isivyokuwa kawaida aisee Mungu yupo Sana Mungu amekuwa rafiki yangu wa karibu mno

  • @catherinekatoto8278
    @catherinekatoto8278 10 місяців тому +3

    Kila pando la adui naling'oa kwa Jina la Yesu. Kulala usiku ni hatari. Nabadili masaa sasa....Eee Mungu nisaidie .

    • @edwinmanji74
      @edwinmanji74 10 місяців тому

      Zingatia,Shetani hakwenda kwa hawa usiku,pia wakati wa majaribu ya Yesu kule jangwani bado haikuwa usiku biblia inamaanisha nini inaposema Usiku pata maarifa ya kweli ili uufikie ujuzi sahihi

    • @catherinekatoto8278
      @catherinekatoto8278 10 місяців тому

      @@edwinmanji74 waniuliza swali au wasemaje? Sikiliza ujumbe vz ndiyo urudi kuuliza tena.

    • @edwinmanji74
      @edwinmanji74 10 місяців тому

      Tusiwape faida watu wa Mtandao ndiomaana nikaandika namba yangu ili nikueleweshe kama ni makosa kukwambia hvyo basi nijulishe

    • @zawadikaminyoge8552
      @zawadikaminyoge8552 9 місяців тому

      ​@@edwinmanji74upo sawa pia tamani na ww ujifunze Kwa wengine Mithali 4:16, Zaburi 30:5 pia atausemacho Zaburi 19:2 nazani mtumishi yupo Sawa tu na ww upo sawa.

  • @alimambabazi3666
    @alimambabazi3666 10 місяців тому

    BABA muchungagi wewe ni ni muchungagi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 you teach deep and clear ❤❤❤❤❤❤❤🙏

  • @raphaelatukuzwe1740
    @raphaelatukuzwe1740 Місяць тому +1

    Amina kubwa

  • @stellahokworo3947
    @stellahokworo3947 10 місяців тому +2

    Amen 🙏 glory glory to Christ Jesus

  • @julianamyaka4537
    @julianamyaka4537 8 місяців тому

    Praise God

  • @victorialema4033
    @victorialema4033 10 місяців тому

    Amen My international Pastor 🙏 kila pando lilopadwa na ADUI kwa njia yeyote ile,Ng'okaa kwa jina la YESU 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @leatimoth3611
    @leatimoth3611 10 місяців тому

    Na ngoa mapando mapando mambaya ndani yangu katika jina la yesu ❤❤❤❤love you daddy you teaching us very good thus why I love you

  • @japhetmkumbwa7914
    @japhetmkumbwa7914 10 місяців тому

    Asante apostle Kila pando ng'olewa Kwa jina la yesu

  • @TembaNestory-d4j
    @TembaNestory-d4j 10 місяців тому

    Kila pando ktk maisha yangu kiroho,chumi, family! NG'OKAAAA KATIKA JINA LA YESU.

  • @rosemundajames3969
    @rosemundajames3969 10 місяців тому

    Kila pando lililopandwa usiku ng'okaaaaa katika jina la Yesu

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 9 місяців тому

    Magugu naya.ngoa katika maisha yangu na kwa mwanangu na familia 🙏

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 9 місяців тому +1

    Kweli viache vikue pamoja yaani mtalemwa anahubiri.vizuri dunia watu wanapenda lakini.wanawake wanavaa masuluali hapo sijui wametumwa naamini wametumwa hao mabinti.sijui wamama ingekuwa karibu ningewajia niwatandike bakora harafu sijui mtalemwa kama anaweza.kunikataza namuona anavohubiri hawezi kuwasaidia nanyooka na masuluali tu kwA wanawake kwamba hawajui Kuwa ni mavazi ya kikahaba daa wamepiga na foo.kabisa.

    • @Neemakilimba
      @Neemakilimba 9 місяців тому

      Ni moja wapo ya magugu

    • @Neemakilimba
      @Neemakilimba 9 місяців тому

      Eti oo yes na suruali zao utadhani mbingu ya Babu yao wasipobadilika nakutubu sehemu yao inawasubiri Suruali kabisa ukaingia nayo kanisani hivi watu hawajui kuwa YESU anarudi ?

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 9 місяців тому

      @@Neemakilimba mpaka utashangaa shetan.hujifanya.maraika.wa.nuru yaani watu wanaokoka matilion.kwenye mtandao kwa huduma ya bushiri mtalemwa manamke ya pale yamestalee lakini mm nahisi wametumwa wale I'li wasimame milangon ma'ana hatukatai kama walizoea kale lakini yesu anabadilisha anakuvua.utu wa kale anakuvalisha utu upya.wenyewe wameingia na ridunia.kanisan.

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 9 місяців тому

      @@Neemakilimba niliwahi washauri kuwa mtalemwa.amebeba mizigo mizito.ya.kuihubiri dunia lakini hamuwezi kutofautisha nguo za kike na za kiume mnakuwa.huru.kwenye nyumba ya ibada.hiyo ni nyumba ya ibada ni nyumba ya Sara tuweni.na adabu

  • @celynmwenewanda3949
    @celynmwenewanda3949 9 місяців тому

    Asante CHIEF APOSTLE kwa mafundisho mazuri sana.

  • @user-mc4yk5iv6j
    @user-mc4yk5iv6j 10 місяців тому

    Mimi ndio mmoja wao mungu nisaidie

  • @evarnafula2898
    @evarnafula2898 8 місяців тому

    Amen

  • @AmosDeus-z8e
    @AmosDeus-z8e 2 місяці тому

    Ameeni

  • @amosmhimba3237
    @amosmhimba3237 10 місяців тому

    Asante Sana Chief kwa Mafunuo haya. 🙏

  • @franklynelucyevekepi2226
    @franklynelucyevekepi2226 10 місяців тому

    Amen pastor love your teachings

  • @glorianshimanyi1545
    @glorianshimanyi1545 10 місяців тому

    Nashukuru kwa mafundisho mazuri na maombi ya kung'oa mapando yaliyopandwa na adui ktk maisha yangu. Mungu nipe neema ya kukesha kiroho.

  • @rhodamashauri7720
    @rhodamashauri7720 10 місяців тому

    Amen nitakesha .

  • @samwelikisigila4818
    @samwelikisigila4818 10 місяців тому

    ASANTE CHIEF KWA SOMO ZURI LA KUNG'OA MAPANDO NINALIFANYIA KAZI

  • @annamakomele339
    @annamakomele339 9 місяців тому

    Chief 🙏🙏🙏🙏Asante