#LIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 381

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 роки тому +7

    Hongera Sana kwa mama dangote kuzaa mtoto mwema mashallah mungu ampe afya njema nasiha njema 🤲

  • @teeyspices4190
    @teeyspices4190 3 роки тому +5

    Asante aisha vzr sana umemnyoosha

  • @asiasalim4634
    @asiasalim4634 3 роки тому +9

    Mwanamke anampenda juma bado.. Asante momo na dida mmemaliza vizuri
    Big up lokole

  • @victoriamkilya928
    @victoriamkilya928 3 роки тому +5

    Wanawake tunaowatoaga wanaume tongotongo huwa tunaumizwa sana, tukisema tunawaanika ni aibu yao. Hongera Bi Aisha na Juma kuyamaliza swalama!🙏

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 3 роки тому +6

    Issa Azam huu mwezi Mtukufu halafu ni muislam bado una sengenya Subhanallah

    • @kakasijohari7461
      @kakasijohari7461 3 роки тому

      Okopa mtu anaesema ndugu yake wa damu. Ipo siku na hawo utawatangaza mabaya. Gari tu inakutowa povu. Ndugu ni ndugu omba apana kuponda wako. Issa muokope Mungu duniya nimapito. Naokopa!!!!!!!

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 3 роки тому

    Isa azam nakukubali sana,zidi kupambana kabisa, 💪❤️🌞🙏🇰🇪. Lakini juma lipa deni na Kama mnaweza kusameheana basi mrudiane maisha mengine yaendelee👏🔥❤️🌞🙏🇰🇪.

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 роки тому

    Mungu awabariki sana Familia ya Masham Sham kwa jambo zuri kama hili la kuondoa tafauti zao Juma na Mama Watt wake Alhamdulilah Alhamdulilah M.mungu awape kila la kheri Dunia na Akhera Bii Idhinillah Ameen

  • @kwizerasamia5397
    @kwizerasamia5397 3 роки тому +3

    Ma sha allah mzur bi aisha😘😘

  • @subiramichael3840
    @subiramichael3840 3 роки тому +8

    Ira mpe pesa zake dhambi usipompa pesa zake muogope mungu nayule dada alikupenda kwa dhati na mvumilivu na msili akuongelei vbaya naww usimuongelee vbaya

  • @clionmasha3328
    @clionmasha3328 3 роки тому +1

    Ramadhaniii radio nzimaas mumeamua kumchafuaaaa mwenzenuuuu gariutuuuu ndio linaganyaaa unaaichafua familiaaa Mungu akusamehee

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 роки тому

    Dida upo vizuri mashallah napenda upo vizuri kwamaswali endelea kumswalika juma ujuba umemuisha kweli muosha huoshwa

  • @khadijashaban3218
    @khadijashaban3218 3 роки тому +5

    Mwanamke nimzur mashallah

  • @kwelikabisa1171
    @kwelikabisa1171 3 роки тому +2

    Huyo issa fala sana kiba hamuongelei wala nini yeye kila interview kiba

    • @MctMct-tt4rq
      @MctMct-tt4rq 3 роки тому

      HAJIELEWI HUYO ANAONA BORA USHABIK KULIKO UDUGU HAJUI UDUGU HAWISHI

  • @fettymurhan229
    @fettymurhan229 3 роки тому +3

    dada DIDA nakupendaaa

  • @mariajojoshoo4465
    @mariajojoshoo4465 3 роки тому +6

    Dida una hekima sana. nimekupenda sana

  • @salehemkwawila6421
    @salehemkwawila6421 3 роки тому

    Nawakubari sana wasifi

  • @انبنداملبن
    @انبنداملبن 3 роки тому +13

    Juma mrudishe mkeo isa umeongeya vizuri na uchebe ume zungumza vizuri pia wcb 4 life leo ilikuwa tamu kwa masham sham

  • @zuhuraibrahimu446
    @zuhuraibrahimu446 3 роки тому +4

    Ila dada dida nakupenda atar😘😘

  • @franckazaidifranckzaidi9306
    @franckazaidifranckzaidi9306 3 роки тому +4

    Sauti ya Aisha Lokole kama ya Zuchu mashaallah

  • @dieudonnebigirimana8083
    @dieudonnebigirimana8083 3 роки тому +17

    Juma yeeeeeee 🤣🤣 mrudishe mama ni mzuri ❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @julejule4477
      @julejule4477 3 роки тому +1

      Tena sana km anauko na snora adi kuongea anmoyo waimani waume bwana

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 роки тому +2

    Nimemsikiliza huyo Dada media Kama mbili tofauti
    Aisha bado anampenda Juma ila cjajuwa kumpenda huko kwavle yupo WCB au tokea kpnd cha nyuma

  • @sultanaswaleh7813
    @sultanaswaleh7813 3 роки тому

    Love you Didaaaaa!

  • @teeyspices4190
    @teeyspices4190 3 роки тому

    Wallah momo nimekupenda unaongea point saana

  • @jamilamajid2287
    @jamilamajid2287 3 роки тому +2

    Kaka momo umeongea point sana

  • @zuuzuundotterz4032
    @zuuzuundotterz4032 3 роки тому +4

    Juma mkeo mzuri kushinda ulozaa nae 😎

    • @fadhilamohammed8764
      @fadhilamohammed8764 3 роки тому +1

      Huyo pia kazaa nae mtoto wakwanza cjajua km amepata mwingne

  • @maryammilao9882
    @maryammilao9882 3 роки тому +1

    Kweli muosha huoshwa Juma Lokole leo Kapata na kigagaziko juuu anacheka bila ata kutengenywa Bababaeeee

  • @annamsabila534
    @annamsabila534 3 роки тому +1

    Umekoma leo

  • @evelynochola3280
    @evelynochola3280 3 роки тому +1

    Na Amina henekeni ulivamia?

  • @angelsalome8053
    @angelsalome8053 3 роки тому +1

    Juma mungu anakuona

  • @kwelikabisa1171
    @kwelikabisa1171 3 роки тому +2

    Huyo issa fala sana

  • @shyrosemichael3466
    @shyrosemichael3466 3 роки тому +7

    juma huyo ndo mke

    • @marthakilowoko8868
      @marthakilowoko8868 3 роки тому

      Nikweli huyo nimke wake jamani kampenda toka hana kitu na mahari katoa pesa zake jamanii na KAKUPENDA ukiwa huna sura huyo ndio mke wako .

  • @careenernest8912
    @careenernest8912 3 роки тому +3

    Leo juma mpoleeee

  • @idas.kitchen05
    @idas.kitchen05 3 роки тому +2

    Tena muosheni vizuri uyo juma

  • @ABDULKITINDI
    @ABDULKITINDI 6 місяців тому

    Hallo wasafi

  • @zaidankasamya2211
    @zaidankasamya2211 3 роки тому

    Nimeipenda hii

  • @pierrebigirindavyi4378
    @pierrebigirindavyi4378 3 роки тому +5

    Momo unabusara saaana kaka

  • @suzanamhakilicha3358
    @suzanamhakilicha3358 3 роки тому +2

    Kosa moja hata yeye analijua nasio vizuri kusema hata kwajamii,aisee

  • @marylilianachieng5711
    @marylilianachieng5711 3 роки тому +1

    Juma kapatikana leo. Dida shukran sana.

  • @rahmamussa8780
    @rahmamussa8780 3 роки тому +11

    Kweli huyo mwanamke anamjua juma vizuri mana juma kapooaaaaa 😃😃😃😃

  • @subiramichael3840
    @subiramichael3840 3 роки тому +10

    Kweri juma unazarau punguza

    • @lucyhussein7126
      @lucyhussein7126 3 роки тому

      Ha ha ha ha sijui anaechabwa hajuilikan wote mnachambana!!!! Keleeeee

  • @fatmammanga5275
    @fatmammanga5275 3 роки тому +3

    Jamn juma pole moyo was m2 msitu juma

  • @Maginnniiiiii
    @Maginnniiiiii 3 роки тому +1

    Jamani juma unazarau sana

  • @rayouaabdallah1394
    @rayouaabdallah1394 3 роки тому +3

    Ndo naww uache tabia zakike haipendezi mwanamme ukamchamba mkeo uache umbea juma

  • @zuhuraibrahimu446
    @zuhuraibrahimu446 3 роки тому +5

    Juma yeeee mpemahari yake

  • @فاطمهالشمري-د2ج
    @فاطمهالشمري-د2ج 3 роки тому

    Mashaallah djuma.ana mwanamke mzuriii kabisa niujinga wak tuu waumbea lakin nikaz

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 роки тому +3

    Huyo Dada mzur cjuw kwann waliachana na Juma,,,
    Aisha Kama huna bwana njoo kwangu me nipo 🏃

    • @julejule4477
      @julejule4477 3 роки тому +1

      Juma ataka kulelewa nasai dadawawatu hana hela apo umemdikia pia uyo alonaee kamlipia mahari

    • @ferouzmasoud4741
      @ferouzmasoud4741 3 роки тому +2

      @@julejule4477 duuuh 😲

  • @mariambakari996
    @mariambakari996 3 роки тому

    Juma leo kawa mpole sana yamemfika

  • @rahmasalim3087
    @rahmasalim3087 3 роки тому +5

    Mm napenda mashamsham wamuite rayvanny na fahyma tuwaskie

  • @mwanatumually7312
    @mwanatumually7312 3 роки тому

    Jumaaaaaaa🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️aibu....lipa mahari....mwangalie mtoto chefuuuu mbea kumbe mshamba tu

  • @timaosthman2304
    @timaosthman2304 3 роки тому +1

    Hana mapiya huyo mwanameke yuwatafuta umaarufu kupetiya kwako juma wangu uko juuu baba penga kelele kwa juma wakwe❤❤

    • @mariyammaria3366
      @mariyammaria3366 3 роки тому +1

      Nimke wake kweli juma mwenyewe ndo aliyaanza kama angemchokora ange fika apo

  • @octavianafrican289
    @octavianafrican289 3 роки тому +1

    Ila juma ni mshari

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 3 роки тому +2

    Nyie mna mambo kwakweli

  • @hafsahamadi1631
    @hafsahamadi1631 3 роки тому +2

    Huyo issa azam anaonyesha ana roho mbaya sana njaa itampeleka pabaya sana mmbwa huyo unaambiwa damu nzito kuliko maji ipo siku damu itakuumbua tuu nyooooo

    • @lilianlukindo6502
      @lilianlukindo6502 3 роки тому

      Kweli kabisa me ananikera kweli tushajua ni ndugu kinachomuongelea ally kiba nn na akikaa akisubiri kiba amjibu atasubiri Sana hana ujinga wako mpuuzi huyo Fanya maisha yako kiba kiba mnamtaja bcs unamwogopa chawa mkubwa ww

  • @sharmarkeyusuf2752
    @sharmarkeyusuf2752 3 роки тому

    Mmbea juma umepatikana leo

  • @meriserge1415
    @meriserge1415 3 роки тому +1

    Yooo Jum nchek Pak mbavu zinaum

  • @mathewmwamba9161
    @mathewmwamba9161 3 роки тому

    Only in tz

  • @mariammariam6765
    @mariammariam6765 3 роки тому

    Kapatikana leo lokore1

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 3 роки тому +1

    Nyoo kumbe juma piya ww hupatikana

  • @idas.kitchen05
    @idas.kitchen05 3 роки тому +1

    Juma leo ana kigugumizi

  • @khadijaamani9807
    @khadijaamani9807 3 роки тому +1

    Juma Shikamo 😃😃😃😃😃😃

  • @yusuphally6996
    @yusuphally6996 3 роки тому

    Juma kapaniki kweli😊😊😊😊

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 3 роки тому +2

    Mrudiane sasa

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 3 роки тому +4

    Hilo tatizo moja hutoongea kwa Sabu sio zur kwa jamii nii twambie au ndo Yale wanaviongea watu🙈

  • @josephmkutu5228
    @josephmkutu5228 3 роки тому +2

    Turudshe to mahar ya watu

  • @victoriabaker6198
    @victoriabaker6198 3 роки тому +3

    Huyu kaka ni mshenzi kabisa kama kiba ni ndugu yako kwa nini umuanike kuwa ni mbaya kwa watu undugu haufi urafiki haufi fala sana wewe

  • @dotahamad6640
    @dotahamad6640 3 роки тому +1

    Jamaniii hao mabodgad wa nn sasa

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 3 роки тому

    Juma sii dini Inamruhusuuuuu

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 3 роки тому +2

    Jumah hata nipewe bure siwezi mkubali huyu..not husband material

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 роки тому +1

    Juma mrudishe mkeo

  • @minzagabriel1493
    @minzagabriel1493 3 роки тому

    Juma ana mhao

  • @elizabethsakina2306
    @elizabethsakina2306 3 роки тому +3

    Nimempenda didah 🤣😂😂🤣😂😂😂😂mmbea sana🤣🤣😂🤣

  • @yussufmohd890
    @yussufmohd890 3 роки тому +1

    Hanisi sana huyu yaani ndo anajivunia mme mwenziwe kumfanyia kila kitu

  • @victoriagasper4478
    @victoriagasper4478 3 роки тому

    Juma anazarau sana

  • @tatuhongeranurushaus485
    @tatuhongeranurushaus485 3 роки тому +13

    Juma lokole wapi hiyo sikuon 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥😁😁😁😁leo tunakusema wewe maana umezid kusema wenzio

    • @fatmaabdi8813
      @fatmaabdi8813 3 роки тому +1

      Kupatwa kwa juma🤣🤣🤣

    • @fatmaabdi8813
      @fatmaabdi8813 3 роки тому

      Kupatwa kwa juma🤣🤣🤣

    • @fatmasaid7093
      @fatmasaid7093 3 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @ashadama3258
    @ashadama3258 3 роки тому

    Kwanza nimakosa kupeana mikono mke na mume mbali na kukumbatiana, pili....Ni makosa kuoa uache kisa wazamani arudi,hakuna ndoa Kama hio....huenda mumeongea Kwa dhihaka Ila kuna watu wengi wanaskiza na elimu ya dini kila mmoja ana kiwango chake, asije akafanya mtu Kwa kua ameskia kwenu...Tuwe makini maana hakuna anaeweza maswali ama Gharka ya Allah (S.W)

  • @alexfilibert6446
    @alexfilibert6446 3 роки тому

    Juma kapata mhahooooo ngombe

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 3 роки тому

    Nice

  • @judyjudy2758
    @judyjudy2758 3 роки тому +6

    Ila Juma mkeo mzuri mrudie,utakuwa umefanya jambo la heri bado anakupenda, kakuzungumzia mambo mazuri tu haja kuongelea baya lolote

  • @chankmdoli917
    @chankmdoli917 3 роки тому +1

    Kweli juma leo kawa mpole jatariii

  • @mamanunu26
    @mamanunu26 3 роки тому +6

    Muyoshwa huyoshwa hapo chachaa

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 3 роки тому +2

    Sound hiyo inaharibu

  • @humairamajengo6616
    @humairamajengo6616 3 роки тому +1

    Mbea leo kababwa

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 3 роки тому +5

    Juma kapoa mana anajua mke kasema kuna sababu ya kumuondoa kwake moja ni ya siri akiongea lazina ahazirike

    • @MsChocoFlava
      @MsChocoFlava 3 роки тому

      Siri ni kwamba anawaweka wanawake kama kivuli ila Juma ni gay

    • @josephkiwale374
      @josephkiwale374 Рік тому

      @@MsChocoFlava ila inawezekana nimitazamo yetu2,pengne cyo gay

  • @mapendosafi3429
    @mapendosafi3429 3 роки тому +7

    Dida nakupenda sana kabisa kwakweli juma alikua nakauka kama musomalia😅😅😆😆oooh juma ule mwanamke alikua nakupenda sana juma wanaume walimbukeni akipata pesa kesho anakutupa juma Mungu akusame haki yamungu this it's was time for you ku make that women happy ila unamurudishiya mabaya nooooo man juma murudishane yule mwamke nimuzuri wazuri niwengi ila wenye mapenzi yakweli awako most women today wata kupenda kwasababu unakua najina but this women did mind you did have money .juma ume mukoseya sana kabisa uyu mwanamke

  • @QwQw-tr7gy
    @QwQw-tr7gy 3 роки тому +1

    Watu wanasahau walikotoka lokole asingemuacha uyu Dada make alikua anambemba Sana pind Hana kipato

  • @sophiahenry1488
    @sophiahenry1488 3 роки тому

    Me tishaa jeshi

  • @aishamukandanga272
    @aishamukandanga272 3 роки тому +2

    Juma kakamatwa leo

  • @aminatuffi2824
    @aminatuffi2824 3 роки тому +5

    Juma kawa mpole leo

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 3 роки тому

    Ww juma maku tu’ unamuongelea mwanamke ushaachana nae’ ili iweje ‘ Acha ubwege ‘ Ndio tatizo la kuwa na vijitabia vya kishogashoga...’ Na mwanamke amesema anakustiri kwenye mambo mengine yako ya ndani.....’ACHA ULIMBUKENI’....!

  • @graceaabongo4698
    @graceaabongo4698 3 роки тому +1

    Yan me uyo Isa simpendi

    • @sunherybabie1472
      @sunherybabie1472 3 роки тому +1

      Mimi kanikwaza kumsema ndugu yake maneno ambayo hakupaswa kuyasema huku,Hata kama anampenda diamond lakini lazima awe na mipaka ya maneno jamani.

  • @pendohumphrey7588
    @pendohumphrey7588 3 роки тому +4

    Juma ana mhaho!

  • @venasasende1474
    @venasasende1474 3 роки тому

    Niatari🔥🔥

  • @andersonchibule4761
    @andersonchibule4761 3 роки тому +2

    Mahakama ndogo.....

  • @ferouzkeis6994
    @ferouzkeis6994 3 роки тому

    Wewe juma ukifukuzwa apo wasafi utaenda wapi

  • @mathewmwamba9161
    @mathewmwamba9161 3 роки тому +4

    Walking with bodyguards yet you never owned a car your entire life..lol see your life

  • @thomasmosesmganga2552
    @thomasmosesmganga2552 3 роки тому +1

    Hii stesheni niyakijiweni

  • @Mku-wa-waku1
    @Mku-wa-waku1 3 роки тому +1

    Juma lokole kumbe fara sana, eshima ni kitu cha bure. Zarau sio nzuri, kuna leo na kecho.

  • @christinagidion8236
    @christinagidion8236 3 роки тому

    Juma akisha muacha mwanamke ameacha akumbuke telna wa nyuma anamkumbuka yule aliekua nae kwa sasa nampongeza kwa kweli ushujaa wake uwe mfano kwa wengine mtoto anamudumua mwenyewe kwakweli ongela kaka we ni mwanaume wa pekee katika duania hii

  • @mmungaramazani4016
    @mmungaramazani4016 3 роки тому +1

    Nimeelewa sasa juma jogoo apandi

    • @malakiyazidu0080
      @malakiyazidu0080 3 роки тому +1

      🙄🙄🙄umeelewa hapandi kivip wakat unaon alioa nasasahiv anamtot mchanga

    • @mmungaramazani4016
      @mmungaramazani4016 3 роки тому +1

      @@malakiyazidu0080 😀😀😀 kama umesikia hatoongelea vya ndani na ndio chanzo na yeye na juma kuachana

  • @rogerciao6379
    @rogerciao6379 3 роки тому

    Jamani hebu nifahamisheni hapa kwenye mahari.Huyu Mke atakuwa anadai laki3 au laki5.