Okopa mtu anaesema ndugu yake wa damu. Ipo siku na hawo utawatangaza mabaya. Gari tu inakutowa povu. Ndugu ni ndugu omba apana kuponda wako. Issa muokope Mungu duniya nimapito. Naokopa!!!!!!!
Isa azam nakukubali sana,zidi kupambana kabisa, 💪❤️🌞🙏🇰🇪. Lakini juma lipa deni na Kama mnaweza kusameheana basi mrudiane maisha mengine yaendelee👏🔥❤️🌞🙏🇰🇪.
Mungu awabariki sana Familia ya Masham Sham kwa jambo zuri kama hili la kuondoa tafauti zao Juma na Mama Watt wake Alhamdulilah Alhamdulilah M.mungu awape kila la kheri Dunia na Akhera Bii Idhinillah Ameen
Ira mpe pesa zake dhambi usipompa pesa zake muogope mungu nayule dada alikupenda kwa dhati na mvumilivu na msili akuongelei vbaya naww usimuongelee vbaya
Huyo issa azam anaonyesha ana roho mbaya sana njaa itampeleka pabaya sana mmbwa huyo unaambiwa damu nzito kuliko maji ipo siku damu itakuumbua tuu nyooooo
Kweli kabisa me ananikera kweli tushajua ni ndugu kinachomuongelea ally kiba nn na akikaa akisubiri kiba amjibu atasubiri Sana hana ujinga wako mpuuzi huyo Fanya maisha yako kiba kiba mnamtaja bcs unamwogopa chawa mkubwa ww
Kwanza nimakosa kupeana mikono mke na mume mbali na kukumbatiana, pili....Ni makosa kuoa uache kisa wazamani arudi,hakuna ndoa Kama hio....huenda mumeongea Kwa dhihaka Ila kuna watu wengi wanaskiza na elimu ya dini kila mmoja ana kiwango chake, asije akafanya mtu Kwa kua ameskia kwenu...Tuwe makini maana hakuna anaeweza maswali ama Gharka ya Allah (S.W)
Dida nakupenda sana kabisa kwakweli juma alikua nakauka kama musomalia😅😅😆😆oooh juma ule mwanamke alikua nakupenda sana juma wanaume walimbukeni akipata pesa kesho anakutupa juma Mungu akusame haki yamungu this it's was time for you ku make that women happy ila unamurudishiya mabaya nooooo man juma murudishane yule mwamke nimuzuri wazuri niwengi ila wenye mapenzi yakweli awako most women today wata kupenda kwasababu unakua najina but this women did mind you did have money .juma ume mukoseya sana kabisa uyu mwanamke
Ww juma maku tu’ unamuongelea mwanamke ushaachana nae’ ili iweje ‘ Acha ubwege ‘ Ndio tatizo la kuwa na vijitabia vya kishogashoga...’ Na mwanamke amesema anakustiri kwenye mambo mengine yako ya ndani.....’ACHA ULIMBUKENI’....!
Juma akisha muacha mwanamke ameacha akumbuke telna wa nyuma anamkumbuka yule aliekua nae kwa sasa nampongeza kwa kweli ushujaa wake uwe mfano kwa wengine mtoto anamudumua mwenyewe kwakweli ongela kaka we ni mwanaume wa pekee katika duania hii
Hongera Sana kwa mama dangote kuzaa mtoto mwema mashallah mungu ampe afya njema nasiha njema 🤲
Mtoto wa mama dangote ni yup
Asante aisha vzr sana umemnyoosha
Mwanamke anampenda juma bado.. Asante momo na dida mmemaliza vizuri
Big up lokole
Wanawake tunaowatoaga wanaume tongotongo huwa tunaumizwa sana, tukisema tunawaanika ni aibu yao. Hongera Bi Aisha na Juma kuyamaliza swalama!🙏
Issa Azam huu mwezi Mtukufu halafu ni muislam bado una sengenya Subhanallah
Okopa mtu anaesema ndugu yake wa damu. Ipo siku na hawo utawatangaza mabaya. Gari tu inakutowa povu. Ndugu ni ndugu omba apana kuponda wako. Issa muokope Mungu duniya nimapito. Naokopa!!!!!!!
Isa azam nakukubali sana,zidi kupambana kabisa, 💪❤️🌞🙏🇰🇪. Lakini juma lipa deni na Kama mnaweza kusameheana basi mrudiane maisha mengine yaendelee👏🔥❤️🌞🙏🇰🇪.
Mungu awabariki sana Familia ya Masham Sham kwa jambo zuri kama hili la kuondoa tafauti zao Juma na Mama Watt wake Alhamdulilah Alhamdulilah M.mungu awape kila la kheri Dunia na Akhera Bii Idhinillah Ameen
Ma sha allah mzur bi aisha😘😘
Ira mpe pesa zake dhambi usipompa pesa zake muogope mungu nayule dada alikupenda kwa dhati na mvumilivu na msili akuongelei vbaya naww usimuongelee vbaya
Kabisaaa
Ramadhaniii radio nzimaas mumeamua kumchafuaaaa mwenzenuuuu gariutuuuu ndio linaganyaaa unaaichafua familiaaa Mungu akusamehee
Dida upo vizuri mashallah napenda upo vizuri kwamaswali endelea kumswalika juma ujuba umemuisha kweli muosha huoshwa
Mwanamke nimzur mashallah
Mashalala
Huyo issa fala sana kiba hamuongelei wala nini yeye kila interview kiba
HAJIELEWI HUYO ANAONA BORA USHABIK KULIKO UDUGU HAJUI UDUGU HAWISHI
dada DIDA nakupendaaa
Dida una hekima sana. nimekupenda sana
Nawakubari sana wasifi
Juma mrudishe mkeo isa umeongeya vizuri na uchebe ume zungumza vizuri pia wcb 4 life leo ilikuwa tamu kwa masham sham
Ila dada dida nakupenda atar😘😘
Sauti ya Aisha Lokole kama ya Zuchu mashaallah
Juma yeeeeeee 🤣🤣 mrudishe mama ni mzuri ❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Tena sana km anauko na snora adi kuongea anmoyo waimani waume bwana
Nimemsikiliza huyo Dada media Kama mbili tofauti
Aisha bado anampenda Juma ila cjajuwa kumpenda huko kwavle yupo WCB au tokea kpnd cha nyuma
Love you Didaaaaa!
Wallah momo nimekupenda unaongea point saana
Kaka momo umeongea point sana
Juma mkeo mzuri kushinda ulozaa nae 😎
Huyo pia kazaa nae mtoto wakwanza cjajua km amepata mwingne
Kweli muosha huoshwa Juma Lokole leo Kapata na kigagaziko juuu anacheka bila ata kutengenywa Bababaeeee
Umekoma leo
Na Amina henekeni ulivamia?
Juma mungu anakuona
Huyo issa fala sana
juma huyo ndo mke
Nikweli huyo nimke wake jamani kampenda toka hana kitu na mahari katoa pesa zake jamanii na KAKUPENDA ukiwa huna sura huyo ndio mke wako .
Leo juma mpoleeee
Tena muosheni vizuri uyo juma
Hallo wasafi
Nimeipenda hii
Momo unabusara saaana kaka
Kosa moja hata yeye analijua nasio vizuri kusema hata kwajamii,aisee
Juma kapatikana leo. Dida shukran sana.
Kweli huyo mwanamke anamjua juma vizuri mana juma kapooaaaaa 😃😃😃😃
Kapoa kama maji ya mtungini
Kweri juma unazarau punguza
Ha ha ha ha sijui anaechabwa hajuilikan wote mnachambana!!!! Keleeeee
Jamn juma pole moyo was m2 msitu juma
Jamani juma unazarau sana
Ndo naww uache tabia zakike haipendezi mwanamme ukamchamba mkeo uache umbea juma
Juma yeeee mpemahari yake
Mashaallah djuma.ana mwanamke mzuriii kabisa niujinga wak tuu waumbea lakin nikaz
Huyo Dada mzur cjuw kwann waliachana na Juma,,,
Aisha Kama huna bwana njoo kwangu me nipo 🏃
Juma ataka kulelewa nasai dadawawatu hana hela apo umemdikia pia uyo alonaee kamlipia mahari
@@julejule4477 duuuh 😲
Juma leo kawa mpole sana yamemfika
Mm napenda mashamsham wamuite rayvanny na fahyma tuwaskie
Mnh wale wajeuri sjui kama watajibu kitu
@@joycechaz2840 😄
Fayma ni jeuri na Ray nunda Sasa patakuwa hapatoshi
Ulijuaj shoga ang akiletw fahmy ray so poa
Jumaaaaaaa🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️aibu....lipa mahari....mwangalie mtoto chefuuuu mbea kumbe mshamba tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@tatuhongeranurushaus485 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Hana mapiya huyo mwanameke yuwatafuta umaarufu kupetiya kwako juma wangu uko juuu baba penga kelele kwa juma wakwe❤❤
Nimke wake kweli juma mwenyewe ndo aliyaanza kama angemchokora ange fika apo
Ila juma ni mshari
Nyie mna mambo kwakweli
Huyo issa azam anaonyesha ana roho mbaya sana njaa itampeleka pabaya sana mmbwa huyo unaambiwa damu nzito kuliko maji ipo siku damu itakuumbua tuu nyooooo
Kweli kabisa me ananikera kweli tushajua ni ndugu kinachomuongelea ally kiba nn na akikaa akisubiri kiba amjibu atasubiri Sana hana ujinga wako mpuuzi huyo Fanya maisha yako kiba kiba mnamtaja bcs unamwogopa chawa mkubwa ww
Mmbea juma umepatikana leo
Yooo Jum nchek Pak mbavu zinaum
Only in tz
Kapatikana leo lokore1
Nyoo kumbe juma piya ww hupatikana
Juma leo ana kigugumizi
Juma Shikamo 😃😃😃😃😃😃
Juma kapaniki kweli😊😊😊😊
Mrudiane sasa
Hilo tatizo moja hutoongea kwa Sabu sio zur kwa jamii nii twambie au ndo Yale wanaviongea watu🙈
Turudshe to mahar ya watu
Huyu kaka ni mshenzi kabisa kama kiba ni ndugu yako kwa nini umuanike kuwa ni mbaya kwa watu undugu haufi urafiki haufi fala sana wewe
Jamaniii hao mabodgad wa nn sasa
Juma sii dini Inamruhusuuuuu
Jumah hata nipewe bure siwezi mkubali huyu..not husband material
Juma mrudishe mkeo
Juma ana mhao
Nimempenda didah 🤣😂😂🤣😂😂😂😂mmbea sana🤣🤣😂🤣
Hanisi sana huyu yaani ndo anajivunia mme mwenziwe kumfanyia kila kitu
Juma anazarau sana
Juma lokole wapi hiyo sikuon 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥😁😁😁😁leo tunakusema wewe maana umezid kusema wenzio
Kupatwa kwa juma🤣🤣🤣
Kupatwa kwa juma🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Kwanza nimakosa kupeana mikono mke na mume mbali na kukumbatiana, pili....Ni makosa kuoa uache kisa wazamani arudi,hakuna ndoa Kama hio....huenda mumeongea Kwa dhihaka Ila kuna watu wengi wanaskiza na elimu ya dini kila mmoja ana kiwango chake, asije akafanya mtu Kwa kua ameskia kwenu...Tuwe makini maana hakuna anaeweza maswali ama Gharka ya Allah (S.W)
Juma kapata mhahooooo ngombe
Nice
Ila Juma mkeo mzuri mrudie,utakuwa umefanya jambo la heri bado anakupenda, kakuzungumzia mambo mazuri tu haja kuongelea baya lolote
Kweli juma leo kawa mpole jatariii
Muyoshwa huyoshwa hapo chachaa
huyo momo. mtoweni hapo ana mpango
Sound hiyo inaharibu
Mbea leo kababwa
Juma kapoa mana anajua mke kasema kuna sababu ya kumuondoa kwake moja ni ya siri akiongea lazina ahazirike
Siri ni kwamba anawaweka wanawake kama kivuli ila Juma ni gay
@@MsChocoFlava ila inawezekana nimitazamo yetu2,pengne cyo gay
Dida nakupenda sana kabisa kwakweli juma alikua nakauka kama musomalia😅😅😆😆oooh juma ule mwanamke alikua nakupenda sana juma wanaume walimbukeni akipata pesa kesho anakutupa juma Mungu akusame haki yamungu this it's was time for you ku make that women happy ila unamurudishiya mabaya nooooo man juma murudishane yule mwamke nimuzuri wazuri niwengi ila wenye mapenzi yakweli awako most women today wata kupenda kwasababu unakua najina but this women did mind you did have money .juma ume mukoseya sana kabisa uyu mwanamke
Watu wanasahau walikotoka lokole asingemuacha uyu Dada make alikua anambemba Sana pind Hana kipato
Me tishaa jeshi
Juma kakamatwa leo
Juma kawa mpole leo
Ww juma maku tu’ unamuongelea mwanamke ushaachana nae’ ili iweje ‘ Acha ubwege ‘ Ndio tatizo la kuwa na vijitabia vya kishogashoga...’ Na mwanamke amesema anakustiri kwenye mambo mengine yako ya ndani.....’ACHA ULIMBUKENI’....!
Yan me uyo Isa simpendi
Mimi kanikwaza kumsema ndugu yake maneno ambayo hakupaswa kuyasema huku,Hata kama anampenda diamond lakini lazima awe na mipaka ya maneno jamani.
Juma ana mhaho!
😂😂😂😂😂😂😂😂
Dida unambeba sana juma
Niatari🔥🔥
Mahakama ndogo.....
Wewe juma ukifukuzwa apo wasafi utaenda wapi
Walking with bodyguards yet you never owned a car your entire life..lol see your life
Hii stesheni niyakijiweni
Juma lokole kumbe fara sana, eshima ni kitu cha bure. Zarau sio nzuri, kuna leo na kecho.
Juma akisha muacha mwanamke ameacha akumbuke telna wa nyuma anamkumbuka yule aliekua nae kwa sasa nampongeza kwa kweli ushujaa wake uwe mfano kwa wengine mtoto anamudumua mwenyewe kwakweli ongela kaka we ni mwanaume wa pekee katika duania hii
Nimeelewa sasa juma jogoo apandi
🙄🙄🙄umeelewa hapandi kivip wakat unaon alioa nasasahiv anamtot mchanga
@@malakiyazidu0080 😀😀😀 kama umesikia hatoongelea vya ndani na ndio chanzo na yeye na juma kuachana
Jamani hebu nifahamisheni hapa kwenye mahari.Huyu Mke atakuwa anadai laki3 au laki5.