Exclusive Interview na Harmonize - PART 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • Harmonize ni msanii wa kwanza kutambulishwa kutoka kwenye WCB lebo inayomilikiwa na mwimbaji Diamond Platnumz, na sasa Harmo ana single yake mpya inaitwa 'Aiyola'

КОМЕНТАРІ • 159

  • @its_khalidy_46
    @its_khalidy_46 Рік тому +3

    2023 and am still come here to watch,,,,this story is inspirational

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 4 роки тому +19

    Tuliokuja kuangalia hii interview baada ya #YUDA kutoka WCB tuonane..

  • @kiyombi
    @kiyombi 8 років тому +1

    Dogo amechomoka mbaya. Kikubwa akaze na maisha magumu aliyopitia ayachukulie kama somo litakalo mfanya akaze zaidi. Ngoma nzuri sana imetubamba wengi. Hongera sana Harmonize

  • @aboubakarmansour1189
    @aboubakarmansour1189 5 років тому +15

    2019 nimekuja kuichek tena maan hii historia imenigusa san tuende pamoja.

  • @habiba0022
    @habiba0022 7 років тому +6

    nimependa umeongea vizuli historia Yako mungu huwa analipa hapahapa duniani
    kumbe ule wimbo wako wa matatizo umeimba maisha ulio yapitia hongera sana kaza buti utazidi kufika mbali mdogo Wangu nawalio kufanyia ubaya wataona aibu bgp

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 4 роки тому +1

    Daaah maisha ni safari
    Leo hii ni 2020 harmonize ni moja wa mastaa wa 3 wa mziki bongo
    Konde boy

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 роки тому +2

    Kwel maisha ni safar na kifo ni Konyagi Sasa hv Hamo upo juu Konde Boy Hongera Sanaa

  • @shaibumandova6108
    @shaibumandova6108 9 років тому +1

    Hongera Harmonize, umepitia mengi na ni ya kujifunza kwa vijana wengine. Hongera Millard Ayo utuwekee part 2 na zingine ili tufahamu zaidi hatua zake. Ni mwanamuziki mzuri. Big up zaidi kwa WCB

  • @citizen6332
    @citizen6332 9 років тому +1

    hongere.sana Harmonize kiukweli nyimbo zako Aiyola na Kidonda changu zimegusa hisia zangu sana.....waitn for part 2

  • @xbdbdgdgsbdbbxx4254
    @xbdbdgdgsbdbbxx4254 2 роки тому +1

    Jamanii nani ana rudia kuangalia hii interview, November 2021? Harmonize leo ka sahau yooote haya. Duniani tenda wema nenda zako.😃😃😃

  • @ezrommussamusssa2540
    @ezrommussamusssa2540 Рік тому +2

    2023
    Konde kawa namba 1

  • @mohammedrashid7735
    @mohammedrashid7735 8 років тому +3

    dah hustling ya ukwel kaka story yko inatoa machoz na mtaan kuna watu weng wenye kipaj ispokuwa kupataline ndo ishu big up wimbo wako mpya pia ni mzur

  • @florenceholmen8304
    @florenceholmen8304 2 роки тому +3

    Watu wanatakiwa kuiona hii interview. 2021.

  • @makambakodancers5041
    @makambakodancers5041 9 років тому +1

    All ze best harmonize... Utafika mbali sn kwa nilivoona majibu yako... Wimbo ni mzuri sn angekuwa mwingine hapo angekuwa ameshaanza ujivuni wakubinua midomo na vtu km hvy...

    • @babyzuchu3866
      @babyzuchu3866 8 місяців тому

      Kweli bwana Leo Yuko mbali mno

  • @luckyboy_ke
    @luckyboy_ke Рік тому

    2023 still here !JESHI,!TEMBO!KONDEBOY💪💪💪 NEVER GIVE UP!

  • @haramyjay2362
    @haramyjay2362 9 років тому +1

    personally I didn't know about this dude not until I came across this interview . The song Aiyolo is a hit I've been playing it since , it had a touching message that we as human being faces on a daily basis. Especially when you are a man yet you can't afford to impress your own woman's lust. He's life story , his hustle really he his a hustler. Big up Harmonize and to Millard Ayo for the great work ya doing . Cheers 🙌🙉

  • @tngmediake1905
    @tngmediake1905 2 роки тому

    Am here after 2022 jweli 6yrs back it was true brotherhood wakati harmonize alikili diamond aliminspire na sasa inadhihirisha baada ya mtu kushikwa mkono unajimazaa

  • @minanifuraha
    @minanifuraha 9 років тому +9

    Asante kwa killa video una post kwenye youtube inani furaisha sana usicoke ku post video ukicoka ni taliya, killa siku nakuombea kwa mungu

  • @aishayahaya4102
    @aishayahaya4102 9 років тому +1

    hongera kjana.......kwa hatua uliofkia mungu akupe nguvu na moyo wa kuendelea kujituma

  • @frankchecktime9094
    @frankchecktime9094 9 років тому +2

    huyu jamaa ana speech nzuri sana....dah big up homie

  • @blackjack4241
    @blackjack4241 Рік тому +1

    Best interview

  • @frankhaule505
    @frankhaule505 Рік тому

    Daaah 2023 hii nmeiangalia sana hii video ila daah hi duniaa

  • @godfreylingopola7703
    @godfreylingopola7703 9 років тому +2

    Jamaa Mkali sana Big Up WCB!!

  • @haronabuki9573
    @haronabuki9573 10 місяців тому

    I call him, obedient and attentive student.I wish I knew Swahili well atleast i sing his songs

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 10 місяців тому

    Nmechek sahv dogo anakosa heshima 2023 hapa

  • @shantelmachazxcv5341
    @shantelmachazxcv5341 9 років тому +1

    Duh !katoka mbali kweli maisha siyo rahis lazima upande na kushuka .Subra pia ni muhimu.

  • @shaibumandova6108
    @shaibumandova6108 9 років тому +1

    Niliposikia wimbo wake wa 'kidonda_changu' nilishangaa kusikia biti zilizofanana na wimbo wa Q Chila wa ,for you' lakini kupitia mahojiano haya nimeelewa kwa nini ipo vile. Ni dogo mchenshi sana na naamini atafika mbali kwa tasnia hii ya muziki.

  • @Danso337
    @Danso337 9 років тому +1

    I like this really Tanzanian humility life story.

  • @diamondplatnumz7797
    @diamondplatnumz7797 9 років тому +3

    my brother from another mother 👏👏👏👏👏👌

  • @brendahmwongeli697
    @brendahmwongeli697 9 років тому +2

    @millard ayo please upload part 2 of harmonize's interview

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882 2 роки тому +1

    Waaaaah kumbe kiwa star sio mchezo 😭😭😭😭😭

  • @veroniquengoran2682
    @veroniquengoran2682 7 років тому +2

    Traduction de AIYOLA please

  • @nasraabdulrahman2009
    @nasraabdulrahman2009 9 років тому +1

    So Proud Of Him.....

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 Рік тому

    2023 September tuonane hapa ....Ila Leo hii unamtukana Diamond kisa mafnikio broh kumbuka ulikotoka

  • @kimgeneveive8490
    @kimgeneveive8490 9 років тому +1

    nice work boys..love di boy anajielewa so sweety

  • @lissawilliam4248
    @lissawilliam4248 9 років тому +1

    proud of you......Millardayo keep rocking bro

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 9 років тому +1

    Harmonize ina reflect na msimamo wako na maisha ndivyo yanavyotka young Bro keep the good guts,,,, Harmonize!
    brilliantly!
    Keep the good guts

  • @nashipaikoima682
    @nashipaikoima682 6 років тому +2

    Passion!

  • @BenyMwelango
    @BenyMwelango 3 роки тому

    im watch this on 24 th november 2020 who else😓

  • @monaciarkennymo6ix9ine62
    @monaciarkennymo6ix9ine62 4 роки тому +2

    2020 km tupo pamoja gonga like tujuane ☺

  • @cosmaekyoci5732
    @cosmaekyoci5732 9 років тому +1

    its awsome im waiting for the 2nd part

  • @gmanboy793
    @gmanboy793 Рік тому

    Tunaoangalia 2023 gong like hp

  • @iffahcool6557
    @iffahcool6557 9 років тому +1

    great work @millard

  • @blackjack4241
    @blackjack4241 8 років тому +2

    good singer

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 3 роки тому +1

    Unapo mtukana mond fikiriya iyi historiya Yako ao njo youtube uione iyi interview yakwako njo umutusi mond,atakama mond anaweza akawa na kasoro zake Ila kakutowa mbali

  • @danya11l
    @danya11l 8 років тому +3

    millard ayo is the best amenifanya niwe fan ya harmonize

  • @kelvinisabinani8079
    @kelvinisabinani8079 3 роки тому +2

    Baada ya miaka 4 anamwita mshamba

  • @hommie9627
    @hommie9627 9 років тому

    jamani eeh uyu jamaa no nomadic xanaaa respect kwako

  • @simp1eone
    @simp1eone 8 років тому +5

    I have one question to all YOU tanzanians - Do you want to reach the world or you only Care about TANZANIA and EAST AFRICA Swahili speaking nations cos to me its like you dont care about any where else but Swahili. We live in a global world where english is the most spoken language. No one is telling you all to give up your beautiful language, all we are asking is Share your talent and musicians with the rest of the world. We enjoy the music regardless of the language barrier BUT MILLARD AYO THE LEAST YOU COULD DO FOR NON SPEAKING SWAHILI FOLKS IS TO SUBTITLE THE INTERVIEWS SO WE CAN ALL UNDERSTAND. STOP ALIENATING YOURSELF FROM THE REST OF THE ENGLISH SPEAKING WORLD

    • @MashLeezo
      @MashLeezo 8 років тому

      +Missy Kay VERY TRUE , MILLARD TAKE A NOTE .

    • @wiperdosantos656
      @wiperdosantos656 8 років тому

      fogy7rtwerrghh

    • @sportsarenaplus2547
      @sportsarenaplus2547 7 років тому

      yap is good but originality is very important and taht is what tanzania realies so on much keep it up maze but as much as you be original being versatile is good as well

    • @catherinelawrence5725
      @catherinelawrence5725 7 років тому

      some of them can't speak English that's why!

    • @anthonyk3679
      @anthonyk3679 6 років тому +2

      Missy Kay let them use swahili chinese people don't speak English why do we force ourselves to speak the Whitemans language

  • @silver_gramz
    @silver_gramz 3 роки тому +3

    Yuda kama yuda akimsifia nasib 😂😂😂

  • @arafatymomade8554
    @arafatymomade8554 8 місяців тому

    ❤❤❤jeshiii

  • @maryakisa5752
    @maryakisa5752 7 років тому +2

    harmonize my age ment,, l love your music

  • @deboramangula8059
    @deboramangula8059 9 років тому +1

    nyimbo nzuri sana kaza

  • @awadhiismail3154
    @awadhiismail3154 4 роки тому +1

    Ahahahahahaaa kumbe kabla ya kukutana na mond ulirecord na collable wapi 2020

  • @kevoocoastboy9449
    @kevoocoastboy9449 5 років тому +1

    Gonga like kama umerejea baada ya konde gang

  • @blassiusishengoma6058
    @blassiusishengoma6058 8 років тому +1

    Hongera

  • @allankimaro4327
    @allankimaro4327 Рік тому

    Leo hii umekengeuka sana. Mkumbuke diamond alikokutoa

  • @samweelmagaga4032
    @samweelmagaga4032 8 років тому +1

    saaafi (story nzuri)

  • @yussufhassan7532
    @yussufhassan7532 9 років тому +1

    Millard Ayo part 2 iwapi? long time bro

  • @christinahaule9726
    @christinahaule9726 7 років тому +1

    pamoja sana

  • @adamkiwori709
    @adamkiwori709 8 років тому +1

    No. Comment noma sana

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882 2 роки тому

    Ati yuda yuda hamna Cha yuda hapa bwana ni vizuri kila mtu kuyanzisha maisha yake au ww Yesu 🙄

  • @BarakaHarrison-l4t
    @BarakaHarrison-l4t 7 місяців тому

    Jeshiiii

  • @RajabuMussa-iv8xt
    @RajabuMussa-iv8xt 3 місяці тому

    Gonga like 2024

  • @hosnanaisa9387
    @hosnanaisa9387 9 років тому

    Allah Akbaru Wasini munatoka mbali nyinyi kimaisha

  • @wilkistermoraa7072
    @wilkistermoraa7072 7 років тому

    fanana sana na Enock Bella wa yamoto band(Mkubwa na wanawe)

  • @markadkins9398
    @markadkins9398 8 років тому

    big up bro wish you all the best

  • @KNAVOY
    @KNAVOY 9 років тому +2

    Diamond platinumz just reincarnated in you bro

  • @shaurisamila1179
    @shaurisamila1179 4 роки тому

    Pole sana Dar It xo painfull

  • @is-hakacena78
    @is-hakacena78 5 років тому

    Yeah, ,Konde Boy

  • @hommie9627
    @hommie9627 9 років тому +1

    go go go go broh unawez mpaka bac ni bidii zako 2 pamoja na nidhamu kazin utafika mbali chid kaza boot. mungu akucmamie, aameen!

  • @ndimokerimbot22
    @ndimokerimbot22 Рік тому

    Gonga like kwa wale 2023

  • @viejoe4784
    @viejoe4784 9 років тому

    part 2 please

  • @georgemitande1030
    @georgemitande1030 8 років тому

    marry temba
    Nice song

  • @bnbnbnbbnvbn9006
    @bnbnbnbbnvbn9006 4 роки тому +1

    God bless you Radjabu

  • @tanzanitemorio8347
    @tanzanitemorio8347 Рік тому

    2023

  • @janethdickson296
    @janethdickson296 9 років тому

    big up god bless ufke mbl zaid

  • @dateededdy5833
    @dateededdy5833 9 років тому

    part2 plz millard

  • @avocadomatala2883
    @avocadomatala2883 2 роки тому

    Huwezi kuamini kuwa huyu ndiye anayekohoa kwenye nyimbo zake ama kweli tunatoka mbali

  • @DukeOndieki-ms5ur
    @DukeOndieki-ms5ur Рік тому

    Mm n shabiki wako mkubwa kutoka 254 kenya

  • @petermachoka2977
    @petermachoka2977 8 років тому +2

    Nawapata salama kutoka Brazil.. Makao makuu dogo ametoka

  • @richardriwa7917
    @richardriwa7917 8 років тому +2

    kaza ndo uanaume

  • @joannekanale4642
    @joannekanale4642 9 років тому

    cant find part 2 of this interview aaarrrgh helllllp

  • @ramadhansadiki1003
    @ramadhansadiki1003 Рік тому

  • @abdulrahimchotta6061
    @abdulrahimchotta6061 9 років тому +1

    part II iko wapi?

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 роки тому

    Pole kwa yote kaka yngu

  • @aliciousdaqueen1767
    @aliciousdaqueen1767 9 років тому

    nkukubali Rashid

  • @hamisntahondi507
    @hamisntahondi507 3 роки тому +1

    Leo unataka upinzani nae duuuh

  • @noaminoami6423
    @noaminoami6423 8 років тому

    mildayo uko sawa

  • @abdialiabdi5862
    @abdialiabdi5862 9 років тому

    awesome

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 5 місяців тому

    2023 2juane na likes 🇶🇦

  • @dianamuhumba
    @dianamuhumba Рік тому

    Well💯💯💯

  • @petersimon2115
    @petersimon2115 5 років тому

    Now KONDE GANG

  • @feristersam8960
    @feristersam8960 6 років тому

    waooooh nice

  • @odetharwaibale4963
    @odetharwaibale4963 Рік тому

    Mmh 94 march 😮😮😮

  • @kasuchales1896
    @kasuchales1896 3 роки тому

    Duuuu jamaa Leo hii anaongea sana jodo yani

  • @annachales9623
    @annachales9623 3 роки тому

    Waliosikia mahojiano ya Dada yake harmo wskamlaumu waje huku.nimeamua nije huku nisikilize

  • @shabanimandula3569
    @shabanimandula3569 3 роки тому

    Mchumari

  • @RockersMediaTV
    @RockersMediaTV 6 років тому

    nice studio set up, very expensive top notch electrovoice microphone but why use cellphone earphones jamani?

  • @hocylaseko7843
    @hocylaseko7843 8 років тому

    nice kp it up