Mungu wangu wimbo unanifariji ata wakati ninapo kata tamaha nakujiona mimi sikitu,ila nina poskia tu wakutusamee wakutukubali niyesu,,hoo yesu amenikubali na madhaifu yangu 🙏🙏🙏🙏mengi yesu amenitende ,,ubarikiwe saana kweli 🙏
Nikiwa mahali fulani nikitafakari huu wimbo nahisi uwepo wa Mungu ukinizingira kwahiyo niombe likes kwa wale wote ambao hata sasa 2024 bado wimbo huu unawabariki, be blessed man of God Massmassilia❤
Kwa Kweli niki sikiliza nyimbo zako Tonton Mass nasikiya ka kuliya naku kumbuka meingi saaana. Basi acha Mungu wa malipo mema ashugulike kwa ajili yako na familia yako . Ubarikiwe Maman Asaph kwa kazi yaku humiza Mtumishi wa Bwana kwaku yi tembeza neno la Mungu kwa kazi za uhimbaji.Mume lichaguwa fumbo lililo njema. Mbingu zifunguke kwa ajili yenu.
Nasikiaga hizi nyimbo kwenye audio kaka Eric nilikua nalitafuta jina lako kila siku hatmaye nimelipata nasikiliza mara 20 kwa siku jamani uwiii MUNGU akutunze mtumishi nabarikiwa mnooo na nyimbo zako MUNGU akubariki kaka
Duh huu wimbo kaka umeuimba kwa iman ya hali ya juu na roho mtakatifu akiwa ndani yako nabarikiwa kila ninapoisikiliza MUNGU akubariki pia kaka massmasiliy
Jamais vu tu es professionnel, les jeunes du groupement d'itara Luvungi aiment tes chansons malgré les désordres faites par L'honorable criminel Luc mulimbalimba
So for 5 years since the release of this Grace filled song i haven't heard it?!?! Oooh my God it ministers to me personally... God increase in you brother
Ukweli Mimi pia ni mtuzi na mwimbaji WA nyimbo za injili lakini Huu wimbo unanibariki kweli Kama siyo Wewe Yesu wengine Tungeipata wapi hii Neema ya Mungu 😰😰😰
Mungu wangu wimbo unanifariji ata wakati ninapo kata tamaha nakujiona mimi sikitu,ila nina poskia tu wakutusamee wakutukubali niyesu,,hoo yesu amenikubali na madhaifu yangu 🙏🙏🙏🙏mengi yesu amenitende ,,ubarikiwe saana kweli 🙏
Bjr
Amen mpendwa hata nimi, sifa kwa Mungu Baba yetu 🙏
Nikiwa mahali fulani nikitafakari huu wimbo nahisi uwepo wa Mungu ukinizingira kwahiyo niombe likes kwa wale wote ambao hata sasa 2024 bado wimbo huu unawabariki, be blessed man of God Massmassilia❤
Mass Masilya must be really eternally congratulated for this song that is touching us for its strong deep message
Kwa Kweli niki sikiliza nyimbo zako Tonton Mass nasikiya ka kuliya naku kumbuka meingi saaana. Basi acha Mungu wa malipo mema ashugulike kwa ajili yako na familia yako . Ubarikiwe Maman Asaph kwa kazi yaku humiza Mtumishi wa Bwana kwaku yi tembeza neno la Mungu kwa kazi za uhimbaji.Mume lichaguwa fumbo lililo njema. Mbingu zifunguke kwa ajili yenu.
Amen. 2025 bado wimbo huu unaendelea kuni bariki sana ❤
Nasikiaga hizi nyimbo kwenye audio kaka Eric nilikua nalitafuta jina lako kila siku hatmaye nimelipata nasikiliza mara 20 kwa siku jamani uwiii MUNGU akutunze mtumishi nabarikiwa mnooo na nyimbo zako MUNGU akubariki kaka
Amen amen
The favorite song forever!!haijalishi napitia wakat gani ni wimbo unaonitia moyo san🙏🙏
Amina mtumishi wa mungu nyimbo hii inamifanya nipate faraja sana
Wakutusamee ni wewe wakutubaliki ni ww ni wimbo uro beba nguv Za Mungu kufunguah watu hongera mtumishi kwa ujumbe
Sina la kusema juu ya huu wimbo ninapo skiliza machozi ya nantoka ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 😭😭😭😭😭😭kweli wa kutusemehe ni Mungu peke yake 🙏🙏
Soul Touching!❤
Wakutubariki wakututakasa wakutusamehe ni wewe Mungu, yoooo Yesu weeeeeeee asante saaaaaana
This gospel singer must be honored for this song that is highly spiritually inspired
Duh huu wimbo kaka umeuimba kwa iman ya hali ya juu na roho mtakatifu akiwa ndani yako nabarikiwa kila ninapoisikiliza MUNGU akubariki pia kaka massmasiliy
Yesu warehema atusamehe nakuturehemu kabisa barikiwa zaidi
Nabarikiwa sana na huu wimbo nikiitazama msalaba,hakika wa kutusamehe ni yeye tu
Grand naipendaga sana hii song Mungu akubariki sana kama vile huu wimbo umesema.
Ama kweli nimebarikiwa na wimbo huu. Indeed Wakutubariki ni yeye. Aleluiya
Jamais vu tu es professionnel, les jeunes du groupement d'itara Luvungi aiment tes chansons malgré les désordres faites par L'honorable criminel Luc mulimbalimba
Mungu akurikiri sana kaka yangu🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
So for 5 years since the release of this Grace filled song i haven't heard it?!?! Oooh my God it ministers to me personally...
God increase in you brother
Ubarikiwe sana,nami nimebarikiwa
Wangapi wanausikiliza 2021? Gonga 👍
Yah ni kweli Mtumish Mass hakuna mwingine na hatatokea. Mungu akubariki 🙏🙏🙏
This Song💥💥
Ahh ROHO MWEMA Ayape Hifadhi Maisha Yako🙏
Nime barikiwa ni hii nyimbo 🙏🏻 ubarikiwe sana
Asante Kaka ubarikiwe Sana wimbo unitia moyo Sana ninaposkiiliza natiwa nguvu 🙏🙏
Barikiwa sana mtumishi huu wimbo wanibariki sana kweli kama si Yesu sinjui ningelikuwa wapi .
Mungu azindi kukuinua ndugu.
It has become the most favourite song in my collection, I listen to it countless times daily, God bless you abundantly.
Ubarikiwe nime bar🥰🙏🏻🤲🙌👌ikiwa na nyimbo zako mngu akulinde saaan kka
Akuna mwengine wakutusalehe kweli wewe Mungu ubarikiwe.
Wimbo uyu nimuzuri Sana nimebarikiwa kupitiya wimbo uyu
Mtu mishi wa Mungu bwana yesu akubariki na akutumie zaidi tena na zaidi kwaajili ya utukufu wake.
❤❤kaka yangu' mungu aendeleye nakukupenda'ndomana maono mengi sana🙏🙏
Mungu akuchangaze kukazi kubwa kama iyi ubarikiwe sana
I listen to this song everyday I love it and I love Mass masila .God increase you mightily
mtumish umeimba na roho mtakatifu. hakika ni nyimbo ya upako. nabarikiwa Sana Sana Sana. be blessed moreee
STEVE NDAULA kabisa kaka
kk Mungu akubariki sana weye ninoma sana Mungu akupenguvu
Powerful worship song..I really love this song my God bless 🙏🙏🙏this man🙏🙏
Vraiment que Dieu te protèges contre les meilleurs papa mass 🙏
Oh my God,what a wonderful song!!!Keep up man of God
Ni Mungu Tu ndiye anayesamehe......VERY POWERFUL HEART TOUCHING WORSHIP SONG
Ahsantee kwa wimbo hakika waktubariki,kututakasa na kutusamahe ni Yesu tuuu...
Jambo mungu ubarikiwe Sanaa
vraiment wakutusamehe ni wewe Mungu
Oh yesu inyimbo nihatari mass Mungu aendeleye kukufunuliya utungaji wanyimbo za baraka na utukufu kama iyi nyimbo.amen
huyu mtuu anaeohoo yasifa moyoni mwake anaimba kwaroho makweli naona akifanga mbali duniani siku mojaa yatazibitika hya maneno
Baikiwa mtumishi wa❤🙌🙌👐🤲🙏🏻🙏🏻mngu mngu
Mungu Awawezesha muhendelewe
Barikiwa mtumishi wa Mungu
A nice song actually wakutusamehe n yesu
Fine tune, nice sound and great message. God bless you brother
Ubariki mtumishi wa .Mungu
❤❤❤❤❤barikiwa mtumishi
Finally I got this song,I have looked for it for some time,Thank you Jesus
Mass masilia you are the best ...this song really touch my heart...wakutusamehe ni yesu tu pekeyake...point taken
Amen amen
Ndugu yangu Mungu akuinue Sana
amenamen bishop
Amen!Jina lake libarikiwe
Ubarikiwe kaka kwa huu wimbo powerful 🙌🏻🙌🏻
This song blesses my heart. Thank You Jesus. Nani angeweza kunikubali! Yesu wangu...
Ukweli Mimi pia ni mtuzi na mwimbaji WA nyimbo za injili lakini Huu wimbo unanibariki kweli Kama siyo Wewe Yesu wengine Tungeipata wapi hii Neema ya Mungu 😰😰😰
amen bishop
Ali Mukhwana hata Mimi huu wimbo unanibarki sana
Msula B ameen
chapeni collabo kubwa na huyu jamaa mbali na the previous one
Iyi nyimbo imenibariki sana
Wimbo mzr ,lkn untubania Sana weka na vyanzo vingne kama boomplay
Hakuna Kama yeye wakutu samehe,asante Mungu,barikiwa mtumishi
Glory to the Lord, wakutubariki ni wewe tu ... sifa ni za Bwana !
GOD Bless you more power man of GOD raise you up in JESUS might name I love this song soo much
Amen
This song is still a blessing to me 2021...
Merci homme de Dieu pour la chanson
I am really blessed ... what a powerful worship song !
Nimeitafuta hii nyimbo mpaka nikakaribia kukata tamaa! Ahsante sana kwa nyimbo yenye baraka tele 🙏🏾
Amina sana nimepona saa nane ucku juu ya huu wimbo asante brother
nice song my friend God lift and bless you more
amen amen bishop
AMEN AMEN BISHOP
Hakika nabarikiwa sana Mungu Wa mbinguni akupe Neema iliyo zidi
wimbo wa baraka sana...Ubarikiwe mtumishi
Mungu akubariki sana kwa Nazi nzuri, Nazi hii imekaa kiroho sana, imenibariki sana moyo wangu.
When i always listern this song i cry for how God really love me praize Lord for this lovely song
Apa Lubumbashi tunakupenda sana
Amen..Great worship 2024❤️
Good job massmaslia l love your job
Grand-frère Mass, huduma hii iende mpaka inje ya Africa!
Huu wimbo unabariki sana moyo wangu.God bless you so much mtumishi.More revelations coming through you.
AMEN AMEN MY SISTER
eeeee winie muimbaji wakimataifa ubarikiwe saana
Barikiwa sana! kila wimbo mpya unajaa upako! Ila ombi langu kwako nikwamba mwaka huu ufanye featuring na dada Shushu christina itakuwa baraka
Mungu wa mbingu akupe provision ya kile alicho kitia ndani yako
amen amen
AMEN AMEN
God blesse you nice song also nice sound and voice
More grace man of God kumbe wa kutusamehe ni wewe tu
Hakika hata mimi amenisamehe, ubarikiwe sana Mtumishi Massilya
This song is a blessing
Powerful worship
Merci pour votre réponse rapide je vous remercie
Barikiwa Sana
Courage grand frère
Ubarikiwe sana kaka yangu nyimbo zako zinakuwaka nanibariki sana mupaka naanza liya sana
nashukuru sana dada yangu sifa zote kwa Mungu
wakubariki niwewe mungu Wangu i love this song God blessed you
Nice song .be blessed bro
Wah hii wimbo.... Wa kutubariki..... Hallelujah....
Barikiwa sana mtumishi
salut man of god you are alays there...Mungu Akuzidishie kibali
Thank you very much Brow for the Nice and wonderful song which fulfilled with holly-worshiping .
May God Bless you.
This song is bless me every day
Wimbo mtamu sana
Huu Wimbo umenibariki saaaaaana.
Que le tout puissant augmente l'onction
Huu wimbo umenibariki sana. Ukifika Kenya karibu sana kanisani
Best of my blessing in August
wakunibariki ni wewe,i love the song,touched i say.
Amen what a blessing song of year