Asalam aleykum sheh, muogope moja kaka mnapo fundisha Kua ndoa ya mutaa aifai ,et kwa kwa sabab inatumika na mashia semaukwel mbona Masun tunafanya ndoa ya hadaa
Asalam aleikum Ustadh je kuna Hadith ya Mtume (s.a..w) kuwa imeharamishwa kwa sababu mm niko katika hali ambayo ya mchanganyiko, samahani ustadh naomba jawabu lako
Wewe Sheikh Wacha kupoteza Wa _ Islamu . Sivyo unavyoeleza ndoa ya Muta haina tofauti na ndoa ya kawaida. Ila tu ya Muta baada yamUda unakwisha kuwa na uhalali . Lakini sheria ni zile zile na kuka eda na Urithi na kila jambo. Hio ya Kwenda Guesti usitake kutia chumvi kupotosha watu . Kilchohalalishwa na Uislamu haiwezi kuharimishwa. Kama nyama ya pund ana vingenevyo haikuwahi kuhalalishwa halafu ikaramishwa. Ogopa Mungu .
@@hoodhassan7077 Wewe Sheikh Wacha kupoteza Wa _ Islamu . Sivyo unavyoeleza ndoa ya Muta haina tofauti na ndoa ya kawaida. Ila tu ya Muta baada yamUda unakwisha kuwa na uhalali . Lakini sheria ni zile zile na kuka eda na Urithi na kila jambo. Hio ya Kwenda Guesti usitake kutia chumvi kupotosha watu . Kilchohalalishwa na Uislamu haiwezi kuharimishwa. Kama nyama ya pund ana vingenevyo haikuwahi kuhalalishwa halafu ikaramishwa. Ogopa Mungu .
Mashallah mawaidha yako mazur... Naomb kufaham ni mume yupi ni sahihi wa kuolewa nae ? Kwasbabu unaweza pata weng hujui yupi sahihi
Asalam aleykum sheh, muogope moja kaka mnapo fundisha Kua ndoa ya mutaa aifai ,et kwa kwa sabab inatumika na mashia semaukwel mbona Masun tunafanya ndoa ya hadaa
maashalla jazakkallah khaira shk
Masharifu wambiwe waipenda Sana hii mutah, ndoo mwenye utabaruku kijana changu ( wakike twabaan)
hahahaha hatari sana...duuh kutabaruku noma
Asalam aleikum Ustadh je kuna Hadith ya Mtume (s.a..w) kuwa imeharamishwa kwa sababu mm niko katika hali ambayo ya mchanganyiko, samahani ustadh naomba jawabu lako
Hakuna mahali ameharamisha hawatk tu kusema ukweli na masheikh wengi wanao ivo week am mwezj washaacha
ustadh bado huja jibu suala
kuna wakat tuna maswali ya private ust ss jarib kutoa namb za cm tukupate kwa wsp pls naomb pokea ombi langu salam aleykum
Mashallah
Shekh watu huwenda uarabuni kwa ajri ya kazi wanaka myaka2 suali watu kamahao waweje ❓
Wewe Sheikh Wacha kupoteza Wa _ Islamu . Sivyo unavyoeleza ndoa ya Muta haina tofauti na ndoa ya kawaida. Ila tu ya Muta baada yamUda unakwisha kuwa na uhalali . Lakini sheria ni zile zile na kuka eda na Urithi na kila jambo. Hio ya Kwenda Guesti usitake kutia chumvi kupotosha watu . Kilchohalalishwa na Uislamu haiwezi kuharimishwa. Kama nyama ya pund ana vingenevyo haikuwahi kuhalalishwa halafu ikaramishwa. Ogopa Mungu .
Kama huyo alieenda kufanya kazi ni mwanamke na nchini kwao ameolewa Naye vipi ,hii ndoa no uzinifu tu
Shukran
زواج المتعة قراءة جديدة في الفكر السني
Kwa Sasa hakuna
Kuna wengine hawana UA-cam wewe kama shekh umeulizwa suali jibu
na ndo mana akaendelea kujibu kwasababu anajua wapo wasiokua na youtube
@@hoodhassan7077 Wewe Sheikh Wacha kupoteza Wa _ Islamu . Sivyo unavyoeleza ndoa ya Muta haina tofauti na ndoa ya kawaida. Ila tu ya Muta baada yamUda unakwisha kuwa na uhalali . Lakini sheria ni zile zile na kuka eda na Urithi na kila jambo. Hio ya Kwenda Guesti usitake kutia chumvi kupotosha watu . Kilchohalalishwa na Uislamu haiwezi kuharimishwa. Kama nyama ya pund ana vingenevyo haikuwahi kuhalalishwa halafu ikaramishwa. Ogopa Mungu .