Inna lillah waina illah rajiuna allah warehemu maiti zetu wanaotutoka waislamu waume kwa wake wakubwa kwa wadog nasi ni maiti watarajiwa pumzka kwa amani shekhe wetu
Sote niwaja wa Allah na sote tutarejea kwake ,hizi ni dalili kubwa za kiama Allah anawachukua Hafiz na ivo ndo Quran inapotea tupate ibra,Allah mjalie herizote kaburin mwake,na Hafiz mili yao haiozi ,Allah anaifadhi milyao hadi kiama,yarabi tupe mwshomwema,
Allahhuma ghafirau warahmahu wasikanah firjanna twakuomba ya Allah uwasamehe maiti wetu uwape kauli thabiti ufanye makaburi yao kuwa miongoni mwaviwanja vya peponi pia umsamehe marehem mume wangu na wazee wetu wote walioko mbele za haki
Innallilah wainna ilaih rajiun. Mwenyezi Mungu alifanye kaburi la shekhe wetu kuwa viwanja miongoni mwa viwanja vya Peponi Aamina.😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Sote njia moja yarrabi msamehe alipokosea.
Kuna shehe moja aliuza kondoa kuna nn mbona wasomaji wanaotuwakilisha kima taifa wote wanatoka kondoa ss afuuatilie atajua sababu nn maana wao kila kitu bidaa kondoa wapo ila sio wengi wanafutilia hiyo bidaa yenu
Bingwa wa Qur an hakuwahi kutoka kondoa acha kujifagilia mabingwa wengi wanatoka pwani ila kondoa mna wasomaji wengi wanaosoma tajweed hiyo ni fani unamjua yahaya hussein wewe aliyewahi kuwa bingwa wa east africa au unaongea tu
Kabla haijafika mwisho hii video nahis kuchanganyikiwa alefarik ni yy kweli nimuonae kweny pc hiyo ama🤔🙄😭innah lillah wainnah illah rajiuna wacha nimalizie kuona nitaelewa vzr😳😭Allah Akbaru
Inna lilah waina ilah rajiun kuna jambo moja sijaelewa kwenye msiba qur'an yanini inasomwa wakati siyo sehemu yake? Maiti inatakiwa kufanyiwa mambo matatu 1.Kuoshwa 2.kuswaliwa 3.kuzikwa Basi hii qur'an inakuwaje inasomwa?
Innalilah wainna illah rajuun, allah amuhifadhi miongoni mwa waja wake wema yaarab, khakika umati tumeumbiwa Wanadamu ifikapo saa na wakati hatuna budi kurejeya kwake, poleni wana family na ndugu zang kutoka kondoa kikilo...✍🇴🇲🇹🇿
Allah amukutanishe nawaja wema walotangulia shekh wetu😢😢
Innaa lillahi wainna ilayhi raajiun
M'mungu amfanyie wepesi wa safari yake, amghufirie madhambi yake na ampe kauli thabit
Inna lillah waina illah rajiuna allah warehemu maiti zetu wanaotutoka waislamu waume kwa wake wakubwa kwa wadog nasi ni maiti watarajiwa pumzka kwa amani shekhe wetu
innallillahi wainna illahi rajiun Allah afanyi wepesi safari yake na katika kabri yake3
Inalilah waina ilah rajioon
Mwenyezi Mungu amuondoleshee dhiki za kaburini 🤲
Inalilahi waina ilayihi rajiun
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭mungu ailaze rh yake pahala pema peponi amin
Mwenyezi mungu atupe mwisho mwema🤲
Sote niwaja wa Allah na sote tutarejea kwake ,hizi ni dalili kubwa za kiama Allah anawachukua Hafiz na ivo ndo Quran inapotea tupate ibra,Allah mjalie herizote kaburin mwake,na Hafiz mili yao haiozi ,Allah anaifadhi milyao hadi kiama,yarabi tupe mwshomwema,
Mwenyezi mungu hatujalie mwisho mwema😭😭😭😭😭😭😭
Allahhuma ghafirau warahmahu wasikanah firjanna twakuomba ya Allah uwasamehe maiti wetu uwape kauli thabiti ufanye makaburi yao kuwa miongoni mwaviwanja vya peponi pia umsamehe marehem mume wangu na wazee wetu wote walioko mbele za haki
Innallilah waina ilaihi raajiuun 😭😭😭😭😭😭ALLAH amfanyie wepec katika safar yake na sisi atujaalie mwisho mwema ..Amiin
Amiin
Mungu ampe kauli thabit kaburin
Innallilah wainna ilaih rajiun. Mwenyezi Mungu alifanye kaburi la shekhe wetu kuwa viwanja miongoni mwa viwanja vya Peponi Aamina.😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Sote njia moja yarrabi msamehe alipokosea.
Allahuma aamiin
Allah awarahamu wote walotangulia mbele ya Allah awatilie nuru makaburi yao
Eeeeeh Allah subhana,ihifadhi roho y shekhe wangu badawi peponi firdausi asiguswe na moto yarab
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojal
Poleni sn ndugu mliofikwa na msiba na jamii yt ktk kijiji hicho from from 🇰🇪
Kuna shehe moja aliuza kondoa kuna nn mbona wasomaji wanaotuwakilisha kima taifa wote wanatoka kondoa ss afuuatilie atajua sababu nn maana wao kila kitu bidaa kondoa wapo ila sio wengi wanafutilia hiyo bidaa yenu
Kelele
Bingwa wa Qur an hakuwahi kutoka kondoa acha kujifagilia mabingwa wengi wanatoka pwani ila kondoa mna wasomaji wengi wanaosoma tajweed hiyo ni fani unamjua yahaya hussein wewe aliyewahi kuwa bingwa wa east africa au unaongea tu
Hakika Kwake Allah tulipotoka sote, na marejeo yetu sote ni kwa Allah
😭😭😭😭😭😭 innalillah wainnarajihun Allah amepe kaburi lake nuru
Alieandika kichwa cha habar naomba asahihishe Qur'an haiwezi kuzimika kw kufa kiumbe Innalillah wainna ilaih rajiuun
Inna Lilla hi wain inna allahi tarjuin Mola akuhifadh mashukiyo yako yawe pepon pamoja na waja wema akujalie jiran yako mtume wetu Mohammed (SAW )
Huwezi kuandika balaa la mazishi mtu ka huyu .
Unasema kinacho faa .
SIO BALAA HII NI REHEMA .
NA TUNA NLILIA WIVU KWA KUPENDWA.
رحمه الله اخانا وشيخنا البدوي بعثه الله يوم القيامة من الآمنين
Innalilah wainna lilayhi rajiuun
Inna Lillahi wa inna illaihi rajiuun, Allah SW amhifadhi ndugu yetu!!!
اللهم غفر له ورحمه واسكنه فى الجنة،. اللهم ثبته بالقول الثابت
Kabla haijafika mwisho hii video nahis kuchanganyikiwa alefarik ni yy kweli nimuonae kweny pc hiyo ama🤔🙄😭innah lillah wainnah illah rajiuna wacha nimalizie kuona nitaelewa vzr😳😭Allah Akbaru
Innalillah wainnailaih rajiuna
Inna lilah waina ilayh rajiun allah amjalie kauli 😭
Ilnallah mwenyenzi mungu amor kauli sabit
Allah mujalie pepo mjahuyu allahma amiiin
😭😭😭😭😭
Yarabi murehmu mujalia mako meme peponi tunakumba yarabi .
Innallilah wainnallilahi rajiuun Allah ampa Nuru kwenye kaburi lake inshallah inauma sana
Daah mashekhe mwenye hii nasheed ya swallu ala alkamali anitumie
Ina lilahi waina lilahi rajiuna allah ampe kaul thabit
Inna lilah waina ilah rajiun kuna jambo moja sijaelewa kwenye msiba qur'an yanini inasomwa wakati siyo sehemu yake? Maiti inatakiwa kufanyiwa mambo matatu
1.Kuoshwa
2.kuswaliwa
3.kuzikwa
Basi hii qur'an inakuwaje inasomwa?
We muhawabbi acha mambo ya kiwahhabb kwan kuna ubaya kusomwa qur an mcban niambie kuna madhambi yanayopatikana yakisomwa maneno ya Mungu kwenye mcba
Polesana ndugu Jamaa na malafiki waliyefikwa namsiba mwenyezimngu amempenda zaidi mbele yake nyumayetu mwenyezimngu uilaze lohoyamalehem maalipema peponi amiina
lnalilahi wainailaihi rajiuun
Innallah wainnailahi rajiunn
Innal lilah wainal illah lajirun
Allah atupe mwisho mwema na sisi😢😢
Inna lilah waina ilahi raajiun mungu akulaze pema pepon akusahe makosa yako na ss tulio nyuma yako atujaalie mwisho mwema
Innalilah wainna illah rajuun, allah amuhifadhi miongoni mwa waja wake wema yaarab, khakika umati tumeumbiwa Wanadamu ifikapo saa na wakati hatuna budi kurejeya kwake, poleni wana family na ndugu zang kutoka kondoa kikilo...✍🇴🇲🇹🇿
Innalillahi Wa innalillah raajiun
Inalillah wainna ilaihi rajiun...
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki
INNALILAHI WAINA ILAIHI RAAJUUN
Inna ilayh WA Inna ilayh rajiun 🤲 Allah ampe kaul thabiti shekh wetu
Allah akutie nguvu kaka a Rajayi katika hiki kipindi kigumu
Inalilahi waina ilaihi rajiuni
Innallah wainna illayhi rajiuun
Innalilah wainailah rajiuna
Allah amraham amsamehe makosa yote
Innalilah wainnailaihi rajjighuun
Innallilah wainalllilah rajiughun
Emungu namie nipe mwisho mwema😭😭😭🤲🤲ameena yarabii
Innaillah wainnalillah rajiun
Innalilah wainnailah raajiun
Haooooo masuufiiii watu wa bidaa.
Allah ampe kauli thabiti
Inna lillah wainna illaih rajeen
Innalilah wainna ilayihi rajiun 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Inallih wainallih raajun
Innalilahy wainnailayhi rajioun
Poleni sana wanafamllia
Allah akurehem
Innalilah wainna ilaih rajiuna alla amtilie nuru katikakabur lake amino yarabbiy
Sisi sote ni waja wa mwenye zimungu kwake tutarejea.mola amrahamu na amlaze pema pamoja na wema.
Inalilaa waina lilai rajun
Mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amiin
Aamiin kwa wote
lnalillah walnnalila rajiun mungu akulaze pema peponi amiiin
Innaa liLLAH wainnaa ilaih rajiuun
Innalilah wainna ilah ranighun Alla awape subra family yake
Inalillah Wainaillaih Rajiun
Inalilah wanailh rajiuuu ALLAH amjaaliee pepo ya daraja la kwanza
Innalillahi wainna ilayhi raajiun
Innallillah wainailaihi raajiun Allahuma ghfrillahu warhamhum waskanal filjanna
Allah akupe kauli Sabity kipenzi chetu
Inna lilah wainna ilaih rajiuo
انا لله وانا اليه راجعون الله اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في الجنة
Inalilah wainaillah ilahi rajuun.Allah ampe kauli thabit
رضي الله عن القراء والمستمعين وعن جميع المسلمين
Allah ampe makaz mema innallilah wainallillah rajiiiun 😭
Inalilahi wainailaihi lajuuna
Inna lillahi wa inna illeihi raajiun..Allah akuweke pema kwenye wema Sheikh wetu
Inali lahi waina ilah rajighuna
😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲
Innalillahi wainnaillahi rajiun 😭 🤔
Innalilah wainna ilayih rajiun ALLAH amuondolee mazito yaliyopo kaburini
Innalillahi Wainnah Ileyhi Rajiun Allah Rahma
Inalilahi waina ileihi rajiun kaeni pole mliopatwa n msiba mwenyezimungu awape subra wkati huu w huzni ishaallah
EWE MOLA ! MREHEME SHEKH WETU UMPE QAULI THABIT...YY NA MAMAANGU NA BABAANGU NA WAISLAM WALOTANGULIA MBELE YA HAQI..
Inalilah waina ilaih rajiun 👆 mungu akulipe gher ,, Dua twakuombea ulale pema peponi.
😭😭😭
YARABI amsamehe thambi zake na amkutanishe na kipenzi chetu mtume Muhammad (S.A.W ). amin amin YARABI amin.
Allah alifanye kaburi lake Kuwa miongoni mwa viwanja vya peponi
Mbele yake nyuma yetu
Kondoa dini ilipozaliwa
Una ushahidi na unayoyasema
Allah Akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia innshaallah.
Kondoa dini ndo ilipozaliwa iv unajielewa kweli wewe yan dini izaliwe kondoa? Dah kweli hujielewi
@@rashidikanyama7227 hajielewi et dini ilipozaliwa kondoa dah kweli mtambo yan dini izaliwe kondoa?
@@abdallahomary3414 dah
Allahu maghufirili kubur
Innalillah wainnaillahi Rajiun
Innalillah wainnaillahi Rajiun