MAGUFULI - "WAKIMBIZI Ondokeni KWENU, Hatuwezi KUWAPA URAIA, Mnaua Watu WANGU"
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- MAGUFULI - "WAKIMBIZI Ondokeni KWENU, Hatuwezi KUWAPA URAIA, Mnaua Watu WANGU"
Rais Dkt John Magufuli leo Oktoba 11, ameweka jiwe la msingi katika mradi wa umeme wa kuunganisha mkoa wa Katavi na Gridi ya Taifa kwa njia ya Msongo 132 kutoka Tabora..
Rais Magufuli anaendelea na ziara yake mkoani Katavi akiwa na mawaziri wasiopungua nane, anazungumza pia kwenye mkutano wa hadhara..
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
www.youtube.co...
Rais wetu mungu awe pamoja nawe katika kuiongoza tanzania yetu
kama kuna wakimbizi wetu wako huko ulaya ubelgiji rudini tuijenge nchi - BABA KASEMA
Kweli kabisa 👍🏿
Mmh! Kweli uncle magu nakubali we ni Germany machine hatar hauyumbi
Tanganyika
Mh huyu mashine
Nakuaminia mlugaluga
Ni shida
Hii camera nikama zile za enzi ya Mwalimu j nyerere.
Leo magufuri kaniangusha kweli kweili iyo kauli unayo tumiya kuwakimbizi sio zuri kama ingekuwa niwanaichi wasio jielewa. Kama wasuzi ulikuwa umeleta vita yawakimbizi nawanaichi