Huyu Martha nampenda sana hana maringo ya kina wengine sitaki kutaja majina ila wanajijua nikija bongo nitamtafuta.Mungu azidi kukuinua na usije kuwa na maringo au kiburi kama wengine
@@RoroRoserororo very nice song God bless her and keeping changing people to they created by God but they don't know that that's why they kill people if you know you created by God you can't kill someone because God is love.
I really love this woman very much her songs wow kwanza hii imeniguza sana kulingana na yale mungu amenitendea,,u are so simple and beautiful Matha keep it up😘😘😘😘😘😘
Wachangiaji msiandike mungu, andika MUNGU au Mungu. Ukiandika kwa herufi ndogo unamanisha mungu wa duniani na sio MUNGU wetu wa mbinguni. Ongereni waimbaji kwa Wimbo mzuri sana
Nmekuwwa na shida sana vle watu wamekuwa wakiandkka jina la MUNGU likiazisha na small letter lkini nakushukuru kwa sababu ya wewe pia kuwaleta kwa mwangaza Kama hawajuangi wamejua kupitia kwako.
Mimi Ni shabiki wako namba moja Matha, huyo Mtumishi hamjaendana hata kidogo sauti yake Sio ya kuabudu Kama wewe... Plz Mambo ya colabo achana nayo, tunga nyimbo zako, Maana una neema yako binafsi... Naheshimu mafuta ya huyo mtumishi... Huo mziki na wewe Matha haviendani... Hiyo studio ya Jawabu mwachie Rose Muhando, Ile studio yako ya kwanza ndio inakujulia... Asante dada Matha ninajifunza mengi kwako SHALOM
@@pendoelias1022 kipawa alicho nacho Martha sio chake..Ni Cha mwili wa Yesu Christo..alijengwa na wengine ....wacha Ajenge wengine Aimbi atufuraishe sisi anaimba amtukuze Mungu..huyu Martha Neema ya uimbaji Mungu amempa Bure Kama anavyo sema...ata wewe ukitaka Mfuate Martha atakuambukiza Neema ya uimbaji Kama umeitwa kwa hiyo laini..Mungu awabariki Nina wapenda...
I just love Martha mwaipaja. Her songs have heavy messages. Big up mama. I started listening to you when I was young upto now. They are just blessings to me
Hakika niyeye wakushukuriwa. Be blessed sister Martha. Nakuelewaga sana,nikikusikiliza hata kama Nina majonzi napata faraja. Mungu azidi kukupa maarifa zaidi.
Nakushukuru baba Kwa kuniondolea mauti baba nimekuomba sana na umejibu wengi wamekufa Kwa janga hili la earthquake Lebanon 🇱🇧 Iraq Syria Turkey Asante Yesu
Nakupenda bure Martha first and farmost ur natural na nyimbo zote zijawai jutia kuskiza hongera mummy nikitoka US napenda nikutane nawe live upokee zawadi yangu
Martha this my testimony. What a song can't get enough of this. Jana nililia sana lakini Leo machozi ya furaha, He has done soo much for me. God bless fr such a nice song
Kama umeon huu mwimb mwak hu like ap tujuane
Team strong wapi like zenu safari haikuwa rahisi here we are only somedays paaa 2024
❤❤❤ ....thank God for everything ......umenitoa mbali ...wacha ijulikane ww ni Ebenezer 😢😢😢😢Amen 🙏 🙌 🙌 🙌
Napenda sana nyimbo zako 🎉❤
Huyu Martha nampenda sana hana maringo ya kina wengine sitaki kutaja majina ila wanajijua nikija bongo nitamtafuta.Mungu azidi kukuinua na usije kuwa na maringo au kiburi kama wengine
Amen
Nkuku.bali.mama.unakosha.mioyo.ya.wengi.kwakweli.duu.hd.raha.ubalikiwe.sn
@@RoroRoserororo very nice song God bless her and keeping changing people to they created by God but they don't know that that's why they kill people if you know you created by God you can't kill someone because God is love.
Yani pia ww uko huku
@@hellenmpapale8019 una maana gani
I really love this woman very much her songs wow kwanza hii imeniguza sana kulingana na yale mungu amenitendea,,u are so simple and beautiful Matha keep it up😘😘😘😘😘😘
pia mimi imeniguza sana
Wachangiaji msiandike mungu, andika MUNGU au Mungu. Ukiandika kwa herufi ndogo unamanisha mungu wa duniani na sio MUNGU wetu wa mbinguni. Ongereni waimbaji kwa Wimbo mzuri sana
Nmekuwwa na shida sana vle watu wamekuwa wakiandkka jina la MUNGU likiazisha na small letter lkini nakushukuru kwa sababu ya wewe pia kuwaleta kwa mwangaza Kama hawajuangi wamejua kupitia kwako.
Kweli
Haswaaa hongera kuliona hilo Mungi akubariki sanaa
Martha hunibariki sana
amina
I thank God for everything you do for us.. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏Received honor and glory because it's belongs to you
Very inspiring❤❤Mungu Azidi kukuinua Anga za juu zaidi MAMAA 🙏
Napata faraja sana kwa kila nachopokea kutoka kwako Mtumishi wa Mungu ...Martha Mwaipata ww ni zaidi ya Muimbaji. Mungu azidi kukuinua
Amen,,,, Mungu azid kumbariki na kumtumia sawa na mapenzi yake
Martha your songs are a blessing in my life
Amina
Safi sana Dada mwaipanya iko viZuri sana mungu akuinue kwa viwango vya juu zaidi uzidi kusonga mbele zaidi kihuduma.
May raise you spiritually am blessed with the song keep it up my sister and brother
This song is my Alarm ringington every morning be blessed Martha love u from Uganda,lord l will live to glorify your name 🙏🙏
Mimi Ni shabiki wako namba moja Matha, huyo Mtumishi hamjaendana hata kidogo sauti yake Sio ya kuabudu Kama wewe... Plz Mambo ya colabo achana nayo, tunga nyimbo zako, Maana una neema yako binafsi... Naheshimu mafuta ya huyo mtumishi... Huo mziki na wewe Matha haviendani... Hiyo studio ya Jawabu mwachie Rose Muhando, Ile studio yako ya kwanza ndio inakujulia... Asante dada Matha ninajifunza mengi kwako SHALOM
Ni kwel ulichosema kbc sikupingi bwana Jeremiah
Hakika umenena kweli hawajaendana,achana na colabo Martha
Kweli kbs hawaendani
@@pendoelias1022 kipawa alicho nacho Martha sio chake..Ni Cha mwili wa Yesu Christo..alijengwa na wengine ....wacha Ajenge wengine Aimbi atufuraishe sisi anaimba amtukuze Mungu..huyu Martha Neema ya uimbaji Mungu amempa Bure Kama anavyo sema...ata wewe ukitaka Mfuate Martha atakuambukiza Neema ya uimbaji Kama umeitwa kwa hiyo laini..Mungu awabariki Nina wapenda...
Never judge anyone 💯,,, keep on Shinning forever
Much love from western "My role model Madam Martha Mwaipaja💗💗💗
Hakika asante Yesu..
Tumushukuru mungu
Kila wakati..wimbo mtamu wa kumtoa nyoka pangoni
Martha wow wow
Tumshukru Mungu kila wakati 💝🇰🇪
Martha huyooo jamaaa wawapi
A girl from Tanzanian🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Good music continue praising God. I love the song sauti safi. Also the jawabu studio your instrumental issa hot
Very inspiring song.....mungu aendelee kuwabariki ministers of God
you are the lord of impossibility,,, I will trust and not give up at all
Ameen Amen barikiwa dada wetu.nice song
I love the song may God bless you and uplift your ministry
Yesu wangu, asante yangu haitoshi. Nashukuru kwayote unanitendeya👏👏👏👏
❤️❤️ Mwaipaja barikiwe mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Am blessed so much my brother and my sister, from nairobi westland be blessed so much all.
Blessed to my brother watching from minnepolis U.S.A,,
Maombi yangu nimungu siku moja anipee nehema kama hio yako martha nizidi kumuambudu
Bwana ako martha anajuta saiv maana tangia amekuacha ndo kwanza unazidi kung'aa hakika nakushukuru. Mungu
Amina
Sana
Sana
May God continue to expand your talent mum,you really blessed my life .
May God bless both of you the is Song real is blessing to any one who will Listen
I Love this so much
May God bless all of
Mungu ni mwema siku zote
Nasema asante kwa mungu
I believe and trust God ,that one day,,this will be my testimony, ( machozi ya furaha sio ya machungu)❤
Nice song glory and honor be to God forever and ever amen
I just love Martha mwaipaja. Her songs have heavy messages. Big up mama. I started listening to you when I was young upto now. They are just blessings to me
Naipenda sana hii nyimbo kwenye Mungu amenitoa wengi wanashangaa 🙏
asante yesu mungu azidi kukupandisha juu
dada yangu martha nakupenda sana
This song is indeed a blessing to me. Good work and God bless you as you minister His word through this song
What can l add nothing more indeed it is God Martha u are my mentor Mummmy
My favorite Tz female artist..... May God continue to lift you.... You always bless me
Pia mimi, my favourite
Blessing one,love this song
Hakika namshukulu mungu kwa ukuu wake juu yangu sema Amen
Martha, my all time gospel musician. Your songs bless me
I like this song so much, thanks to lord for giving me life
Ubarikiwe dada
Martha I’m so blessed by your song
Ua songs really makes feel touched ,continue inspiring moo.
God bless you I real get blessed with your songs
From Poland am enjoying the song❤❤
Uyu dada anaimba jamani MUNGU akubariki Nyimbo zafaraja pale unapokata tamaa inakupa nguvu 😢thank you JESUS 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🥺🙏🙏🙏
Shida yako dada uliolew na SHAROBARO. Sio saizi yako ndiyo maana alikutesa halafu pole!
Amen. Leo natoa machozi ya Furaha
Asante sana kwa huu wimbo mungu awape nguvu ya kufanya kazi yake Amen
May God bless you sister
Hakika niyeye wakushukuriwa. Be blessed sister Martha. Nakuelewaga sana,nikikusikiliza hata kama Nina majonzi napata faraja. Mungu azidi kukupa maarifa zaidi.
Woow, nimebarikiwa yangu yote na wimbo huu, Mungu awatie nguvu watumishi
Amina Mbarikiwe kwa wimbo mzur watu wangu penda san mdada matha mwaipaja ameen
Asante Mungu nimeona mkono wako u have done great things to me
Hiii dio itakuwa wimbo wangu siku nitakuwa narudi nyumban mwaka ujaona indeed God is faithful ckujua 2024 itafika nikaende kuona familia yngu
Huy dada nampend san kwakweli dada mwenye tabasam lake la milele mungu akuzidishiy napend sana nyimbo zake huna majivuno
Nakushukuru mungu....machozi ya furaha yanitoka....asante yesu.... Ebenezer!!!...🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Amina mungu ni mwema atafuta kilio
Nakushukuru baba Kwa kuniondolea mauti baba nimekuomba sana na umejibu wengi wamekufa Kwa janga hili la earthquake Lebanon 🇱🇧 Iraq Syria Turkey Asante Yesu
Kazi safi watumishi
Jawabu all the way is always 🔥🔥🔥
May God uplift you more in your ministry and expand your boundaries Martha servant of God
Wow this is so nice
Kazi nzuri Mungu awabariki sana watumishi wa mungu
Asante dear
Nakupenda martha. Mungu azidi kukuinua.
This song is real a blessing to me 'God bless you two
Nakupenda bure Martha first and farmost ur natural na nyimbo zote zijawai jutia kuskiza hongera mummy nikitoka US napenda nikutane nawe live upokee zawadi yangu
Nakushukuru MUNGU,asante YESU, even when in trials tujifunze kushukuru,,,,MUNGU atatushangaza wakati wake. Barikiweni sana
Nashukuru mungu kwa mena na nehema yake kwa kua n muweza yote n baba yangu amenitoa mbali sana
wow what a blessing song Martha mwaipaja you my favorite musician nakupenda kwa nyimbo zako tamu Mungu akubariki
Thank you Jesus..loving the song
I love this woman of God😘😘🌺
Songa mbele ilove you sister
I thank you Lord 🙏🙏🙏 🙏 for everything you have done to me I love you Lord
Mungu akupe neema ....martha you're the best the song blesses me
Martha this my testimony. What a song can't get enough of this. Jana nililia sana lakini Leo machozi ya furaha, He has done soo much for me. God bless fr such a nice song
Nikikuona tu nafarijika nakupenda kupita upeo dada Martha
Asante Yesu kwa yale ambayo unenitendea
It's a blessing song listening from kenya,,,wapi likes za Martha from Kenyans 2021
Oooooh Nashuruku Bwana .......
Wonderful wapendwa
Martha nakupenda sana mama ungekua lika langu ningelikuoa kabisa.love u so much.ubarikiwe sana mama na nyimbo zako za injili zinatufundisha sana
Martha napenda sana kushukuru na nyimbo kila asubui maana inazidisha amani na ushindi wa baraka barikiwa daughter mwaipaja
Yeeeeeesuuu wangu...
Machozi yangu yanatoka...machozi ya furuha...mahali nimitoka no mbali
Asante kwa neema ulionipa mngu akulinde
Martha martha!!! Weh akh I really love this lady
Ameeni,nalia machozi ya furaha Mungu wangu asante umenitoa mbali Baba.ASANTE YESU!
Amen amen mungu azidi kukusaidia
Wao hongera nmebarkiwa wimbo huu
Nakupenda xana Dada martha MUNGU azidi kukutia nguvu na kuinua kipaji chako.
HALLELUJAH NAKUSHUKURU MUNGU
Martha nyimbo zako za ni bariki Sana mungu azidi na kukwinua
Nyimbo zako zina ni bariki ubarikiwe
Hallelujah my God nafarijika sana.nashuku
I really really like and love so much this song coz it touches my heart so much
Ubarikiwe sana mwimbaji wa mungu
Ooh hallelujah Nakushukuru Mungu Kwa mengi mnoooo,be blessed watumishi
Such an amazing voice. Stay blessed Martha.
Wooow...wot a blessed song"..i love it
Much love Martha,,,,,, napenda sana nyimbo zako aki Mungu azidi kukuinua
😢😢Hata siwezi elezea pahali mungu amenitoa🙏🙏🙏. Be blessed Martha mwaipaja
I love this song .....be blessed martha
Be blessed
Kazi nzuri wapendwa mungu wangu awabariki sana
I really love your songs.. you are a blessing to me all the time.
I'm blessed with this song,may Almighty God bless you guys,❤ 😍 💕
Dadaang natamani sku moja unibebe nami niwe miongoni mwako mana nyimbo zako nahs hata yote uliyopita mepes na magumu mungu alikuwa nawe - Amina
Hongera Dada mkubwa mungu tu
I love his song blessed ,sister Mungu akupe neema na maarifa kwa nyimbo zingne