2. Zanzibar Waarabu Si Wageni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024
  • Lini Waarabu wamefika Zanzibar? Sheikh Ali Muhsin Barwani anasema upo ushahidi wa tarikgh (historia) kua Waarabu wamefika Afrika ya Mashariki (Zanzibar) kabla ya kuzaliwa Mtume Isa (Yesu) kwa ma miya ya miaka. Bali Waarabu walifika pwani ya Afrika ya Mashariki kabla ya Wabantu kufika huko. Walikuwepo Waafrika wengine kabla ya Waarabu, lakini walikua kabila za Kihabeshi na Kisomali si Wabantu.

КОМЕНТАРІ • 126

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 6 років тому +5

    Kuna watu humu bado wanachuki za kijinga sana, hakuna binaadamu muafrika asiye na chanzo chake sasa, hawa wao walionewa kinamna yao acha waongee hakuna haja ya kutoana akili, ww unayeona unafanyiwa saaa wakati huu utulie tu, heshimu husia za wenzako. Unapoanza kuandika chuki zako hapa sisi tunakusoma kwamba ww ni miongoni mwa wale tunaowakataa na kutokubali magumu aliyopitia mwenzako, kama ww unakula nyama leo usidhani hata jirani yako amepata muhogo yawezekana amelala njaa siku ya 3 sasa.

  • @ramohacompany8412
    @ramohacompany8412 6 років тому +6

    Zanzibar wenyewe ni washirazi

    • @husseinfarid2883
      @husseinfarid2883 5 років тому +1

      Nope znz Kama znz huwezi kisema washirazi ,read and study brother

    • @masoudmasoud8138
      @masoudmasoud8138 4 роки тому

      @@husseinfarid2883 achana nae hana alijualo huyo fala tuu

    • @saidhomie3368
      @saidhomie3368 4 роки тому

      Washirazi unajua ni watu gani? Au unafata mkumbo tu?????? Washirazi ni watu kutoka IRAN, nimeandika kwa herufi kubwa ili uone.

    • @khalidkadhimuhija1708
      @khalidkadhimuhija1708 3 роки тому

      Mbona hawazungumzi Kishirazi?

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896 2 роки тому +1

    Haiwezekani mwarabu alukuja akakuta wenyeji wako wanaishi kama vile wazungu walikuta aboriginals kula Australia

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 8 місяців тому +1

    HISTORIA YA UKWELI KABISA WALA HAONA CHENGA

  • @godasanga3819
    @godasanga3819 5 років тому +1

    waingireza,wajurumani,wareno,makaburu na nyie waarabu mmetua sana wabantu mmetuuza sana mmetutesa mmtuibia mali zetu lakini mnasindwa kukubali ukweli kazi kupindisha historia sisi tumebarikiwa na Mungu hamtuwezi kwa kila kitu

    • @casttraining1575
      @casttraining1575 5 років тому

      Huyu mzee mnafiki waarabu wanaurafiki wa kinafiki. Huku sio kwao waende tu uarabuni

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 3 роки тому

      Uongo mtupuuu. Nia no kuwatetea Waarabu. Ukweli ni kuwa mtu mweusi ameteswa sana na waarabu pamoja na wazungu. Aibu tupu kujaribu kubadilisha historia

    • @ALIKHAMIS-un4fv
      @ALIKHAMIS-un4fv Рік тому

      ​@@casttraining1575 nipe ushahidi kama mzanzibar ameteswa na waarabu wa Omar

    • @ALIKHAMIS-un4fv
      @ALIKHAMIS-un4fv Рік тому +1

      ​@@casttraining1575 pia naomba ushahidi rai yoyote wa kizanzibar alietumika kama mtumwa na kufanyishwa biashara ya utumwa ukiongea uongee kwa Dalili si kuropokwa tu

    • @NassorOmarDadi
      @NassorOmarDadi 2 місяці тому

      Unasemaje shenzi mtwana kafiri ww acha chuki zako.l dhidi ya waarabu

  • @user13375
    @user13375 4 місяці тому

    Pua refu ,mwarab ww

  • @yahyashee4857
    @yahyashee4857 Рік тому

    HUYU MZEE ANAWEKA UONGO KWENYE STORY KABISAAA. ATI WAARABU WALIKUWA EAST AFRICA KABLA HAWAJAENDA OMAN.

    • @otaibonny8835
      @otaibonny8835 8 місяців тому

      😂😂😂😂 Mzee anatetea pande yake. Kwa sababu mwarabu

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 4 роки тому +1

    Ndio sio kwenu ndio maana tukakupindueni

    • @saidhomie3368
      @saidhomie3368 4 роки тому +2

      Hivyo??? Na wewe ukapinduka nao!!!pinduuu!!!

  • @tanzania2559
    @tanzania2559 6 років тому +7

    SIO KWELI UNAPOTOSHA, unatakiwa ujue swala moja , muarabu AMA mzungu ni waongo waliandika vitabu ili waje wawatawale baadae kwa maandishi yao ya kipindi hicho.. SI MUARABU WALA MZUNGU ANAYEPENDA WAAFRIKA WEUSI

    • @binyamina8850
      @binyamina8850 6 років тому +2

      Tz 255 lakini kumbuka ni jamii ya waarabu na waafrika pamoja tuliojenga miji yetu mikubwa ya kihistoria kabla ya wazungu kuchoma moto

    • @casttraining1575
      @casttraining1575 5 років тому

      Tena we kizee cha kiarabu urudi kwenu Omani usitudanganye huo ni ukafiri

    • @fatmahamad2156
      @fatmahamad2156 5 років тому +3

      @@casttraining1575 kwao ni hapa aende wapi ,na ww nenda kwenu,mbaguzi wee

    • @casttraining1575
      @casttraining1575 5 років тому +1

      Wewe ndio shoga ndio maana neno shoga lipo kichwani mwako hata ukalitaja...

    • @casttraining1575
      @casttraining1575 5 років тому

      Wewe ndio shoga ndio maana neno shoga lipo kinywani mwako. .

  • @yahyashee4857
    @yahyashee4857 Рік тому

    KAMA WAARABU WALIKUJA MIAKA MINGI ILIYOPITA YAMAANISHA BADO NI WAGENI.

    • @sadikfarhansadik6096
      @sadikfarhansadik6096 Рік тому

      Shehe unaijua historia vizuri ww au

    • @yahyashee4857
      @yahyashee4857 8 місяців тому

      Si lazima mtu ajue sana historia, mwenye macho haambiwi tazama, waarabu kwao ni middle East.

  • @Logicentric
    @Logicentric 2 роки тому

    Hebu jamani acheni ushamba na chuki za kijinga. Ikiwa nyinyi ni wakristo au waislam mtakuwa mnaamini kwamba wanadamu wote wana asili moja ya Adam na Hawa. Ikiwa ni hivyo basi wote wametoka ardhi moja na kila zehemu iliyobaki watakuwa wamehamia tu katika kutafuta maisha. Au mnasemaje katika hili?
    Hangaikeni mtafute maisha. Hizo nyimbo sijui sisi ndio wa asili au wa mwanzo hazitowasaidia kitu. Au mnataka favour gani jamani?
    Kama ni utumwa sio waafrika peke yao waliofanywa watumwa. Hata hao waarabu na wazungu nao walifanywa watumwa....Hata waafrika walifanyana watumwa na waliuzana..
    Hiyo ni historia imepita haifutiki.
    Acheni kalalamika tafuteni maendeleo.
    Mkibweteka mtakuja kuwaita hata hawa waafrika wenzetu wanaotawala leo kuwa ni wakoloni.
    Basi kawafukuzeni wamadagascar,mauritius na sychelles ikiwa mnaamini kwamba kusini mwa sahara ni kwa watu weusi tu.
    Yaani tumbili akikosa mti huja mwilini....Naam ndio maana mpaka leo sisi tunalalamika na ukoloni tuu wakati wenzetu ambao nao pia walitawaliwa wanapiga hatua sisi bado tu tunaimba nyimbo za ukoloni ....utumwa.
    Kila mtu ni mbaguzi duniani awe mweupe awe mweusi. Tukiacha kubaguana kwa rangi tunakuja kwenye dini na makabila. Tunabaguana kwa elimu kipato,utamaduni na kila kitu. Hata tukiwa rangi,dini,na kabila moja bado tutabaki tunabaguana tu....
    Hiyo ni kawaida wala hilo halitoondoka hadi siku ya mwisho.
    Ni yule tu anaemjua mwenyezimungu na kumcha kiukweli ndio atatambua kwamba ubora wake ni uchamungu wake na sio rangi,kabila kipato wala chochote kingine.
    Msingi wa kuishi ni uvumilivu.
    Suali nauliza....Hivi tuwapeleke wapi waafrika ambao ni wa damu.mchanganyiko na hawajui kwao kwengine?
    Je tuwabague na kuwanyima fursa kwa dhana kwamba wao hapa si kwao?
    Poleni sana....

  • @jamesmbata8542
    @jamesmbata8542 Рік тому

    Pumbavu kabisa huyu mwarabu koko

  • @shabania333rajabu
    @shabania333rajabu 5 років тому +1

    Waarabu wa kusini ya Sahara wote ni wahamiaji acha kuwapumbaza watu mlikuja kwa ajili ya biashara ya utumwa nyie mliwanyanyasa sana wazee wetu acha uongo

    • @duniaileile5522
      @duniaileile5522 5 років тому

      Kijana kua na adabu najifundishe tabia wazilokufundisha hao unaowachukia pumbavu wee
      Katafute vitabu usome kisha ndo ulete utabaka wako, muangalie vile

    • @sawbaa6332
      @sawbaa6332 5 років тому

      @@duniaileile5522 kuma la mama yk mbwanyie mlikuja kuuza watu nakuwatumikisha nakuwapasua matumbo nakuwanyanganya aridhi kisha mnasema amkufanya kumanyie simtuache Zanzibar ni yetu ss waswahi sio nyinyi wasege waomani mnatuganda nn nanyinyi Zanzibar siyenu kumanyie

    • @duniaileile5522
      @duniaileile5522 5 років тому +2

      😂😂😂😂 shukran kwa kuwaelewesha watu wewe ni nani na hizi ndio tabia zako
      Wewe si mzanzibar , wazanzibar hana matusi wala sio khulka zao, comments yako fupi lkn imejaa matusi, andaaa majibu ya kumjibu allah, na hati shahidi kwako had siku ya qiyama , nnawewe huhukumiwi mpaka nipewe haki yangu 😂😂😂
      Kama wewe ni muislm utajua nini hukmu ya matusi, kama ni wa dini nyengine sikulaumu lkn jiba unalo
      Rekebisha lafdhi zako , na uusafishe ulimi wako 🤧🤧🤧🤧🤧

    • @saidhomie3368
      @saidhomie3368 4 роки тому +1

      Hizo ni chuki za kupandikizwa, hazikutoki maisha yako tena mpowengi, na wengi hawapo tena duniani,tunaishi mara moja tu hapa duniani, hayo matusi na chuki zako zitakutia maradhi tu. Huwezi kubadili hali ilivyo na itakavyo kuwa, lakini unaweza kujibadili wewe na kizazi chako, na utanona kuwa umeutua mzigo mkubwa kwenye mabega yako, lakini huo ni uamuzi wako, mwaka umepita tokea uchafue hii kurasa kwa matusi ya nguoni ya mama zetu waliotuzaa, huoni kama ni laana hiyo inakuandama?

  • @kebo2155
    @kebo2155 7 років тому +3

    huu ni uwongo.....aibu kubwa kuteteya waarabu... . hii ni nchi ya wabantu siyo waarabu... waarabu ni machotara wa michanganyiko kati ya Mbantu na Wahindi wao walikuja baadaye . ..baadaye mchanganyika na Wazungu na wapersian. ..waarabu siyo waafrika ni wabaguzi wakubwa na ni waanzishaji wa biashara ya utumwa Africa .....

    • @almasnurdin2003
      @almasnurdin2003 7 років тому +3

      gaddafi ni muafrika au mwarabu

    • @santyhassan4186
      @santyhassan4186 6 років тому +1

      Kebo Toa ushahidi na wewe

    • @sulexbakey3360
      @sulexbakey3360 6 років тому +1

      oyaaa acha uboya

    • @binyamina8850
      @binyamina8850 6 років тому +2

      Mi nachojua ni kwamba nipo kwenye fukwe ya Africa kabla ya babu yako hajatoka congo miaka elf 1 kabla

    • @dulakess8928
      @dulakess8928 5 років тому +1

      Kebo wwe unabshana nazee ulkiwepp kipmd ivho

  • @jarsjam8894
    @jarsjam8894 5 років тому +4

    Km huyu mzee hajuwi kitu leteni historia zenu. Tizameni Misiri na Morocco na tunis na libya na kwengineko weupe km karatasi na wako africa

    • @kobajumakuziwa9976
      @kobajumakuziwa9976 5 років тому

      Hizo nchi zimepakana na bara lipi usiropokwe na mihemuko waarabu ni watu wa kuja tu sio kwao

    • @cheppemkristo860
      @cheppemkristo860 4 роки тому +1

      Sio kwao,,wezi wauwaji

    • @ibrahimsalum4727
      @ibrahimsalum4727 3 роки тому

      @@cheppemkristo860 warabu nikwao zanzibar wamilita mandiliyo makubwa napiya kwetu hakuna mtumwa wazungu na machifu ndio wakifanya biashara yatumwa tina sio zanzibar wachakutuka

    • @hayunhamad9788
      @hayunhamad9788 6 місяців тому

      Haya muarabu kamuua nan na waliokuwa wakiuwa ni wazungu nyinyi wajinga sana ​@@cheppemkristo860

  • @Worldunite
    @Worldunite 7 місяців тому +1

    Oyaaa, waarabu zanzibar SIO KWAO BALI WALIKUJA ZNZ NA PEMBA, waliwakuta WABANTU WAAFRIKA WEUSI AMBAO NI WAZAWA

  • @zuwenamohammed5940
    @zuwenamohammed5940 5 років тому +6

    Upo sahii

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 5 місяців тому

    UNAPOSEMA WAARABU WAMEKUJA MIAKA ZAIDI YA ELFU . WALIPOKUJA WALIKUTA HII UNGUJA HAMNA MTU. KISIWA KITUPU AU WALIKUTA WATU. UNAPOSEMA WAAFRIKA WA KIBANTU SIO WAARIKA WA WAKATI HUO UNAMAANA GANI. UNALIHASIMISHA VIPI KUKU NA YAI. WACHA UNAFIKI

  • @sadikfarhansadik6096
    @sadikfarhansadik6096 Рік тому

    True story

  • @nassorseif2467
    @nassorseif2467 Рік тому

    8

  • @seifrengwe2542
    @seifrengwe2542 5 років тому +1

    Histora ya binaadamu ni ile ile ambayo vitabu na habari zote zinayosema
    BINAADAMU WA KILA RANGI WALIKUWEPO SEHEMU ZOTE ZA ULIMWENGUNI
    tofauti ni kwamba kulikuwa na asilimia ya uwingi tu wa aidha weupe,warangi au weusi

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 5 років тому +2

    Huyu muongo inaonyesha anaamini binaadam wa kwanza alikuwa nyani Africa na uarabuni wapi na wapi nani alikuja mwafrika au mwarabu muongo sana huyu

    • @sawbaa6332
      @sawbaa6332 5 років тому

      @Aziz Abdallah iben-Saduunmsege ww kuma ww Zanzibar niyetu ss waswahili siowarabu waliotutawala nakutunynyasa kwenye aridhiyetu na kututawala kwa mabavu kumanyie Zanzibar sikwenu kwenu omani mbwanyi warabu kumanyie

    • @yahasalel-sheibany5403
      @yahasalel-sheibany5403 4 роки тому +2

      @@sawbaa6332 kwenu Znz ila kutwa kucha mwajipendekeza Oman nina hakika unakanzu jap moja ya Oman kam na ww hujipendekez tengeneza yak bas

    • @ibrahimsalum4727
      @ibrahimsalum4727 3 роки тому +1

      @@yahasalel-sheibany5403 wewe zanzibar hakuna mtumwa Bara ndio walikuwa kuna watumwa macheifu winu na wazungu ndio wakifanyabiashara yautumwa

    • @nassorali5511
      @nassorali5511 2 роки тому

      @@ibrahimsalum4727 watu walikuwa wakitoka tanganyika,kongo ,isipia na sehemu nyengini wakija wakiuzwa znz cvengie hakuna mzazibar aliye kuwa mtumwa

    • @hamilsaleh-zo3hp
      @hamilsaleh-zo3hp 7 місяців тому

      Wacha ufyatu

  • @shimuld6721
    @shimuld6721 5 років тому +2

    Nani alie sema Africa ni ya watu weusi kuna nchi ngapi za Africa ambazo wana ishi watu weupe anglia ramani

  • @Mku-wa-waku1
    @Mku-wa-waku1 7 років тому +1

    Babu unaonekana kabisa uli fanya kazi na mkoloni, weusi tulikuwepo Afrika kabla ya mwarabu, vizuri usome historia na kufwatia matokeo mbali mbali Afrika

    • @machinjabakari6162
      @machinjabakari6162 6 років тому

      Abubakar Muhinde Ww history ip unayo ijuwa mpaka um beze mkongwe huyu?

    • @santyhassan4186
      @santyhassan4186 6 років тому

      Abubakar Muhinde kweli walikuepo wa Ethiopia na wasomali wabantu wote wana Asili ya Kongo ndiko tuliko tokea

    • @sawbaa6332
      @sawbaa6332 5 років тому

      @@santyhassan4186 kafirwe uko

  • @yahyashee4857
    @yahyashee4857 Рік тому +1

    HAPA AFRICA WALIKUJA WAARABU NA WAZUNGU, ILA WAZUNGU WALIJUA KIWA AFRICA SIO KWAO NDIO MAANA WAKARUDI ILA HAWA WAARABU HAWAKUTAKA WARUDI KUROKA ZANZIBAR KUJIFANYA NI YAO. WAKATOLEWA KWA MAPINDUZI NA WAAFRICA WENYEWE.

    • @fahadabdalla8194
      @fahadabdalla8194 4 місяці тому

      Mhhhh weee unawajuwa wazungu ww waondoke Africa 😂😂 for which way ukiniambia ni mzungu gani aliendoka njooo uchukuwe buku foolish

    • @yahyashee4857
      @yahyashee4857 4 місяці тому

      @@fahadabdalla8194 NDIO WAZUNGU WALIENDA KWAO, KILA NCHI WALIOTAWALIWA NA WAKOLONI WA NCHI TOFAUTI WALITOKA KATIKA NCHI WALIZOTAWALA. KUNA WAKOLONI WALIOONDOKA BAADA YA MAZUNGUMZO KAMA VILE WABELGIJI NA WENGINE WALIONDOKA BAADA YA MAPIGANO KATI YAO NA WAAFRIKA KAMA VILE WAAINGEREZA, WAFARANSA,WITALIANO, WARENO, NA WAJERUMANI. KWA AMANI AMA KWA VITA WALIAMUA KUENDA KWAO KAMA VILE WAJERUMANI NA WAAINGEREZA TANZANIA, NA KABLA HAWAJAENDA MAKWAO WALIWAPA WAAFRIKA UHURU WAO KAMA VILE TANZANIA WALIVYOPEWA UHURU WAO NA HAWAJAWAHI KULALAMIKA ETI KWANINI TULIONDOKA TANZANIA KWASABABU NCHI WANAJUA SIO YAO. TUJE KWA WAARABU, AMETAWALA ZANZIBAR MPAKA WAKATI NCHI ZINAPEWA UHURU WAO WAARABU HAO HATA HAWASHTUKI KUWA NAO NIWAKATI WAKUWAPA ZANZIBAR UHURU WAO. WAINGEREZA KATIKA NCHI YA SOUTH AFRICA WALIAMUA KUWAPA UHURU WA KUJITAWALA WENYEWE HAO WANANCHI WA AFRIKA KUSINI. WAARABU HAO WA ZANZIBAR KWANI WALITAKA WATAWALE ZANZIBAR MILELE? HAITOWEZEKANA KWASABABU ZANZIBAR SIO OMAN NI ARDHI YA WAPWANI WA ZANZIBAR KAMA VILE WADIGO, WAPEMBA NA WENGINE WENYE KUISHI HUMO. KUTOLEWA KWA WAARABU ILIKUWA SAHIHI NA CHAKUSHANGAZA WAARABU WALIOPEWA STARA ZANZIBAR WANALALAMIKA ETI MBONA SULTAN ALIONDOLEWA KANA KWAMBA NI KWAO.

    • @yahyashee4857
      @yahyashee4857 4 місяці тому

      @@fahadabdalla8194 INAONESHA WEWE NI MMOJA WA WAARABU WALIOPEWA RUHUSA YA KUBAKIA ZANZIBAR BAADA YA MAPENDUZI KWASABABU INAKUUMA SANA MPAKA UKANITUKANA KUNIANDIKIA FOOLISH. INAKUUMA ILA ITABIDI UZOEE.

    • @fahadabdalla8194
      @fahadabdalla8194 4 місяці тому

      Hamna sina uarabu but kwenye ukweli lazima nisimame kwenye ukweli kama hujui mzungu ndie alietawala Zanzibar sio sayyid yy alipewa Tu mamlaka kama unataka kujua ukweli anagalia Nani alitoa Uhuru wa Zanzibar mwaka 1963 kama si mzungu so soma Kaka usikurupuke mitandaoni

    • @yahyashee4857
      @yahyashee4857 4 місяці тому

      @@fahadabdalla8194 WAARABU WALIKUJA MWAKA 900 AD LAMU WAKAJA KUTOLEWA NA WARENO WALIOKUJA MOMBASA MWAKA 1498 WAKATAWALA HADI LAMU. MWAKA 1698 WAARABU KUTOKA OMAN WAKAJA KULIPIZA KISASI WAKAWAONDOA WARENO MOMBASA NA LAMU NDIO BAADAE AKAJA AKAGUNDUA KISIWA CHA ZANZIBAR NDIO UNA UFUO MZURI ZAIDI YA MOMBASA NA LAMU, NDIO AKAANZISHA BIASHARA YA BANDARI NA KUTOA MJI MKUU WA MUSCAT NA KUUFANYA ZANZIBAR KUWA MJI MKUU. AKALETA WANAWAKE KUTOKA OMAN NA WAARABU WENGINE VIZAZI VIKAANZA VYA KIARABU WAKIWAFANYA WENYEJI HUMO WATUMWA WAO. WALIITAWALA ZANZIBAR HADI MWAKA WA 1898 AMBAPO UINGEREZA WALIKUJA KUCHUKUA USUKANI ILA BADO WAARABU WAKIENDELEA NA SERIKALI YAO YA SULTAN. NAFKIRI NMEKUELEZA HISTORIA VIZURI NA UKAELEWA. WAINGEREZA WALIKUJA MWAKA 1898 ILA BADO WAARABU KWA UTAWALA WA SULTAN ULIKUWA BADO UPO.

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 5 років тому +2

    Huyu mzee hajui kuwa Africa ni ya watu weusi.

    • @abuahmad1206
      @abuahmad1206 5 років тому +4

      Matako yako meusi

    • @sawbaa6332
      @sawbaa6332 5 років тому

      @@abuahmad1206 kumamamayo ww msege ww ss nimaniga na ss wazanzibar hatuna shabiani nanyinyi kumanyie ndomana mnalana lichi lenu ata mvua ainyeshi

    • @abuahmad1206
      @abuahmad1206 5 років тому +1

      @@sawbaa6332 wee yonda

  • @luhendesoloshija9502
    @luhendesoloshija9502 2 роки тому

    Pointlessness Mzee eti mwenyezi mungu kaleta oman kusaidia

  • @hamidsheha7371
    @hamidsheha7371 4 роки тому

    Kwani Zanzibar manake nini?, natushajuwa Zanzibar manake hivyo vitu vyengine vyote vitabadilika ulivyosema

  • @ramadhankimbeiye8293
    @ramadhankimbeiye8293 6 років тому +1

    Mzee acha kujitoa ufahamu au kwa sababu una shombo la kiarabu ndiyo maana unaongea pumba!

    • @binyamina8850
      @binyamina8850 6 років тому

      Ramadhan Kimbeiye Acha dharau.kama unapinga pinga kwa njia yenye kuheshimika

    • @shimuld6721
      @shimuld6721 5 років тому

      Wewe ndio Punda

    • @sawbaa6332
      @sawbaa6332 5 років тому +1

      @@binyamina8850 ww kuma kakimya ww na huyo mzee wote nashoga

    • @binyamina8850
      @binyamina8850 5 років тому

      @@sawbaa6332 OK

    • @nassorali5511
      @nassorali5511 2 роки тому +1

      @@sawbaa6332 hawa wote wanotukana wingi wawao ni watanganyika hajuwi iyo hisitoria ya znz

  • @christophermahawi9806
    @christophermahawi9806 7 років тому

    we Mzee usitupotoshe, hata vitabu vikuu vya dini vimeongea kuwa waarabu ndio mahabithi namba moja duniani.

    • @simonrevaniy2413
      @simonrevaniy2413 7 років тому +1

      Makafiri wamezid kupo tosha historia

    • @asiakheir3846
      @asiakheir3846 7 років тому +1

      Christopher Mahawi labda kitabu chako wewe.

    • @mohamedalaraimi6813
      @mohamedalaraimi6813 5 років тому +1

      Mahabithi sawa yeye aongelei ukhabithi anaongelea kuwepo kwa waarabu east Africa

    • @casttraining1575
      @casttraining1575 5 років тому

      Muongo wewe unatafuta ligtmacy east africa waaribifu tu nyie wafuga majini hamna wema wowote na dini yenu potoshi

    • @duniaileile5522
      @duniaileile5522 5 років тому +3

      cast training madhali wazumgumiza udini basi wewe si musilm maana huyo mtume ni muarabu
      Kwa vile wewe si muislm historia ya znz haikuhusu, znz. 99% ni waislam

  • @gabrielmzomkunda9487
    @gabrielmzomkunda9487 6 років тому

    Mimi sikubaliani na mzee huyu kweli ni msomi mzuri lakini anapojaribu kusema zanzibar hakukuwapo na Discrimination yoyote kati ya warabu na wafrika sio kweli only kwa mungu tu hata huyo bilal enzi hizo za prophet mwenye alibaguliwa na warabu na kafa bila kuowa pili anapojaribu kusema pwani ya Africa mashariki wabantu sio wenyeji siyo kweli apart from that nakubali kila alichosema

    • @suleimansaid769
      @suleimansaid769 5 років тому +1

      Ya MI Nasema ya zanzibar waachwe wazanzbr na so wazanzbr

    • @ahmedhassanadam7248
      @ahmedhassanadam7248 5 років тому +3

      Weweeeee kama hujasoma Dini tafadhali usichangie usilojua.... Bilal alioa mschana wa Swahaba...mschana wa kiarabu na aliyemuoza ni Mtume Mwenyewe....wacha miropoko ya chuki....soma Dini vizuriiii.....unaudhi bwana

    • @saidhomie3368
      @saidhomie3368 4 роки тому +2

      Jaribu kusoma dini na dunia na Historia hiyo lugha unayo ongea ni asilimia 70% ni maneno ya kiarabu, sasa wewe uliza ufundishwe Historia yako, maana wewe huijui, na kama utaleta kichwa ngumu utashindwa kujua,mmesaksma waarabu tu, wazungu mnawaramba nyayo, na hawana chochote kile walio changia kwenye maisha yako.

    • @NassorOmarDadi
      @NassorOmarDadi 2 місяці тому +1

      Muongo ww mshenzi acha kumtaja sahaba mtukufu wa Mtume S.A.W Bilal kua hakuoa, alioa tena alioa mwanamke wa kiarabu hasa tena alikua mwanamke mtukufu mbele ya Mwenyezi Mungu upo mtwana kafiri mchukia waarabu