LUCY BANDAWE WA MSONDO NGOMA NA KUBENEA NDANI YA MWANAHALISI TV

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 14

  • @mwinyimvua3031
    @mwinyimvua3031 2 роки тому +1

    Hivi ndio inapendeza kwa Mwanahalisi kuleta vitu mchanganyiko na sio kuganda zaidi na mambo ya siasa tu.
    Nimemkumbuka Athuman Momba ambae alipitia bendi kadhaa kama Dar International & Marijani, Vijana Jazz & Maneti, Bima Lee na Msondo Ngoma.
    Hongera sana

  • @HisanHaji
    @HisanHaji Рік тому

    Yangaaa rusi bandaweee nipeleke. Nyasaaaaaa umenikosha sana hasa kuipenda zaidi yangaaa

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 Рік тому

    Ottu Jazz Band hakika walikuwa mahiri sana kila nyanja zote

  • @stephanominja8927
    @stephanominja8927 3 роки тому

    Safi

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 3 роки тому

    Lucy bandawe hoyeeeeeee

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 роки тому

    Baba yake Lucy Bandawe alikuwa Mzee Bandawe Katibu Mkuu wa Yanga miaka ya 70!

  • @halimaoman8900
    @halimaoman8900 2 роки тому

    Limejikomoa kama kamapapai 😏

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 3 роки тому +1

    Lucy niwewe ambae mama yako alikuwa anafanyakazi OAU?

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 3 роки тому +2

    Limama jitu lizama na Pini puani shenzi kbsa. Litakua lidangaji tu

    • @sadasaleh5241
      @sadasaleh5241 3 роки тому +1

      Nyooo mdangaji unamjua wewe kama una cha kucoment kaa kimya

    • @stephanominja8927
      @stephanominja8927 3 роки тому +2

      Kuwa na heshima ndg,

    • @johnmapunda99
      @johnmapunda99 2 роки тому +2

      Urembo tu huo ndugu.Adabu ni muhimu sana

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 Рік тому

      Pumbavu mdangaji nimama yako aliyekuzaa heshimu wanawake.

    • @rizikilukali1558
      @rizikilukali1558 Рік тому

      Acha ushamba wewe mtu wa bara ni urembo huo kama wewe hupendi wenzio wanapenda. Ndio nyie mnawanyoa vipara wake zenu