Shee uko vizuri lakini shida yako nikwamba unaacha kulenga like kiricho lengwa unakuja kukifanya mwishoni si hayo maerezo mengine ayatupendezi sisi tunakuwa na Nia na tunachokiuriza tu
Nimeota nimepoteza pesa na nikaenda polis kushtaki polis nikaja nae nyumbani na nikawa nahisi ndugu yangu kazichuku mamana aliniazima beg lake nihamishie vitu vyangu wakati nikiwanakumbukumbu hiyo line roho yangu aina imani na huyo ndugu yangu na nikawa nahisi labda mimi ndiyo nilizisahau pesa kwenye lile beg? Hii inamaana gani
Asalaam alaykum, Sheikh na wote munao mfuatilia! Kuota unaomba kibali kwa askari kupita ngome yao(ambayo ndo njia rahisi) ila wakakataa vile sina kitambulisho cha Uraia. Nikapata nafasi nikaiba sare ya askari mmoja nikavaa. Ila wakanibamba vile sikuwa na viatu(nilikuwa peku) wala kofia. Askari kanzu akataka kunishtaki. Nilipo jieleza na kumuomba anisameh nisiingie matatizoni akakubali na kunisaidia kupita na kutokea upande mwengine (nchi nyengine). Ndoto ya kumpiga mbwa na akawa mpole na kama ananishangaa kwanini nimempiga!
Shehe nimeota nipo shule mwanafunz mwenzetu kauwawa sasa nalazimishwa mm kuwa nimeua na askali wa kike ndo alikuwa ananilazmisha kes ni seme kuwa nimeuska
Shehikh mimi nimepatwa na ndoto niko niani kuna maman alikuwa na mwanae kuka kuwa mtu aka mu uwiya mwanae akarudi nyuma akilala mika sana alafu majeshi wengi wakaja naku anza kimbiza kila mtu alie kuwa kwenye njia ata kama hujuwi yalio pitikana pale wana kufata wamoja waka nikimbiza nilipo choka nika wopoteya nanika chituka je nini tafsiri
Tatizo lako uendagi kwenye point Moja Kwa Moja,wengine wakristu hatuelewi kiharabu
❤❤❤❤❤❤shukuran shekhe na mungu akulipe kila la kheri kwako
Shee uko vizuri lakini shida yako nikwamba unaacha kulenga like kiricho lengwa unakuja kukifanya mwishoni si hayo maerezo mengine ayatupendezi sisi tunakuwa na Nia na tunachokiuriza tu
Unatafsiri njozi au ni ummul juma hutuba?
Shekh unaanzia mbali Sana ungeenda kwenye point
Ukitafsiri nenda kwenye lengo usiongee sana
MB za tabu basi tunaomba uwe unaenda kwenye point moja kwa moja
Yani umeongea point ☝️
😅😅😅😅
Peleka mbele
Ok sawa
Nashaur mnapotoa somo kma hvi muwe mnatuambia na jinsi ya kujikinga na hzo blaa dua gni tuombe na kipi tufanye kuepukn na hlo ttzo
Haezi sema mpaka uingie in-box .
Sheikh weye asaa unachosha kwasababu huendi ktk point unazunguka sanaaa. ilo ndo tatizo lako.
Ishallah 🙏
Shukurani sana sheikh
Ustadh punguza kuuthubitia ulimwengu kuwa umehifadhi hadithi, Quraani, Kulalimia, fupisha, ogelea. Mada ya tafsi ya ndoto unayotaka kututafsiria.
Alihamuduliliah sheikh
Yaan mpk unafika nusu bado tu ujaenda kweny main point duuuh!
Acha maneno mengi nenda kwenye point
Mimi nimeota askari ananikimbiza nikajificha sehemu ya wazi tu lakini hawakuniona wananipita tu maana ake nini
Mashaalah
Vyema
Tatizo hajibu maswali.
unasubilia had bas
Peleka mbele
Nenda kwenye point wewe
Swallallahu alayhi wasallam
mimi niliota nakimbizwa na Askari wengi kwakuwa nilimuua mwanamke wa mume wangu je hii inamaana gani?
Mmh mambo tele
Je kama umemuotea mtu wako amefatwa n asikari
Nimeota nimepoteza pesa na nikaenda polis kushtaki polis nikaja nae nyumbani na nikawa nahisi ndugu yangu kazichuku mamana aliniazima beg lake nihamishie vitu vyangu wakati nikiwanakumbukumbu hiyo line roho yangu aina imani na huyo ndugu yangu na nikawa nahisi labda mimi ndiyo nilizisahau pesa kwenye lile beg? Hii inamaana gani
Sheikh mm niliota mm mwenyewe ni mwanajeshi ina maana gn
Nimeota nimembeba mwanangu tunaviuka rami kunamapolisi wengi wamebeba bunduki mimi nikawapita maaskari wale nikiwa nimebeba mwanangu uku nasema kwa nguvu lailaha illallah tukawavuka wale maaskari mpaka tufika nyumbani maana nini
Asalaam alaykum, Sheikh na wote munao mfuatilia!
Kuota unaomba kibali kwa askari kupita ngome yao(ambayo ndo njia rahisi) ila wakakataa vile sina kitambulisho cha Uraia. Nikapata nafasi nikaiba sare ya askari mmoja nikavaa. Ila wakanibamba vile sikuwa na viatu(nilikuwa peku) wala kofia. Askari kanzu akataka kunishtaki. Nilipo jieleza na kumuomba anisameh nisiingie matatizoni akakubali na kunisaidia kupita na kutokea upande mwengine (nchi nyengine).
Ndoto ya kumpiga mbwa na akawa mpole na kama ananishangaa kwanini nimempiga!
Shehe nimeota nipo shule mwanafunz mwenzetu kauwawa sasa nalazimishwa mm kuwa nimeua na askali wa kike ndo alikuwa ananilazmisha kes ni seme kuwa nimeuska
Nenda kwenye mada
Nipe tafsir tafathar
Mi nimeota naitwa na Askari nikamfata maana yake nn shekhe
Jee ukiota unaona askari ana kamatwa na polisi
Shehikh mimi nimepatwa na ndoto niko niani kuna maman alikuwa na mwanae kuka kuwa mtu aka mu uwiya mwanae akarudi nyuma akilala mika sana alafu majeshi wengi wakaja naku anza kimbiza kila mtu alie kuwa kwenye njia ata kama hujuwi yalio pitikana pale wana kufata wamoja waka nikimbiza nilipo choka nika wopoteya nanika chituka je nini tafsiri
Ikiwa umeota dua zafanywa kulaani Askari maanake Nini sheikh
Sheikh tufundishe namna ya kupata ufunguo wa kusoma ayatul qursiyu kwa kutumia majina
Mimi leo nnaota nnapata ndege elikopta inamaana gani..
Hamna kitu wewe, stori nyingi sanaaa.
Shehe ukiota upo ktk mapambano
Nino langu moja la juu upande wa kushoto lime katika vipande vipande ndotoni nini maana yake