Taarab Zilipendwa- Patricia Hillary- Chura

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 141

  • @zablonmatara
    @zablonmatara Рік тому +11

    This song used to be a signature tune for Vituko drama on KBC TV in the 90s.Casts included,Mzee Mombasa,Zoa,Mgongo mture...n others.

    • @ivynakitare
      @ivynakitare Рік тому

      Thanks for the reminder, the song takes me back

    • @lawrencelawrence3305
      @lawrencelawrence3305 7 днів тому

      This songs make us realise how far we've come, ohh boy,

  • @cynthiacynthia2431
    @cynthiacynthia2431 4 роки тому +14

    Hizi ndizo taarabu. Wenzangu mpooooo? Likes za 2020 tafadhali

  • @Ngangabwite
    @Ngangabwite 9 днів тому

    Lijichura nalisikiliza hapa Chasimba, Boko, Dar es Salaam 2024/October

  • @kizomanizo
    @kizomanizo 6 років тому +22

    Ulikuwa wimbo wa Utangulizi wa ile tamthiliya ya Kimombasa ya Mzee Mombasa Mwambao na Zowa

  • @zeitunikiprotich3209
    @zeitunikiprotich3209 2 роки тому +4

    This reminds me back in 1990s at our family homes in Eldoret and Nandi hills.....memories ❤️ 😍

  • @aboubakarkisuju6002
    @aboubakarkisuju6002 6 років тому +8

    inanikumbusha mwaka 1987 nilikuwa kwenye basi"KAUDO"nikiwa natoka Kisese sauna"kwenda morogoro likizo"hongera sana patricia Hilary"bado upo.

    • @paulhhari8861
      @paulhhari8861 4 роки тому +1

      Haaaaaaa!!! Mimi nilikuwa Ditsoma wakati huo

  • @stevensteve8194
    @stevensteve8194 5 років тому +6

    Kipindi ilikua inaitwa Vituko. Enzi Zile za V.O.K na KBC

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 4 роки тому +3

    Mimi nakumbuka nilikuwa na miaka kama 4 au 5 hivi dah mpasasa nina miaka 34 sijuiwezangu tuliokuwa tunasikiliza huu mziki wako wapi ewe mora na walike kama waki bado hai dunianianian ameni !@

  • @kg1419
    @kg1419 Рік тому +1

    Nakumbuka mama akituandalia chapat za kula shule asubuh dah

  • @jamesjuma3499
    @jamesjuma3499 3 роки тому +2

    "I remember the day's when J K T from TZ used to entertain us on Radio Tanzania Dar es Salaam & VOK" 1980- 1989. Niko Kambe/Pangani Kilifi County.

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 5 років тому +2

    Tamuuu enzi hizoo tu baada ya Habari umejikalia tayari kungoja Vituko.

  • @sherim5666
    @sherim5666 4 роки тому +9

    Niliupenda huu wimbo sana, zilipendwa!!! thank you for posting.

  • @mishomoroni1272
    @mishomoroni1272 8 років тому +15

    nilitafuta huu wimbo miaka mitatu jamani. thank you so much for posting!

  • @johnkuma6867
    @johnkuma6867 Рік тому

    Nakumbuka nikiisikiza Voice of Kenya kwa radio yetu ambayo ilikuwa ndogo ya National ambaya ilikuwa haitolewi pale ilikuwa imefunikwa na kitamba mika ya early 1980Ss. Ilikuwa inavuma sana hii taarab

  • @twilamtumbi2647
    @twilamtumbi2647 8 років тому +3

    Dah mola akupe maisha marefu bw eddie UDONGO UDONGO ndugu zangu wanikumbusha waliotangulia dahh eddie eddie mhh sisemi mie

  • @samesco2255
    @samesco2255 6 місяців тому

    Wakamsuta Mwalimu Kambarange Nyerere kwa kukataa magendo nchini Tz

  • @khadijaamour7654
    @khadijaamour7654 4 роки тому +2

    Chura njoo uku kuna ujumbe wako 2020

  • @zedbclaudia5603
    @zedbclaudia5603 8 років тому +16

    inanikumbusha. kipindi cha kina zoa. kwenye K. B. C. ..TV

  • @msokemsoke3782
    @msokemsoke3782 6 років тому +7

    hii inanikumbusha miaka 92

  • @aminaalwahtan3812
    @aminaalwahtan3812 7 років тому +5

    naipenda hii wimbo ya chura nilitafuta miaka kumi sasa

  • @abubakarikisuju5374
    @abubakarikisuju5374 4 роки тому +2

    Nilikuwa na miaka 10)sasa hivi nina 43

  • @christinenyambeta7702
    @christinenyambeta7702 2 роки тому

    My mum's best songs hata nami nazipenda mpaka mwisho

  • @heriissagombera5168
    @heriissagombera5168 8 років тому +14

    old is gold kaka hizi ndizo taarab

  • @Dannjiiri
    @Dannjiiri 6 років тому +2

    Chura punguza vituko na wako uhayawani, umezua sokomoko watu hawaelewani.....

  • @khanifayusuf8948
    @khanifayusuf8948 6 років тому +1

    Hakuna siku utamu wake utaisha ...old is gold....akaja dada rukia na ndooee mkononi chura ukajing'atua ukajitosa pembeni....huu ndio mstari nilikuwa naupenda sana

  • @eustacenyaganyaga9118
    @eustacenyaganyaga9118 Рік тому

    Masono ya msingi kwa darasa la tano enzi hizo nalikumbuka hili sahiri....nkiwa shule ya msingi kwetu embu runyenjes kenya

  • @sharifahmed7346
    @sharifahmed7346 Місяць тому +1

    Chura hastahili lawama zote hizo !!!😂

  • @allymamba8215
    @allymamba8215 8 років тому +3

    Ki u kweli zilikuwa darasa burudani old is gold

  • @zuenasalim7136
    @zuenasalim7136 6 років тому +2

    Nakumbukaaa kipindi,cha vituko!!liko beeee

  • @christopherkihiyo2964
    @christopherkihiyo2964 6 років тому +1

    Hiz taarabu zilikuwa na nidhamu sana nimekumbuka mbali sana mama alikuwa anazipenda sna

  • @simbanoh.makange1789
    @simbanoh.makange1789 10 місяців тому +1

    Old is gold

    • @YassinNyange
      @YassinNyange 4 місяці тому

      Kwa kweli ilikuwa raha enzi hizo

    • @YassinNyange
      @YassinNyange 4 місяці тому

      Nilikuwa naipenda sana taarabu hi,

  • @askwarysiay635
    @askwarysiay635 4 роки тому +1

    Duh hii maktaba HATARI SANA kundi hili pamoja la bendi la mapipa aka steel band ni mali ya JKT na makazi yao ni Mgulani JKT mimi nilikuwa nawabeba kwenda kuburudisha ktk kumbi za starehe kwa gari STG 6108 SCANIA 82M

    • @abdulramadhan2070
      @abdulramadhan2070 3 роки тому

      Unamkumbuka Esnati Bugombo ambaye alikuwa mmoja wapo wa waimbaji wa kundi hilo?

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 Рік тому +1

    Kilikuwa mida ya usiku

  • @timmusumba5846
    @timmusumba5846 3 роки тому

    Good old old old memories nikiwa mtoto. Ilikuwa inachezwa kwa kipindi kingine kilikuwa na kina Marehemu Mzee Mombasa na akina Zoa.

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 років тому

    Huu Wimbo Sijui Umeibwa na watu Wangapi,Chura.

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 Рік тому

    Inanikumbusha miaka ya 1980's redio Tanzania kipindi cha mziki wa mwambao

  • @zainabismail359
    @zainabismail359 Рік тому

    Nakumbuka mbali sana

  • @tariqjoseph3672
    @tariqjoseph3672 6 років тому +2

    mashaalah nakumbuka mbali sana

  • @lucykibe7162
    @lucykibe7162 2 роки тому

    Huvutia na kuipa roho yangu burudani

  • @brunomhume740
    @brunomhume740 Рік тому

    We are together 2023

  • @monicamaringa9837
    @monicamaringa9837 8 років тому +3

    khaaa hivi havichakai mwanao. daah! 'vituko' ,@kbc kina zoa

  • @backupaccount7198
    @backupaccount7198 6 років тому +1

    msa ndio mambo yote , chura hadi leo hajulikani

  • @naitwasheldon
    @naitwasheldon 2 роки тому +1

    There was a program on VOK called VITUKO. This was the montage

  • @hadijawere2789
    @hadijawere2789 7 років тому +1

    Taarabu yanikumbusha kipenzi wa taarabu bibiye Hadija Ali alipokuwa kbc broadcast

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 3 роки тому

    Hatari sana, Hao ndio waswahili wenyewe ❤❤

  • @YassinNyange
    @YassinNyange 4 місяці тому

    Mambo yetu

  • @nyakiomunga
    @nyakiomunga 2 роки тому

    Totally naupenda huu wimbo

  • @claretngoye587
    @claretngoye587 7 років тому +3

    mmh huyu chura ni mwanamke maana watu hugombana kisa mapenzi NASA mwanamke

  • @deomwanicheta553
    @deomwanicheta553 3 роки тому

    Nakumbuka kipindi cha RTD nyimbo za Mwambao

  • @backupaccount7198
    @backupaccount7198 5 років тому +4

    2019 bado tuko locked

  • @hadijawere2789
    @hadijawere2789 6 років тому +1

    Taarabu mafumbo c mafumbo

  • @ibrahimaboker9086
    @ibrahimaboker9086 6 років тому

    Chura ni nyerere .Wakati wa awamu ya pili ya mzee rukhsa nyerere alimdhalilisha sana kwenye vikao vya ccm dodoma na alitengeneza kikundi chake ndani ya ccm kumkashifu Mzee mwinyi

  • @nancyaswani881
    @nancyaswani881 4 роки тому +1

    Nzuri bt part B hakuna jamani

  • @glorytausi1685
    @glorytausi1685 4 роки тому

    Naupenda sana huu wimbo.

  • @hamzandereva7068
    @hamzandereva7068 7 років тому +5

    there was a program on kbc that started with this song

  • @salimkisoma6513
    @salimkisoma6513 8 років тому +4

    Yaani hii ndio taarabu haswaaaaa!! Tusaidiane kufungua hilo fimbo. Hapo Chura ndio nani au inawasilisha nini??

  • @latifasalum1166
    @latifasalum1166 4 роки тому +3

    2020

  • @alishebanmdzomba4588
    @alishebanmdzomba4588 6 років тому

    Old is gold yani wee wacha tu

  • @halimasaid4025
    @halimasaid4025 2 роки тому

    Burdaaan...khaswaa..

  • @mohazhassan5408
    @mohazhassan5408 3 роки тому

    Just love this old hit

  • @PeterBennister
    @PeterBennister 11 місяців тому

    Legends

  • @zakayomwangi3661
    @zakayomwangi3661 4 роки тому

    Hii ni thahabu kweli.

  • @didaspaints2001
    @didaspaints2001 6 років тому +1

    Hii inanikumbusha miaka ya 90

  • @CalebLosikany
    @CalebLosikany 9 місяців тому

    Jan 2024😊

  • @rahimaally9838
    @rahimaally9838 6 років тому

    Sio chura wa Snura huyu☺☺

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 роки тому

      Chura wa Snura ni mzigo 😅

  • @amayiamun
    @amayiamun Рік тому

    Any one with the original version please?

  • @sangomamourice8707
    @sangomamourice8707 4 роки тому +1

    2020 bado raha

  • @mawazokazumba4942
    @mawazokazumba4942 5 років тому

    Kaka edd unanikumbusha mbali

  • @veronicandeveni3406
    @veronicandeveni3406 6 років тому +1

    Memories

  • @aminmbalamwezi6371
    @aminmbalamwezi6371 5 років тому

    nyimbo ya mazao bora shambani

  • @abdallahsaid6588
    @abdallahsaid6588 6 років тому +8

    mmmhhh utamu ulioje taarab hii ya chura me nadhani hapo chura ni mwanaume na kisima ni mwanamke maana wakikutana mvua hunyesha na chura anatamani kuingia kisimani

  • @alphonsendima8518
    @alphonsendima8518 3 роки тому

    Msiki poa.

  • @saidmasoud4550
    @saidmasoud4550 6 років тому

    chura niwimbo wenye maudhii ya kuvutia na wenye fundisho kubwa kama methali ya ukivunjika ugoko dawa nani atakupa .

    • @TokumaMedia
      @TokumaMedia Рік тому

      Ningependa kuelewa maana ya kindani zaidi

  • @paulinapaul3865
    @paulinapaul3865 2 роки тому

    Hatariiii 2022

  • @irenewandera7141
    @irenewandera7141 5 років тому

    Ukivunjika ukoko Sawa atakua nani

  • @wallacemwai2975
    @wallacemwai2975 4 роки тому

    I love this song

  • @kkerubo4953
    @kkerubo4953 6 років тому

    mum's best

  • @dullahb1
    @dullahb1 8 років тому +1

    Old is gold. Hizi taarab ndo zenyewe!

  • @stevensteve9717
    @stevensteve9717 2 роки тому

    Vituko

  • @mohamedissa194
    @mohamedissa194 7 років тому

    manshaallah

  • @HamzaDimension
    @HamzaDimension 6 років тому

    جميل جدا جدا

    • @مراد-غ6ث
      @مراد-غ6ث 6 років тому

      HAMZA On UA-cam كذب صح 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @EkotiYaNzube
    @EkotiYaNzube 5 років тому

    Hawa Yanga hawa 🐸🐸

  • @aminaalwahtan3812
    @aminaalwahtan3812 7 років тому

    lov taarab sana iko powa

  • @abdulkaka6177
    @abdulkaka6177 7 років тому

    weli

  • @giddym2001
    @giddym2001 5 років тому

    kipendacho roho ni dawa; kikipenda nafsi je?...Muziki ndio huu basi!!!!!

  • @hadijawere2789
    @hadijawere2789 6 років тому

    Burudiko tosha

  • @nassiralwardi1864
    @nassiralwardi1864 6 років тому

    Goood

  • @PatrickNgobiro
    @PatrickNgobiro 7 років тому

    maana ya chura ndio nani au nini?

  • @musyokaalex6537
    @musyokaalex6537 8 років тому

    Can i somehow get this lyrics??

    • @kizomanizo
      @kizomanizo 6 років тому

      Search online, Spotted them somewhere!

    • @kizomanizo
      @kizomanizo 6 років тому

      Upon failure, just holla!

    • @Dannjiiri
      @Dannjiiri 6 років тому +7

      Chura nakuulizia unipe jibu makini,
      kwa kila inyapo mvua wakimbilia bwawani
      Huna nguo za kufua na wala huna sabuni,
      nijibu yapate tua maji utayafanyani
      Chorus
      Chura punguza vituko na wako uhayawani,
      umezua sokomoko watu hawaeleni
      Ukivunjika mgongo, dawa atakupa nani?
      2. Mwenzenu nilikisia ni mlinzi kisimani,
      mtu utamzuia maji akiyatamani
      Akaja dada Rukia na ndooye mkononi,
      chura ukajing`atua ukajitosa pembeni
      3. Maji wanajipatia, tena bila ya idhini,
      Wengine hujimwagia maji ovyo ardhini.
      Chura unaangalia huwafokei kwa nini,
      Tena unachekelea yatendwayo kisimani
      4. Chura bora kuamua wende kulima shambani,
      mazao kujipatia wende kuuza sokoni
      Nguo kujinunulia isitiri maungoni,
      au ukitaka ndoa nenda kaoe nyumbani.

    • @TokumaMedia
      @TokumaMedia Рік тому

      Maana yake ya kindaani ?

  • @aishaaisha3778
    @aishaaisha3778 5 років тому +2

    Old is gold

  • @abdulibrahim2104
    @abdulibrahim2104 4 роки тому

    Old is gold