MIMI MARS ndiye MUIGIZAJI bora wa kike, ashinda TUZO hiyo na kuwaburuza kina JENNIFER KANUMBA, DORAH
Вставка
- Опубліковано 5 вер 2024
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Ni halali yake anaweza saaaana uyu dada mwana kondoo anajua kuigiza
Toka nianze kuona tuzo za bongo Leo ndio nimeona tuzo ya haki
Ni haki yake maana anaigiza bila Mek up
🤣🤣🤣🤣
Nihaki kwa maria mwanakondoo tunaujua moto wake jua kali
Ha ha ha
Mwanakondooo kitulizo Cha profesa
🤣🤣🤣🤣mamake yesu
Ni sawa kabisaa love you ❤️❤️
Hongera mwanakondooo
Hapo mmeenda kiuhalali
Ila Maria ana juw sana
Hongera 😍😍💪
Hapo Hakuna wasi wasi hii ilikuwa lazima itoke jua kali femi ao Maria hao Hakuna tatizo wala kuonga
Hongera sana Mariana.
Achen apate tu Dada yuko vzur mno mno duh
Mimi mars💟👌she deserves 👏
Maria anajua sio siri
Anastahili kwakweli
Nilijuwa tu atapata tuzo kwani ana ekti vizur sans maria😊
Maria Moto wake unajulikana😆😆
Mariaaaaaaaaaa
Anastahili jaman 🤣🤣🤣
mbona kizaaa sanaaa 😂
Angepew dora jaman sema tu watu wanampenda
Dorah anacheza Scene ngumu sana alafu unavaa husika haswa yaan km kweli vile. She is Good
Kumbe kuna tunzo uwiii sijui nipo wapi
Haki yake kupewa tunzo jmn
Ukweli wa mungu ana jitaidi.ila story ya series yao ina husu mapenzi sana kuliko maisha halisi ya mtanzani. Halafu vitu vingine wana ingiza siyo mira na desturi ya kiafrika. Baba na mtoto wana tembe na mwanamke moja au mama na mtoto wakike hivyo hivyo. Kaka dada. Haja staili kupewa hii tunzo kuna watu wana igiza vizuri
Hayo maisha yapo ndugu wako wengi wanafanya mambo then matokeo mabaya yanatokea mbelen which is laana ktk familia. So hawajakosea. Makosa km yaliyopo ktk familia ya Prof na gloria yapo. Na side effects sio lazima iwe kwenye mapenzi tuu mama kushindwa kulea familia yake vyema inaweza kuwa sababu ya baba kuchepuka au watoto kuwa gat na lebian au chochote tuu. Ila hayo maisha yapo
Wote mnaosema maria hakustali mnadandia tren kwen mbele nunuen vig, amuzi mbwa nyie 🤣🤣 pumbavu zangu mimi hongera maria umeupiga mwingi
We unachezea mlokole malaya,kazi yake ni kuchukua mwana na baba na ajali iyo character ni ngumu
🤣 🤣 Kwakwel
MALIA KWENYE UPANDE WA KULIA HAUKO VZR UNA HISIA ZA KUT9A MACHOZI
Tuzo za Tanzania zinashushwa hadhi na jopo fulani ivi, sema nini niishie hapa 🤔
Ila Maria anajua kuigiza angalia jua kali
Anajua sanaaa
Sjajua wamezngatia nn🤐🤐
Mmependelea bwana
Sijajua wameangalia vigezo gani ila kwa hao waliotajwa mie ningempendekeza Dorah. Scene na script zake ni ngumu lkn anatendea haki as if ni kwel kumbe maigizo. Mfano kwenye jua kali anaigiza scene yake ni ngumu sana ila anafanya vzuri mno
Nunua dstv mama acha kuongea 🤣
@@priscarshirima3081 mpaka nimesema means c naangali jmn🤭🤭🤭
Mbona kuna wakongwe wengi ambao wanafanya vizuri kwa sasa lakin akuna ata ambaye amekua nominated..? za mchongo izi
Kwa maigizo gan? sijui hizi tuzo zinazingatia vigezo gan
Nashindwa kuwaelewa awa 🥲
Hamuwez kuelewa kwaiy tulien sisi ndio tunajuwa moto wake kwenye jua kal
Tatizo hamna ving'amuzi ko make kwa kutulia
Hongera Maria 💖🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Jua kali Maria ni moto
Tuzo za mchongo 😂😂 kwa character gani apewe uyo clouds wote wamepewa tuzo all from Arusha tuzo za ukoo 😉😉
Kabisayaniikwamovie gani hasaa
@@zena6203 jua kali