Baba Levo amvaa Mwijaku baada ya kusema Diamond hamfikii Vunja Bei kwa utajiri

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 60

  • @spearnyondo4590
    @spearnyondo4590 10 днів тому +10

    Baba levo ana akili Sana....kampinga vunja bei sio mwinjaku tuu

  • @zaikokingnil7727
    @zaikokingnil7727 10 днів тому +4

    Ukimsikiliza b levo kwa makini utagunduwa ni kweli, maana vunjabei hizi siku haonekani kbs

  • @SifaEmma
    @SifaEmma 10 днів тому +6

    Mwijaku na Harmonize Mzee Popo wanataka watu wasiendelee kimaisha... Anjella 😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 10 днів тому +10

    Nilitaka nishangae Chawa akae kimya 😂

  • @RomeoBigirimana-ov5ns
    @RomeoBigirimana-ov5ns 10 днів тому +4

    Fan from burundi

  • @TheBastarrrd
    @TheBastarrrd 10 днів тому +5

    Kichwa mviringo 😂😂😂

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 10 днів тому +4

    Saw kabsa

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 10 днів тому +5

    Nae mwijaku anasifia sifia ,WANAUME wenzake

    • @TeophilBuilding
      @TeophilBuilding 10 днів тому +1

      Kwaiy bab levo hasifii wanaum wenzie mbn unamuadress mwijaku tuu au uyo mond anakukojolea nn

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 10 днів тому +1

      @@TeophilBuilding ishu kaanzisha mwaija

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 10 днів тому +5

    Kichwa mviringo

  • @RomeoBigirimana-ov5ns
    @RomeoBigirimana-ov5ns 10 днів тому +16

    Sns please mbadilike na content zenu mnaachwa na manara TV nyiyi nikituo kikubwa bundala vanya kazi ACA uvivu

    • @hollymore4904
      @hollymore4904 10 днів тому +9

      em kwendra huko... we ndo sio muelewa. sura kma manara tv

    • @MrAbudhari
      @MrAbudhari 10 днів тому +3

      Upo ss kaka ujinga Kweli yani

    • @4karimu_
      @4karimu_ 10 днів тому +4

      Acha uchizi ,nausikoment iliuonekane unajua kuongea ,kafe mbele kwamanala wako kibaraka

    • @musers9699
      @musers9699 10 днів тому +2

      njia moja wapo ya kutangaza TV ya Manara

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 10 днів тому +3

      Kwan hii sio taarifa

  • @JM-en2vu
    @JM-en2vu 10 днів тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂 hahahahaha,kichwa mviringo😂😂😂

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt 10 днів тому +4

    Ni kwl mwijaku yupo sahihi😊

  • @AbdallahPlatnumz
    @AbdallahPlatnumz 10 днів тому +1

    First one 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MohammedyRashidy-sn6px
    @MohammedyRashidy-sn6px 7 днів тому

    Sns saiv ni udaku tv

  • @nahimanashabani7976
    @nahimanashabani7976 10 днів тому +5

    Wa kwanza

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 10 днів тому +2

    Vita imekolea😂😂

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 10 днів тому +3

    Kichwa mviringo😂😂😂😂😂😂

  • @ImaniMsafi
    @ImaniMsafi 10 днів тому +2

    Mwijaku anatakiwa mpango wakunyongwa kisirisiri mbwa huo

  • @issachibangu6075
    @issachibangu6075 10 днів тому

    Sns tupe story za ney wamitego mbona askiki 😢

  • @ramamabrok2523
    @ramamabrok2523 10 днів тому

    DC 👑

  • @magrethmalobola5470
    @magrethmalobola5470 10 днів тому +1

    Kichwa mviringo😂

  • @IsayaMalinda45
    @IsayaMalinda45 10 днів тому

    🔥🔥

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 10 днів тому

    Mwijaku Kuna siku itamkostiiii😂😂😂

  • @Zenny89
    @Zenny89 10 днів тому

    Kwahiyo..Yale maneno ya Vunjabei ya wapeni wanawake hela yamemponza?? Vidada vya Bongo vimempoza😆😆

  • @N.F.classic
    @N.F.classic 10 днів тому

    Mondi Ampite Alikiba utajiri ndoaje aseme😂😂

  • @user-kh7bc4js1m
    @user-kh7bc4js1m 10 днів тому

    Huyo n mapua

  • @ramadhaniswami6152
    @ramadhaniswami6152 10 днів тому

    mi na angaliaga tu

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 10 днів тому

    Hawa watu tuwache tu kichwa mviringo😂😂😂😂😂😂

  • @AmericainWashington
    @AmericainWashington 8 днів тому

    🇺🇸Kama mtu analengo lake kwani vita
    Kama unapinga alisho kisema nyenda mufanyiane hesabu 😂

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 10 днів тому

    Mwijaku hana akili

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 10 днів тому +1

    Kazi ya chawa ni kukutafuna na kukupuliza kuwa Tajiri wa dunia 😂😂😂hivi sadala alikuwa amebwia asibuhi ile kitu yake maana hii ni majaabu

    • @tumlakimwaitumule
      @tumlakimwaitumule 10 днів тому +1

      Hata Ile Rolls Royce si mlisema hawezi nunua?

    • @SalmaAthuman-hp3en
      @SalmaAthuman-hp3en 10 днів тому

      @@tumlakimwaitumule hiyo mtumba 🤣🤣hivi kuwa Tajiri namba moja duniani hii ni maajabu

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 10 днів тому +1

      Diamond mzigo na watu anao

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 10 днів тому

    Mwijaku ni mtu wa ovyo sana

  • @turogabriel4070
    @turogabriel4070 10 днів тому

    Kichwa mvilingo

  • @mwanas2
    @mwanas2 10 днів тому

    kichwa mviringo na mapuaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose1334 8 днів тому

    😂😂😂😂

  • @JellyRuba2022
    @JellyRuba2022 10 днів тому

    MWIJAKU ALIVOPATA AJALI HAKILI ILIVUJA KIDOGO

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri 10 днів тому

    Baba levo anatafuta kiki

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j 10 днів тому

    Kichwa mviringo😀😀😀😀😃😃😃