UTAPENDA! SAMATTA Alivyomtambia ALIKIBA "Asinifokee Kabisa Namchapa"
Вставка
- Опубліковано 12 жов 2024
- Subscribes: / kidanistars
HABARI MPYA DAILY:bit.ly/3c3bEDc
HABARI ZA MICHEZO: bit.ly/2TAgnWx
HABARIZA WASANII: bit.ly/2X2f84R
HABARI ZA SIASA: bit.ly/36r0xCW
Instagram: / kidanistars
Facebook: / kidanistars
Twitter: / kidanistars
Subscribes: / kidanistars
Wa kwanza apa kama unampenda samatta na alikiba like zao hapo
Pamoja sana nawapenda wote wa pili kukoment
wote na wakubali💪
Kusema za ukweli inavutia mnoo👏👏👏👍
mmbarikiwe sana
Samatta anajua wachezaji wa kushindana na this time team kiba tunapigwa tena 😂😂😂😂😂😂
Kiba nakukubali sana lkn me team samatta na usitofokee kabisa tuna chama clatus ujue .
Team kiba poleee
Round hii samatta hutoboi tuna wewe💪
Hongera sana mwana umetabiriiii vzuriiii
Nyie watu mungu awabariki sana, nawakubali sanaaaa, piga kelele kwa samakibaaaa
Haya
watatu hapa timu samagoli tujuane mapema kuichakaza timu kiba😀😀😀😀
Tupoooooooooooo
Team kiba oyeee😁😁 mara hii tunatoka na ushindi kesho tukijaaliwa
Huna sababu ya kujieleza kwanini umevaa barakoa, kutunza afya yako ni muhimu.
Mapemaaaa
Timu yako ya ushindi samata
Like
Tunaisubili kwa ham aloooo
Mwakani wekeni Pambano la Ngumi bhanaaaaa Samatta vs Kiba
Inatakiwa samatt akae pembeni aingie mond. Hapo ngoma itanoga
Mbona kiba kakomalia mwamnyeto😁😁
Aisee hapa ndio naona kweli sisi bado Yani mtu anavaa barakoa huku ikiwa ameiacha pua nje
Mmefanya vizur sana unajua unajua sio lazima uwe na hela akili nayo inardsha fadhil
Tim kiba tumepiga mtu nyingi