Laa jamani tutajifunza mengi kupitiya filamu hi I tuyaone kwa wengine ila yasitukute haya na sisi kesho tutakuwa wazazi tafauti zetu tusiziingize kwa watoto wetu uchubgu utabaki kwetu
Mungu alituleta hapa duniani tuje kuujaza ulimwengu na bado ulimwengu uko wazi kisha tumeletewa msimo wakutowa uja uzito siju ewe dada yangu ambaye unajihusisha na kutowa nafsi ambayo hukuiumba wewe ivi kweli ulala na unasinzia???? Na umekwisha jiuliza ile nafsi ulio itowa ilikuwa inafanana aje????
NIMEUMIA SANA NIKIWA KAMA MZAZI JAMAN NAPENDA KUWAMBIA KITU WAZAZI WENZANGU TUJIFUNZE SANA KUPITIA HILI MIMI SINA MENGI YA KUSEMA NAWAOMBEA KIPAJI KIZIDI ISHAAANLAA
Nguo ya ndani ukiwa uliinunuwa mwenyewe basi ivae na usimvulie yoyote utamvuliya ule atakaye kununulia Nguo higo na ukikubali kuivaa basi na kuivuwa kwa ajili yake haitokuwa shida
Hata mm sikubali kuona penzi langu likihangamia kwa mtu nimpendae,Muniru na kalunde wamekolea katika penzi zito mno hila kwenye familia kuna mtiani mkubwa je itakuaje!!!!?
Kumywa maji uipumzikishe roho yangu naamini kama uko unasoma msg hiyi nina imana muwili wako uko unasisimka na kama umekwisha pata cai ya asubuhi basi chakula ya mchana na jioni huiwezi kupitiya mdomoni
Yani hiyi movie ni moto wa kuoteya mbali yani sijawayi kuona kama hiyi.yani nduguzangu siyo siri mnastahili pongezi zote. Hiyi movie inamafunzo ambayo yanatuhusu binadamu wote na inatubidi tubadilike ili kuokowa matatizo yabadae.
Walioipenda hii movie gonga like hapa tujuane
Asanteni sana kwakutupa mafunzo kupitiaa njiaa ya filam mungu awezekuwajaliaa kipaji chenu kiweze kusonga mbele
Mama ni mama jemen Hakuna kama mama tu wampenda mama zetu
niceeeee yn bonge la filamu bigap sana picha nzur sn
Esha Buheti napenda jinsi unavyo cheka sauti yako inapunch flani ya nguvu sana ,Nice movie
hizi ndio aina za film zinazotakiwa katika jamii hongera wahusika kazi. nzuriiiiii👏👏👏
Maashallah,,,hongera zenu washiriki wote hakika ni funzo kubwa kwa wazazi,,,,hakika tusameheane tunapokoseana
Asanteni sana kwakutupa mafunzo kupitiaa njiaa ya filam mungu awajaliee kipaji chenu kiweze kusonga mbele
Jaman sio Siri nimeumia Sana,, Hadi machozi yamenitoka kwakweli movie nzuri Sana Hongereni Sana Actors..
Inasikitisha sana na inamafunzo ilo ni funzo kwa wazazi wachezaji wamecheza poa sana
Imeniliza kweli hongera sana
Aki mumejaribu sana big up movie nzuri INA mafunzo kwl
Kazi nzuri kweli mlio ifanya.... movie yenyewe inamafunzo mengi.... tunangonja mlifanye part 3... hongera zenu
Mov nzur sna
Movie nzuri jamani hongereni sana washiriki wote inamafunzo mengi. Mwisho wa ubaya aibu. Na machungu ju.😭😭
Esha Buheti nimekuheshimu mamaangu umenitoa machozi.Asante
Mtihani kwakweli wazazi wetu pungu zeni kiburi
😥daaa nzur sn ila waruguru tujuwane hpa
Inasikitisha sana hiii muvii atari
Nimeipenda
Movie mzuri sana,, imenifanya nilie sana
Funzo 👨👩👧👨👩👧hadi machozi esha congratulations
Mama ni mama tu Leo nimezidi kuendelea kuamini respect kwa mama kalunde
Gyamani movie mnayoceza inanizalilisha
Laa jamani tutajifunza mengi kupitiya filamu hi I tuyaone kwa wengine ila yasitukute haya na sisi kesho tutakuwa wazazi tafauti zetu tusiziingize kwa watoto wetu uchubgu utabaki kwetu
kazi nzuri kabisa wasanii wetu mungu awazidishieni ubunifu wa kazi
Mko vizur sana mnafundisha jamii good
Jobu bong move👊👊👊👊
Mnajua aysee!, pamoja sn...
Aaaasante
Kweli mume jipanga sana hadi nimelia
Duh mlikaaa,huruma tupu na huzuni,matokeo yake ni mafunzo makubwa kwa jamii
Baraka Mwamkonda kabisa
Wazazi kunachakujifunza
Katika movie bora kabisaa 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 Yaani Inasikitisha sana sana. Waigizaji wote 👌👌👌👏👏👏👏👏👏 Yaani hii movie instahili kupata view nyingi zaidi
Ah mchezo umeisha vibaya kisenge yan
😭😭😭imeniliza sana hii movie
Movie nzuri sana hongeleni sana washiliki wote mungu azidi kuwapa nguvu msonge mbele hakika ina mafunzo mengi
mwisho wã ubaya aibu
Kwa kwel movie ninzuri xna hongereni mmeweze kuicheza
Jaman Hadi nimelia namkubali Sana esha buheti👏👏👏👏
Yaan mpk machoz
Hongera sana Esha ww ni shujaa nimeipenda sana
we kalunde umeniliza jaman bora mama yako angekua grace mapunda ungefurah mamii
Mungu alituleta hapa duniani tuje kuujaza ulimwengu na bado ulimwengu uko wazi kisha tumeletewa msimo wakutowa uja uzito siju ewe dada yangu ambaye unajihusisha na kutowa nafsi ambayo hukuiumba wewe ivi kweli ulala na unasinzia???? Na umekwisha jiuliza ile nafsi ulio itowa ilikuwa inafanana aje????
Iko vizur sana inafundisha
Awawazeeeee nishida kabisaaaaaaaa
Nc leo nimekuw wa kwanz lik zen
Jamani mtoto yuwauma kisha sana mtoto si nguo ntaombamtu
Hasira hasara👌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤
Move zuri esha buetha hongera sana
NIMEUMIA SANA NIKIWA KAMA MZAZI JAMAN NAPENDA KUWAMBIA KITU WAZAZI WENZANGU TUJIFUNZE SANA KUPITIA HILI MIMI SINA MENGI YA KUSEMA NAWAOMBEA KIPAJI KIZIDI ISHAAANLAA
Yani nizaidi ya uchungu duuh.Mungu awazidishiye kipaji maana nimeliya mpaka nahisi kweli kumbe movie hhhhh.
Muniru napenda Sana movie zako unajua Sana sema Esha buheti umejichubua Sana had unaboa.
Mmh nimetoa uchozi akiamungu wazazi tuangalie
duh imeniliza mno ni nzur inafundisha
Nice movie.. washirika wameubeba ualisia wa movie...❤️❤️❤️❤️❤️ ongerani
Nimeumia
Naona watu kuangalia comment mmelia au vip ngoja niangalie nimeangalia kumbe tuna wa China Tanzania tena wazeee atariii
Nguo ya ndani ukiwa uliinunuwa mwenyewe basi ivae na usimvulie yoyote utamvuliya ule atakaye kununulia Nguo higo na ukikubali kuivaa basi na kuivuwa kwa ajili yake haitokuwa shida
Seiko Mbulwa 🚿
Movie ni nzuri na inafunzo kubwa ,mwisho imenihuzunisha Sana😭😭😭
kali sana Aiseeee
Nzuri sana Asant nyinyi wote
Dah mwisho hadi sio poa
Hata mm sikubali kuona penzi langu likihangamia kwa mtu nimpendae,Muniru na kalunde wamekolea katika penzi zito mno hila kwenye familia kuna mtiani mkubwa je itakuaje!!!!?
ïla dü ïnatia huruma
haya mazee yanachekesha kweli
Unaweza kukuta ugonvo🤔wenyewe wa mashamba
Dah eise mnajua kuigiza mpaka nmetoa machoz
Jmn nimelia sana hii movie kiboko
Iko vzr sana inafundisha👏
Move nzur sana hongereni kwa kweli nimelia sana
Wazee wana roho gumu duuuh
Mashallah huzuni na kufrahi sehm .😁😁😁
Duu inahuzunisha sanaa hongereni
Wee Esha wee mbona umeniliza mwenzio
Daaah nimetoa chozi inauma sana
Mamzi yako ndo. Matokeo ya kesho.
Congratulations Milo unaweza
Nagar😁😁😁😁🔥😘nzuri
Nimenipunga kwa woooo mabuda wakali sura wabuzii
Duuuh huyu qamilo anajua kuigiza jamani,, sio pw
Nice
imeniliza sana jameni
Nimepend san kimavaz muendeleley iv nimetizam had nimeliy ik vizur san ❤❤❤
Nzur
daa wazee watemi kishenzi yani
Wazeeee wengne kumbe nuksi et jamanieeeee??
Inauma sana mpaka machozi yani mwaika😭😭😭😭😭
Mmmmmmmmmhhhh Co pouwah
Inaliza Sana wallah wazazi acheni ivo
Iko vinzur san
Kweli hiyi movie inanitowa machozi😭😭😭
Esha Buheti heshima yako dada
Eti wijukuu hivo vibwengo !!!
Namalizia na sehemu ya pili hii nijue kinachojili
Mashaallah uyo samaki nampenda
Halima Shaha okela
Nice movie..... Hasira hasara😭😭😭😭😭
❤❤❤❤
Inapendeza move
dida dida
iko vizul
@@hadijasaid9938 inapendzaa
Ramadhan Ndete poa poa
mbona nzr san jamn inapendeza
Duuu kweli mapenzi niyawatu wawili shule nzuri kwakila mmojo
Kumywa maji uipumzikishe roho yangu naamini kama uko unasoma msg hiyi nina imana muwili wako uko unasisimka na kama umekwisha pata cai ya asubuhi basi chakula ya mchana na jioni huiwezi kupitiya mdomoni
Duu ikopoa kinyaama
Hatalisana inafundisha mno
Nimewapenda sana mumecheza kijasili sana
Hawa wazee cjui wananini jamani
Mashaallah mukovizur san
🥰😛💞💕
Yani hiyi movie ni moto wa kuoteya mbali yani sijawayi kuona kama hiyi.yani nduguzangu siyo siri mnastahili pongezi zote. Hiyi movie inamafunzo ambayo yanatuhusu binadamu wote na inatubidi tubadilike ili kuokowa matatizo yabadae.
Asanten Sana mmetufundisha kitu
Esha Buheti unaweza