Ninyi ndugu mnafarijiana katika kupotoshana, Nawaombea siku Mungu awafungue - ili kwa hiyo hiyo neema msihukumiwe bali muokolewe. MWASEMA MMEJITOSHELEZA, KUMBE MMEPOTEA. 2 Wakorintho 3 ⁵ Si kwamba twatosha sisi wenyewe kufikiri neno lo lote kwamba ni letu wenyewe, bali utoshelevu wetu watoka kwa Mungu. ⁶ Naye ndiye aliyetutosheleza kuwa wahudumu wa agano jipya; si wa andiko, bali wa roho; kwa maana andiko huua, bali roho huhuisha.
Ninyi ndugu mnafarijiana katika kupotoshana, Nawaombea siku Mungu awafungue - ili kwa hiyo hiyo neema msihukumiwe bali muokolewe.
MWASEMA MMEJITOSHELEZA, KUMBE MMEPOTEA.
2 Wakorintho 3
⁵ Si kwamba twatosha sisi wenyewe kufikiri neno lo lote kwamba ni letu wenyewe, bali utoshelevu wetu watoka kwa Mungu.
⁶ Naye ndiye aliyetutosheleza kuwa wahudumu wa agano jipya; si wa andiko, bali wa roho; kwa maana andiko huua, bali roho huhuisha.