FURAHINI KATIKA BWANA , VIJANA KKKT MBEZI BEACH

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • VIJANA KKKT MBEZI BEACH (LUTHERAN)
    FURAHINI KATIKA BWANA ALBAM

КОМЕНТАРІ • 25

  • @petroanyisiletz5706
    @petroanyisiletz5706 3 роки тому +1

    Kawimbo kazuri sana Yaani sichokaji kusikiliza na kuutazama Mungu Awabarikia Mno

  • @nyambabazichantal3231
    @nyambabazichantal3231 2 роки тому +1

    Amen mungu wabariki sana

  • @jonacekahwa6657
    @jonacekahwa6657 3 роки тому +1

    Hongereni sana watumishi wa Mungu

  • @conjestacosmas4743
    @conjestacosmas4743 4 роки тому +1

    Amina Mungu hawabariki wotenimeipenda iyo nyimbo Sana mubarikiwe jamani

  • @naimanalphayo5408
    @naimanalphayo5408 4 роки тому +1

    Huu wimbo wa Furahini katika Bwana umenibaki sana na nyimbo zingine zote .

  • @amomsuya
    @amomsuya 3 роки тому +1

    amina watu wa Mungu

  • @naimanalphayo5408
    @naimanalphayo5408 4 роки тому +1

    Mungu awabariki sana awainue viwango vya juu zaidi

  • @danielmboya8633
    @danielmboya8633 3 роки тому +1

    Mungu awabariki sana

  • @schofieldodhiambo7957
    @schofieldodhiambo7957 4 роки тому +1

    Hakika Mungu wetu anatuwazia mema kila kiitwapo leo. Tusibabaishwe na chochote. Our GOD is in control of our plight. Thank you vijana kwaya mbezi beach. Keep on magnifying the LORD.

  • @mponjoliaward9863
    @mponjoliaward9863 4 роки тому +1

    Nice song....from mwananyamala

  • @muromuro3215
    @muromuro3215 4 роки тому +1

    Hongereni

  • @robertedward7629
    @robertedward7629 5 років тому +1

    Nakubali sana mungu awabariki sanaaa

  • @naimanalphayo5408
    @naimanalphayo5408 4 роки тому +1

    Nimewakuwabali endeleeni kumuaibisha shetani

  • @juliusjames1588
    @juliusjames1588 4 роки тому +1

    Hongreni sana vijana wenzangu

  • @vijanakkktmbezibeach4258
    @vijanakkktmbezibeach4258  2 роки тому

    Shaloom watu wa Mungu
    Tunaomba radhi kwamba hatukua hewani kwa muda kama miaka 2 kuna jambo tulikua tunaliweka sawa kiutawala lakini sasa tumerudi tena kwa kishindo na nyimbo ambazo zitakubadilisha kiroho na kukufurahisha
    Kaa mkao wa kubarikiwaaaa

  • @robinalijun8141
    @robinalijun8141 6 років тому +1

    Mungu awabariki sana muendelee na huduma ya bwana

  • @davidfelishian4087
    @davidfelishian4087 6 років тому +1

    Amen barikiwa sanaa

  • @meritotagalile3890
    @meritotagalile3890 6 років тому +1

    Mbarikiwe sana, wimbo mzuri

  • @lucymaziku2843
    @lucymaziku2843 4 роки тому +1

    Mbarikiwe watu wa Mungu

  • @dorothygeorvid6557
    @dorothygeorvid6557 6 років тому +1

    You're real the best guys. Mungu azidi kuwatumia. Ningepata nafasi ningejoin kwa utukufu wa MUNGU.

  • @jamesmibaroi4941
    @jamesmibaroi4941 4 роки тому +1

    anayejua jina la solo

  • @barakakapele421
    @barakakapele421 6 років тому +1

    Amen

  • @naimanalphayo5408
    @naimanalphayo5408 4 роки тому +1

    Nitapataje CD yenu

    • @MO_updates
      @MO_updates 2 роки тому +1

      Cd inapatikana pale kanisan Kkkt Mbezibeach katika duka lililopo gate A

    • @vijanakkktmbezibeach4258
      @vijanakkktmbezibeach4258  2 роки тому

      Yes
      CD inapatikana kanisan kkkt Mbezibeach
      Tunaomba radhi kwamba hatukua hewani kwa muda kama miaka 2 kuna jambo tulikua tunaliweka sawa kiutawala