BREAKING:SIMBA SC YAOMBEA NYOTA 9 WAKIGENI URAIA WA TANZANIA KATI YA 12/WATATU SINGIDA WAPEWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 31

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 10 днів тому +3

    Safi sana na karibuni sana Tanzania

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 10 днів тому +2

    Nimepemda sana hiyo , lete vipaji ongera sana wote mliopenda nchi yetu Tanzania

  • @Niika870
    @Niika870 10 днів тому

    Safiii sana

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 10 днів тому +2

    Hii ndio Ubaya Ubwela, weka tuweke toa wembe wenbe nitowe shoka😅😅😅😅😅

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 10 днів тому

      Mnacheza na serikali, Wacha yawakute.. vimbelembele.. kwani kib si mkongo, wakati anapewa uraia nani aliiga

  • @OttoMsovela-sk7bl
    @OttoMsovela-sk7bl 10 днів тому +1

    Wamuombee na Morrison

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 9 днів тому

    mm nataka pakome aziz na Diara

  • @amanichaula1
    @amanichaula1 10 днів тому +3

    Vingezo gani na sheria kuwapa uraia vp wale tuosema wamiaji haramu ndungu zetu wa Ethiopia 🇪🇹 nao wapewe uraia tena kwao kuna vita na shida kuliko mlio wapa

    • @MohammedAwadh-gq9si
      @MohammedAwadh-gq9si 10 днів тому

      Hujui kitu we ! Soma kwanza sheria za nchi na za kimataifa

    • @amanichaula1
      @amanichaula1 10 днів тому

      @ zinasemaje

    • @iddykwangaya2794
      @iddykwangaya2794 10 днів тому

      Wa Ethiopia sisi sio ndugu zao, kwa mujibu wao wenyewe wanavyodai,

  • @makambakoonlinetv7971
    @makambakoonlinetv7971 10 днів тому

    Timu ya taifa itapatikana kwa ajili ya Chan na afcon

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 10 днів тому

    Wakati mnawaombea uraia tayari singida bs wameshakamilisha masuala hayo. Hivyo simba mmeiga kwa singida bs.

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 10 днів тому

      Simba ndio timu ya kwanza kufanya haya.. kama hujui tulimuombea uraia kibu denis na akapewa tokea 2020.. hao singida ndio walioiga.. kama hujui historia uliza sio kukurupuka..

    • @yugemasanza1008
      @yugemasanza1008 10 днів тому

      Hakuna ubaya tukiiga bro😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @AndrewAristaricko
      @AndrewAristaricko 10 днів тому +1

      Kaige na wew sasa😂 uwe ata mrundi😂😂

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 10 днів тому

      @@SalvatoryMtunga halaf skia Simba hatujatangaza Wala kutamka popote kuwa tunataka kuwaombea wachezaji wetu uraia.. wewe na huyu mwandishi alitetumia jina la Simba kuuza habari yake wote hamna akili

  • @aishasangali6096
    @aishasangali6096 10 днів тому

    Kwani singida walipoomba barua yao iliwekwa mtandaoni?

  • @samjosh12
    @samjosh12 10 днів тому +1

    Yanga nao watakuja😅

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina 10 днів тому

      Yanga na singida ni baba na mama mmoja

  • @emmabelljohn4086
    @emmabelljohn4086 10 днів тому

    Heeeee live
    "UBAYA UBWELA"

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 10 днів тому

    Asente mnyama omba omba wamelianzishaa na sisi tunaiga

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 10 днів тому +2

    Wakati Kibu anapewa uraia hakuna hata timu Moja iliyoiga, Simba acha uzumbukuku.

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 10 днів тому +2

      Kibu kazaliwa na kakulia tz ispokua wazazi wake walitokea uko nje hii imekua yatofauti wewe inawezakua zumbukuku usijue siasa za soka

    • @josephfrank4446
      @josephfrank4446 10 днів тому +1

      Alipewa uraia na tff na wara sisi hatukumuombea uraia wara kibu hakuomba uraia 😂

    • @josephfrank4446
      @josephfrank4446 10 днів тому +1

      Sisi tulijua kibu ni mtanzania na alikulia kigoma na alicheza mbeya city mda mref tu

    • @NkondokayaJoe
      @NkondokayaJoe 10 днів тому +1

      Acha mihemko wewe,Kibu ameishi Tz kwa muda mrefu sana zaidi ya miaka 10 tofauti na hao wengine ambao hata mwaka mmoja hawajafika..

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 10 днів тому +1

      @NkondokayaJoe kibu sio kuishi kazakiwa tz ispokua wazazi wake ndo walitoka huko ugenini

  • @Fatmaahmedi255-p5l
    @Fatmaahmedi255-p5l 10 днів тому

    Naomba kuuliza kwan kibu alitokea nchii ngani