salamu natuma kwa wewe ZUHURA KOPA (ZUCHU). hayo mambo ya starehe unazofanya usiku mkubwa na malaya wa Dar es salaam hayakufalii. Wewe ni mtoto wa kiislamu uliyozaliwa kwenye ndowa, achana na watoto wa haramu ambao ni malaya piya. Pesa yao ni ya hapa duniani tu. Hisabu za M. Mungu zinakusubiri. Jirekebishe darling ♥ 💖
Hivi? Diamond na Zuchu ni wachumba kweli? Kamoyo kanaanza kuniuma kwa mbali... Zuchu kazubaa au madai yake anajiamin, haoneshi ushirikiano kwa Mondi mpka anajishitukia.
@@wennceslausmushi2356 kivipi yaani daimond alitakiaa awe na msimamo kashakuwa mkubwa siyo kina mbosso anatakiwa awake heshima sasa kwa Jamiii wallah kama angemuoa huyo zuuchu hakika Angela ya jambo lamaaana sana kwa jamii
@@johasaeed391 nasema hivi huyo ni boss wa zuchu,zuchu kenda kufanya kazi pale iweje akubali kutembea na boss wake kwanza inaharibu reputation ya lebal na yeye mwenyewe inaonyesha boss hajiheshimu kutembea na staff wake kisha boss mwenyewe hana sifa nzuri kimahusiano,itoshe kusema zuchu kusafisha jina aolewe tu.
@@wennceslausmushi2356 sana inaharibu na mwanaume ndo kaponyeza dem akabonyea ila atakuja ayibika sana zuuchu diamond bado sana namwisho atakuja kurudi kwa zari
Pesa kitu cha ajabu sana,kuna namna unavyoipata inapelekea hata kwamba ulikuwa na wazazi halali kabisa sasa heshima yao unawapa watu wenye mambo ya hovyo kabisa.
Siku zuchu akianza kuwa motivational speaker mniamshe nalala kwa sasa, Mombasa baridi tu
Wake up 👆
God tell me they are dating ❤️😍😍
Baba mzazi amefika, mbavu zangu mieeee 😀😀👍
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mi nawapenda sana😍😍
😂
Me too❤️❤️😍
Domo kimziki yko chini kazi nikusapoti machawa tu
Diamond platnumz simba baba Lao africa
Baba levo mentally hayupo sawa kabsa
ahahaha
Diamond platnumz the king of Africa
Bob..J kajitahid kupata snup pamoja na king 🦁 but ful mikaushoo mikali alimdharau but nw time yak kujipendekezaaa...simbaa ndo habarii ya mjinii
Nampenda sana huyu mtangazaji
Nilichogundua ayo TV mna kamera nzuri
Umeona eeh huko mwengine ni chenga
Baba yangu amefika😂😂🤣
Mko powaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti baba ake mzazi jmn 🙌 baba levo ana wenge sio poa
Angekuwa Zari kwa kweli asingekubali avae uchafu huo
salamu natuma kwa wewe ZUHURA KOPA (ZUCHU). hayo mambo ya starehe unazofanya usiku mkubwa na malaya wa Dar es salaam hayakufalii. Wewe ni mtoto wa kiislamu uliyozaliwa kwenye ndowa, achana na watoto wa haramu ambao ni malaya piya. Pesa yao ni ya hapa duniani tu. Hisabu za M. Mungu zinakusubiri. Jirekebishe darling ♥ 💖
Jinga ww
Waisilamu mna mambo hahahhaha
Jamani wezangu amujaliangalia ilo mondi kavulugwa na zuchu maana kazunguka apo kwenye gali kama kapoteza kitu
Jmn huku MC huku mwenye sherehe duuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka MC hasikiki anasikika baba shuhuri🤣
@@raybby9291 😂😂😂😂
Maskini Bob Junior
Pesa Jameni
Weweeeee
Mnamuona hanaakili baba leo yake ya duniya yanamwendeya
Mi nimeona Bob Junior kaomba picha kwa simba
Ahahaha baba levo ni shidaaa
Hii kazi baba levo anafanya mm ataunipe nn kuwa chawa wa mtu siwezi
Acha ujinga hujapata nafasi tu
Mie 😂😂😂 nataka uwe chawa wangu
Maskini Zuchu akaa kama mtoto aliyepotea njia,kwani amelazimishwa??
😃😄😄kweli kabisaa
@@asiashaban5809 😂😂
@@lynwanje6894 kabisa yanii mmmh🤣🤣🤣
Bob journal maskin mond ana story hata kidogo
Babaalevo anashobo sana mbona
😂😂😂😂😂😂😂 baba levo wapi kabisa
Babalevo mbona hv wewe b'day yako lkn unavyohangaika
Chawa promax
Tutayaona mengi
Hivi? Diamond na Zuchu ni wachumba kweli? Kamoyo kanaanza kuniuma kwa mbali...
Zuchu kazubaa au madai yake anajiamin, haoneshi ushirikiano kwa Mondi mpka anajishitukia.
Ovyoo tu sio maisha hayo tujiandae baada kufa
Ukifa unajiaandaaje, 🤣🤣
Kwani Kuna shida Gani?
Dah! Eti diamond huyu mtoto ndo anamtafuna
Sijaelewa hapa...naona utoto tu
Jamaa anamtaja harmonize kila mda ajuw Kama ni 1 yakiki
Bob junior now chawa 😅🥹
Baba levo 😁😁😁😂 dah
Simba arivo vaaa kama hana pesa vire
Sasa Bob junior anaomba picha na Diamond wewe nani jaman
nani ameskia beb kiatu
Mm hapa 😄
@@fatumaamani5271 wwewwwe
@@fatumaamani5271 kumbe umeskia nilikuwa naona n mm peke yangu🤣🤣
unamasikio kama popo imebidi nirudie🤣
@@modysultan6170 🤣🤣🤣🤣naukaskia nn
Astaghfirullah starehe ya dunia tu hii binadaam pumzi zinatuhadaa mtoto wa kiislam anavyodhalilishwa
anajidhalilisha mwenyewe kwani kalazimishwa na dini anaijua
acheni kujifagilia basi mnaena kinyume na maandiko sana.
Mh mh kazuchu Nako kamalaya tu 😏😏
🤣🤣🤣
Makubwaaa
Zuchu kamteka kijana wa kibara
Ayibu sana anachokifanya diamond
😂
Diamond hana kosa huyo mtoto wa kike ndio shida.
@@wennceslausmushi2356 kivipi yaani daimond alitakiaa awe na msimamo kashakuwa mkubwa siyo kina mbosso anatakiwa awake heshima sasa kwa Jamiii wallah kama angemuoa huyo zuuchu hakika Angela ya jambo lamaaana sana kwa jamii
@@johasaeed391 nasema hivi huyo ni boss wa zuchu,zuchu kenda kufanya kazi pale iweje akubali kutembea na boss wake kwanza inaharibu reputation ya lebal na yeye mwenyewe inaonyesha boss hajiheshimu kutembea na staff wake kisha boss mwenyewe hana sifa nzuri kimahusiano,itoshe kusema zuchu kusafisha jina aolewe tu.
@@wennceslausmushi2356 sana inaharibu na mwanaume ndo kaponyeza dem akabonyea ila atakuja ayibika sana zuuchu diamond bado sana namwisho atakuja kurudi kwa zari
Kamkana baba yake
Pesa kitu cha ajabu sana,kuna namna unavyoipata inapelekea hata kwamba ulikuwa na wazazi halali kabisa sasa heshima yao unawapa watu wenye mambo ya hovyo kabisa.
nyiee muacheni baba levo maana akiliyake inamtuma sasa mtapata shida kuumiza vichwa hapa hapaitaji nguvu wala akili kikubwa uwena macho ukiangalia unaachia hapohapo
alie buni pesa ajafika mbingin
Astaghafirulwah baba na mama yanu wazazi
😂😂😂
Anatakiwa apimwe akili kabisa uyu m2
Kwa yeye mwanamziki mkubwa niayibu sana
Tazama Mbosso alichokifanya usiku wa Jana👉👉👉👉👉👉👉ua-cam.com/video/u_SvHoeHeUI/v-deo.html
Piga hela baba levo ......watu wacheke wee ndo ushachomoka hivo
Kwa kwel
bwakila
Jinsi ya kuondoa uvimbe haja kubwa(bawasiri sugu)bonyeza👇ua-cam.com/video/xa0uqYwQgyQ/v-deo.html
Make no mistake: DIAMOND LOVES ZUCH!! Take that to the nearest bank!!