TAZAMA DIAMOND NA ZUCHU WALIVYOPOKELEWA NA BABA LEVO BIRTHDAY YAKE AFUNGUKA "BABA NA MAMA WAMEFIKA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 94

  • @khadijarama9894
    @khadijarama9894 2 роки тому +7

    Siku zuchu akianza kuwa motivational speaker mniamshe nalala kwa sasa, Mombasa baridi tu

  • @zuchuforlife6182
    @zuchuforlife6182 2 роки тому +10

    God tell me they are dating ❤️😍😍

  • @uwimanauwimana7692
    @uwimanauwimana7692 2 роки тому +6

    Baba mzazi amefika, mbavu zangu mieeee 😀😀👍

  • @hawakiwamba9314
    @hawakiwamba9314 2 роки тому +6

    Mi nawapenda sana😍😍

  • @coachissah7703
    @coachissah7703 2 роки тому

    Diamond platnumz simba baba Lao africa

  • @johnkyara8061
    @johnkyara8061 2 роки тому +6

    Baba levo mentally hayupo sawa kabsa

  • @coachissah7703
    @coachissah7703 2 роки тому

    Diamond platnumz the king of Africa

  • @dullysaid9785
    @dullysaid9785 2 роки тому +1

    Bob..J kajitahid kupata snup pamoja na king 🦁 but ful mikaushoo mikali alimdharau but nw time yak kujipendekezaaa...simbaa ndo habarii ya mjinii

  • @halimajamaniamekuwamndeme9617
    @halimajamaniamekuwamndeme9617 2 роки тому

    Nampenda sana huyu mtangazaji

  • @fidelekahezi5175
    @fidelekahezi5175 2 роки тому +5

    Nilichogundua ayo TV mna kamera nzuri

  • @mlenglewis1747
    @mlenglewis1747 2 роки тому +1

    Baba yangu amefika😂😂🤣

  • @graceedward6130
    @graceedward6130 2 роки тому

    Mko powaa

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti baba ake mzazi jmn 🙌 baba levo ana wenge sio poa

  • @muzneali5111
    @muzneali5111 2 роки тому

    Angekuwa Zari kwa kweli asingekubali avae uchafu huo

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 2 роки тому +5

    salamu natuma kwa wewe ZUHURA KOPA (ZUCHU). hayo mambo ya starehe unazofanya usiku mkubwa na malaya wa Dar es salaam hayakufalii. Wewe ni mtoto wa kiislamu uliyozaliwa kwenye ndowa, achana na watoto wa haramu ambao ni malaya piya. Pesa yao ni ya hapa duniani tu. Hisabu za M. Mungu zinakusubiri. Jirekebishe darling ♥ 💖

  • @fatuamjafary4959
    @fatuamjafary4959 2 роки тому

    Jamani wezangu amujaliangalia ilo mondi kavulugwa na zuchu maana kazunguka apo kwenye gali kama kapoteza kitu

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 2 роки тому +3

    Jmn huku MC huku mwenye sherehe duuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @raybby9291
      @raybby9291 2 роки тому

      Nimecheka MC hasikiki anasikika baba shuhuri🤣

    • @zubeydazubeyda804
      @zubeydazubeyda804 2 роки тому

      @@raybby9291 😂😂😂😂

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 2 роки тому

    Maskini Bob Junior

  • @valaryawour6016
    @valaryawour6016 2 роки тому

    Pesa Jameni

  • @floraundisa3688
    @floraundisa3688 2 роки тому

    Weweeeee

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 роки тому +8

    Mnamuona hanaakili baba leo yake ya duniya yanamwendeya

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 2 роки тому

    Mi nimeona Bob Junior kaomba picha kwa simba

  • @stevenkapugi4209
    @stevenkapugi4209 2 роки тому

    Ahahaha baba levo ni shidaaa

  • @johnkyara8061
    @johnkyara8061 2 роки тому +3

    Hii kazi baba levo anafanya mm ataunipe nn kuwa chawa wa mtu siwezi

  • @lynwanje6894
    @lynwanje6894 2 роки тому +4

    Maskini Zuchu akaa kama mtoto aliyepotea njia,kwani amelazimishwa??

  • @malugubrithon1478
    @malugubrithon1478 2 роки тому

    Bob journal maskin mond ana story hata kidogo

  • @ukhtyashachannel5505
    @ukhtyashachannel5505 2 роки тому

    Babaalevo anashobo sana mbona

  • @work4lifenews276
    @work4lifenews276 2 роки тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂 baba levo wapi kabisa

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 2 роки тому +2

    Babalevo mbona hv wewe b'day yako lkn unavyohangaika

  • @rizoibrahimovich8217
    @rizoibrahimovich8217 2 роки тому

    Chawa promax

  • @bakariathumani8105
    @bakariathumani8105 2 роки тому

    Tutayaona mengi

  • @marrymenas
    @marrymenas 2 роки тому +2

    Hivi? Diamond na Zuchu ni wachumba kweli? Kamoyo kanaanza kuniuma kwa mbali...
    Zuchu kazubaa au madai yake anajiamin, haoneshi ushirikiano kwa Mondi mpka anajishitukia.

  • @ramadanmahunja1708
    @ramadanmahunja1708 2 роки тому +2

    Ovyoo tu sio maisha hayo tujiandae baada kufa

  • @salumnkugwa9096
    @salumnkugwa9096 2 роки тому

    Dah! Eti diamond huyu mtoto ndo anamtafuna

  • @petermgaya3812
    @petermgaya3812 2 роки тому

    Sijaelewa hapa...naona utoto tu

  • @idrisamapesa2732
    @idrisamapesa2732 2 роки тому

    Jamaa anamtaja harmonize kila mda ajuw Kama ni 1 yakiki

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb 2 роки тому

    Bob junior now chawa 😅🥹

  • @youngweezy3846
    @youngweezy3846 2 роки тому

    Baba levo 😁😁😁😂 dah

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg 2 роки тому

    Simba arivo vaaa kama hana pesa vire

  • @emmanuelkivenule875
    @emmanuelkivenule875 2 роки тому

    Sasa Bob junior anaomba picha na Diamond wewe nani jaman

  • @lelahngumbao9998
    @lelahngumbao9998 2 роки тому +3

    nani ameskia beb kiatu

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 2 роки тому +12

    Astaghfirullah starehe ya dunia tu hii binadaam pumzi zinatuhadaa mtoto wa kiislam anavyodhalilishwa

    • @modysultan6170
      @modysultan6170 2 роки тому +3

      anajidhalilisha mwenyewe kwani kalazimishwa na dini anaijua

    • @victormushi6641
      @victormushi6641 2 роки тому

      acheni kujifagilia basi mnaena kinyume na maandiko sana.

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 2 роки тому +1

    Mh mh kazuchu Nako kamalaya tu 😏😏

  • @salmayahya1107
    @salmayahya1107 2 роки тому

    Makubwaaa

  • @lovenessitiku6293
    @lovenessitiku6293 2 роки тому

    Zuchu kamteka kijana wa kibara

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 2 роки тому

    Ayibu sana anachokifanya diamond

    • @yuzzohcrayze
      @yuzzohcrayze 2 роки тому

      😂

    • @wennceslausmushi2356
      @wennceslausmushi2356 2 роки тому

      Diamond hana kosa huyo mtoto wa kike ndio shida.

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 2 роки тому

      @@wennceslausmushi2356 kivipi yaani daimond alitakiaa awe na msimamo kashakuwa mkubwa siyo kina mbosso anatakiwa awake heshima sasa kwa Jamiii wallah kama angemuoa huyo zuuchu hakika Angela ya jambo lamaaana sana kwa jamii

    • @wennceslausmushi2356
      @wennceslausmushi2356 2 роки тому +1

      @@johasaeed391 nasema hivi huyo ni boss wa zuchu,zuchu kenda kufanya kazi pale iweje akubali kutembea na boss wake kwanza inaharibu reputation ya lebal na yeye mwenyewe inaonyesha boss hajiheshimu kutembea na staff wake kisha boss mwenyewe hana sifa nzuri kimahusiano,itoshe kusema zuchu kusafisha jina aolewe tu.

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 2 роки тому

      @@wennceslausmushi2356 sana inaharibu na mwanaume ndo kaponyeza dem akabonyea ila atakuja ayibika sana zuuchu diamond bado sana namwisho atakuja kurudi kwa zari

  • @givensanga3524
    @givensanga3524 2 роки тому

    Kamkana baba yake

  • @zuberikwambiana3574
    @zuberikwambiana3574 2 роки тому

    Pesa kitu cha ajabu sana,kuna namna unavyoipata inapelekea hata kwamba ulikuwa na wazazi halali kabisa sasa heshima yao unawapa watu wenye mambo ya hovyo kabisa.

  • @maulidihassani8324
    @maulidihassani8324 2 роки тому

    nyiee muacheni baba levo maana akiliyake inamtuma sasa mtapata shida kuumiza vichwa hapa hapaitaji nguvu wala akili kikubwa uwena macho ukiangalia unaachia hapohapo

  • @hamisisefu1071
    @hamisisefu1071 2 роки тому

    alie buni pesa ajafika mbingin

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 роки тому

    Astaghafirulwah baba na mama yanu wazazi

  • @yuzzohcrayze
    @yuzzohcrayze 2 роки тому +1

    😂😂😂

  • @idrisamapesa2732
    @idrisamapesa2732 2 роки тому

    Anatakiwa apimwe akili kabisa uyu m2

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 2 роки тому

    Kwa yeye mwanamziki mkubwa niayibu sana

  • @psuccess6045
    @psuccess6045 2 роки тому

    Tazama Mbosso alichokifanya usiku wa Jana👉👉👉👉👉👉👉ua-cam.com/video/u_SvHoeHeUI/v-deo.html

  • @joshuabryson8044
    @joshuabryson8044 2 роки тому +1

    Piga hela baba levo ......watu wacheke wee ndo ushachomoka hivo

  • @lomnyakikimoi8624
    @lomnyakikimoi8624 2 роки тому

    bwakila

  • @grandmaempiresecret
    @grandmaempiresecret 2 роки тому

    Jinsi ya kuondoa uvimbe haja kubwa(bawasiri sugu)bonyeza👇ua-cam.com/video/xa0uqYwQgyQ/v-deo.html

  • @christianmbappe8900
    @christianmbappe8900 2 роки тому +1

    Make no mistake: DIAMOND LOVES ZUCH!! Take that to the nearest bank!!