MAAJAABU YA ANKO IDDY ALIO FANYA SOYA KWENYE KHARUSI YA SHEM WANGU MAHZOUM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 43

  • @MdRafiq-yg6uz
    @MdRafiq-yg6uz 12 днів тому

    Masha Allah subhanaallah subhanaallah AllahhuAkbar AllahhuAkbar AllahhuAkbar AllahhuAkbar 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 subhanaallah

  • @FirdausiSuleimani
    @FirdausiSuleimani Рік тому +1

    Mashalhaaa ❤❤❤ mwenyezimungu ampe umri mrefu nawenye manufaa zaidiii

  • @harrishussein6992
    @harrishussein6992 2 роки тому +6

    Huyu jamaa ni namba one kwa sasa haipingiki Allah ampe kila lakheri lakin sasa mnaorecord mnafeli sana kelele zenu zinaharibu

  • @mohammedchuo4069
    @mohammedchuo4069 2 роки тому +4

    Uyu ndo Tanzania one kweny kusoma qur_an han mamb meng mwenyew mashaallah Allah amlipe kheri 🙏

    • @rashid966
      @rashid966 Рік тому

      Huyo sheikh idinamkubalisana ila TANZANIA one tumwachie Rajai inshaallah Allah awajaze subira

  • @amadouba8090
    @amadouba8090 Рік тому +2

    Machahla ya Habibi cheikh eidi shaban ❤

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 Рік тому +2

    Mashaallah

  • @MussaFakua
    @MussaFakua 5 місяців тому

    Allah akulinde na kila baya Anko iddy Shaban

  • @samiumussatv8558
    @samiumussatv8558  Рік тому +2

    Nawashuru sana kwa ushauri wenu mzuri allaah atawalipa tutaunyia kazi
    Ushauri wenu inshaa llaah

    • @NizarymahmudyMohamedy
      @NizarymahmudyMohamedy Рік тому

      Hayo maneno yalosomwa ni mazito alafu nashangaa waislaumu wala hayatugusi zaidi tunaishia kuzomea yaani ningekua nauwezo ningeifuta hii ila ndo hivo wallahi nimekerwa sana nahili ila allah namuomba awasemehe inshaallah

  • @asharamdan363
    @asharamdan363 Рік тому +2

    mashallaaah ❤ mashallaaah ❤ ❤

  • @AdamuMpoto-dl5dg
    @AdamuMpoto-dl5dg 3 місяці тому

    MashaAllah

  • @NajbuLupapulo
    @NajbuLupapulo 9 місяців тому

    Mashallah kazi kubwa

  • @leilasaid3623
    @leilasaid3623 Рік тому +1

    Mashaallah lkn mnatakiwa msipige kelele sikilizen tyu huku mkiwa kimya qur an haizomewi kiivo haifai

  • @kheirahmad4064
    @kheirahmad4064 Рік тому +2

    Kuna madhambi mengi hutokea kwa kufanya Istihizai pind Qur'an ikisomwa. Hakukua na maana ya kua na vicheko vya kishaitwani na maik kutumika mbili. Kama unahtaj kusoma ungelisubr amalize kusoma naww usome. Kisomo kimependeza ila wasikilizaji wamekijaza makosa chungu mzima.

  • @SalmaHaidar-s5o
    @SalmaHaidar-s5o 22 дні тому

    Masha Allah ❤❤❤❤❤

  • @SadamuSadamu-tq6rf
    @SadamuSadamu-tq6rf 5 місяців тому

    Mungu akubark

  • @abdallahmaboma469
    @abdallahmaboma469 Рік тому +1

    Asalaam alaykim msomaji namkubali lakini kumbe wssikilizaji hatupo mana ukiwaskiliza ni kama inasomwa atwir utulivu haupo kamahuyo mwenye kiremba cha kijani meno inje muda wote

  • @altaafkassu2171
    @altaafkassu2171 Рік тому +2

    وَإِذَا قُرِئَ ٱلْقُرْءَانُ فَٱسْتَمِعُوا۟ لَهُۥ وَأَنصِتُوا۟ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ
    Na pindi isomwapo Qur'ani basi isikilizeni na mnyamaze kimya ili mpate kurehemewa.

  • @saidjuma3129
    @saidjuma3129 2 роки тому +2

    Mnashabikia nini nakilele.mbona mnakuwa kama hamjielewi

  • @fadhiliosuta1719
    @fadhiliosuta1719 9 місяців тому

    Mashallah

  • @ismailnasibu49
    @ismailnasibu49 2 роки тому +1

    Mnapiga kelele tu qur an inasomwa intakiwa muwe na utulivu na sikivu..
    Muwe na nidham na maneno ya Allah

  • @amani1316
    @amani1316 2 роки тому +2

    Mashallh

    • @rashidabuu9406
      @rashidabuu9406 2 роки тому

      Hamna adabu na quran kuna haja gani kupiga kelele siku ingine msifanye hivyo

  • @SalimChoyo-zo8cr
    @SalimChoyo-zo8cr Рік тому +1

    Huyo bwana harus mbn Hana haya anajichekea tu kama mwehu

  • @zaujiaiddy8647
    @zaujiaiddy8647 Рік тому +1

    Mashaalah

  • @NizarymahmudyMohamedy
    @NizarymahmudyMohamedy Рік тому

    Warangi bhana huwa mnafanya quran kama maneno yakawaida tu inaposomwa huwa mnapiga makelele tu kama machizi heshima na maneno ya Allah wala khofu hamna

  • @stumay-wx9rp
    @stumay-wx9rp 2 роки тому +1

    Subuhannah llah quran inasomwa lakini mtu anacheka stafiru llah mtihan walah

  • @mohammedchuo4069
    @mohammedchuo4069 2 роки тому +1

    Na nyie mnao record mkae mbali na cm mnaharibu record kwa madadi yenu

    • @rashidikanyama2357
      @rashidikanyama2357 Рік тому

      Yani mimi wamenikera ila inshaallah watafahamu kwamba si vizuri

  • @rashidikanyama2357
    @rashidikanyama2357 Рік тому

    Kwa iyo watu wengine wakiambiwa quran ikisomwa tunyamaze ndio hawaelewi au makusudi

  • @AbdulrahmIbrahim-y5g
    @AbdulrahmIbrahim-y5g 9 місяців тому

    Allah anasema inaposomwa qur,ani iskizeni na nyamazeni ili mrehemiwe sasa hapo kuna kurehemiwa ??? Anko iddi Allah amekujaalia isome kabisa Quran hiyo inshaallah atakulipa Allah

  • @salimhamad4363
    @salimhamad4363 6 місяців тому

    kwanza kamvisheni nguo biharusi

  • @salimmbega7916
    @salimmbega7916 Рік тому

    Yan Hawa watu wanopiga makelele niwaislam kweli mbona washamba hii nikuran tukufu inasomwa tuwe watulivu sio tarabu wanamshushia hadh shekh wetu,huyu nispashel dunian waislam tubadilike

  • @IssaJuma-jj6jx
    @IssaJuma-jj6jx Рік тому

    mnapiga makelel to qran inasomwa

  • @allyhassan8357
    @allyhassan8357 Рік тому

    Acheni kelele hambadiliki kwann

  • @leilasaid3623
    @leilasaid3623 7 місяців тому

    Makosa yanajitokeza wakati qur ani inasomwa kucheka kuogea haikatiwi sauti yeyeto mpk mwisho wa quruan watu wanacheka ni sawa na kuzomea maneno ya allah kaani kimya mpk.akimaliza halfu tumone maneno ya kumpogrza msomaji

  • @leilasaid3623
    @leilasaid3623 Рік тому +1

    Mashaallah

  • @SalmaHaidar-s5o
    @SalmaHaidar-s5o 22 дні тому

    Masha Allah ❤❤❤❤❤

  • @rashid966
    @rashid966 Рік тому

    Mashallah

  • @sarhahassan8846
    @sarhahassan8846 2 роки тому +1

    Mashaallah