Hayo maneno yalosomwa ni mazito alafu nashangaa waislaumu wala hayatugusi zaidi tunaishia kuzomea yaani ningekua nauwezo ningeifuta hii ila ndo hivo wallahi nimekerwa sana nahili ila allah namuomba awasemehe inshaallah
Kuna madhambi mengi hutokea kwa kufanya Istihizai pind Qur'an ikisomwa. Hakukua na maana ya kua na vicheko vya kishaitwani na maik kutumika mbili. Kama unahtaj kusoma ungelisubr amalize kusoma naww usome. Kisomo kimependeza ila wasikilizaji wamekijaza makosa chungu mzima.
Asalaam alaykim msomaji namkubali lakini kumbe wssikilizaji hatupo mana ukiwaskiliza ni kama inasomwa atwir utulivu haupo kamahuyo mwenye kiremba cha kijani meno inje muda wote
وَإِذَا قُرِئَ ٱلْقُرْءَانُ فَٱسْتَمِعُوا۟ لَهُۥ وَأَنصِتُوا۟ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ Na pindi isomwapo Qur'ani basi isikilizeni na mnyamaze kimya ili mpate kurehemewa.
Warangi bhana huwa mnafanya quran kama maneno yakawaida tu inaposomwa huwa mnapiga makelele tu kama machizi heshima na maneno ya Allah wala khofu hamna
Allah anasema inaposomwa qur,ani iskizeni na nyamazeni ili mrehemiwe sasa hapo kuna kurehemiwa ??? Anko iddi Allah amekujaalia isome kabisa Quran hiyo inshaallah atakulipa Allah
Makosa yanajitokeza wakati qur ani inasomwa kucheka kuogea haikatiwi sauti yeyeto mpk mwisho wa quruan watu wanacheka ni sawa na kuzomea maneno ya allah kaani kimya mpk.akimaliza halfu tumone maneno ya kumpogrza msomaji
Masha Allah subhanaallah subhanaallah AllahhuAkbar AllahhuAkbar AllahhuAkbar AllahhuAkbar 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 subhanaallah
Mashalhaaa ❤❤❤ mwenyezimungu ampe umri mrefu nawenye manufaa zaidiii
Huyu jamaa ni namba one kwa sasa haipingiki Allah ampe kila lakheri lakin sasa mnaorecord mnafeli sana kelele zenu zinaharibu
Uyu ndo Tanzania one kweny kusoma qur_an han mamb meng mwenyew mashaallah Allah amlipe kheri 🙏
Huyo sheikh idinamkubalisana ila TANZANIA one tumwachie Rajai inshaallah Allah awajaze subira
Machahla ya Habibi cheikh eidi shaban ❤
Mashaallah
Allah akulinde na kila baya Anko iddy Shaban
Nawashuru sana kwa ushauri wenu mzuri allaah atawalipa tutaunyia kazi
Ushauri wenu inshaa llaah
Hayo maneno yalosomwa ni mazito alafu nashangaa waislaumu wala hayatugusi zaidi tunaishia kuzomea yaani ningekua nauwezo ningeifuta hii ila ndo hivo wallahi nimekerwa sana nahili ila allah namuomba awasemehe inshaallah
mashallaaah ❤ mashallaaah ❤ ❤
MashaAllah
Mashallah kazi kubwa
Mashaallah lkn mnatakiwa msipige kelele sikilizen tyu huku mkiwa kimya qur an haizomewi kiivo haifai
Kuna madhambi mengi hutokea kwa kufanya Istihizai pind Qur'an ikisomwa. Hakukua na maana ya kua na vicheko vya kishaitwani na maik kutumika mbili. Kama unahtaj kusoma ungelisubr amalize kusoma naww usome. Kisomo kimependeza ila wasikilizaji wamekijaza makosa chungu mzima.
Masha Allah ❤❤❤❤❤
Mungu akubark
Asalaam alaykim msomaji namkubali lakini kumbe wssikilizaji hatupo mana ukiwaskiliza ni kama inasomwa atwir utulivu haupo kamahuyo mwenye kiremba cha kijani meno inje muda wote
وَإِذَا قُرِئَ ٱلْقُرْءَانُ فَٱسْتَمِعُوا۟ لَهُۥ وَأَنصِتُوا۟ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ
Na pindi isomwapo Qur'ani basi isikilizeni na mnyamaze kimya ili mpate kurehemewa.
صدقت
Mnashabikia nini nakilele.mbona mnakuwa kama hamjielewi
Mashallah
Mnapiga kelele tu qur an inasomwa intakiwa muwe na utulivu na sikivu..
Muwe na nidham na maneno ya Allah
Mashallh
Hamna adabu na quran kuna haja gani kupiga kelele siku ingine msifanye hivyo
Huyo bwana harus mbn Hana haya anajichekea tu kama mwehu
hhhhhhhh😂😂😂😂😂
Mashaalah
Warangi bhana huwa mnafanya quran kama maneno yakawaida tu inaposomwa huwa mnapiga makelele tu kama machizi heshima na maneno ya Allah wala khofu hamna
Subuhannah llah quran inasomwa lakini mtu anacheka stafiru llah mtihan walah
Na nyie mnao record mkae mbali na cm mnaharibu record kwa madadi yenu
Yani mimi wamenikera ila inshaallah watafahamu kwamba si vizuri
Kwa iyo watu wengine wakiambiwa quran ikisomwa tunyamaze ndio hawaelewi au makusudi
Allah anasema inaposomwa qur,ani iskizeni na nyamazeni ili mrehemiwe sasa hapo kuna kurehemiwa ??? Anko iddi Allah amekujaalia isome kabisa Quran hiyo inshaallah atakulipa Allah
kwanza kamvisheni nguo biharusi
Yan Hawa watu wanopiga makelele niwaislam kweli mbona washamba hii nikuran tukufu inasomwa tuwe watulivu sio tarabu wanamshushia hadh shekh wetu,huyu nispashel dunian waislam tubadilike
mnapiga makelel to qran inasomwa
Acheni kelele hambadiliki kwann
Makosa yanajitokeza wakati qur ani inasomwa kucheka kuogea haikatiwi sauti yeyeto mpk mwisho wa quruan watu wanacheka ni sawa na kuzomea maneno ya allah kaani kimya mpk.akimaliza halfu tumone maneno ya kumpogrza msomaji
Mashaallah
Masha Allah ❤❤❤❤❤
Mashallah
Mashaallah