Hapana ubize gani muda wote Sasa Kuna haja gani yakuweka namba kama Yuko asiweke kabisa wapo watumishi wa Mungu lakini wanafanya kazi ya Mungu nawanapokea simu kama hawezi kupokea tunawasiwasi na anayoyashuhudia kama anashindwa kupokea simu na kumsikiliza shida za watu
Mwendelezo sijui lini tena
🙌🙌🙌
Mungu awe pamoja nawe
Huyu jamaa anajua
Tatizo hupokei simu, namba yangu inaishia 36 pokea
Nimechelewa na Niko ndani
Kaka nina shida ..Mungu kanibariki maisha ambayo sio mabaya ila nahisi nina vifungo vya kiuchumi naomba unipe mafunzo/maombi ya namna yakujinasua..
Ushawahi kufanya maombi ya kuvunja maagano ya ukoo,!?
@@user-xw8om1qd1g mara nyingi
Bishop Elibariki sumbe mizimu utajifunza huko mengi
Tupe mbili mbili Davista
Nime piga kuhusu maombi ila atuja mpata prophet
Kuna Mchungaji huku kabadili dini Yani kaslimu
Ni sawa yupo huru kuhamia dini anayotaka
Yohana 10:10 Yesu alisema "Mwizi huja kwa nia ya kuiba, kuua na kuharibu. Nimekuja ili watu wapate uzima; uzima ulio kamili."
Tatizo haupokei simu kuwe waaminifu
Alisema simu yake ni mbovu iliharibika
Jamani nisaidie naomba hasijakamilika
@@SuzanaNyandaHapokei kweli nilimpigia cm wakati wa Ile shuhuda
Huwa anapokea lakini mara moja moja sana sababu ya ubize alionao mtafute tsap
Hapana ubize gani muda wote Sasa Kuna haja gani yakuweka namba kama Yuko asiweke kabisa wapo watumishi wa Mungu lakini wanafanya kazi ya Mungu nawanapokea simu kama hawezi kupokea tunawasiwasi na anayoyashuhudia kama anashindwa kupokea simu na kumsikiliza shida za watu