BODABODA:UCHAWI UPO/NILINUSURIKA KUFANYWA KAFARA/MSITU WA AJABU.
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Kijana wa kitanzania akijihusisha na shughuli za udereva wa bajaji na bodaboda, hatosahau usiku wa siku moja ni usiku uliomuachia kumbukumbu ya maisha.......
#Ushirikina #Maisha #taarifabilamipaka
Noma sna
Uchawi upo jamn
Noma sana pomaster msela wangu wafaida mwanangu
Jamani hebu punguzeni hiyo mizikiiiiii hatusikiiiiiiii
Noma sana
Duuu nakubali kizaz san
Umeme mwingi sana
Kafanana na ndaro po master
Kanchekesha aki 😂 ila leo sijui kama ntalala,
Sub-hannallah!!!!!!!!!!!!
Ww huongopi wachawi hao tu siyo chengine
Nom
Kwani hii Chanel ya muziki aw visaaaa
Uchawi upo
Nani kaona Noah ina usajili wa A?
Wapambanaji hao mzee hakuna alorithi gari ya ukoo hapo
Jmn,,😱😱
Mbona waTanzania wameshiriki ushirikina sana jamani?! Ndio maana matatizo na ugumu wa maisha hutoisha!
Bass haya na mm nimedhulumiwa niombeyeni
Nipeleke huko man, kuna watu wamenizulumu,,,,,nataka km vp unipeleke
Hahahahahaha njoo
Nywele hizo mm nazitaka
Unazitaka nywele zangu
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂