ROHO YANGU IMEKOMBOLEWA | GROUPE ALLELUIA
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Wimbo huu umeimbwa katika uwepo wa Mungu katika ala za mbinguni. unapousikiliza, utakusogeza karibu na Roho mtakatifu na kukukumbusha kuiweka vizuri safari yako ya kweda mbiguni.
Kwa ushauri au mchago wako ili kuedeleza huduma hii ya kiijili, Watsaap; +1 902 440 0883
Amen mubari kiwe jameni Mungu hawe pamoja nanyi nyote.
Amen amen Wana wa Mungu hakika tumekombolewa .
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu.....nawatakieni maisha marefu.
Amina mungu hazidi kuwaja nguvu za roho takatifu hawajeze misuli ya Imani mpate kuishinda dunia
Baraka za mwenyezi Mungu ziwe pamoja nanyi wana wa Mungu
Nimependa sana wimbo huu.
Wimbo una bariki 🎉❤
Wimbo hu’u Mda ninapousikia ninabarikiwa Asante sana.
Nasonga mbele tu, Mungu wetu Yesu kristo awabariki wa ndugu na wadada
Amen
Mmenigusa mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Asante kwa Yesu, aliyetukombowa
Mubarikiwe watumishi wa Bwana
Mungu awape uzima
Maana mnafanya mwili wangu kusisimka🙏🙏
Mungu wangu awabariki saana...
Bwana asifiwe kweli kabisa
Mungu awabariki san kweli ❤🙏
BWANA WA MAJESHI AWABARIKI SANA.❤
Mubarikiwe sana
Mungu eeeeeeee mpaka naisi kuruka kwenda mbinguni
Mungu azidi kuwa ongezea kipaji cha utunzi zaidi na zaidi cha Nyimbo za injili ongereni sana.
Amen
Hakika tutaipepea Dunia tukimaliza mwendo mgumu..
Mungu awabariki sana.
My favorite choir
Mungu awabariki sana kwa injili
Amina
Bwana asifiwe kwa kweli
Asanteni sana kwa wimbo mzuri wenye kutia moyo.
Mbarikiwe nyote kwa jina la yesu kristo.
Amen !
AMEN... MWAKOLE MANGA
Mungu awatie nguvu na upeo wakutunga nyimbo zenye upako. Amina
Amena!!! Amena sana wana wa Mungu, ninafurahi sana kuwaone hivi. MUNGU awatunze siku ile mupokee uzima wa milele😊
Hii choir huimba nyimbo zinazosisimua nafsi kwa ajili ya kazi ya Mungu
Mubarikiwe sana
Ni kundi linalo helewa Nani wanamtumikia
Mubarikiwe sana 🙌🙌🙌
Amen , Sifa kwa Bwana wetu Yesu Kristo na MUNGU BABA.
Mbarikiwe sana watumishi wa MUNGU
Huku ndiko kuimba.
Ukisikia wimbo kweli unasikia sauti ya Mungu ndani yako.
Amina waimbaji, Mungu wetu awatunze mno.
Jamani mbona link hii nimeiona nyuma jamani huwa munapost namna gani. BWANA azidi kuwa bariki sana SISI wapenzi wa slow huwa hatulali BILA kusikia nyimbo za upako wa BWANA .
Amen sifa kwa Bwana wetu 🥰🙏
Amen Amen nasonga mbele❤
Amen Amen
Mubarikiwe sana❤️❤️🙏🏾
Nawapenda sana❤❤❤❤,naomba nitumie namba yenu nitume sadaka yangu,nawependa sana kutoka DAR ES SALAAM
mh nic song
God Bless 🙏
Nice
Ooh Allelujah 😍🤲
Amen 🎉🎉🎉
Amen Amen and Amen 🙏
Amen 🙏
My favorite song ❤🎉
God bless you all ❤❤
Be blessed GEA! Mwalimu Asakya will remain one of the best song writer I ever known!
Hallelujah,God bless yu all.
Such a blessing
❤❤❤❤❤Amen🙏
❤❤❤❤❤
Be blessed 🙏🏾❤
Ameen
AMEN.
Praise the lord 🙌 🙏
😭😭😭❤️❤️❤️
Gloire à Dieu ❤😭
Amen 🙏 Amen 🙏 ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥🥰🥰🙏🙏🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🙏🙏🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
See me please
Mubarikiwe sana
Amina
Amen Amen
Amen
❤️❤️❤️
Amen
Amen
Amen