"PROF. NGOWI ALIKUWA ZAWADI YA MUNGU KWA TAIFA NA HASA WATU WA HALI YA CHINI" Francis Kiwangwa
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2024
- Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation For Civil Society,(FCS) , Francis Kiwanga, amemuelezea Prof. Ngowi kama zawadi ya Mungu kwa Taifa na hasa kwa watts wa hali ya chini kabisa.
Very true
Hakika tuna maprofesa wengi ila Ngowi ni pekee aliyerudisha kwa jamii(machinnga, wavuvi, mama nitilie, wakulima n.k) uprofesa wake.