🛑FRIJI BOVU AMPA MAKAVU RAMOVIC, TATIZO GSM KUDHAMINI TIMU NYINGI ZINAWALEGEZEA FAIDA KWA SIMBA

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 41

  • @Husna-x1d
    @Husna-x1d 11 днів тому +3

    Friji bovu we ni msema kweli uko vizuri

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 10 днів тому +3

    God is good

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 11 днів тому +2

    Fridge Bovu 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @InnocentMwakyange
    @InnocentMwakyange 11 днів тому +4

    Friji upo vzr sana right wachambuzi wote wangekua wakweli kama ww hakika tungefika mbali sana na soka letu tatzo la yanga imezoea kubebwa kwenye ligi yetu na kutoa bahasha pamoja kununua marefa

  • @thomasiankalua-v8y
    @thomasiankalua-v8y 10 днів тому +3

    Fridge bovu ni machine yaku ongea ukweli bonge la chambuzi.

  • @emmanueljoshua4774
    @emmanueljoshua4774 11 днів тому +5

    Mchambuzi wangu Bora mda wowote

  • @Bigkassim
    @Bigkassim 11 днів тому +2

    Ninakukubali sana Mimi simba

  • @frankjohn2425
    @frankjohn2425 6 днів тому

    upo sahihi kabisa kaka

  • @AsiyaOmary
    @AsiyaOmary 10 днів тому +1

    Bora mseme nyinyi

  • @azizakiswili9063
    @azizakiswili9063 10 днів тому +1

    Dodoma Jiji mpaka kipa namba moja akawekwa kando,sijui alikuwa hakukubaliana na maelekezo😅

  • @markmangaya4947
    @markmangaya4947 11 днів тому +4

    Na hicho ndicho kinachowaghalimu Yanga,toka GSM adhamini vilabu 6 ushindi wa Yanga ni rahisi kutoka hizo timu 6 na inawaghalimu kwenye mshindano ya kimataifa, na kubebwa na marefa,kunaidhoofisha Yanga,Simba wanapambana kwa jasho la damu kwenye kila mechi na ndio maana wamekomaa kimichezo,leo wanafanya vzr kimataifa,Unachokipanda ndicho unachokivuna poleni Yanga.

  • @anthonymilinga8696
    @anthonymilinga8696 11 днів тому +11

    Waambie GSM aendelee kuzamini timu zote zinazo shiriki ligi kuu na aendelee kuhonga hizo timu ziwaaachie Yanga washinde kilaini, Simba tutashinda mechi zetu hatq mkiwapa bonasi wapinzani tunaocheza nao.

    • @YusufSasamalo-uz4ii
      @YusufSasamalo-uz4ii 11 днів тому +2

      Ni kweli ligi ni dhaifu kwa yanga,sababu ya biashara zinazofanywa na utopolo na timu nyingine swala la udhamini liangaliwe

    • @melissa_garden
      @melissa_garden 10 днів тому +1

      Na ndiyo kilichowakuta kimataifa😂😂😂😂😂 waendleee tu Ligi za Ndani kuwapa Vibahasha wakina Kayoko na kuendelea kudhamini Kila timu halafu Yanga wakose Ushindani Kisha wafike CAF wakutane na Wanaume 😅😅😅😅

    • @JayKimMungwab
      @JayKimMungwab 10 днів тому +1

      FRIJ BOVU UNAKERA WACHA YANGA WAFURAHIE LIGI KUU WAZIDI KUJIITA MABINGWA WA KIHISTIRIA ,ILA SIMBA WAMETOKA HUKO HATAKI HIYO SIFA SIMBA WANAFOCUS KIMATAIFA ZAIDI NA IKO SIKU WATALETA KOMBE LA CAF 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @Immamaikonyaganilwa-qk4ml
    @Immamaikonyaganilwa-qk4ml 10 днів тому

    nakubar san kaka mngu aendelee kukup uhai

  • @EstaTito-b6h
    @EstaTito-b6h 10 днів тому +1

    Makocha marefa na viongozi wanaomiliki timu...na wana mapenzi ya yanga..wasizani wana wakomesha simba niwaambie tu wanajididimiza wenyewe shimono😅😅😅GSM..ongeza kuzamini timu zote😅😅

  • @AkramAli-y7b
    @AkramAli-y7b 10 днів тому

    HAPO NDO KUNASHIDA

  • @azizakiswili9063
    @azizakiswili9063 10 днів тому

    Kweli fitina yako bahati yangu😂

  • @martinpeter891
    @martinpeter891 10 днів тому

    Pascal unaccounted ni kweli kabisa. Undhamini wa timu nyingi kwa mtu mmoja hilo ndiyo tatizo la kudhoofisha league yetu

  • @ElishaMkindi-d4c
    @ElishaMkindi-d4c 10 днів тому

    Lazima aseme hivyo maana timuzote alizocheza sizakununuliwa angekua simba akutane na kimbembe akute simu imeahidiwa hela akimfunga simba sio zakununua

  • @SamwelJulius-vq4xg
    @SamwelJulius-vq4xg 10 днів тому

    GSM aendeleee tu matokeo wanayaona na bado

  • @SophiaWanene
    @SophiaWanene 10 днів тому

    Sio kila mtu anaujasiri wa kusema ukweli cocha rama ni mkweli

  • @MohdNguli
    @MohdNguli 8 днів тому

    Maxime ni yanga Lia Lia minziro ni yanga wategemea nini

  • @melissa_garden
    @melissa_garden 10 днів тому

    Huu ni Ukweli ambao mashabiki wa Yanga wanatakiwa kuujua

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn 10 днів тому

    Side kasema ukweli mtoto umleavyo ndivyo akuavyo GSM kalaisisha Ligi ili yanga kupata mtelemko kasema kweli wamuache cocher jmn🤣🤣🤣

  • @franccoz94
    @franccoz94 10 днів тому

    HILI NDOO FRIJI BOVU SASA

  • @Lulaboytz
    @Lulaboytz 11 днів тому

    Apo sasa kaka friji omeongea neno

  • @jofreymhagule7505
    @jofreymhagule7505 11 днів тому +1

    😂😂😂 kocha kafungwa anacheka 😂😂 haya maajabu yapo Tanzania tu

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 11 днів тому

    Maana yake timu zote zinazodhaminiwa "GBM" zinakuwa dhaifu zinapocheza na Yanga. Ligi yetu ndo maana imeharibiwa 😢

  • @PeterMuhina
    @PeterMuhina 10 днів тому +1

    Waache wabweteke ivo ivo watastuka baadae

  • @AbdallahOnga
    @AbdallahOnga 10 днів тому

    Tayari tabora kawekewa mil 50 za bonasi

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora5547 11 днів тому

    Said Ramadhan Msema kweli wa Utopolo 😂

  • @AkramAli-y7b
    @AkramAli-y7b 10 днів тому

    ILA SISI MASHABIKI HATUTAKA KUAMBIWA UKWELI LAKINI HIKI KITU NDO KINATUKWAMISHA YANGA TUNAENDA KUCHEZA NATIMU AMBAZO ZINAZAMINIWA NA GSM HILI NITATIZO

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 10 днів тому

    Kaka fridge bovu nakupa hii chukua itakusaidia mbele ya safari 😂 "SIKU SIMBA AKIVUKA ROBO KWENDA NUSU KWENYE MASHINDANO YOYOTE YA AFRIKA BASI NDO MSIMU HUO KOMBE LA AFRIKA LINATUA KWENYE ARDHI YA MAMA SAMIA"

  • @Rich-t9i
    @Rich-t9i 11 днів тому

    Nmekusoma friza. Yan simba inapata matokeo kwa mbinde

  • @safariautosalesinc8074
    @safariautosalesinc8074 11 днів тому

    Lakini mbona alikuwa anashangilia!
    Semeni ukweli game za yanga na simba huwa Zina mkazo tofauti.
    Hayo ndio madhara yake

  • @MethodKipanga
    @MethodKipanga 11 днів тому

    Hapo tumepata majibu

  • @JuliusMbikilwa
    @JuliusMbikilwa 10 днів тому

    Friji bovu wewe ni kiboko ya wanafiki,Yanga wote ni wanafiki hawataki kumweleza ukweli GSM,watafanikiwa kwenye ligi Kwa sababu ya zile bonasi za timu 7 za GSM. Kimataifa hakuna hilo,ni nginjanginja. MTAKOMA UBISHI,sie mnyama tunadundundu tu.

  • @bernardkindoli8043
    @bernardkindoli8043 11 днів тому

    Rudi shule man. Umechukua statement ya mwalimu out of context