In football (soccer), intensity refers to the level of energy, effort, and focus displayed by players during a game or training session. It reflects how hard and fast players are working, both physically and mentally, in various aspects of the game. Key Aspects of Intensity in Football: 1. Physical Intensity: • The speed of sprints, constant movement, and pressing opponents. • The strength and commitment in tackles, duels, and aerial challenges. • High endurance to maintain performance levels throughout the game. 2. Mental Intensity: • Staying focused and sharp for 90+ minutes. • Making quick decisions under pressure. • Maintaining discipline in tactics and positioning. 3. Game Situations: • High-intensity pressing: Aggressively closing down opponents to regain possession quickly. • Fast transitions: Quickly moving from defense to attack or vice versa. • High-tempo passing: Rapid ball movement to create opportunities and unsettle the opposition. Coaches often emphasize intensity because it can determine the effectiveness of a team’s play, their ability to dominate the game, and their resilience in tough situations.
Ubora hakuna n hautakuwepo.mtuu moja ana miliki Tim kibao nakuziudumia kwamchongo.nakocha namkubari kaongea ivyo kwakuwa kanunuliwa zile mechi alizoshinda nyokeni acheni kung'ata maneno
Udhamini wa GSM kwa timu zaidi ya 7 kwenye ligi kuu haiwezi kumpa kocha #intensity anayoitaka. Hiyo ni kabla ya kuwataja marefa kama Ramadhani Kayoko na wachezaji wasaliti kama Inoga, Chamaz, Aisha, Kennedie, etc
Kocha wa Yanga yuko sahihi muache uboya. Leo hii kuna timu ya Afrika Kusini imeingia robo fainali shirikisho sijawahi kuisikia kabisa. Lakini kutokana na timu nyingi kuwa bora ndio maana hata timu ya mwisho unakuta iko strong.
@@bugalirecords4862ovyooooooo,mmekariri bahasha,toa nawewe kama ni rahisi kolo wewe mvunja viti fc,dunduka fc,wachawi wa kuwasha moto kwenye viwanja vya watu fc,matoa lugha chafu fc ndo maana mnapigwa vibao
Iko wazi kwamba hizo zimazotajwa ni ligi kubwa ukilinganisha na yetu,.. that's why intesity ni kubwa,ingekuwa ligi yetu ni bora zaidi ya hizo afu intesity ikawa ndogo ndo lingekuwa tatizo,bado tunatambaa asilazimishe tusimamae na kutembea,.point ni kwamba tunataka kuona ubora wake huyo kocha,aache maneno mengi yasiyohusiana nakufeli kwake, intesity intesity ndo manini,si yanga ni timu bora sasa ashinde mechi zote za ligi sasa
Sasa hao yanga wakikutana na tim ngumu itakayowapa challenge msimu unaofuata wanainunua....unategemea intensity itatokea wapi kama unavinunua vilabu vinavyokupa changamoto
Hakuna kitu @hans ongeeni ukweli GSM kaharibu ligi na nyie wachambuzi mnatudanganya sanA na mnauharibu mpira wetu hivi kwa mechi ya dodoma vs yanga mzunguko wa kwanza unataka ushindani utoke wapi hapo
Tulienda south tukabeba kikombe, ligi ya mabingwa mamelodi tulimfunga kwao refa kawabeba.mpaka wandishi wa habari walilaani Hilo tukio.na hicho ndicho kilichomleta yanga kwa kuamini ni timu kubwa zaidi itampa CV.labda kunajambo jingine ndani ya yanga na Gsm na matawi yake.kubebana shida ipo hapo.
Timu inaishia robo kila msimu inajiita kubwa,mnajinasibu ndio mafanikio makubwa🤣🤣🤣maana yake ligi yenu mbovu.Yanga kufika fainali shirikisho ilikuwa maajabu🙆maana yake ligi dhaifu.Azamu katolewa round ya kwamza CCL tena akiwa na ushindi wa nyumba✍️maana yake ligi bovu,.
kwer kocha yuko sahihi tatizo wabongo ujuaji mwingi na elimu zetu za ngumbalu enzi lile mtu unaingia dalasani hutafuti majibu ya mtihani unakuta kwenye mtihani A b c d ivi hapo hata ukifaulu utajita wewe msomi ndo haya sasa
Ukweli gani ? Mbona Timu yake ilipoishinda TP Mazembe na Al Ahaly hakuyasrma hayo ? Hizo Nchi mnazozitaja na hizo Timu zimewekeza kwa uwezo wao wa kiuchumi lkn hakuzifanyi ziwe zinashinda kila mchezo ht km zina intensity Bocco alisema kweli wengi wenu ni wachambuzi mbuzi mbuzi uchwara
Wanaofanya ligi isiwe bora ni hao yanga wenu wanaodhamini vilabu kumi nyie ndiyo mnatetea ujinga wa mtu kudhamini timu 8 wakati huo mmeshatolewa ndiyo mnatafuta sababu timu yenu ni mbovu
Hawa wachambuzi wanajaribu kumtetea yanga na kuwahamisha mashabiki wa yanga kwenye mjadala wa yanga kufeli champion reage binafsi sioni kama Kuna kunamjadala kuhusiana na ubora wa hizo ligi za inchi alizozitaja lakini hiyo kauli imekuja wakati gani
Simba akimfunga Singida simba nakuwa amecheza mechi sawa na ligi ya morocco yanga akicheza na singida ni sawa amecheza na ligi ya Tanzania hiyo ndiyo tofauti yake yanga wanashinda kutokana na boss wao anavyopenda ndiyo maana hata marefa wenu ndiyo sababu ya yanga kuwa hovyo kwa kuamini marefa wanaweza kuwasaidia kufika wanakotaka
Hata hao waarabu walikuwa hawafk kwa yanga!... Kimbinu coach kafeli tu..,huyo coach South league... So hakukuwa na challenges hizo?, or viwango vya wachezaji wetu esp wa nje hawana viwango?
Broo hata maana ya intensity hujui umefeli form 4chalafu unashauri watu wenye akili timaru kama wewe unajua kweli chukka timu uchukue hata kikombe cha chai....huyu Hans Rafael me nayeye tupewe mtihani wowowte wa form ii au iv nikimputa zaidi ya marks 5 tuu namlipa mtuu una f7 unaelekeza watuù
PAUL MKAI naomba wachambuzi wako watuambie kitambulisho cha mpira wa Tanzania labda kipo halafu mm tu ndo sijakiona ramovich yupo sahihi ila siyo kicha sahihi cha yeye kujificha
Hizo ni kelele tu atengeneze timu kwani hao SA na misiri walio dominate nitimu ngapi hizo ni porojo tupu kwani yanga alifikeje fainali acheni u Swahili ligi yetu ni bora kwa sehemu yetu sio mbovu kiivyo acheni kelele na Kenya watasemaje?
Hata hao Simba na yanga ni wazinguaji t ,mnataka timu ziwe na ushindani wakt timu zikiwa katika ubora hizo timu zenu zinasema kma zinakamiwa sasa mnategemea izo timu zinawezaje kucheza mnavotaka nyinyi
Wachambuzi wasiojua soka wapo crown media mnaongozwa na matukio 😂😂pumbav zenu,tp mazembe kacheza final club world cup na ligi yao haina ushindan mkubwa
ACHENI KUFICHA FICHA SIMBA NDIO ANAKUTANA NA MECHI NGUMU KULIKO YANGA NAMNA DODOMA ALIVYO CHEZA NA YANGA NI TOFAUTI NA DODOMA NA SIMBA NA NDO MAANA SIMBA ANAFANYA VIZURI KULIKO YANGA KIMATAIFA
Hans ligi ya south Africa msimu uliopita mamelod imefungwa mechi moja tu na rhulan akawa analalamika kila tim inayokutana na mamelod inapaki bas.hamna ligi dunia tim zote zikawa na uwezo sawa,nikuulize domoma Jiji,mashujaa, JKT,cost .zilivyocheza na simba mech ulizionaje?
Awaambie kina injinia waache kumnunulia mechi kwenye ligi ili ashinde kiurahisi. Sisi simba tunapata mechi ngumu kila siku maana timu tunazokuwa tunacheza nazo zinakuwa zimeahidiwa hela ili ziifunge simba
UKWELI NI KWAMBA GSM ANANUNUA GAME HALAFU TEAM YAKE.YAKOSA USHINDANI WA HAKI..ZILE SANAA na Dodoma mexime apanga wasiocheza ili yanga ashinde utapata USHINDANI gani?
Kwahiyo simba yeye anacheza ligi gani mbona qnashinda, lakini yanga kutolewa basi ligi haina ushindani? Wangefuzu haya yote yasingekuwepo, yeye akubali tu kuwa amefeli kimbinu aache kujitetea
In football (soccer), intensity refers to the level of energy, effort, and focus displayed by players during a game or training session. It reflects how hard and fast players are working, both physically and mentally, in various aspects of the game.
Key Aspects of Intensity in Football:
1. Physical Intensity:
• The speed of sprints, constant movement, and pressing opponents.
• The strength and commitment in tackles, duels, and aerial challenges.
• High endurance to maintain performance levels throughout the game.
2. Mental Intensity:
• Staying focused and sharp for 90+ minutes.
• Making quick decisions under pressure.
• Maintaining discipline in tactics and positioning.
3. Game Situations:
• High-intensity pressing: Aggressively closing down opponents to regain possession quickly.
• Fast transitions: Quickly moving from defense to attack or vice versa.
• High-tempo passing: Rapid ball movement to create opportunities and unsettle the opposition.
Coaches often emphasize intensity because it can determine the effectiveness of a team’s play, their ability to dominate the game, and their resilience in tough situations.
Uko vizuri sana kaka
Nampenda ❤ hance 😍🥰
Nikupe namba yake
Nikupe namba yake ?
Kweri kabisaaa
Na sisi wabongo si hatutakagi ukweli😂😂
Kwenye radio atuwapati???
League inaharibiwa na MIXX BY YAS
Ubora hakuna n hautakuwepo.mtuu moja ana miliki Tim kibao nakuziudumia kwamchongo.nakocha namkubari kaongea ivyo kwakuwa kanunuliwa zile mechi alizoshinda nyokeni acheni kung'ata maneno
Nyinyi amueleweki ile andadogi ya simba iko wapi?
Ligi ya Sudan ikoje Athenian umbea went simba mbona mechi zake zote Zina intensity, utopolo walikuwa wanashinda kwa mipango na fadhila za udhamin ,
Tatua kwanza uwezo wako wa kufikiri kisha andika tena
punguza mapenz binafsi nyie ndo mnafanya tanzania tuonekane hatuna akili kumbe ni wachache tu ndo hamna akili
Waliwahi kuchukua nn
@@LumumbaFarhanikuongea ukwerii
Wachambuzi mjitahidi kufafanua maana ya NENO then ndo mtoe uchambuzi coz haitoshi tu kusema intensity intensity, ndomaan kubishana kumekuwa kwingi
Product ya ligi kuu ni mbaya na mbovu. Simba na yanga nao nguvu nyingi sana nje ya uwanja inarudisha ligi nyuma
Kwani uongo ligi mbovu haina mvuto sijakiona kipya kwenye ligi
Kwasababu yanga mnanunua mechi za ligi😂😂😂😂
Madhara ya TIGO PESA NDANI YA LIGI 🎉🎉
Sasa kama Azam Simba kakutana nazo anazungumzia intensity ipi
Simba anacheza ligi gan
sasa si wamenunua mechi iyo intensity inatoka wapi
Sasa GSM imedhamini timu zaidi ya 2 Ina maana Yanga Ina uhakika wa points za Asante Boss
Ndio na ndio maana hata zile tano ilikuwa Asante boss
Iigi dhaifu bhana, hv timu kama ken gold kweli ndo unacheza nayo ni uongo kabisa lig dhaifu hii wala sio bora
Udhamini wa GSM kwa timu zaidi ya 7 kwenye ligi kuu haiwezi kumpa kocha #intensity anayoitaka. Hiyo ni kabla ya kuwataja marefa kama Ramadhani Kayoko na wachezaji wasaliti kama Inoga, Chamaz, Aisha, Kennedie, etc
Kwani walifungwaji na tabora??
Kocha wa Yanga yuko sahihi muache uboya. Leo hii kuna timu ya Afrika Kusini imeingia robo fainali shirikisho sijawahi kuisikia kabisa. Lakini kutokana na timu nyingi kuwa bora ndio maana hata timu ya mwisho unakuta iko strong.
Naunga mkono hoja kocha kaona bahasha nyingi hadi wachezaji wakuwa hawana ushindan wa number kwenye kikosi had wanafeli kimataifa
@@bugalirecords4862ovyooooooo,mmekariri bahasha,toa nawewe kama ni rahisi kolo wewe mvunja viti fc,dunduka fc,wachawi wa kuwasha moto kwenye viwanja vya watu fc,matoa lugha chafu fc ndo maana mnapigwa vibao
Kwann huwa mafanya uchambuzi kwa ligi mbovu na kwann haya yaje baada ya yanga kufungwa?
Amefundisha south timu ndogo kapigika na kina kaizer mamelody na Orlando sasa kaj timu ina wachezaji wazuri ligi sio ngumu ndo anamaanisha hichoo
Mechi gani ya ligi hajawapiga?
Ligi mbovu sio sili
Hayo ni matokeo ya Tigo pesa ya GSM kutaka kuwafurahsha mashabk wa nyuma mwko huku anapga not taratb
Mnapoteza mda sana semen kwel udhamini wa gsm unatuharibia yanga
Wavunja viti hamjui mnakurupuka tu hamjui kitu bora mkae kimya tu madunduka
Iko wazi kwamba hizo zimazotajwa ni ligi kubwa ukilinganisha na yetu,.. that's why intesity ni kubwa,ingekuwa ligi yetu ni bora zaidi ya hizo afu intesity ikawa ndogo ndo lingekuwa tatizo,bado tunatambaa asilazimishe tusimamae na kutembea,.point ni kwamba tunataka kuona ubora wake huyo kocha,aache maneno mengi yasiyohusiana nakufeli kwake, intesity intesity ndo manini,si yanga ni timu bora sasa ashinde mechi zote za ligi sasa
Sasa hao yanga wakikutana na tim ngumu itakayowapa challenge msimu unaofuata wanainunua....unategemea intensity itatokea wapi kama unavinunua vilabu vinavyokupa changamoto
Mnaongea pumba Kwaiyo Kama team zikicheza na dodoma jiji Zina uhakika wa kuchkua point Basi wasiende uwanjani
ligi yetu ni Bora ila kocha sio Bora kudadadeki
Ligi ya Tanzania ni mbovu, timu ni mbili tu Simba na Yanga
Acheni kuficha
Hakuna kitu @hans ongeeni ukweli GSM kaharibu ligi na nyie wachambuzi mnatudanganya sanA na mnauharibu mpira wetu hivi kwa mechi ya dodoma vs yanga mzunguko wa kwanza unataka ushindani utoke wapi hapo
Umeona simba vs mashujaa, simba vs singida, simba vs jkt labda yanga ndo wanalegezewa ila simba tunakamiwa mguu wa shingo mguu wa riho
Ligi mbovu Azam kukamia Yanga tyu timu zingine hoiiiii
Tulienda south tukabeba kikombe, ligi ya mabingwa mamelodi tulimfunga kwao refa kawabeba.mpaka wandishi wa habari walilaani Hilo tukio.na hicho ndicho kilichomleta yanga kwa kuamini ni timu kubwa zaidi itampa CV.labda kunajambo jingine ndani ya yanga na Gsm na matawi yake.kubebana shida ipo hapo.
Lile halikuwa goli acha kuota
Yanga wakitaka intensity GSM inabidi aache udhamini timu sita ndio atapata huo ubora
Mbona we anakufila yanga?
acheni kuropoka mtu kaleta hoja mjibuni kwa hoja acheni kupotosha watu
Shida simba ikicheza timu inawekewa hela ligi kuu lkn yanga hapana mech inakuwa rahisi, hivyo ushindani hamna
Timu inaishia robo kila msimu inajiita kubwa,mnajinasibu ndio mafanikio makubwa🤣🤣🤣maana yake ligi yenu mbovu.Yanga kufika fainali shirikisho ilikuwa maajabu🙆maana yake ligi dhaifu.Azamu katolewa round ya kwamza CCL tena akiwa na ushindi wa nyumba✍️maana yake ligi bovu,.
Huyu kocha anamatatizo yake tu , kwani alipokuwa anashinda mbona hakusema hivyoo??
Kama league ya Algeria Ina ushindani Mkuu wa kwanini Simba ambayo Iko kwenye league dhaifu iliifunga cs Constantine?
Kuna neno kasema ukifananisha na ligi za wezetu kwani Kuna kosa
😢umezamini timu 7 ss utapataje ugumu
kwer kocha yuko sahihi tatizo wabongo ujuaji mwingi na elimu zetu za ngumbalu enzi lile mtu unaingia dalasani hutafuti majibu ya mtihani unakuta kwenye mtihani A b c d ivi hapo hata ukifaulu utajita wewe msomi ndo haya sasa
Toka hapa, hii mechi ya mwisho ya Mc Alger, siwalitoka kukutana na Al Hilal kamoja na Tp Mazembe nazo azina ushindani
Ukweli gani ? Mbona Timu yake ilipoishinda TP Mazembe na Al Ahaly hakuyasrma hayo ? Hizo Nchi mnazozitaja na hizo Timu zimewekeza kwa uwezo wao wa kiuchumi lkn hakuzifanyi ziwe zinashinda kila mchezo ht km zina intensity Bocco alisema kweli wengi wenu ni wachambuzi mbuzi mbuzi uchwara
Simba ikimfunga namungo hiyo sawa, ila yanga ikimfunga namungo bahasha? Je yanga akimfunga simba ni bahasha?.
leo hii ligi imeshakuwa haina ushindani kwakuwa timu yenu imeshatoka
Unadhamin timu 9 unatak ukikutana nao wataacha kukuachia
Ligi haina ushindani kwerii sababu GSM kaharibu kusajiri team nyngi kuitafutia Yanga ubingwa wa ligi kuu
Cyo kihivyoo
Wanaofanya ligi isiwe bora ni hao yanga wenu wanaodhamini vilabu kumi nyie ndiyo mnatetea ujinga wa mtu kudhamini timu 8 wakati huo mmeshatolewa ndiyo mnatafuta sababu timu yenu ni mbovu
ligi haiwezekani kuwa na mudhamini mmoja akadhamin timu 6 ikawa na ushindani watu walizungumza mapema hili
Kocha kakosea na kajifichie hapo
Ila sii ligi tuu inayoamua matokeo ya uwanjani bali ni vitu vingi mno huenda uwezo ama elimu yake ndogo
MSIOGOPE KUSEMA UKWELI TATIZO NI TEAM ZINAZODHAMINIWA NA KAMPUNI MMOJA AMBALO NDO TATIZO KUBWA SANA
rigiya simbanayanga2
Waongo wacha mbuzi mba wavuruga wtu benders fuata upepo
Hawa wachambuzi wanajaribu kumtetea yanga na kuwahamisha mashabiki wa yanga kwenye mjadala wa yanga kufeli champion reage binafsi sioni kama Kuna kunamjadala kuhusiana na ubora wa hizo ligi za inchi alizozitaja lakini hiyo kauli imekuja wakati gani
Waache kununua mechi ili wapate intesity kutoka kwa wapinzani.😂
Simba akimfunga Singida simba nakuwa amecheza mechi sawa na ligi ya morocco yanga akicheza na singida ni sawa amecheza na ligi ya Tanzania hiyo ndiyo tofauti yake yanga wanashinda kutokana na boss wao anavyopenda ndiyo maana hata marefa wenu ndiyo sababu ya yanga kuwa hovyo kwa kuamini marefa wanaweza kuwasaidia kufika wanakotaka
Anacheza na Dodoma jiji wanapewa bahasa anaona tim nzuri anakuja kimataifa hakuna kitu.
Hata hao waarabu walikuwa hawafk kwa yanga!...
Kimbinu coach kafeli tu..,huyo coach South league...
So hakukuwa na challenges hizo?, or viwango vya wachezaji wetu esp wa nje hawana viwango?
Broo hata maana ya intensity hujui umefeli form 4chalafu unashauri watu wenye akili timaru kama wewe unajua kweli chukka timu uchukue hata kikombe cha chai....huyu Hans Rafael me nayeye tupewe mtihani wowowte wa form ii au iv nikimputa zaidi ya marks 5 tuu namlipa mtuu una f7 unaelekeza watuù
PAUL MKAI naomba wachambuzi wako watuambie kitambulisho cha mpira wa Tanzania labda kipo halafu mm tu ndo sijakiona ramovich yupo sahihi ila siyo kicha sahihi cha yeye kujificha
Hizo ni kelele tu atengeneze timu kwani hao SA na misiri walio dominate nitimu ngapi hizo ni porojo tupu kwani yanga alifikeje fainali acheni u Swahili ligi yetu ni bora kwa sehemu yetu sio mbovu kiivyo acheni kelele na Kenya watasemaje?
Wachambuzi wa bongo wanachekesha,wamekazania neno intensity ka vile kwenye lugha ya kiswahili hakuna neno lenye tafsiri yake.
Acha uwongo angalia game za yanga na wasiovaa GSM pumzi wanayopelekewa lakini simba kila game kama final
Hiyo intensity inakosekana kwa yanga tu ambao kuna namna nadhani. Mechi zote za simba ni za high intensity why yanga tu ndo akose intensity?
Una akili Rafael si hivyo tuu hata marefa wetu angalia vipenga na faulo zisizo na maana zimejaa na hivi ndivyo inafanya timu zetu zipate shida
Simba ameitoa timu ya kutoka ligi gani?
Hiki ni kichaka tu cha kujifichia, ubora wa timu unachangia kwa kiasi kikubwa sana
Hamna hoja ya msingi upumbavu tuuuuuuuu
Hata hao Simba na yanga ni wazinguaji t ,mnataka timu ziwe na ushindani wakt timu zikiwa katika ubora hizo timu zenu zinasema kma zinakamiwa sasa mnategemea izo timu zinawezaje kucheza mnavotaka nyinyi
Wachambuzi wasiojua soka wapo crown media mnaongozwa na matukio 😂😂pumbav zenu,tp mazembe kacheza final club world cup na ligi yao haina ushindan mkubwa
Udhamini wa GSM unachangia kuizoofisha Yanga, timu nyingi zinawadekeza timu ya Yanga
ACHENI KUFICHA FICHA SIMBA NDIO ANAKUTANA NA MECHI NGUMU KULIKO YANGA NAMNA DODOMA ALIVYO CHEZA NA YANGA NI TOFAUTI NA DODOMA NA SIMBA NA NDO MAANA SIMBA ANAFANYA VIZURI KULIKO YANGA KIMATAIFA
Akikutana na Yanga😅
Hans ligi ya south Africa msimu uliopita mamelod imefungwa mechi moja tu na rhulan akawa analalamika kila tim inayokutana na mamelod inapaki bas.hamna ligi dunia tim zote zikawa na uwezo sawa,nikuulize domoma Jiji,mashujaa, JKT,cost .zilivyocheza na simba mech ulizionaje?
kochayuko sawa hirigi janjamwingi
Waache kudhamini mtu mmoja kudhamini timu zaidi ya moja wewe mtu unaeyempa msaada atakupinga
Hawa machawa juzi tu walisema mc alger underdog kwa yanga wamebadilika tena njaa mby sana😂😂
Kwani nyie hiyo kauli kwann hakutoa alipoifunga Mazembe au alipomfunga Ibenge mnachambua nn nyie mbona km vishandu
Hiyo kauli mbon aliitoa muda Sana
Yan wachambuzi kabisa mnaongea kama kijiwe cha bangi CIONI HOJA YA MSINGI HAPO KAPOTOKA FALA SAIDI
Sio sababu yanga kutolewa lakn
Mkiambiwa.ligi.dhaifu.mnatakiwa.muelewe..ukiondoa.simba.na.yanga.ni.timu.gani.nyingine.iljowai.kufika.japo.robo.fainali.michuano.ya.caf..walianza.namungo.wakaja.biashara.kmc..coast.azam..wote.wamefeli..hilo.ndo.jibu.kuwa.ligi.yetu.dhaifu
MWALIMU RAMA AMEGUNDUA MCHEZO MCHAFU WA KÙPATA MATOKEO KWA VIONGOZI WA TIMU YAKE. 😂
Awaambie kina injinia waache kumnunulia mechi kwenye ligi ili ashinde kiurahisi. Sisi simba tunapata mechi ngumu kila siku maana timu tunazokuwa tunacheza nazo zinakuwa zimeahidiwa hela ili ziifunge simba
Kaka ww huko shirikisho kaa kimy
Daraja lapili ya Algeria unajua timu gani Geoff....don't be like that dumb broo you are too smart for that nonsense
UKWELI NI KWAMBA GSM ANANUNUA GAME HALAFU TEAM YAKE.YAKOSA USHINDANI WA HAKI..ZILE SANAA na Dodoma mexime apanga wasiocheza ili yanga ashinde utapata USHINDANI gani?
Hujui kitu just keep quiet
Nyie Wote Mnao Lalamika Gsm Kudhamini Timu zaid Ya Moja Ni Waambieee Tuuu Hamjielewi Mtakuwaaa Mazombieeee Nyie Au Matahiraaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwahiyo simba yeye anacheza ligi gani mbona qnashinda, lakini yanga kutolewa basi ligi haina ushindani? Wangefuzu haya yote yasingekuwepo, yeye akubali tu kuwa amefeli kimbinu aache kujitetea
Bado uelewa wako mdogo
Mnaongea pumba Kwaiyo Kama team zikicheza na dodoma jiji Zina uhakika wa kuchkua point Basi wasiende uwanjani