Watanzania tulifiwa na raisi wetu akiwa madarakani kwaujirani mwema ulifaa kumtungia shairi sisi ni mashabiki wako tukiwa Tanzania tunaomba ututungie jamani
Subbhana Allah. Shukran sana rafikiangu kwa kunikumbusha....Nilishatunga shairi hilo, lakini kwa uzuri na moyo wa unyenyekevu wa magufuli nilishindwa kughani kwa huzuni nyingi, ila nitafanya hivyo Allah akiniwezesha. Poleni sana ndugu zangu na naomba muamini kua tuko pamoja.
Napenda shairi
@@pastormeshackmboya
Karibu bwana meshack
" Waombee msamaha au usiwaombee, na hata kama utawaombea mara sabini basi Allah (s.w.t.) hatawasamehe" Makafiri At-Taubah 09:80)
Tunaomba urudi kuwa una upload mawaidha ya Sheikh Ali Bahero tustafidi kwake.
Safi kabisa Rashidu
Shairi zuri sana na pia pole ni kazi ya Mungu aina makosa wa Kenya wote tunauzuni
Kali sana hii Mzee wangu
Shukran sana babaa
Kibaki na Moi ni makafiri wataingia motoni
Kaka nikitaka shairi nakupataje vile
Hujambo rafikiangu.
Kunipata tumia no,hiì.0714741371.
Inalilah wainailah rajiun,mashaallah hongera!
shairi zuri brother mungu akujaze afya na hekma .
Aamiin Aamiin Aamiin
Kullu nafsi dhaika tul maut hatuna jinsi nakifo hakiepukiki pamoja sna mwagarash pole xna kwa rais wetu kibak🙏
Innah lillah wa innah rajiun, Hongera Kaka Hamisi
Assante kakaangu Gidion Kipyegon kwa kunipa moyo .
Mushrikina ataingia jahannam
Ukiwa na maana gani ndugu?
0714741371
Pore phai.....shairi liko sawa
Nkapholaaa
Mm hupenda kughan kwako Babu mwagarash uko juu mungu ailaze roho yake mahali pema
@@صوميتن Aamiin
Beautiful....
Thanks my brother Godfrey
Mashallah jazakaallah kher
Karibu Dadaa
Ametutangulia Kibaki buriani kwake.
Mashaallah tabaraq Allah
Hongera
Shukran brother
MashaAllah,,,, Hii mbona nimechelewa kuiona
Bado huja chelewa da Ummu.karibu saaana
Shukran sana kaka
Nakupataje kaka unitungie shairi ni namba
@@AllyMriri wala usiwe na wasi naieka namba yangu hapo...0714741371.
🔥🔥 Mashaallah
Good job
Thanks my sister
Mola ailze roho yake pema peponi.
Aamiin
Watanzania tulifiwa na raisi wetu akiwa madarakani kwaujirani mwema ulifaa kumtungia shairi sisi ni mashabiki wako tukiwa Tanzania tunaomba ututungie jamani
Subbhana Allah.
Shukran sana rafikiangu kwa kunikumbusha....Nilishatunga shairi hilo, lakini kwa uzuri na moyo wa unyenyekevu wa magufuli nilishindwa kughani kwa huzuni nyingi, ila nitafanya hivyo Allah akiniwezesha.
Poleni sana ndugu zangu na naomba muamini kua tuko pamoja.
Mashaallah
Mzee umenisusa sana
Niko Sana akhy
Masha Allah Mungu akuzidishie kipato chako kakangu
Rip
😭😭😭
Rest in peac 😭😭😭😭
😭😭😭