Mwanaume kaumia kwasababu ni mwaminifu. Pakiwa na tatizo Mungu ndye msaidizi pekee haimanishi pana tatizo pesa au nn hakuna ndo tufanye machukizo mbele za Mungu. Ladhia kupata matatizo ni pale alipo ona Mungu awezi bali mwanadamu anaweza. Mungu uwondoa mkono wa ulizi kwako
Mungu awatangulie Wanawake wote hakika wanapitia kwenye changamoto sanaaa Jinsia hii ya kike bado usalama wao ni mdogo kweny hii dunia Mpende mwanao na kumjali sanaa mpende mkeo na kumfundisha njia za Mungu na Mjali sanaa kwani wanapitia changamoto kwaajili ya sisi wanaume japokuwa watendaji ndo sisi lakini ukibahatika kutembea na mwanamke basi usimtese Mwonee huruma.
Pole sana Radhia..siwezi kukulaum ulifanya hvyo kwa upndo na ulitizama sana familia yko ila ndo hvyo waume sio waelewa...hpo ingekua ni yye anamaradhi naimani wwe ungemsamee na mukafata ushaur wa doctor na ndoa yenu ikaendelea bila wwe kuambukizwa.. it soo sad🇰🇪🇰🇪
Kisa cha Dada Radhia kwa kweli ni fundisho si kwa wanawake tu hata kwetu wanaume pia. Kwa kiasi kikubwa ufukara na mapenzi dhidi ya mumewe ndiyo yalichangia Radhia kufikia hapa. Kina dada ni hivi, kama mko kwenye mahusiano msijaribu kucheat waume zenu kwani mwanamme hata mpendane vipi akijua tu ulimcheat ni vigumu sana kuishi tena na wewe. Sisi wanaume ndivyo tulivyo, hatupendi ku share wake zetu na wanaume wengine. It’s sad but ni reality!
Ziko njia mbili za kutatua tatizo, ipo njia ya kimungu na ipo njia ya kishetani. Njia ya radhia haikuwa njia njema na mwisho wake umekuwa mbaya. Mungu huchelewa kujibu lakin majibu yake huja kwa haki na amani tele. Ila njia za shetani ni fupi na za majuto sana. Kesi kama hizo zipo nyingi na zinatokea sana na watu wengine hufungwa kabisa lakini mwisho wa siku ukweli hujulikana kwa uwezo wa Mungu na haki huja kutendeka. Radhia alikosa subra na hakumtegemea Mungu katika tatizo Lake.
Vero hii report ya leo ya Radhia nimeshindwa kuimalizia nimesikiliza J'3 na J4 tu maana nimepata maumivu makali sana rohoni kiasi cha kuona wanawake ktk hii dunia tuna mahangaiko sana mume wgu ndie alieisikiliza yote na kunisimulia kwa ufupi. Naamini huyo shetani ndie aliepanga mipango yote ya kumuharibia mumewe kazi ili aweze kutimiza uovu alioukusudia na huyo rafiki wa Radhia allpomlazimisha kutoa no ya cm kwa huyo mzee alipo lipa bill supermarket nahisi ni mchongo tu yeye alikuwa anajuana nae kabla alitaka kuwakutanisha kiaina. Mungu aturehemu sisi na dunia nzima na km ni laana huyo baba itamtafuna yeye na kizazi chake maskini uzao wake utateseka kwa ajili ya uovu wake.😭😭😭
Daah yaani hiki kisa kinanikumbusha ule wimbo wa Bahati Bukuku dunia haina huruma,yaani bora ungeacha tu mumeo afungwe,pole sana tunajifunza kutokana na makosa
Dada Radhia usijiuku saana wewe ulimpenda uyo mume wako kwa Tati ila yeye akukupendaka kwa tati angelikupendaka kwa kweli amekusaame.nakumbuka simulizi nyingine imepita apa mke alifukwa kupitiya mchepukowake kutumiya adress yake akatuma madawa za kulevya akafungwa miaka nafikiri 12 ao 18 alakini Mme wake akuwayi kumuacha sasa wewe ulijitowa alakini akukusiliza ata kidogo basi akukupendaga uyu songa na maisha yako
Mwanaume at umtolee figo elewa tu iyo figo yako ataenda kuitumia na mwanamke mwingine na atakuacha ukilia..Naamini ulijitoa muhanga ili mumeo asifugwe ingawa ulitenda sivyo ni kwa ajili ya upendo kwa mumeo..binafsi siwezi kuweka lean maisha yangu kwa ajili ya mwanaume.. Acha tu nitafte rial lkn kitu ndoa kiniache kwanza.napenda furaha idumu moyoni mwangu ...wengi wao ni mabomu ya machozi..
@@asmahassan5661 sio mwanaume tuu mbona na nyie Wanawake ni wale wale yaani ishu apo ni ku risk maisha yako KWAAJILI ya mpenzi wako haijalishi mke au mume ila huwa ina matokeo Kama hayo inawezekana Kuna mwanaume ali risk maisha yake KWAAJILI ya mwanamke yaka Mpata Kama hayo acheni chuki zenu bana
@@christophergeorge5490 ni mwanaume gani ambaye angeweza kurisk hayo kwa ajili ya mkewe?? Wanaume huwa ni wabinafsi sana,hapo mwanaume angeathirika angeomba msamaha na mambo yaendelee kama zamani na tulivyo na roho za huruma tunakubali. Ila binafsi nisingeweza kufanya alivyofanya radhia(kuliwa jicho) sema ndo hivyo maji yakishamwagika hayazoleki
@@bellahtyson2896 Mbinafsi labda ni huyo mwana ume ulie kutana nae wewe ila wanaume wote hatupo hivyo kumbuka Kama unafuatilia simulizi za da vero utakuwa unakumbuka story ya yule mwanamke ali m shawishi mmewe awe na mahusiano na mzungu ili tuu wapate pesa mwisho wa siku wakaenda USA na walikuwa wanadanganya kwamba ni kaka na dada mwisho wa siku mme wake alikuja kuuwawa huko huko marekani Kama unakumbuka hiyo story ya huyo dada wa kigoma ndo uone some times wanaume tuna risk maisha kisa wanawake
Daaa🙆pole Sanaa Radhia😢hira uyo mzee kwaizo Azabu Anazowapatia Watoto wawanaume wezake Akika roho yake itachomoka Uku Akiwa Anatapatapa kama 🐟katolewa ktk Maji😭😭😭😭
Hata ningekuwa mimi ningemwacha iliniwesalama nisismbukizwe tujifunze kumtegemea mungu ili atushindie kwanjia zahaki kulikokujitetea kwa akilizetuhatuwezi lolote
Ningumu kuipokea hii lakini mume wa Radhi alitakuwa ajipe muda wakufikiria kwanza hajamtendea haki mkewe sidha kama hii hali ingemkuta yeye mke angemkimbia ila yote juu ya yote nikupe pole dada angu usikate endelea kusonga mbele
ivi unazani Bahati Bukuku alipoimba Dunia haina huruma , mlizan anatania n live story km hii ya Rabhia unajitoa muhanga kwa ajili ya wanaume hujazaliwa nae, nashauri MTU ukipata changamoto km hii mkimbilie Mungu pekee angewavusha haijalishi ingechukua Muda mrefu Kia's gani shortcut sio nzuri wapendwa, hapa Dunia nlihisi nmemaliza kusikia kumbe sijamaliza
kwa muonekano, kama Radhia angemuambia mumewe mwanzoni mumewe angelitafakari na angemuomba tuu afanye tindo hilo. Maana mume wake alikuwa ktk hali ya hofu sana. tena Radhia angemuambia niliomba tupime ukimwi angemuambia mbona watu wanaishi na ukimwi wengi tuu. na baada ya kila kitu mume angeanza kumtenga. Huenda nakosea jmni Mungu Unisamehe sie wanadamu hatujui kilicho moyoni mwa mtu lakin Wewe Mungu Mkuu Unayajua ya mwisho hata kabla ya mwanzo
@@magiekinda9685 ata km kubaya uwe na ubinadamu mtu kafany nn kwajil yakoo learn to be Grateful no matter how the situation is uyo mwanaum mwenyew hakua saw ye hakun ata mkew kabadilk kimaumbile mume anapend misada km demu mciiu
Ila huyo kk aliwaumiza Wanawake wengi maana hata ndugu yangu alimuumiza sana MUNGU amuweke mahalipemapeponi kwani alipata sana msongo wamawazo na alifariki ila radhia nimependa wewe umeweza dd na MUNGU akupesubira zaidi MUNGU atakusimamia
Lakini upendo una nguvu kuliko maamuzi yetu, wewe unaweza ukaamua kwa akili zako, lakini upendo ndiyo unaofanya maamuzi ya mwisho. Pole kubwa kwa Radhia.
Daaah yaani hii story imeniumiza sana Mungu amsaidie na kumtia nguvu
Pole sana Radhia lakini yupo Yesu awesaye kuponya magojwa yote kwa imani 2🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Dah,😓 pole dada radhia wanaume c wenzetu kwenye maisha yetu lakn mungu atakulipia👏🏾
Mwanaume kaumia kwasababu ni mwaminifu. Pakiwa na tatizo Mungu ndye msaidizi pekee haimanishi pana tatizo pesa au nn hakuna ndo tufanye machukizo mbele za Mungu. Ladhia kupata matatizo ni pale alipo ona Mungu awezi bali mwanadamu anaweza. Mungu uwondoa mkono wa ulizi kwako
Mungu awatangulie Wanawake wote hakika wanapitia kwenye changamoto sanaaa
Jinsia hii ya kike bado usalama wao ni mdogo kweny hii dunia
Mpende mwanao na kumjali sanaa mpende mkeo na kumfundisha njia za Mungu na Mjali sanaa kwani wanapitia changamoto kwaajili ya sisi wanaume japokuwa watendaji ndo sisi lakini ukibahatika kutembea na mwanamke basi usimtese Mwonee huruma.
Kweli kabisa
Pole sana Radhia..siwezi kukulaum ulifanya hvyo kwa upndo na ulitizama sana familia yko ila ndo hvyo waume sio waelewa...hpo ingekua ni yye anamaradhi naimani wwe ungemsamee na mukafata ushaur wa doctor na ndoa yenu ikaendelea bila wwe kuambukizwa.. it soo sad🇰🇪🇰🇪
Pole sana dada radhia kuna wakati huwa tunakosea katika maisha pia tunajifunza kutokana na makosa tuliyoyafanya usikate tamaa
Kisa cha Dada Radhia kwa kweli ni fundisho si kwa wanawake tu hata kwetu wanaume pia. Kwa kiasi kikubwa ufukara na mapenzi dhidi ya mumewe ndiyo yalichangia Radhia kufikia hapa. Kina dada ni hivi, kama mko kwenye mahusiano msijaribu kucheat waume zenu kwani mwanamme hata mpendane vipi akijua tu ulimcheat ni vigumu sana kuishi tena na wewe. Sisi wanaume ndivyo tulivyo, hatupendi ku share wake zetu na wanaume wengine. It’s sad but ni reality!
Tamaa na huruma shida nazo zinasababisha matatzo yote hayo Mungu atusaidie
Pole sana radhia kwKweli sisi wanawakehuwa ndio tunapata sana matatizoyaani hiyo sehemu angekuwa yy mwanaumwewe hundred umgemsamehe
Tena angesamehe kwa moyo mweupe kabisa
Pole sana rathia yaan imeniuzunisha sana huyo baba Mungu atamuathibu nimejifunza
Labda yangetokea mabaya zaidi ya halo kwa sababu sio mpango wa Mungu. Pole sana dear
Kweli wewe dada inataka ujasri mbona mungu anaona kilakitu mtegemee yeye tubu muombe ukozi wake 😢😢😢pole sana
Duh,pole dada radhia mungu akupe wepesi kwenye moyo wako usamehe na uendelee na maisha yako
Veronica pole na kazi! Dodoma EFM haipatikani kabisa redioni, Kuna tatizo gani maana simulizi hatupati
mwanasaikolojia atakua aunt sadaka
Ziko njia mbili za kutatua tatizo, ipo njia ya kimungu na ipo njia ya kishetani. Njia ya radhia haikuwa njia njema na mwisho wake umekuwa mbaya. Mungu huchelewa kujibu lakin majibu yake huja kwa haki na amani tele. Ila njia za shetani ni fupi na za majuto sana. Kesi kama hizo zipo nyingi na zinatokea sana na watu wengine hufungwa kabisa lakini mwisho wa siku ukweli hujulikana kwa uwezo wa Mungu na haki huja kutendeka. Radhia alikosa subra na hakumtegemea Mungu katika tatizo Lake.
Pole sana bibie. Kweli kuna wakati ubinafsi husaidia sana.
Asante sana Da Vero tunaendelea kujifunza kupitia wewe Mungu akubariki
Asante dada vero aisee radhia kapitia maisha magumu sana INATUPA MAFUNDISHO mc safari apa the BIGGER mc in town
Vero hii report ya leo ya Radhia nimeshindwa kuimalizia nimesikiliza J'3 na J4 tu maana nimepata maumivu makali sana rohoni kiasi cha kuona wanawake ktk hii dunia tuna mahangaiko sana mume wgu ndie alieisikiliza yote na kunisimulia kwa ufupi. Naamini huyo shetani ndie aliepanga mipango yote ya kumuharibia mumewe kazi ili aweze kutimiza uovu alioukusudia na huyo rafiki wa Radhia allpomlazimisha kutoa no ya cm kwa huyo mzee alipo lipa bill supermarket nahisi ni mchongo tu yeye alikuwa anajuana nae kabla alitaka kuwakutanisha kiaina. Mungu aturehemu sisi na dunia nzima na km ni laana huyo baba itamtafuna yeye na kizazi chake maskini uzao wake utateseka kwa ajili ya uovu wake.😭😭😭
Pole Radhia sana. Mungu auponye moyo wako mpendwa
Nimejifunza kitu kiukweli Asanteee kwa simulizi nzuri ila uku mtwara atukupati jmn
Pole sana Dada Mungu akutunze.
Wanaume wengine machoko tyu bora angemuacha akafia gerezani tyu
Daah yaani hiki kisa kinanikumbusha ule wimbo wa Bahati Bukuku dunia haina huruma,yaani bora ungeacha tu mumeo afungwe,pole sana tunajifunza kutokana na makosa
Huyu baba ni mchawi tena sana pesa zake zinamfanya nawaumiza mama zake dada zake watt wake na anaiyua nchi lakini mungu halali
Hongera na pole kwa radhia ila alikuwa mumewe hakumtendea haki ila mungu atamliia dada radhia
Dada Radhia usijiuku saana wewe ulimpenda uyo mume wako kwa Tati ila yeye akukupendaka kwa tati angelikupendaka kwa kweli amekusaame.nakumbuka simulizi nyingine imepita apa mke alifukwa kupitiya mchepukowake kutumiya adress yake akatuma madawa za kulevya akafungwa miaka nafikiri 12 ao 18 alakini Mme wake akuwayi kumuacha sasa wewe ulijitowa alakini akukusiliza ata kidogo basi akukupendaga uyu songa na maisha yako
Omba mungu tu akuponye tu kiroho Radhia
Tunateseka sanaa kwa wale tuliowapenda 😭😭😭😭
Ni kuacha tu michepuko
@@jenipherishengoma1239 😏😏😏😏
😏😏
Hao ndio.wanaumee Unajitoaa sana kwajilii yao na Kwaupendo lakinii.Hawathaminii mwisho wake unakuaa mbayaa Allah Katupaa Mtihani sana Sisi wanawakee😢
Daaah!!simuliz imenitoa machozi nimeumia sn pole sn dada
Mm ndiyo maana sitakagi kufanya huruma yeyote angafungwa tu
😢pole sana radhia mungu akutie nguvu uamke tena
Pole radhia mungu Yu pamoja now
Nikweli ktk maisha km yametokea kubali yametokea solution nikukubali tu
Dhaa simrizi imekua fupi ira inasisimua jamani pore sana Dada radhia 😰😰
pole sana radhia .Mungu akupe faraja..
Dhaa pore sanaa Dada 😰
Dhaa maisha haya pole sana razia 😢
Ndiyo maana watu wanasema usipapatikie madada wa mjini haswa hawa wa bongo movie na fleva sababu wengi wao hawako salama kiafya!
Leo wa kwanz mim jamani asante san veronika nakupend 😘😘😘😘
Mwanaume at umtolee figo elewa tu iyo figo yako ataenda kuitumia na mwanamke mwingine na atakuacha ukilia..Naamini ulijitoa muhanga ili mumeo asifugwe ingawa ulitenda sivyo ni kwa ajili ya upendo kwa mumeo..binafsi siwezi kuweka lean maisha yangu kwa ajili ya mwanaume.. Acha tu nitafte rial lkn kitu ndoa kiniache kwanza.napenda furaha idumu moyoni mwangu ...wengi wao ni mabomu ya machozi..
Kabisa mmy upo nch gn 😅yaan unapat mwanamme matatizo yake yoote anakutulia ww jmn daa Bora niwe single tuu nimechoka kulalamikiw mmi Kila iitwapo leo😢
@@asmahassan5661 sio mwanaume tuu mbona na nyie Wanawake ni wale wale yaani ishu apo ni ku risk maisha yako KWAAJILI ya mpenzi wako haijalishi mke au mume ila huwa ina matokeo Kama hayo inawezekana Kuna mwanaume ali risk maisha yake KWAAJILI ya mwanamke yaka Mpata Kama hayo acheni chuki zenu bana
@@christophergeorge5490 ni mwanaume gani ambaye angeweza kurisk hayo kwa ajili ya mkewe?? Wanaume huwa ni wabinafsi sana,hapo mwanaume angeathirika angeomba msamaha na mambo yaendelee kama zamani na tulivyo na roho za huruma tunakubali. Ila binafsi nisingeweza kufanya alivyofanya radhia(kuliwa jicho) sema ndo hivyo maji yakishamwagika hayazoleki
@@bellahtyson2896 Mbinafsi labda ni huyo mwana ume ulie kutana nae wewe ila wanaume wote hatupo hivyo kumbuka Kama unafuatilia simulizi za da vero utakuwa unakumbuka story ya yule mwanamke ali m shawishi mmewe awe na mahusiano na mzungu ili tuu wapate pesa mwisho wa siku wakaenda USA na walikuwa wanadanganya kwamba ni kaka na dada mwisho wa siku mme wake alikuja kuuwawa huko huko marekani Kama unakumbuka hiyo story ya huyo dada wa kigoma ndo uone some times wanaume tuna risk maisha kisa wanawake
Daaa🙆pole Sanaa Radhia😢hira uyo mzee kwaizo Azabu Anazowapatia Watoto wawanaume wezake Akika roho yake itachomoka Uku Akiwa Anatapatapa kama 🐟katolewa ktk Maji😭😭😭😭
Aiseee😢😢😢😢Mungu tusaidie sisi wanawake
Antvero nakukubalisana kwahua unavyoongea hongera sana
Kweli tukutana na mengi chini ya jua,nimejifinza jambo kubwa sana😭😭😭😭😭
Dah hii story si mchezo radhia kama kakuacha njoo kwangu nitakuoa ivyoivyo ulivyo
Ongea na da Vero Ata kuunganisha nae
Hata ningekuwa mimi ningemwacha iliniwesalama nisismbukizwe tujifunze kumtegemea mungu ili atushindie kwanjia zahaki kulikokujitetea kwa akilizetuhatuwezi lolote
Aisee pole sana radhia nimoja yafunzo pia
Ningumu kuipokea hii lakini mume wa Radhi alitakuwa ajipe muda wakufikiria kwanza hajamtendea haki mkewe sidha kama hii hali ingemkuta yeye mke angemkimbia ila yote juu ya yote nikupe pole dada angu usikate endelea kusonga mbele
Asante sana nimejifunza sana
Duuuu kuanzia leo nieli niwe mkweli lakin isia za upendo na huruma zisije nikafanya maamuz mabay
Waa simulizi kama ya Fatma inasikitisha sana tuned 🇰🇪
ivi unazani Bahati Bukuku alipoimba Dunia haina huruma , mlizan anatania n live story km hii ya Rabhia unajitoa muhanga kwa ajili ya wanaume hujazaliwa nae, nashauri MTU ukipata changamoto km hii mkimbilie Mungu pekee angewavusha haijalishi ingechukua Muda mrefu Kia's gani shortcut sio nzuri wapendwa, hapa Dunia nlihisi nmemaliza kusikia kumbe sijamaliza
@@dafrosamsonge2007 Hakukosea kabisa yaani alijua tu huyo ni mke wa mtu but akaamua kuua familia ya mtu
Jamani Radhia mungu akutie nguvu jamani😭😭
Maskin radhia pole Sana... Nae mume wako co mwelewa angekusamehe tu
kwa muonekano, kama Radhia angemuambia mumewe mwanzoni mumewe angelitafakari na angemuomba tuu afanye tindo hilo. Maana mume wake alikuwa ktk hali ya hofu sana. tena Radhia angemuambia niliomba tupime ukimwi angemuambia mbona watu wanaishi na ukimwi wengi tuu. na baada ya kila kitu mume angeanza kumtenga. Huenda nakosea jmni Mungu Unisamehe sie wanadamu hatujui kilicho moyoni mwa mtu lakin Wewe Mungu Mkuu Unayajua ya mwisho hata kabla ya mwanzo
Usipende kutetea makosa ndugu yangu radhia ukiacha huruma za mumewe na tamaa pia aliweka mbele
Nimelia kama mtoto, mapenzi Kwa mumewake yamemponza
Pole sana Radhia
Huyu mwanaume sio muungwana kabisa 😭😭😭
Ndio simgwana na akumpendaka Radhia kwa ukweli
Pole sana nimejifunza kitu
Pole sana.
Maskini radhia,pole sanaa 😭😭😭
Chanzo ni yeye mmeo Kila kitu ufanye wewe pole tadhia wanaume sio wezetu hawana moyo mwambie ukweli ili na yeye awe na kidonda moyoni
Pole inaumiza lkn Mumeo Kwel
Hana Moyo
ungemuachaa t akanyeee debu uko amenikwza sana Hana Utu uyo mume 😢😢😢pole
Sana
Alijakukuta ndo maana unaongea. Kusalitiwa nikubaya sana
@@magiekinda9685 ata km kubaya uwe na ubinadamu mtu kafany nn kwajil yakoo learn to be Grateful no matter how the situation is uyo mwanaum mwenyew hakua saw ye hakun ata mkew kabadilk kimaumbile mume anapend misada km demu mciiu
Nikuambie kitu matatizo ayatatuliwi kwa kufanya ngono. Mungu pekee ndo msaidizi wa mwanadamu
Angalia sasa uyo Baba anamuona mjinga kwa sasa
Kamlala kinyume na maumbile ilo nalo sawa
Pole sana
Duuuu pole radhia
Kitu cha kujifunza: Kitu kinacho hatarisha afya, utu na uhuru wako usikubali
Polesana radhia
Ubinadamu kazi
Nimejifunza kuwa hata Kama mwanaume unampenda kias gan usitoe utu wako
Mwanaume sio ndugu yako bora angeenda jela kwa mimi sifanyi ujinga huo
Jamani inasikitisha kwakweli nimepata funzo kwakupitia ww Radhia
Inasikitisha sana
Kweli wema uczd uwezo
Daa pole San dada radhiya mi naomba dada vero unipatiye namba za radhiya mi Niko pemba
Du
Dunia haina huruma by bahati bukuki 😢😢
Pole sana Radhia 😪
Pole sana jamanii
Ila huyo kk aliwaumiza Wanawake wengi maana hata ndugu yangu alimuumiza sana MUNGU amuweke mahalipemapeponi kwani alipata sana msongo wamawazo na alifariki ila radhia nimependa wewe umeweza dd na MUNGU akupesubira zaidi MUNGU atakusimamia
😢
Mmh kwaiyo uyo baba anafanya kusudii😢
Kwani unamjua huyo mbaba?
Tusaidie tumjue inabidi tumuweke wazi ili asiwaumize wengine!
@@christinaabelmwaipungu-5727 alishakufa
🤔 Aisee
Vero mwambie Radhia atutajie jina la huyo mwanamme tumtafute mitaani tumuue!
Kabisa
Ni yule kligogo wa bank kuu, nafahamu mpakla jina lake ila siwezi kutaja humu, hata hivyo alishakufa kama kumbukumbu zangu ziko sahihi.
dah yaani umekasirika kweli kaka yangu. pole mno jmni
Story hii inatufundisha fanya tivu kwaajili yako si kwa watu wengine
Lakini upendo una nguvu kuliko maamuzi yetu, wewe unaweza ukaamua kwa akili zako, lakini upendo ndiyo unaofanya maamuzi ya mwisho. Pole kubwa kwa Radhia.
Dada vero mtwara huku hatukuoati
Nimrjigumza san san
Evero huyu baba atakua ni yule Alie mdanganya yule muhudumu wa hoteli mbona tabia zinafanana
Duh,
AFADHALI MNA POST HUKU NILI SAHAU KUSIKILIZA SAA 1
😂😂😂
Dah life is tough😢😢😢😢😢😢
Huku kuna malipo au imerudi kama zamani
Nataman hata nimwine rathia😭
Kosa kubwa ni kufumuliwa marinda
Leo wa Mwanzo!😂
Sawa sweetheart
@@menahallie5301 😍 👍🏻
Duh
Jmn😭😭😭
OMG😢😢😢😢😢
ATAKAE MAKAA YA MGOMBA HAPATI KITU ILA JIVU TUPU
😢
😭😭😭
Asee
Ungemuacha afungwe kuliko kujiharibu
Pole Sana ndugu binadam tumeumwa kusahau omba toba kwa Allah akusamehe na maisha yako yatasimama kwa uwezo wake
Pole sana Radhia