NIKUSHUKURUJE MUNGU WANGU // G. Mtemele // KWAYA YA FAMILIA TAKATIFU //UDOM
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- Habari Mpendwa *Karibu utazame na usikilize wimbo huu
▫️Wimbo: *NIKUSHUKURUJE MUNGU WANGU
▫️Mtunzi: Germanus Mtemele
▫️Waimbaji: KWAYA YA FAMILIA TAKATIFU
Directed by Rodriado
PAROKIA YA MT. FRANSISCO XAVERY (UDOM)
JIMBOKUU KATOLIKI DODOMA
▫️ Audio & Video Blessing Studio Pro
Mawasiliano: 0655 601513 / 0759 601 513
Subscribe Share like Comment katika channel hii.
#kwayakatoliki #youtubeshorts #youtube #song
Mmeupiga mwingii yaani wimbo ni 🔥🔥🔥kazi yangu kushare na wengine waenjoy piaah hongereni sana #dev kimarioo my senior 🙏🙏
Hongereni sanaa
Barikiweni sana 🙏🏿😊 nyimbo nzuri namuona ndugu yangu MOKOENA😁
Mungu azidi kuibariki kazi ya utume wenu katika kumsifu na kumwimbia yeye.
FAMILIA TAKATIFU.......... 🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri Mungu awatunze
Mungu bariki kwaya ya familia takatifu udom
Congratulations organist dev, toronta, paul wasonga
Bwana awabariki sana mzidi mno katika huduma hiyo nzuri 🙏🙏
🎉🎉🎉🎉good job
Hongereni Sana Waimbaji ni Vyema KUMSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO ❤❤❤
Hongereni wapendwa 🎉 kazi nzuri 🤗🥰
Hongereni vijana kazi nzuri saana
Namna gan Nikolaus baleee namuona bases,any way hongereni Sana Kwa KAZI nzuri
Mungu awabariki Sana mzidi kutoa KAZI nzuri zaidi ya hapo,
Na ikawe MWENDELEZO hata pale mtakapohitimu chuo ,💯🌷🌷🌷🌷🌷🌷
Mungu ni mwema
Kazi nzr mungu awabariki
good job wapendwa barikiwa sana
Amina sana 🙏
Congratulations!🎉 nafarijika sana! Congole kwenu wanakwaya! I love you all
Usiangalie udhaifu wangu..mimi mwanao nakupenda sana Bwana….
A very nice song na mbarikiwe sana
BWANA na awabariki🙏,
awatie nguvu katika uinjilishaji Kwa njia ya nyimbo👏👏
KAZI NZURI FAMILIA 🎉🎉👏👏
Amina kubwaaa🙏🏿🙏🏿 vamos Udom
Asee mbona nilikua sijaona, hii kitu hongereni sana🎉🔥🔥🔥 Mungu awaongoze na kuendelea na utume🙏
Tunamshukuru aliye tuwezesha na kumuomba azidi kutukirimia zaidi ❤
UDOM iitikeee jamnii... Tusambazeee link.. link itembeeee
Your dressing style is awasome! Beautiful
Mungu azidi kuwafanya mumsifu yeye kwa njia ya uimbaji siku zote🎉😇🥰🙏
sweet melodie waimbaji kiukwel nimebarikiwa na uimbaji wenu🎉❤
Asanteni sana na hongereni mnooooo mbarikiwe mpaka mshangae❤❤
Tumwimbie Bwana... Wimbo mzuri, unatafakarisha. Hongereni sawa wanakwaya
Safi saña organist, mr Ntakandi kazi nzuri
Nice ❤❤❤
Proud Catholics....
Safiiiii sana wakuu Meutendea haki sana hii kaziiii safiiii sana
Hakika ni wimbo mzurii wa kumshukuru MUNGU.. hongeraa organist🎉🎉..
Tumshukuru Mungu kwaajiri yakeee ndugu zetuu St. Bernadetha
Kazi nzuri sana. Mubarikiwe katika utume wenu.
Amina
Nikushuruje Bwana wangu… mimi myonge na mdhaifu…… Daah🥹🥹🥹
WanaFamilia Takatifu God bless you! Yaani my love for this song ❤ i have looked for it since 2019 nilikua na audio ukapotea….good job done here Hongereni sana kwa uinjilishaji nzuri. Mungu awatunze na kuwalinda.
❤❤❤❤❤❤❤mnavoringa 😂😂 Hadi naona wivu mmetisha Sana. Apo kwa mpiga kinanda ni balaaaa 😂 Kuna nyingine au hii hii tu
Kuna nyngne ipo njiani, na zingne pia
@@NicholausFrancis-l4h unyama sana
🔥🔥🔥
Wimbo nimeupenda mnooo....nausikiliza kila maraaa ...unagusa moyoo
Mmependeza sanaa Mungu ni mwema👏👏🥰🥰
Hongeraa sana ,,kwani mimi ni mnyonge moyo wangu mdhaifu sistahili kusogolea malangoni kwako🎉❤
Kazi nzuri Mungu awe nanyi
Amen amen 🙏 🙏
wimbo mzuri hongeren!!
Hakika mmetishaaa❤
Ila nichoooo🎉🎉🎉❤❤ una hatriiii
kijana anatishaaa
Hongera. Sana. Mtunzi. Wa. Wimbo. Huu. Pia. Waimmbaji wako. Vizuri. Sana. Naomba. Note. Ya. Wimbo. Huu
SJF FOREVER 🎉❤
kuna nyimbo ukisikiliza unasafirinazo kwa hisia. mmeimba kwa utulivu na wimbo unavutia hisia za kiibada na upondefu wa moyo. hongereni na mungu awatunze
Hongereni familia takatifu🙏
Hakika familia mmewaka na ujumbe ni mzr sana
Kazi nzuri sana😋❤️
Kaija weeeeeereee kumbe unajua kucheza step mbele ya camera.
😂umeanza 😂
Kazii nzuriii🔥🔥👍
Mastika sijakuona au urikua unacrea😂🎉te
Hakika ninebarikiwa sanaa❤🔥🔥🔥
Kazi nzuri
Hongera asa sanaaaa familia takatifu Mungu azidi kuwatia moyo na kuwaongoza kwa kila jambo❤❤❤❤❤
🫡
Namuona kijana wangu Englibert ❤❤❤😂 hongereni sana
Nice song
UBHUNYAMA NI BWINSHI HENE GA! as translated to UNYAMA NIMWINGI KWAKWELI 🔥 🔥 🔥 🔥
Oky, 🙌
I like this song
Nice job🎉
Toronta the master uinuliwe sana mkuu
Stephanooo, elika, nyomo, Veronica, Joseph, n.k
Nimeona jina langu kaka Ivoo
Bravoo💪
Waoo!! Wimbo mzuri saana wanafamilia
good job familia, congratulations 🎉💯
Waoooh hongereni sanaa namuona wizo wangu Nyomo hongeraaa sana
Nice work vijana❤
Abudantly ❤blesses to you @ll🎉
Hongera Sana kwa utume.
Jaman niraha katika bwana
Congratulations 👏 Holy family ❤
❤❤
Hongera sana mmeupga mwingi
Maestro 🙌🙌🙌🙌
🎉🎉🎉🎉
Nice🎉❤
Ewaaaaaah familia takatifuuu 🎉🎉🎉🎉🎉
Safi🎉
Hongereni sana familia takatifu
Best ever song
@@MathiasMnyashi Amina mtumishi wa mungu🙏
Hongereni sana.🔥🔥🔥
Wimbo mzuri jamani hongereni,,,
@@GeorgeMarko-y2r ahsante Ubarikiwe
Mungu awabariki
Wimbo ni mzr na ujumbe wake ni mzr San na unasaidia San kiufupi familia hongeren
Ongera sana familia
🎉 very nice
nice song
🎉🎉mtengwee
🎉🎉Kaz nzuriiiii familia🥰🥰
Nice
Nimebarikiwaaaa na wimbo huuuu kw kweliii Be blessed family🎉🎉🎉🎉
Hongera familia namuona Rachel apo
Nitawezwje bwan kusimama
MUNGU mwema
Na sauti ya pili mmeutendea haki......na mwanangu ametoka kunambia anaupenda sana
Na sauti ya pili mmeutendea haki......na mwanangu ametoka kunambia anaupenda sana 1
Mkuu toronta 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🙌🙌🙌🙌 mkuu dogita changura
❤