ALIKIBA atamani CHRIS BROWN acheze wimbo wake mpya,amwagia sifa DIAMOND kwenye KOMASAVA,tazama hapa.
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Please subscribe now on our UA-cam channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz
Kam umemuelew Alikiba like apa*"
Nilikuwa sikupendi kiba kwa kuwa na kiburi ila leo nimefrahi kuona umeongeya vizuri nimefrahi piya hongera nawewe nakuombeya piya upande juu kimataifa
Ata yeye ataki hata kukujua 😂🤣
Time for this Ali K and Mondi to do a collabo.
MUNGU ALIYEUIMBA KILA KITU ASANTE SANA NAPENDA KUONA HAWA JAMAA WANASAPOTIANA HATA
WASIPOIMBA NYIMBO PAMOJA.
True love 🔥
Alikiba huh ndio ukomavu sassa sio wivu wa kimakonde
Safi Sana Alikiba wewe ni kaka wa Diamond ❤❤❤❤❤❤❤
Sawa king
Really bro
anajikosha tu uyo🙏
Kweli Ali kiba
Wwe alikiba kweli mkubwa c hamo na raivany choyo kime wajaa
Achen ujinga ninyi peleken Muzik mbele hamuon Nigeria km wanasapotiana
Basiii kama king kesha sema nyie akina nyadundo kwishaaaa
Wimbo mpya wa alikiba mmh 😅😅😅 afadhali Ngoma mpya ya mboso ft jaivah , Wasanii Tumuheshimu Daimond plutnum.
Kamushimu babako ndio amekuleta duniani
Kwa mara ya kwanz kiba kuunyosha moyo wake kumpa maua yake diamond platnumz huo ndo ukubwa nadhan Kaz zinaongea sada
Yeees!!kudos Kiba
Eeee!!!!!mchiz amekua bana
Maturity detected
Na bado hajasemaaaaa huyo ndy Diamond Platnumz yaaan n kama maji 💦 💧 🚿 tu usipomnywa utamuoga na usipomuoga utamuoshea vyombo😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwacheni yule mjomba Nchumari abaki vilevile na chuki zake.Kwanza hawezi fika kimataifa hata siku moja,Mjomba nchumari hana vigezo vya kimataifa ataendelea kujidanganya tu.Yeye aendelea kupiga porojo hapahapa Tanzania.
Umefeli ndio kazi yako hiiyo ila kusapoti
Biashara hyooo amejuwa asipozungumzia Diamond hamta enda crown media kuangaliya
Kiba unani furaisha sana
Kibaaaaaaaa,nakukubar mi shabk wa mond ,kwahil umeuwa kabisaaa uko sawa,,siyo Kama wamakonde,,
Sasa apa mjomba mchumali ataweka wape sura yake? na pia naona kwa mbali ya kwamba game inakuja upua kabisa watoto wajiandae mana awa wawili wa kiungana sion pakukajaga watoto
Ghafla nimejipata nikimpenda Kiba
Na bado hajasemaaaaa huyo ndy Diamond Platnumz yaaan n kama maji 💦 💧 🚿 tu usipomnywa utamuoga na usipomuoga utamuoshea vyombo😂😂😂😂😂😂😂😂