Hakuna wachezaji Zambia uozo mtupu"" sasa uyo mulenga na ally Salim Bora nani? huwezi kupata mchezaji wa kuchukua kombe la caf Zambia, timu zao zenyewe tu tia maji tia maji hata makundi hazifiki.
Tatizo la Magori anasajili bila kujua mchezaji atacheza nafasi gani. Kuna kipindi alitusajilia wachezaji wanne kwenye nafasi moja. Hao walikuwa ni Sackho, Banda, Nyoni, Morrison, Miquisson wotevni mawinga. Sasahivi tunaskia anakuja Panzuu, Pokuu, yupo Aubin Cramo sasa wakimleta tena Mtale mawinga watakuwa wengi sana wakati shida ya Simba ni Kiungo Mkabaji, Striker na Mabeki wawili. Hao hatusikii wakizungumziwa. Wanataka aje Mundele wakati tungependa aje Mabululu.
Modern football inataka sana mawinga na viungo washambuliaji wawe wengi kwakuwa mpira unatakiwa kuchezwa sana katikati na mbele. Hivyo si vibaya kuwa nao hao.😊
Magori ni mtu wa mpira haswa ndugu yangu vyema kuchukua tahadhari na kufanya utafiti kidogo kablaa haujamkosoa japo mpira ni mchezo wa maoni na kila mtu yuko huru kuyatoa yake
Simba haina shida ya kipa kuweni makini mtapoteza pesa leteni kiungo mkabaji na striker wa maana na beki wa kati
Sitaki kuona ujinga wakusajili
Zambia hakuna wachezaji Bora tusajiri ndani humuhum acheni usenge
Hakuna wachezaji Zambia uozo mtupu"" sasa uyo mulenga na ally Salim Bora nani? huwezi kupata mchezaji wa kuchukua kombe la caf Zambia, timu zao zenyewe tu tia maji tia maji hata makundi hazifiki.
Tatizo la Magori anasajili bila kujua mchezaji atacheza nafasi gani. Kuna kipindi alitusajilia wachezaji wanne kwenye nafasi moja. Hao walikuwa ni Sackho, Banda, Nyoni, Morrison, Miquisson wotevni mawinga. Sasahivi tunaskia anakuja Panzuu, Pokuu, yupo Aubin Cramo sasa wakimleta tena Mtale mawinga watakuwa wengi sana wakati shida ya Simba ni Kiungo Mkabaji, Striker na Mabeki wawili. Hao hatusikii wakizungumziwa. Wanataka aje Mundele wakati tungependa aje Mabululu.
Modern football inataka sana mawinga na viungo washambuliaji wawe wengi kwakuwa mpira unatakiwa kuchezwa sana katikati na mbele. Hivyo si vibaya kuwa nao hao.😊
Magori ni mtu wa mpira haswa ndugu yangu vyema kuchukua tahadhari na kufanya utafiti kidogo kablaa haujamkosoa japo mpira ni mchezo wa maoni na kila mtu yuko huru kuyatoa yake
HERSI KAWAPA SOMO SANA MIKIA NAMNA YA KUSAJILI....
Nyan fc, yeboyebofc chura fc
Ata Jobe aliitwa mashine ila mwishowake akaitwa mwanariadha mara jobless dah..