Raila aingia serikalini kwa mlango wa nyuma
Вставка
- Опубліковано 15 жов 2024
- Kinara wa Azimio Raila Odinga amekashifiwa kwa kuiteka ajenda ya vijana wa Gen Z kutaka mabadiliko katika serikali na badala yake kuwafaidi wakuruba wake wa kisiasa haswaa kutoka chama cha ODM.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
It's now officially that Kenya does not have opposition.
Not official kalonzo karua and the likes of Babu owino
Kioni 😂
@@stevenkimani4976 yeah wote
Gene z wako
UHURU
Trust Raila at your own peril 😂😂😂😂😂😂Azimio isha azimia😅😅😅😅
Uyo sibaba tena uyo niraila tumbo😂😂
Whenever people die due to demonstrations Raila ends up benefiting
And victim loose. Raila ni watermelon
He was not the one killing people he probably doesn't even own a gun
Kenya has one blessing. Never ending fools!!!😊😊😊😊😊
Very easy to fool and put to whatever use. Ruto told them about dynasties and they fought his way into office. 23 months later, Raila tells them Ruto is a thief and they fought him. In a matter of weeks, Raila feels it is now fine to steal with Ruto and Kenyans think so too. Very few Kenyans think for themselves. Most are thought for. Ruto has overcome Raila. 2027 Ruto will win easily without Raila. Right now, Kalonzo is in the cold with his ka voice!!! Hehehe.
@@erickjuma7643he thrives on people like you who never know how he is responsible for almost all political deaths in Kenya. He incites them to the street making them believe there is some national interest at stake only to leverage their sacrifices to his personal benefit. Imagine how many people had to die for Joho and Mbadi to be cabinet secretaries yet you even indulge him on such funerals of your children killed during his demos to give speeches. I don't know what you have eaten that stops you from noticing when being lied to. You easily believe that once Raila accuses another person of lying, he can't be lying. Very unfortunate my people. You can never see lost family members for the rest of your lifetimes but Raila continues to hustle life on.
Tulia Raila aki iitisha maandamano Ina kuaaga kila mahali si town pekee hii ili Kua Gen Z
Raila has defiled his legacy by feasting with oppressors.
Very true,he should now take his betrayal back home with him as he retires unfaithful
What legacy... He has been doing this since 1997 with Moi.
@@TimelyInspiration-qp7yi amekuwa chui ndani ya ngozi ya kondoo, very hypocrites leaders
Raila has no problem,mbona mnasema Raila amewasaliti vijana, kwani yeye alikuwa kiongozi wa genzii?.
2027 it will be young generations vs old generations and we must win by force ama kuwake
hatutaki leaderless 2027
@@hazeljelimo5995 Na mko Na leaders Na hawasaidii
@@hazeljelimo5995mbona nyinyi old folks mkona leaders na hawasaidii same of you are the reason we're having the mess in the country
Nilidhani GenZombie walitaka Ruto aondoke ofisini leo.Kwani wamebadilisha?Hata hivyo hiyo ndiyo katiba.2027Maulana akiridhia wapige kura
Ruto amewagonga Genzombie teke la chini ya mshipi
Byee byee Raila
Yes raila go go go akwende kabisa
Raila msaliti,mkubwa
Ni wale wale wakukula pesa ya wa kenya
Genzs you must fight hard
Fighting is not the only solution vijanaa watokee kwenye meza
Do they have any more fight left in them? Because this is demoralizing af! People died for kina Joho to become ministers. Sad!
Maandamano is long dead let's vote all these people out in 2027.
Baba wetu ..Kisumu is proud,,lazima tushare iyo keki
This a Trap and ODM will Regret this action
They are finished.......
Tumezoea
Raila hakuwasaliti vijana bali vijana ndio waliyomsaliti yeye. Wakati wa kura hawampigii kura. Bali wanamtupiliya mbali. Mara ngapi Raila amesimamiya urais na hakuna aliye mkubali. Mara tano kwa hakika. Sasa kila mmoja anamtusi na kumwambia ni msaliti. Simlaumu Raila kwa alivo fanya. Raila is doing what is best for Raila. Kwisha.
Raila has turned into a Traitor and conman. Used to be his supporter and very disappointed. Bure kabisa
Ni msaliti
I stopped supporting him in 2017.. I did not vote for him nor ruto
My support has equally stopped. Now understand why they call him conman!
Baba is always right❤
Sorry. You have taken so long to know you were being used. First, there can't be anything like 100% employment rates anywhere in the world. Why were believing such a thing and chanting revolutionary songs as if it was possible with him in government? Let's wait and see if youths will be employed fully because Raila and team are in cabinet now. Most of the noise you heard was just to find some people's ways into government to survive unemployment. The rest of you endeni nyumbani and mourn family members sacrificed by Raila to get cabinet slots. Whichever kind of human that is i may take a lifetime to figure out who deliberately incites youths to the street by way of lies well knowing they will provoke death but still goes ahead to do so to survive. How gullible are Kenyan youths to fall into such a trap over and over!!! When will you learn. Secondly, shouldn't he resign now that he has shared cabinet with ODM? Raila should be ashamed of himself at least for once!!! The rest of you just carrying your heads without using them to think, go home and count your losses. McOure with his noise, go home and seath in disappointment. You were just being used. I hope you get a pay check on the sidelines, otherwise that's the destination you were being taken to.
Hatuitaji Opposition 😂😂😂 Gen Z Is The Opposition
RAILA is being Raila.........watching from UNITED STATES😂😂😂😂😂😂
Raila Mungu anakuona. Huoni aibuuuuuuuu. Migunamiguna was right.
Exactly! What’s new? He’s just being himself. A political opportunist, broker and conman. No sky-rocket science needed here.
watermelon🤣🤣
fruits of maadamano sasa wako wapi gen z 😢zakayo badala ya kushuka ameamua kusongea aizimio waketi pamoja juu ya mnazi😂😂😂
😂😂 amewakamatia chini... I've been telling these young people who say they are ready to die that they don't know which country they are dying for. Some people have such deep interests hawawezi itikia mambo ibadilike
Raila is a big opportunist
Raila ametapeli vijana
Very clever from Ruto now (Raila) he is finished WHEN TRUST DIES EVERYTHING ENDS
Mtu yeyote anayetetea politicians hapa ni mjinga! Mbona nyinyi hamkupewa hizo viti na uko hapa kutetea a politician? Waizi! Fikirieni sana!
tutapatana ground💪💪💪
Kenya Ina siasa za tumbo mbele,kipindi hiki watu wanauawa ndicho kipindi kizuri kwao kuungana na serikali,Raila Bure kabisa!
Raila akisimama not a solution,Raila akiandamana anaharibu mali Akingia serekali ni ubinafsi😂😂
Afadhali ubinafsi aisee 😅
Aki surely some are just selfish,they don't want to see baba smiling in this country. Cudos mzee
Imagine this scenerio when all things are quite & working again for Ruto he kicks the odm cs out😂
Raila ni msaliti ! And he will never even help his own people because he only thinks about his own tumbo !
Kijana mlikuwa mnataka ni Nani?
Too sad! I support Demo Kesho!
Enda peke yako bwano
si uende kwani unatisha nani
Demos all day anyday
@@wicklifeotieno9937me naenda na yeye
@@hazeljelimo5995tunaenda kwani wee ni nani...mafeeee
Great Wisdom at Baba...
😢😢😢 woiye gachagua,pole I feel for you
mitego zake zimemutega
@@labantheuri9573 saa zingine NI vizuri,kunyamaza ,kuongea Sana maadui upata njia ya kukumaliza ,ndio yamemkuta gachagua,
Since Gen zs are officially opposition it's high time iwe ni chama so that comes next elections we put young and new faces in the parliament.
Opposition w'out MPs.Govt is opposed in Parliament,,not in the streets making noise,carrying stones&placards.
@@francisolugagenz never carried stones those were babas goons
Raila na Ruto wote ni O.D.M,na tunawapenda Sana sababu ni viongozi wetu Kenya inawapenda
Politics is like marriage or relationship..hakuna ya makasiiriko.
Yuda msaliti 😂
John mbadi fedha😮Ohh my have Mercy
Fedha....😢mayo mayo we are doomed
Congratulations to raila Odinga and his party..and president ruto. Working together for broad interest of your nation is the right thing to do
Great Job @DR.WSR
Kenya is bigger than individuals
Raila pia must go
No one has told stopped gen z from demonstrating. Raila has made his move. Sisi hapa tuko sawa
Raila aende nyumbani comes 2027 he will know matumbo ni nyama,my loyalty to odm and raila is gone forever 😢😢
Very sad indeed..,
This is end of ODM raila will regrets about this move😢
Wewe uko kwa ODM
That is you alone, stop speaking for us.
@@johnsonowiti5125 that is my opinion na sijataja jina yako
Itakuwa ya luo peke Yao na mzee broker WA siasa
@@ojojosaosa6581 yes
We knew this, Kenyan no need of hatred,this leaders are always together
Classic Raila!
We will support babu owino from today. The rest watch the space as you retire with baba.
who cares😅😅😅
You and who
Ako the same
Pole wale Genz walikufa mabwenyenye hao tu
Those were fools. Instead of working hard to get somewhere, they fell for easy promises that their situations would change overnight once Ruto resigned. Shenzi kabisa. Young empty brains.
Na niliwa wuon 😂
Nilionea baba 18
Things are getting interesting. I'm still ot giving up on Baba. Let me see what lays ahead.
RAO is and has been a threat to opposition and democracy in Kenya for decades. He only cares about himself. He doesn’t care about the youth and what they are fighting for. Every day is a new day for him and would go what pleases him and not others . He let down his co-principals.
Mkora ,msaliti na hvo ndio ameenda nyumbani hata AU hapati
Kwani munampeleka nyumbani kila siku 😂😂
Mbona kila siku mnampereka nyumbani lkn Bado TU anawazidi akili
AU ni Kura ya presidents hakuna ya Gen Zs 😂😂😂
I regret voting for Ruto
The greatest conman in history
Any Chess player will understand what Ruto has done..lisha mbuzi anone kisha mkule..if you know you know..look at the dockets azimio wamepewa..CHECKMATE..The end of an era of AZIMIO
Till then we're tulia we will talk when that time reaches. For now we are good and that's what matters
@@erickjuma7643 look at the posts azimio wamepewa...Ruto amejiondolea lawama amerushia azimio...azimio wamepewa trade and investment na ministry of finance🤣🤣walikuwa wanalia ooh uchumi uchumi uchumi..sasa ruto amewapea waendeshe ...very soon utaona na sijui ODM itakuja kuambia wananchi nini..coz trust me ruto ameharibu uchumi now azimio has to fix it🤣🤣🤣Ruto has set up azimio greedy leaders for failure,na matugege zao wako hapo wanasherehekea..SAVE THIS POST and come back review it after two to three months and tell me how it goes..AZIMIO IS OFFICIALLY DEAD..Mnadhani Ruto ni Uhuru akupee tu cha bwerere..hujafanyia kazi kitu akupee tu rahisi rahisi..wajinga nyinyi🤣🤣hamjajua Ruto bado...mtaelewa kwanini KIONI alisema Ruto is an animal..you play around he destroys you completely
@@erickjuma7643 good about what..shame on you..kama sio gen z saa hii mngekuwa mnalipa punitive taxes..Raila and his conmen ulisikia wakionga anything kuhusu finance bill???short sighted fools who celebrate when they are being robbed...alafu a few months from now mwanze kulia tena life imekuwa ngumu..YOU SHOULD BE ASHAMED OF YOURSELF
@@MouseleyMarshals-fm5vr no am not ashamed of my self. You are just angry, that's something 4u to deal with
Both parties can lisha the other na machine akinona so let's wait,only zikinona zote wakuchina atatoka nje,anunue mbuzi wa kuchija ama achinjwe na mbuzi,with Kenya u can't be sure what they really want!!!
Raila sasa yeye kwisha kisiasa niwakati wa babu owino
Kweli siasa ni mchezo mchafu sana Laila alikua akisema hataki umalaya wa kisiasa sasa kikowapi jamani
Politics without principles…my legacy about Raila is forever changed…Even harder to ever call him ‘baba.’
Where is Gachagua the statehouse Watchman 😂😂
😂😂😂
Ruto beat ICC, beat the deep state and has appointed ODM cadres. Be careful while chest thumping. You may regret Gachagua having opened the gate for you!! Don't think Ruto is as foolish as he acts.
Now we don't need opposition. Baba is happy
No wonder he will never be the president!!😢😢
Then why complain akiingia kwa gava kaskie vibaya na ukoooo😂
Hata wakikuyu nyinyi hamukumpigia kura.
@@francisoluga So??🤔
@@NgangaJeremiah Stop crusifing him if he decides to work with the government.. anybody can take the role of opposition sio lazima Raila..he was never an option to Kikuyus but he's an option to Ruto who was your option .
😂😂 He Knows that and Thats why He wants to Eat Now
Kenyas opposition is squarely in the hands of Genz
Hii mambo yaku ingia Ki nyume, Raila ame fundishwa na JOHO!
Ruto alisulubiwa mwaka 2007 kwa niaba ya Raila,na hivyo Ni Sawa Raila kuunga Ruto analyze muhula wake.
Same hand different shake..
politics ni mind games to the end of time😂
Raila si mtu mzuri
Baba is always right!
What did the youth expect from Raila😮
Nimeweka mitego 😂😂
Waaaaaaah hakuwaka mlango wa nyuma😂😂😂😂😂😅😅😅
Sasa tutafanyaje jamani? Tunaelelekea wapi kweli?
Mzee akwende bwana retire
He will not if u think so
😅😅😅😅😅😅😅
He is going for AU 😂😂 MTA lia sana
@@alibex3410 Aende mahali anaenda hatutaki Huyo mganga Kenya tena aende aroge adisababa
Obasanjo destroyed everything
Raila alikuwa kwa ballot paper hao vijana ndoo waliamua kupeleka BABA bondo sasa wanadai Raila awasaidie kungoa Ruto state house 😂😂😂😂😂 achani Baba akule
2027 our party will be registered as genZ party mtaenda nyinyi wote ✊✊🇰🇪🇰🇪
Raila chooses to end his political career on a completely low note. history will judge him harshly especially the youthful people.
Na akianguka AU ataambia nin watu ama ataenda maandamano akisema watu wafungue servor ya AU alfu tena pap apewe nusu mkate😅😂 enyewe no permanent enemies in politics nyani ni wale wale msitu tofauti
Why is ruto taking us for fools...I thought Cs was not for politicians but for qualified persons
..
Mjue wazi kuwa no enemies in politics all this politicians hula meza moja usidaganyike tena. 2027 reshuffle
Tuliimba baba ikulu kumbe mzee ni conman 😂😂😂
Maandamano kwa Gen-Z, vyeo kwa wazee wa ODM.
We need our country back on the track , the move baba has made is solid one😊 I'm proud of this amendment from IEBC to other dockets it's true chanting and cold blood killing should end , I stand to support baba, kalonzo should retreat too we need resolution not destruction , wenye mntaka kupigana Kwa streets endeleni what I know most of Kenyans gen z are tired of seeing there brothers dying , we have been given a voice power to reject bad leadership and corruption spotting what else do we want , compensation to families that have lost there loved ones , SI tupone tusonge mbele pamoja
I strongly believe opposition's delegation is not leading country onto massive killings😊 but keeping the government on check .
Kwani hamkujua raila na ruto niwapi na wapi sungura na fisi wapi nduru😂😂😂
Ooyeeeeeee!!
Raila is perfect Ruto apewe nafasi analyze kazi yake
Where is gachagua who said all day that they don't want raila around them????
Mungu ni nani, baba go go
What position has he been given
Baba umeniangusha...for the first time I reject you....your direction is not my direction henceforth
Raila Toka nizaliwe Toka Niko mtotoo adi kufikia sasaa nilikua nakupnda Sanaa ila Leo umeni💔😭😭
Raila fala sana
NTV insightment
Mimi nitapiga nduru watu😢😢😢
Acheni jeshi la baba pia wakule bata wamekalia lami sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Gen Z is demanding Alicia Kanini be appointed to the Ministry of Culture and Film Industry.. lol.. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
The former pentagon is metamorphosising
Msaliti mkuu,the real watermelon n Zakayo himself
ona mvumilivu hula mbivu I Mean Joho ametulia tu akila sheshe na ku enjoy hakusema ata kitu ..sasa ameingia kwa serikali bila kizuwizi hii kenya tembea uone mambo
😂 aisee... Very interesting
We need to change how we elect this people we need new politicians
Hiyo ni nini
Kimeumana Mungu saidia Kenya yetu
Kwa sasaa wakenya wenzangu tujue ya kwamba akuna mwanasiasa yyote anae jali mwanannchi yakawaida aky wanajali matumbo Yao mikundu hawa😢
don't waste our data. This is what you had to know while you were being fed lies that Ruto was a devil that needed to go to Sugoi. What are you telling us after causing deaths of many youths and loss of properties?
Saa hii dio unajua? pole!!
Yaani Genz were making away for Raila to get posts seriously
Watu wa UDA damu...kuamka mapema itaweza kweli