Nilipoona taarifa za uzushi huu kwakweli niliishiwa nguvu. Lkn sasa nimefarijika sana baada ya kukusikia mimi mwenyewe kuwa ungali upo nasi. Endelea na kazi ya Mungu Mtumishi.
Yaaan nimemshtuka sana mpaka nimewakwaza watu humu ndani lakini nikazikataa hizi habar kwamba niuongo tu washetani tena Mungu amhurukie sana huyo aliyehusika kwakweli Mimi wiki lote hili nashindia nyimbo za Ambwene ,, Mwansasu,,Bony,,Bahati,,,n.k Mungu akuhurumie wewe unayewatabiria wenzie vifo
Mimi napenda sana "mungu wa ibada"
Nilipoona taarifa za uzushi huu kwakweli niliishiwa nguvu. Lkn sasa nimefarijika sana baada ya kukusikia mimi mwenyewe kuwa ungali upo nasi. Endelea na kazi ya Mungu Mtumishi.
Mungu akubariki sana. Aendelee kukuinua mpaka kusudi lake likamilike.
Mungu akufunike uishi miaka mingi mtumishi wa Mungu
Uzima uwe fungu lako mtumishi wa Mungu. Natangua agano la mauti juu yako ktk Jina la Yesu
Mungu akulinde siku zote
Washindwe katika jina la Yesu.
Bongo kawaida kuzusha Mungu akutete mtumishi wa Mungu
Nakukubali ambene
Mungu ni mkubwa mwoba Mungu hachoki
Wafe wao
Watu sijui wakoje ivi unaanzaje kutoa taarifa za uongo, Hawa watoa taarifa wachukuliwe hatua
Watatangulia wao kaka
Wafe wao in Jesus Christ name 😭😭😭 wicked peoples
Wafe waoo
Yaaan nimemshtuka sana mpaka nimewakwaza watu humu ndani lakini nikazikataa hizi habar kwamba niuongo tu washetani tena Mungu amhurukie sana huyo aliyehusika kwakweli Mimi wiki lote hili nashindia nyimbo za Ambwene ,, Mwansasu,,Bony,,Bahati,,,n.k Mungu akuhurumie wewe unayewatabiria wenzie vifo
Baba shimo walilokuchimbia watatumbukia wenyewe hao.Mungu akutunze mtumishi wa Mungu.